Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Oroza ya Maneno ya Biblia

A

ABBA,

Ro 8:15 tunaita: Abba, Baba!

ABELI,

Mwa 4:8 akashambulia Abeli

Mt 23:35 damu ya Abeli mwenye haki

ABIGAILI,

1Sa 25:3 Abigaili mwenye utambuzi

ABISO,

Ufu 11:7 munyama kutoka katika abiso

Ufu 17:8 munyama kutoka katika abiso

Ufu 20:3 akamutupa ndani ya abiso

ABRAHAMU,

Mwa 21:12 akamuambia Abrahamu

2Ny 20:7 Abrahamu rafiki yako

Mt 22:32 Mungu wa Abrahamu

Ro 4:3 Abrahamu alikuwa na imani

ABUDU,

Mt 4:10 Yehova ndiye unapaswa kuabudu

Yoh 4:24 kumuabudu kwa roho na kweli

ACHA,

Kum 31:8 Hatakutupa wala kukuacha

1Sa 12:22 Yehova hataacha watu wake

Zb 27:10 kama baba na mama wananiacha

Zb 37:28 hataacha washikamanifu

Isa 1:28 wenye kumuacha Yehova

Mt 19:29 mwenye ameacha nyumba

Yoh 8:29 hakuniacha, kwa sababu

Mdo 5:42 bila kuacha kufundisha

2Ko 4:1 tuko na utumishi, hatuache

2Ko 4:16 Kwa hiyo, hatuache

Gal 6:9 tusiache kufanya mema

Ebr 13:5 sitakuacha hata kidogo

ACHILIWA,

Mez 29:15 mutoto mwenye kuachiliwa

ADABU,

Ro 13:13 Tutembee kwa adabu

1Ko 14:40 mambo yatendeke kwa adabu

ADAMU,

Mwa 5:5 siku za maisha ya Adamu

1Ko 15:22 katika Adamu wote wanakufa

1Ko 15:45 Adamu wa mwisho akakuwa

1Ti 2:14 Adamu hakudanganywa

ADUI,

Ro 12:20 kama adui yako iko na njaa

AGANO,

Mwa 15:18 agano na Abramu

Yer 31:31 nitafanya agano jipya

Lu 22:20 agano jipya kwa musingi wa damu

Lu 22:29 ninafanya agano na ninyi

AHADI,

1Fa 8:56 limekosa kutimia kati ya ahadi

Zb 15:4 Havunje ahadi yake, hata wakati

2Ko 1:20 ahadi za Mungu ndiyo kupitia yeye

AHIDI,

Ebr 10:23 mwenye aliahidi ni muaminifu

AJABU,

Mwa 18:14 ajabu sana kwa Yehova?

Zb 139:14 nimeumbwa kwa njia ya ajabu

AKANI,

Yos 7:1 Akani alikamata sehemu

AKILA,

Mdo 18:2 Muyahudi Akila

AKILI,

Zb 8:4 umuweke katika akili?

Mt 22:37 kumupenda Yehova kwa akili

Yoh 10:20 amepoteza akili

Ro 7:25 kwa akili yangu mimi ni

Ro 8:6 kukaza akili juu ya mwili

1Ko 2:16 tuko na akili ya Kristo

Flp 3:19 akili zao zinafikiria vitu

Kol 3:2 kukaza akili juu ya

ALAMA,

Hes 23:23 alama za mambo ya

Kum 18:10 mwenye kutafuta alama

Eze 9:4 alama kwenye mapaji

Mt 24:3 alama ya kuwapo kwako?

Mt 24:30 alama ya Mwana wa binadamu

Lu 21:25 kutakuwa alama katika jua na mwezi

2Ko 1:22 alama yenye kuhakikisha kile kitakuja

Efe 1:14 alama yenye kuhakikisha uriti wetu

2Te 2:9 alama za uongo, na maajabu

2Te 3:14 mumutie mutu huyo alama

Ufu 13:17 isipokuwa mwenye ile alama

ALFA,

Ufu 1:8 Alfa na Omega

ALIKWA,

Mt 22:14 wenye kualikwa

AMANI,

Zb 29:11 atabariki watu kwa amani

Zb 37:11 katika wingi wa amani

Zb 72:7 amani itakuwa nyingi

Zb 119:165 wako na amani nyingi

Mez 17:1 mahali kwenye kuko amani

Isa 9:7 Kuongezeka kwa amani

Isa 32:18 makao yenye amani

Isa 48:18 amani yako ingekuwa

Isa 54:13 amani ya wana wako

Isa 57:21 Hakuna amani kwa waovu

Isa 60:17 amani kuwa waangalizi

Yer 6:14 Kuko amani! Wakati hakuna

Mt 5:24 Fanya kwanza amani

Mk 9:50 amani mumoja na mwingine

Yoh 14:27 Ninawaachia amani

Mdo 9:31 katika kipindi cha amani

Ro 5:1 tufurahie amani pamoja na

Ro 8:6 kunamaanisha amani

Ro 12:18 wenye kufanya amani

Flp 4:7 amani ya Mungu italinda

1Te 5:3 Amani na usalama!

1Pe 3:11 atafute amani na kuifuatilia

Ufu 6:4 kutosha amani katika dunia

AMINA,

Kum 27:15 watajibu na kusema, Amina!

1Ko 14:16 Amina kwa shukrani yenye unatoa

2Ko 1:20 kupitia yeye Amina inasemwa

AMINI,

Yoh 3:16 mwenye anamuamini

Yoh 20:29 hawajaona lakini wanaamini

1Ko 7:12 bibi mwenye haamini

2Te 2:12 hawakuamini ile kweli, lakini

AMINIFU,

Tit 2:10 wakuwe waaminifu kabisa

AMRI,

Mt 22:40 Sheria inategemea amri

Mk 12:28 Ni amri gani ndiyo ya kwanza?

Mk 12:31 Hakuna amri ingine yenye kuwa kubwa

Yoh 13:34 amri mupya, mupendane

AMRI KUMI,

Kut 34:28 aliandika Amri Kumi

AMURU,

Mdo 5:28 Tuliwaamuru kwa mukazo

AMUSHA,

Yoh 11:11 kuenda kule ili kumuamusha

ANA,

Lu 2:36, 37 nabii mwanamuke, Ana

ANANIA,

Mdo 5:1 Anania na Safira

ANDIKO,

2Ti 3:16 Kila Andiko limeongozwa

ANDIKWA,

Ro 15:4 yenye yaliandikwa zamani

1Ko 4:6 Musipite mambo yenye yaliandikwa

ANGALIA,

Kol 3:22 haiko tu wakati wanaangalia

ANGALIFU,

Mez 14:16 Mwenye hekima ni muangalifu

Mt 10:16 waangalifu kama nyoka

Efe 5:15 waangalifu namna munatembea

ANGUKA,

Mez 24:16 kuanguka mara 7

Muh 4:10 kama mumoja anaanguka

1Ko 10:12 angalisho asianguke

APA,

Mwa 22:16 Ninaapa, Yehova anasema

Mt 5:34 Musiape hata kidogo

APOLO,

Mdo 18:24 Apolo, mwenye kujua kusema

ARARATI,

Mwa 8:4 ikasimama juu ya Ararati

AREOPAGO,

Mdo 17:22 akasimama Areopago

ARMAGEDONI,

Ufu 16:16 katika Kiebrania Armagedoni

ARTEMI,

Mdo 19:34 Artemi ni mukubwa!

ASALI,

Kut 3:8 inchi yenye asali

Mez 25:27 kula asali nyingi

ASILI,

Law 18:23 kuvunja sheria ya asili

Ro 1:26 walibadilisha matumizi ya asili

Ro 1:27 waliacha matumizi ya asili

Yud 7 tamaa zenye hazikukuwa za asili

ASKARI,

2Ti 2:4 askari mwenye anajiingiza

AZABU,

Muh 8:11 azabu haikutolewa haraka

AZAZELI,

Law 16:8 kura kwa ajili ya Azazeli

B

BAALI,

Yer 19:5 matoleo kwa Baali

BABA,

Mwa 2:24 atamuacha baba na mama

Zb 2:7 nimekuwa baba yako

Zb 89:26 Wewe ni Baba yangu

Zb 103:13 baba anaonyesha rehema

Isa 9:6 Baba wa Milele

Mt 6:9 Baba yetu mwenye kuwa

Mt 23:9 musimuite mutu baba

Lu 2:49 nyumba ya Baba yangu

Lu 15:20 baba yake akamukumbatia

Yoh 5:20 Baba anamuonyesha Mwana

Yoh 10:30 Mimi na Baba ni kimoja

Yoh 14:6 anakuja kwa Baba isipokuwa

Yoh 14:9 ameniona amemuona Baba

Yoh 14:28 Baba ni mukubwa kuliko

Yoh 14:28 ninaenda kwa Baba

BABELI,

Mwa 11:9 uliitwa Babeli, kwa sababu

BABILONI,

Yer 51:6 Mukimbie kutoka Babiloni

Yer 51:30 Wapiganaji-vita wa Babiloni

Yer 51:37 Babiloni atakuwa marundo ya

Ufu 17:5 Babiloni Mukubwa, mama ya

Ufu 18:2 Babiloni Mukubwa ameanguka

BADILIKA,

Mal 3:6 mimi ni Yehova; sibadilike

BAHARI,

Kut 14:21 akageuza bahari kuwa

Isa 57:20 waovu ni kama bahari

BAHATI,

Isa 65:11 mungu wa Bahati

BAKIA,

Mt 14:20 vipande vyenye vilibakia

BALAAMU,

Hes 22:28 punda akamuambia Balaamu

BAMBA LA KIFUA,

Efe 6:14 bamba la kifua la haki

BARABARA, Mt 7:14 barabara yenye kuongoza kwenye

Mt 13:4 mbegu zilianguka pembeni ya barabara

BARAKA,

Kum 30:19 baraka na laana

Mez 10:22 Baraka ya Yehova inamufanya mutu

Mal 3:10 kuwamwangia baraka kusikuwe

BARIKI,

Mwa 1:28 Mungu akawabariki

Mwa 32:26 Sitakuacha uende mupaka unibariki

Hes 6:24 Yehova akubariki

Amu 5:24 amebarikiwa zaidi ya wanamuke wote

Lu 6:28 kubariki wale wenye kuwalaani ninyi

Yoh 12:13 Amebarikiwa mwenye anakuja

Ro 12:14 kubariki wenye wanawatesa

BARNABA,

Mdo 9:27 Barnaba akakuja

BARUKU,

Yer 45:2 juu yako wewe, Baruku

BATIZA,

Mt 3:13 Yesu akakuja kwa Yohana amubatize

Mt 28:19 mufanye wanafunzi, muwabatize

Mdo 2:41 wakabatizwa, karibu 3 000

Mdo 8:36 kitu gani kinanizuia nisibatizwe?

BAT-SHEBA,

2Sa 11:3 Bat-sheba bibi ya Uria

BEBA,

Ro 15:1 wenye nguvu wabebe uzaifu

BEGA,

Sef 3:9 Wamutumikie bega kwa bega

BEI,

1Ko 7:23 Mulinunuliwa kwa bei

BEI YA UKOMBOZI,

 

Zb 49:7 kumupatia bei ya ukombozi

Mt 20:28 uzima wake kuwa bei ya ukombozi

Ro 8:23 kuachiliwa kupitia bei ya ukombozi

BELSHAZA,

Da 5:1 Belshaza alifanya karamu

BEMBELEZA,

Mez 29:21 kama mutumishi anabembelezwa

BETELI,

Mwa 28:19 akaita mahali pale Beteli

BETLEHEMU,

Mik 5:2 Betlehemu Efrata

BEZALELI,

Kut 31:2 nimemuchagua Bezaleli

BIASHARA,

Mt 22:5 kwenye biashara yake

Yak 4:13 tutafanya biashara na kupata faida

BIBI,

Mwa 2:24 atashikamana na bibi yake

Mwa 27:46 Kama Yakobo anachukua bibi kati ya

1Fa 11:3 alikuwa na bibi 700 na masuria 300

Mez 5:18 ufurahi pamoja na bibi wa ujana wako

Mez 12:4 Bibi mwenye uwezo ni taji

Mez 18:22 anapata bibi muzuri, anapata wema

Mez 21:19 kuliko kuishi na bibi mugomvi

Mez 31:10 kupata bibi mwenye uwezo?

Muh 9:9 Furahia maisha na bibi yako

Mal 2:15 bibi wa ujana kwa udanganyifu

1Ko 7:2 kila mwanaume akuwe na bibi

1Ko 9:5 kusindikizwa na bibi muamini

Efe 5:22 Bibi wajitiishe kwa bwana

Efe 5:28 kupenda bibi zao kama miili

BIBI-ARUSI,

Ufu 21:9 nitakuonyesha bibi-arusi

BIDII,

Zb 69:9 Bidii ya nyumba imenikula

Mez 10:4 mikono yenye bidii inaleta

Mez 12:27 bidii ni hazina yenye samani

Mez 21:5 Mipango ya wenye bidii inaleta

Isa 37:32 Bidii ya Yehova itatenda hayo

Ro 10:2 bidii kwa ajili ya Mungu

Ro 12:11 wenye bidii hapana wavivu

2Ti 4:2 fanya vile kwa bidii nyakati

Tit 2:14 wenye bidii kwa ajili ya matendo

Ebr 6:11 aonyeshe bidii ileile

BILA KUACHA,

Da 6:16 unatumikia bila kuacha

BILA KUFIKIRI,

Mez 12:18 kusemwa bila kufikiri

Mez 19:2 mwenye kutenda bila kufikiri

BILA KUJUA,

1Ti 1:13 nilitenda bila kujua

BILA KUSUDI,

 

1Ko 9:26 ninakimbia haiko bila kusudi

BILA SABABU,

Isa 45:19 Munitafute bila sababu

BILA UTARATIBU,

1Te 5:14 wanajiendesha bila utaratibu

2Te 3:6 mwenye anajiendesha bila utaratibu

BILA WOGA,

Mdo 4:31 wanasema neno bila woga

Efe 6:20 [Musali] niweze kusema bila woga

BINTI,

Lu 8:49 Binti yako amekufa

BOMOA,

Ro 14:20 kubomoa kazi ya Mungu

BUBU,

Isa 35:6 ulimi wa bubu utapiga vigelegele

BURE,

Muh 1:2 Yote ni bure kabisa!

Isa 65:23 kazi ya jasho ya bure

Mt 10:8 Mulipokea bure, mutoe bure

Mt 15:9 Wanaendelea kuniabudu bure

1Ko 9:18 nitoe habari njema kwa bure

1Ko 15:58 kazi yenu haiko ya bure

Ufu 22:17 maji ya uzima bure

BUSARA,

Mt 24:45 mutumwa mwenye busara

BUSU,

Lu 22:48 unamusaliti kwa busu?

BWANA,

Kum 10:17 Yehova ni Bwana wa

Mt 7:22 Bwana, Bwana, je, hatukutoa?

Mt 9:38 mumuombe Bwana wa mavuno

Mt 22:44 alimuambia Bwana wangu:

Ro 6:14 zambi haipaswe kuwa bwana

Ro 14:4 Kwa bwana wake anasimama

1Ko 7:2 mwanamuke akuwe na bwana

1Ko 7:14 bwana mwenye haamini

1Ko 7:39 kuolewa katika Bwana tu

Efe 5:25 bwana muendelee kupenda

Kol 3:18 bibi, mujitiishe kwa bwana zenu

Kol 4:1 muko na Bwana mbinguni

BWANA MWENYE MAMLAKA MAKUBWA ZAIDI,

Zb 73:28 Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi kimbilio langu

Mdo 4:24 Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi, ulifanya

C

CHACHU,

Mt 13:33 Ufalme ni kama chachu

1Ko 5:6 chachu kidogo inachachisha

CHAFULIWA,

Eze 39:7 jina langu lichafuliwe

CHAGUA,

Kum 30:19 kuchagua uzima

Yos 24:15 muchague nani mutatumikia

Ro 9:11 kuchagua litegemee Ule mwenye

Flp 1:23 Sijue nichague nini kati ya mambo

CHAKULA,

Zb 145:15 chakula kwa wakati

Mt 24:45 chakula kwa wakati wenye kufaa?

Yoh 4:34 Chakula changu ni kufanya

Yoh 6:27 kazi kwa ajili ya chakula

Mdo 14:17 aliwapatia mvua, na chakula

1Ko 8:13 kama chakula kinamukwaza

CHAKULA CHA MANGARIBI,

1Ko 11:20 Chakula cha Mangaribi cha Bwana

CHEKA,

Mwa 18:13 Sara amecheka?

Zb 2:4 mufalme mbinguni atacheka

CHEKELEA,

Lu 22:63 wakaanza kumuchekelea

CHEKELEWA,

Lu 18:32 atachekelewa, atatendewa

Gal 6:7 Mungu haiko wa kuchekelewa

CHELEWA,

Isa 46:13 wokovu wangu hautachelewa

Hab 2:3 Kwa maana hayatachelewa!

CHELEWESHWA,

Mez 13:12 lenye kucheleweshwa

CHEMCHEMI,

Zb 36:9 Kwako kuko chemchemi ya

Yer 2:13 Wameniacha, chemchemi ya maji

CHEO,

Mdo 1:20 cheo chake cha uangalizi

1Ko 1:26 kizazi chenye cheo

CHETI,

Kum 24:1 cheti cha kuvunja ndoa

Mt 19:7 Musa aliagiza kupatia bibi cheti?

CHINJWA,

Zb 44:22 kondoo ya kuchinjwa

Isa 53:7 kondoo mwenye anaenda kuchinjwa

CHIPUKIZI,

Yer 23:5 Daudi chipukizi la haki

CHOCHEA,

Flp 2:13 anawachochea, na kuwapatia

Ebr 10:24 kuchocheana katika upendo

CHOKA,

Mez 25:25 nafsi yenye kuchoka

Isa 40:28 hachokake wala kuishiwa nguvu

Isa 40:29 Anapatia nguvu mwenye kuchoka

Isa 40:31 Watatembea na hawatachoka

Isa 50:4 kumujibu mwenye kuchoka kupitia

Gal 6:9 tutavuna kama hatuchoke kabisa

Ebr 12:3 ili musichoke na kuacha

CHOKESHA,

Mal 1:13 Mambo haya yanachokesha

CHOKOZA,

1Sa 17:26 achokoze kikundi cha wapiganaji

Mez 27:11 kumujibu mwenye ananichokoza

CHOMBO,

Mdo 9:15 mutu huyu ni chombo

Ro 9:21 chombo kimoja kwa ajili ya matumizi

CHOMBO CHA KULISHIA WANYAMA,

Lu 2:7 katika chombo cha kulishia wanyama

CHONGEA,

Law 19:16 kuzunguka-zunguka ili kuchongea

CHOZI,

Ufu 21:4 atapanguza kila chozi

CHUI,

Isa 11:6 chui atalala na mwana-mbuzi

Da 7:6 munyama mwingine, kama chui

CHUKIA,

Law 19:17 Haupaswe kumuchukia ndugu

Zb 45:7 Ulipenda haki na kuchukia uovu

Zb 97:10 wenye kumupenda Yehova, muchukie

Mez 6:16 vitu 6 vyenye Yehova anachukia

Mez 8:13 kunamaanisha kuchukia ubaya

Amo 5:15 Muchukie mambo ya mubaya

Mt 24:9 mutachukiwa kwa sababu ya

Lu 6:27 kutendea mema wenye kuwachukia

Yoh 7:7 Ulimwengu unanichukia

Yoh 15:25 Walinichukia bila sababu

Ro 12:9 muchukie sana maovu

1Yo 3:15 mwenye anamuchukia ndugu

CHUKIZA,

Yoh 6:60 Maneno ni yenye kuchukiza

CHUKIZO,

Mt 24:15 chukizo lenye linaleta

CHUMA,

Mez 27:17 chuma kinanoa chuma

Isa 60:17 pa nafasi ya chuma nitaleta

Da 2:43 chuma hakiwezi kuchangana

CHUMVI,

Mwa 19:26 nguzo ya chumvi

Mt 5:13 Ninyi ni chumvi ya dunia

Kol 4:6 Maneno yenye kukolezwa chumvi

CHUNGA,

Mdo 20:28 ili kuchunga kutaniko

1Pe 5:2 Muchunge kundi lenye liko

CHUNGULIA,

1Pe 1:12 wanatamani kuchungulia

CHUNGUZA,

Zb 26:2 Unichunguze, Ee Yehova

Mez 21:2 Yehova anachuguza mioyo

Mez 25:2 utukufu wa wafalme ni kuchunguza

Mdo 17:11 walikuwa wanachunga Maandiko

1Ko 11:28 mutu ajichunguze mwenyewe

Gal 6:4 achunguze matendo yake

1Te 5:21 Muchunguze mambo yote

D

DADA,

Kum 27:22 analala na dada yake

DAMU,

Mwa 9:4 damu yake—hamupaswe kula

Law 7:26 Hamupaswe kula damu yoyote

Law 17:11 uzima wa mwili uko katika damu

Law 17:13 kumwanga damu yake chini

Zb 72:14 damu yao itakuwa na samani

Eze 3:18 damu yake nitaiomba kwako

Mt 9:20 ugonjwa wa kutokwa na damu

Mt 26:28 inamaanisha damu yangu ya agano

Mt 27:25 Damu yake ikuwe juu yetu

Mdo 15:29 kuendelea kujiepusha damu

Mdo 20:26 safi kutokana na damu ya watu

Mdo 20:28 alinunua kwa damu ya Mwana

Efe 1:7 tunaachiliwa huru kupitia damu ya

1Pe 1:19 damu yenye samani ya Kristo

1Yo 1:7 damu ya Yesu inatusafisha

Ufu 18:24 damu ya watakatifu

DANGANYA,

Gal 6:7 Musidanganywe: Mungu haiko

DANSI,

Amu 11:34 akaenda inje, kucheza dansi!

DAUDI,

1Sa 16:13 akamutia mafuta Daudi

Lu 1:32 kiti cha ufalme cha Daudi

Mdo 2:34 Daudi hakupanda mbinguni

DAWA,

Mez 17:22 Moyo wenye furaha ni dawa

DAWA YA MACHO,

Ufu 3:18 dawa ya macho ya kupakaa

DENI,

Ro 1:14 deni kwa wenye hekima

Ro 13:8 Musikuwe na deni isipokuwa

DESTURI,

 

Mt 15:3 munavunja amri sababu ya desturi

Mk 7:13 munafanya neno kuwa bure kwa desturi

Gal 1:14 bidii kwa ajili ya desturi za baba zangu

DINA,

Mwa 34:1 Dina alikuwa anazoea

DINARI,

Lu 7:41 alikuwa na deni la dinari 500

DIRISHA,

Mdo 20:9 Eutiko alikuwa kwenye dirisha

DIVAI,

Law 10:9 Usikunywe divai wakati

Zb 104:15 divai inafurahisha moyo

Mez 20:1 Divai ni muzihaki, pombe

Mez 23:31 Usiangalie divai

Muh 10:19 divai inafanya maisha yafurahishe

Isa 25:6 divai yenye kuchujwa

Ho 4:11 divai mupya inaondoa nia

Yoh 2:9 maji yaligeuzwa kuwa divai

1Ti 5:23 ukunywe divai kidogo

DOGO,

Zek 4:10 siku ya mianzo midogo?

DORKASI,

Mdo 9:36 aliitwa Tabita, Dorkasi

DRAKMA,

Lu 15:8 vichele vya drakma

DUBU,

1Sa 17:37 makucha ya dubu

Isa 11:7 Ngombe na dubu watakula

DUMU,

1Yo 2:17 mapenzi ya Mungu anadumu

DUNIA,

Mwa 1:28 mujaze dunia

Kut 9:29 dunia ni ya Yehova

Yob 38:4 wakati niliweka misingi ya dunia?

Zb 37:11 wapole watariti dunia

Zb 37:29 Wenye haki watariti dunia

Zb 104:5 dunia haitahamishwa

Zb 115:16 dunia ameipatia wana wa

Mez 2:21 watakaa katika dunia

Isa 45:18 alifanya dunia ili ikaliwe

Mt 5:5 wenye upole watariti dunia

E

EDENI,

Mwa 2:8 bustani katika Edeni

Mwa 2:15 bustani ya Edeni

EFESO,

1Ko 15:32 wanyama katika Efeso

ELEWA,

Ne 8:8 wakasaidia watu kuelewa

Yob 6:24 munisaidie nielewe kosa langu

Zb 119:27 Unifanye nielewe maana ya

ELEWEKA,

1Ko 14:8 mwito wenye haueleweke

ELEZA,

Yoh 1:18 ameeleza juu Yake

ELFU,

Zb 91:7 Elfu moja wataanguka

Isa 60:22 Mudogo atakuwa elfu

2Pe 3:8 siku moja ni kama miaka elfu

ELI,

1Sa 1:3 wana wa Eli walitumikia

ELIMU,

Lu 10:21 umeficha wenye elimu

Mdo 4:13 watu wenye hawana elimu

ELIYA,

Yak 5:17 Eliya mwenye hisia

ENDA HUKU NA HUKU,

2Ny 16:9 macho yanaenda huku na huku

Da 12:4 Wengi wataenda huku na huku

ENEO,

Ro 15:23 sina tena eneo lenye

ENOKO,

Mwa 5:24 Enoko akatembea na

EPUKA,

Isa 53:3 Alizarauliwa na kuepukwa

ESAU,

Mwa 25:34 Esau akazarau haki

Ebr 12:16 haheshimie, kama Esau

EUODIA,

Flp 4:2 Ninamutia moyo Euodia

EZRA,

Ezr 7:11 Ezra kuhani na mwandikaji

F

FAA,

Ebr 11:38 ulimwengu haukuwafaa

FAHAMU,

1Fa 8:47 wanarudiwa na fahamu

Lu 15:17 Wakati alirudiwa na fahamu

FAIDA,

Kum 8:16 kusudi upate faida

Kum 10:13 kushika amri kwa faida yako

Mez 14:23 Kila kazi ya nguvu iko na faida

Mez 15:27 faida yenye haiko ya haki

Isa 48:17 anakufundisha ili ujipatie faida

Mdo 20:20 kuwaambia jambo lenye faida

1Ko 6:12 yanaruhusiwa, haiko yenye faida

1Ko 7:35 kwa faida yenu wenyewe

1Ko 10:24 kutafuta, hapana faida yake

1Ko 13:5 [upendo] hautafute faida zake

2Ko 7:2 hatukumudanganya ili tupate faida

Flp 2:4 hapana faida zenu wenyewe

Flp 2:21 wanatafuta faida zao

2Ti 1:13 mufano wa maneno yenye faida

2Ti 3:16 na liko na faida

Tit 2:1 fundisho lenye faida

FALME,

Mt 4:8 Ibilisi akamuonyesha falme

FAMILIA,

Efe 3:15 familia mbinguni na duniani

FANIKIWA,

Zb 1:3 kila jambo litafanikiwa

Isa 55:11 neno langu hakika litafanikiwa

FANYA,

Ro 7:15 sizoee kufanya kile ninataka

1Yo 3:6 haendelee kufanya zambi

FANYA MAENDELEO,

Yoh 8:37 neno halifanye maendeleo

Flp 3:16 kwa kadiri tumefanya maendeleo

FANYA ZAMBI,

1Fa 8:46 hakuna mwenye hafanyake zambi

Ro 3:23 wamefanya zambi na kupungukiwa

FARAJA,

Ro 15:4 faraja kutoka katika Maandiko

2Ko 1:3 Mungu wa faraja yote

FARASI,

Ufu 6:2 farasi mweupe

Ufu 19:11 na angalia! farasi mweupe

FARIJI,

Yob 2:11 kumufariji Yobu

Zb 94:19 mahangaiko yalinilemea, Ulinifariji

Isa 49:13 Yehova amefariji watu wake

Isa 61:2 kufariji wenye kuomboleza

Yer 31:15 Raheli amekataa kufarijiwa

Mt 5:4 wenye kuomboleza, watafarijiwa

2Ko 1:4 tuweze kufariji wengine

1Te 2:11 kutia moyo, kufariji

FASIRIA,

Ne 8:8 wakaifasiria Sheria

Mdo 17:3 anafasiria na kuhakikisha

FAZILI,

Mez 11:17 mwenye fazili anajiletea

Mez 31:26 Sheria ya fazili iko

Mt 16:22 Jitendee kwa fazili

Mdo 28:2 walitutendea kwa fazili

FAZILI ZENYE HAZISTAHILIWE,

Yoh 1:17 fazili zenye hazistahiliwe kupitia Yesu

1Ko 15:10 fazili zenye hazistahiliwe hazikukuwa

2Ko 6:1 fazili zenye hazistahiliwe kisha

2Ko 12:9 Fazili zenye hazistahiliwe zinakutosha

FEZA,

Mez 2:4 kuutafuta kama feza

Muh 7:12 feza ni ulinzi

Muh 10:19 feza zinatimiza mahitaji

Eze 7:19 Watatupa feza katika barabara

Sef 1:18 Feza wala zahabu havitawaokoa

1Ti 6:10 kupenda feza ni chanzo cha

Ebr 13:5 bila upendo wa feza

FEZEHEKA,

Ezr 9:6 ninafezeheka kukuinulia uso

FICHWA,

Lu 8:17 hakuna jambo lenye kufichwa

FIKIRI,

Mdo 17:2 akafikiri kwa kutumia Maandiko

Ro 12:3 asijifikirie yeye mwenyewe sana

FIKIRIA,

1Te 5:13 muwafikirie kwa sababu ya

FIKIRI SANA,

Mwa 24:63 kutembea ili kufikiri sana

Zb 77:12 nitafikiri sana juu ya

Mez 15:28 mwenye haki anafikiri sana

FILIPO,

Mdo 8:26 akamuambia Filipo

Mdo 21:8 Filipo mweneza-injili

FILOZOFIA,

Kol 2:8 mateka kupitia filozofia

FIMBO,

Mez 13:24 mwenye anazuia fimbo yake

Ufu 12:5 atachunga mataifa yote kwa fimbo

FIMBO YA UFALME,

Mwa 49:10 Fimbo ya ufalme haitatoka Yuda

Zb 2:9 Utawavunja kwa fimbo ya ufalme

FINEHASI,

Hes 25:7 Wakati Finehasi aliona

FINYA,

Mk 4:19 kufinya lile neno, na halizae

FINYANGWA,

Ro 12:2 kufinyangwa na mupangilio

1Pe 1:14 kufinyangwa na tamaa

FUATA,

Mt 4:20 wakaacha nyavu na kumufuata

Yoh 10:27 Kondoo wangu wananifuata

Ufu 14:4 kumufuata Mwana-Kondoo

FUATANA MUZURI,

Lu 1:3 kwa njia yenye kufuatana muzuri

FUATILIA,

Ro 14:19 tufuatilie mambo ya amani

FUFUA,

Yoh 6:39 niwafufue katika siku ya mwisho

Mdo 2:24 Lakini Mungu alimufufua

FUNDISHA,

Amu 13:8 akasema: utufundishe

Ezr 7:10 Ezra alitayarisha moyo ili kufundisha

Zb 32:8 Nitakufundisha katika njia

Zb 143:10 Unifundishe kufanya mapenzi

Mez 9:9 Fundisha mwenye haki, na

Isa 48:17 anakufundisha ili ujipatie faida

Yer 31:34 hawatafundishana tena

Mt 7:28 namna yake ya kufundisha

Mt 7:29 anawafundisha kama mwenye mamlaka

Mt 15:9 wanafundisha amri za wanadamu

Mt 28:20 muwafundishe kushika yote

Yoh 7:16 yenye ninafundisha haiko yangu

Ro 2:21 unamufundisha, haujifundishe?

Ro 15:4 yaliandikwa ili kutufundisha

1Ti 2:12 Siruhusu mwanamuke afundishe

FUNDISHWA,

Isa 54:13 wana wako watafundishwa

FUNGA,

Mwa 22:9 Akamufunga Isaka

Isa 58:6 kufunga kwenye ninachagua

Isa 61:1 nifunge vidonda vya wenye

Eze 34:16 mwenye kuumia nitafunga vidonda

Mt 16:19 litakuwa limefungwa mbinguni

Lu 18:12 Ninafunga mara mbili

FUNGA KINYWA,

Kum 25:4 kufunga kinywa cha ngombe-dume

FUNGIA MUKONO,

Kum 15:7 usimufungie mukono ndugu yako

FUNGU,

Omb 3:24 Yehova ni fungu langu

Da 12:13 kwa ajili ya fungu lako

FUNGUA,

Mt 18:18 mambo yenye mutafungua

FUNGUO,

Mt 16:19 funguo za Ufalme

Lu 11:52 mulitosha funguo ya ujuzi

Ufu 1:18 funguo za kifo na za Kaburi

FUNIKA,

Mez 28:13 Mwenye anafunika makosa

1Ko 11:6 kama mwanamuke hajifunike

FUNUA,

Mt 11:25 umeyafunua kwa watoto

1Ko 2:10 Mungu ameyafunua kupitia roho

FUNULIWA,

Efe 3:5 siri imefunuliwa kwa mitume

FURAHA,

1Ny 28:9 umutumikie kwa furaha

Zb 32:1 furaha ni mwenye amesamehewa

Zb 37:4 Pata furaha nyingi katika Yehova

Zb 94:12 furaha ni mwenye unarekebisha

Zb 100:2 Mumutumikie Yehova kwa furaha

Zb 144:15 Wenye furaha Mungu wao ni Yehova!

Mt 5:3 Wenye furaha wanatambua uhitaji

Lu 8:13 wanalipokea neno kwa furaha

Lu 15:7 furaha mbinguni kwa sababu

Yoh 16:22 hakuna atawanyanganya furaha

Mdo 5:41 mbele ya Sanhedrini, na furaha

Mdo 20:35 furaha zaidi katika kutoa

Ro 15:13 Mungu awajaze furaha

2Ko 9:7 mwenye anatoa kwa furaha

1Te 1:6 furaha ya roho takatifu

1Ti 1:11 Mungu mwenye furaha

Ebr 12:2 furaha yenye iliwekwa mbele yake

3Yo 4 furaha: watoto wanaendelea

FURAHI,

1Ny 29:9 walifurahi kwa sababu ya kutoa

Mez 8:30 Nilifurahi mbele yake wakati wote

Ro 5:3 tufurahi hata kama tuko katika taabu

Ro 12:12 Mufurahi katika tumaini

Ro 12:15 Mufurahi na wenye kufurahi

Flp 3:1 muendelee kufurahi katika Bwana

Flp 4:4 Mufurahi katika Bwana. Mufurahi!

FURAHIA,

Zb 40:8 ninafurahia mapenzi yako

Zb 149:4 Yehova anafurahia watu wake

Muh 2:24 kufurahia kazi yake

Eze 18:32 Sifurahie kifo cha

FURAHISHA,

Mez 27:11 na ufurahishe moyo

FURAHISHWA,

2Ti 4:3 ili masikio yao yafurahishwe

FUTA,

Mdo 3:19 zambi zenu zipate kufutwa

G

GABRIELI,

Lu 1:19 Gabrieli, mwenye kusimama

GAMALIELI,

Mdo 22:3 kwenye miguu ya Gamalieli

GANZI,

Zb 143:4 Moyo wangu umekufa ganzi

GARAMA,

Lu 14:28 kwanza kuhesabia garama

GARIKA,

Mwa 9:11 itaharibiwa tena na garika

Mt 24:38 mbele ya Garika, walikuwa

2Pe 2:5 garika juu ya ulimwengu

GEHAZI,

2Fa 5:20 Gehazi akasema: nitakimbia

GEHENA,

Mt 10:28 nafsi na mwili katika Gehena

GEREZA,

Mt 25:36 katika gereza mukanitembelea

Mdo 5:18 kuwatia katika gereza

Mdo 5:19 akafungua milango ya gereza

Mdo 12:5 Petro katika gereza

Mdo 16:26 misingi ya gereza ikatikiswa

Ebr 13:3 Mukumbuke wenye kuwa katika gereza

Ufu 2:10 Ibilisi atatupa wamoja katika gereza

GEUZWA,

Ro 12:2 mugeuzwe kwa kufanya upya

GEUZWA SURA,

Mt 17:2 aligeuzwa sura

GIBEONI,

Yos 9:3 Wakaaji wa Gibeoni

GIDEONI,

Amu 7:20 Upanga wa Gideoni!

GIZA,

Isa 60:2 giza litafunika dunia

Yoe 2:31 Jua litageuzwa kuwa giza

Mt 4:16 wenye kukaa katika giza waliona

Yoh 3:19 watu wamependa giza

Efe 4:18 Wako katika giza kiakili

1Pe 2:9 aliwaita kutoka katika giza

GOLGOTA,

Yoh 19:17 kunaitwa Golgota

GOLIATI,

1Sa 17:4 jina lake Goliati

GOMORA,

Mwa 19:24 moto juu ya Gomora

GUMU,

Mt 13:15 moyo umekuwa mugumu

Ebr 5:14 chakula kigumu ni cha wakomavu

GURUDUMU,

Eze 1:16 gurudumu ndani ya lingine

GUSA,

Mez 6:29 Hakuna mwenye kugusa bibi

Isa 52:11 musiguse kitu kichafu!

Mt 8:3 akamugusa, na kusema: Ninataka!

2Ko 6:17 muache kugusa kitu kichafu

H

HABARI,

Kut 23:1 kueneza habari za uongo

Hes 14:36 walileta habari ya mubaya

Zb 112:7 Hataogopa habari ya mubaya

Mez 25:25 habari ya muzuri yenye inatoka

Da 11:44 habari zitamusumbua

2Ko 6:8 habari ya mubaya na habari ya muzuri

HABARI NJEMA,

Isa 52:7 mwenye kuleta habari njema

Mt 24:14 habari njema ya Ufalme itahubiriwa

Lu 4:43 nitangaze habari njema ya Ufalme

Ro 1:16 sisikilie haya habari njema

1Ko 9:16 ole kama sitangaze habari njema!

1Ko 9:23 yote kwa ajili ya habari njema

HADESI

. Angalia KABURI.

HAIWEZEKANE,

Mt 19:26 Kwa wanadamu haliwezekane

HAKI,

Mwa 15:6 akamuhesabia hilo kuwa haki

Yob 34:12 hawezi kupotosha haki

Yob 40:8 utatilia mashaka haki yangu?

Zb 37:28 Yehova anapenda haki

Zb 45:7 Ulipenda haki na kuchukia uovu

Mez 15:27 faida yenye haiko ya haki

Mez 29:4 Kwa haki mufalme anafanya

Muh 5:8 Kama unaona haki inavunjwa

Isa 26:9 Wakaaji wa inchi wanajifunza haki

Isa 32:1 watatawala kwa ajili ya haki

Isa 60:17 haki kuwa watu wako wa kugawa kazi

Eze 21:27 mwenye kuwa na haki ya kisheria

Mik 6:8 utende haki, upende ushikamanifu

Sef 2:3 Mutafute haki, mutafute upole

Lu 18:7 hatahakikisha kuwa haki imefanywa?

Mdo 28:4 Haki haikumuruhusu aendelee kuishi

1Ko 7:3 amupatie bibi haki yake

1Pe 2:19 kuteseka kwa njia yenye haiko ya haki

2Pe 3:13 mule haki itakaa

HAKIKA,

Muh 7:14 hakika kile kitawapata

HAKIKISHA,

Mdo 17:3 kuhakikisha kwa kutumia

Flp 1:10 muhakikishe mambo ya maana

HALELUYA

. Angalia SIFU YAH.

HALI YA CHINI,

1Sa 2:8 mutu wa hali ya chini

Zb 41:1 anamuhangaikia wa hali ya chini

Zb 119:141 mutu wa hali ya chini

Isa 57:15 roho ya watu wa hali ya chini

HALI YA JUU,

Ro 12:16 mambo ya hali ya juu

HAMU,

Ro 16:18 watumwa wa hamu zao

Flp 2:13 kuwapatia hamu na

HANGAIKA,

Mez 14:16 mujinga hahangaike

Isa 41:10 Usihangaike, niko Mungu wako

Mt 6:34 musihangaike hata kidogo juu ya

Mt 10:19 musihangaike juu ya mambo

Lu 12:25 kwa kuhangaika anaweza

1Ko 7:32 ninataka musihangaike

1Ko 7:32 mwenye hajaoa anahangaikia

Flp 4:6 Musihangaike juu ya jambo lolote

HANGAIKIA,

Zb 41:1 anamuhangaikia mutu

1Pe 5:7 kwa sababu yeye anawahangaikia

HANGAIKIANA,

1Ko 12:25 viungo vihangaikiane

HARADALI,

Lu 13:19 mbegu ya haradali

HARAKA,

Mez 29:20 kuwa haraka kusema?

HARAKISHA,

Isa 60:22 Mimi Yehova, nitaharakisha hilo

HARIBIKA,

Kut 23:26 Mimba haitaharibika

2Ko 4:16 mwenye tuko kwa inje anaharibika

1Ti 1:19 likafanya imani yao iharibike

HARIBIWA,

Mt 25:46 wataharibiwa milele

HARIBU,

Eze 21:27 Nitaliharibu, nitaliharibu, nitaliharibu

Ufu 11:18 kuharibu wenye wanaharibu dunia

HASIRA,

Kol 3:8 kuondoa hasira, matukano

HATARI,

Mez 22:3 mwerevu anaona hatari

2Ko 11:26 hatari za ndani ya muji, hatari za

HATUA,

Yer 10:23 uwezo wa kuongoza hatua yake

Gal 6:1 mutu anafanya hatua ya mubaya

1Pe 2:21 mufuate hatua zake

HAWANA MAFAA YOYOTE,

Lu 17:10 watumwa hawana mafaa yoyote

HAYA,

Zb 25:3 mwenye atapatishwa haya

Mk 8:38 kila mwenye ananisikilia haya

Ro 1:16 sisikilie haya habari njema

1Ko 4:14 kuwapatisha haya, lakini ili kuwaonya

Efe 5:4 mwenendo wa haya wala maneno ya

2Ti 1:8 Basi usisikilie haya ushahidi

2Ti 2:15 hana jambo la kusikilia haya

Ebr 11:16 Mungu hasikie haya juu yao

1Pe 4:16 sababu yeye ni Mukristo, asisikie haya

HAZINA,

Mez 2:4 kuutafuta kama hazina

Mt 6:21 kwenye kuko hazina, ni pale

Mt 13:44 Ufalme wa mbinguni ni kama hazina

Lu 6:45 katika hazina ya muzuri ya moyo

Lu 12:33 hazina yenye haiwezi kuisha

2Ko 4:7 hazina hii katika vyombo vya udongo

HEKALU

. Angalia pia NYUMBA,

Zb 11:4 Yehova iko katika hekalu

Zb 27:4 kuangalia kwa usamini hekalu lake

Yer 7:4 hekalu la Yehova, hekalu la Yehova

Eze 41:13 Akapima hekalu, urefu wa

Mal 3:1 Bwana atakuja kwenye hekalu

Mt 21:12 akaingia katika hekalu na kufukuza

Yoh 2:19 Mubomoe hekalu hili, na kwa siku 3

1Ko 3:16 ninyi ni hekalu la Mungu

HEKIMA,

Zb 111:10 ni mwanzo wa hekima

Zb 119:98 inanifanya kuwa na hekima

Mez 2:6 Yehova anatoa hekima

Mez 3:7 mwenye hekima mbele ya macho

Mez 4:7 Hekima ndilo jambo la maana zaidi

Mez 8:11 hekima ni muzuri kuliko marijani

Mez 9:9 Patia mwenye hekima, atakuwa

Mez 13:20 anatembea na wenye hekima

Mez 24:3 Nyumba inajengwa kwa hekima

Mez 27:11 Ukuwe na hekima, mwana

Muh 7:12 Hekima inalinda uzima wa

Muh 10:10 hekima inasaidia kupata mafanikio

Isa 5:21 hekima mbele ya macho yao

Mt 11:19 hekima inaonekana yenye haki

Mt 11:25 umeficha wenye hekima

Lu 16:8 hekima zaidi kuliko wana wa

Lu 21:15 hekima yenye hawataweza kupinga

Ro 11:33 hekima ya Mungu ni kubwa

1Ko 1:26 wenye hekima katika njia ya kimwili

1Ko 2:5 hapana katika hekima ya wanadamu

1Ko 2:6 hekima ya watawala wa

1Ko 3:19 hekima ya ulimwengu

Efe 5:15 mutembee kama wenye hekima

Kol 2:3 Hazina za hekima zimefichwa

Yak 1:5 kama mutu anakosa hekima

Yak 3:17 hekima yenye inatoka juu

HEKIMA YENYE KUTENDA,

Mez 2:7 kama hazina hekima yenye kutenda

Mez 3:21 Linda hekima yenye kutenda

Lu 16:8 alitumia hekima yenye kutenda

HEMA,

Yos 18:1 wakasimamisha hema

Zb 15:1 mugeni katika hema yako?

Isa 54:2 refusha kamba za hema

2Ko 12:9 nguvu za Kristo kama hema

Ufu 21:3 Hema ya Mungu iko na wanadamu

HESABIA,

Zb 90:12 Utufundishe kuhesabia siku

Lu 14:28 hakae kwanza na kuhesabia garama

HESABIWA,

Lu 22:37 Alihesabiwa na wenye kuvunja sheria

HESABU,

Ro 14:12 kila mumoja atatoa hesabu

1Ko 13:5 Hauweke hesabu ya ubaya

HESHIMA,

Mez 5:9 musipatie wengine heshima

Ro 12:10 kuonyeshana heshima

1Ti 5:17 Wazee wanastahili heshima

1Pe 3:2 mwenendo safi na heshima

1Pe 3:15 kujitetea kwa heshima

HESHIMIA,

Kut 20:12 Heshimia baba na mama

Mez 3:9 Umuheshimie Yehova kupitia

1Ko 16:18 muheshimie watu wa namna ile

Efe 5:33 bibi anapaswa kumuheshimia

Flp 2:29 kuheshimia watu wa namna hiyo

1Te 5:12 muwaheshimie wenye kuwasimamia

HESHIMIKA,

2Ti 2:20 matumizi yenye kuheshimika

HEWA,

1Ko 9:26 nisikuwe ninapiga hewa

1Ko 14:9 mutakuwa munasema katika hewa

Efe 2:2 mutawala wa mamlaka ya hewa

HEZEKIA,

2Fa 19:15 Hezekia akaanza kusali

HISIA,

Yak 5:17 mwenye hisia kama zetu

HODARI,

Yos 1:7 ukuwe hodari na

Mez 28:1 wenye haki wako hodari kama simba

HOFU,

Mwa 9:2 watawahofu na kuwaogopa

HOTUBA,

Mdo 15:32 wakatia moyo kwa hotuba

HUBIRI,

Mt 9:35 Yesu alihubiri habari njema

Lu 8:1 akasafiri akihubiri na kutangaza

Ro 10:14 bila mutu wa kuhubiri?

2Ti 4:2 Hubiri neno; kwa bidii

HUBIRIWA,

Mt 24:14 habari njema itahubiriwa

HUKUMU,

Isa 26:9 wakati kunakuwa hukumu

Mt 7:2 mutahukumiwa kwa hukumu

Lu 6:37 muache kuhukumu

Lu 22:30 mukae ili kuhukumu

Yoh 5:22 amepatia mwana kazi ya kuhukumu

Mdo 17:31 ameweka siku ya kuhukumu

Ro 14:4 Wewe ni nani ili umuhukumu

1Ko 6:2 watakatifu watahukumu ulimwengu?

1Ko 11:29 kunywa hukumu juu yake

2Ko 1:9 tumepokea hukumu ya kifo

Yak 4:12 ili ukuwe unamuhukumu?

1Pe 4:17 hukumu kuanza na nyumba ya

HURU,

Yoh 8:32 kweli itawaweka huru

Ro 6:18 huru kutoka katika zambi

HURUMA,

Kut 34:6 Yehova, mwenye huruma

Mez 11:17 mwenye hana huruma

Mt 9:36 akawasikilia huruma

Mt 20:34 akawasikilia huruma, akagusa

1Ko 15:19 kusikiliwa huruma zaidi

Kol 3:12 upendo wenye upole wa huruma

Ebr 4:15 kusikilia uzaifu wetu huruma

1Yo 3:17 anakataa kumuonyesha huruma

HUZUNI,

Zb 31:10 Maisha yamejaa huzuni

Zb 38:6 muchana wote nikiwa na huzuni

Zb 90:10 miaka imejaa huzuni

Muh 7:3 huzuni ya uso inafanya moyo

Isa 51:11 huzuni na kilio cha maumivu

2Ko 2:7 asilemewe na huzuni

1Te 4:13 musikuwe na huzuni kama

HUZUNISHA,

Zb 78:40 walimuhuzunisha katika

Zb 78:41 wakamuhuzunisha Mutakatifu

2Ko 7:9 mulihuzunishwa kwa namna

Efe 4:30 munahuzunisha roho takatifu

I

IBA,

Kut 20:15 Haupaswe kuiba

Mez 30:9 niibe na kuletea haya jina la

Efe 4:28 mwenye kuiba asiibe tena

IBADA YA SANAMU,

1Ko 10:14 mukimbie ibada ya sanamu

IBILISI,

Mt 25:41 moto kwa ajili ya Ibilisi

Lu 4:6 Ibilisi akamuambia: nimeipewa

Lu 8:12 Ibilisi anaondoa lile neno

Yoh 8:44 mumetoka kwa baba yenu Ibilisi

Efe 4:27 musimupatie Ibilisi nafasi

Efe 6:11 kusimama imara na kupinga Ibilisi

Yak 4:7 mumupinge Ibilisi, atawakimbia

1Pe 5:8 Ibilisi, anatembea kama simba

1Yo 3:8 avunje kazi za Ibilisi

Ufu 12:12 Ole kwa sababu Ibilisi ameshuka

Ufu 20:10 Ibilisi alitupwa ndani ya ziwa la moto

IGA,

Ebr 13:7 muige imani yao

IMA,

Zb 84:11 Yehova hatawaima jambo

Mez 3:27 Usiime mema wale wenye

1Ko 7:5 Musikuwe munaimana

IMANI,

Zb 27:13 singekuwa na imani

Lu 17:6 imani yenye ukubwa wa mbegu

Lu 18:8 je, atapata imani

Ro 1:17 ataishi kwa imani

Ro 4:20 nguvu kwa imani yake

2Ko 4:13 imani kwa hiyo tunasema

2Ko 5:7 tunatembea kwa imani

Gal 6:10 jamaa yetu katika imani

Efe 4:5 imani moja, ubatizo moja

2Te 3:2 imani haiko mali ya wote

2Ti 1:5 imani yenye haina unafiki

Ebr 11:1 Imani ni tazamio

Ebr 11:6 bila imani haiwezekane

Yak 2:26 imani bila matendo

1Pe 1:7 sifa yenye imejaribiwa ya imani

IMARA,

1Ko 1:8 atawafanya kuwa imara

1Ko 15:58 mukuwe imara, bila kutikisika

Kol 2:7 kufanywa imara katika imani

IMBA,

Zb 96:1 Mumuimbie Yehova wimbo

Mt 26:30 kisha kuimba sifa, wakatoka

Efe 5:19 mukiimba na kupiga muziki

IMBWA,

Mez 26:17 masikio ya imbwa

Muh 9:4 imbwa muzima anashindia

2Pe 2:22 Imbwa amerudilia matapiko

IMBWA WA PORI,

Isa 11:6 Imbwa wa pori atakaa na

Mt 7:15 ndani wao ni imbwa wa pori

Lu 10:3 wana-kondoo katikati ya imbwa wa pori

Mdo 20:29 imbwa wa pori wenye kukandamiza

IMVI,

Mez 16:31 Imvi ni taji la uzuri

INCHI,

Isa 66:8 inchi itazaliwa siku moja?

INGIA,

Yud 4 wameingia kwa siri kati yenu

INJE,

1Ko 5:13 anahukumu wenye kuwa inje?

Kol 4:5 kuelekea wenye kuwa inje

ISAKA,

Mwa 22:9 Akamufunga Isaka

ISHI,

Yob 14:14 anaweza kuishi tena?

Da 6:26 Mungu mwenye kuishi

2Ko 5:15 wasiishi kwa ajili yao

ISHIWA NGUVU,

Isa 40:28 Yehova haishiwe nguvu

Isa 44:8 musiishiwe nguvu kwa sababu

ISRAELI,

Mwa 35:10 jina lako litakuwa Israeli

Zb 135:4 Israeli mali yake ya pekee

Gal 6:16 juu ya Israeli wa Mungu

ITIA,

Ro 10:13 mwenye anaitia jina la Yehova

J

JAMBO LA MUBAYA,

 

Ro 7:19 ninazoea kufanya jambo la mubaya

JAMBO LENYE KUOGOPESHA,

Mez 3:25 Hautaogopa jambo lenye kuogopesha

JANGWA,

Isa 35:1 Jangwa litashangilia

Isa 35:6 mito midogo katika jangwa

Isa 35:6 maji yatabubujika katika jangwa

Isa 41:18 Nitageuza jangwa kuwa kiziwa

JARIBIWA,

1Ti 3:10 kujaribiwa kwanza

Yak 1:3 sifa yenye imejaribwa ya imani yenu

JARIBU,

Kum 13:3 Yehova anawajaribu

Mal 3:10 tafazali, munijaribu kwa njia hii

Mt 6:13 usituingize katika jaribu

Mt 26:41 kusali musiingie katika jaribu

Lu 8:13 wakati wa jaribu, wanaanguka

Mdo 5:9 kujaribu roho ya Yehova?

1Ko 10:9 tusimujaribu Yehova

1Ko 10:13 Hakuna jaribu isipokuwa

2Ko 13:5 Muendelee kujijaribu

Yak 1:12 mwenye kuvumilia jaribu

1Yo 4:1 lakini mujaribu maneno

JAZA,

Mwa 1:28 mujaze dunia

JEMBE LA KUKOKOTWA,

Lu 9:62 mukono kwenye jembe la kukokotwa

JENGA,

Zb 127:1 Kama Yehova hajenge

Isa 65:21 Watajenga nyumba

Lu 17:28 walikuwa wanajenga

Ro 14:19 tufuatilie mambo ya kujengana

1Ko 3:10 kila mumoja aangalie namna anajenga

1Ko 8:1 upendo unajenga

1Ko 10:23 haiko mambo yote ndiyo yanajenga

1Ko 14:26 yote yatendeke kwa ajili ya kujenga

Yud 20 mujijenge juu ya imani

JESHI,

Zb 68:11 Wanamuke ni jeshi kubwa

Zek 4:6 kwa nguvu za jeshi

JEURI,

Mwa 6:11 dunia ilijaa jeuri

Zb 5:6 Yehova anachukia wenye jeuri

Zb 11:5 Anachukia mwenye kupenda jeuri

Zb 72:14 Atawaokoa katika jeuri

JIAMINIA,

Mez 14:16 mujinga anajiaminia

JIANGALIE,

Mdo 20:28 Mujiangalie wenyewe

JIBU,

Mez 15:1 Jibu la upole linatuliza

Mez 15:23 anafurahi wakati anatoa jibu

Mez 15:28 unafikiri mbele ya kujibu

Mez 18:13 anajibu mbele ya kusikia

Isa 65:24 mbele waite, nitajibu

Kol 4:6 mujue kumujibu kila mutu

JICHO,

Mt 5:38 Jicho kwa jicho

Mt 6:22 kama jicho linakazia

1Ko 2:9 Jicho halikuona na

1Ko 12:21 Jicho haliwezi kuambia

1Ko 15:52 kufunga na kufungua jicho

JIFUNZA,

Kum 4:10 kusanya watu wajifunze

Flp 4:9 Mambo yenye mulijifunza

2Ti 3:7 kujifunza sikuzote lakini

JIINGIZA,

Mdo 5:38 musijiingize katika

1Ti 5:13 wanajiingiza katika mambo

JIKAZA,

Lu 13:24 Mujikaze sana ili

2Pe 1:5 mujikaze kabisa

JIKWAA,

Zb 119:165 cha kuwafanya wajikwae

Mt 5:29 jicho linafanya ujikwae

Yak 3:2 sisi wote tunajikwaa

JINA,

Mwa 11:4 tujifanyie jina

Kut 3:13 wakiniambia, Jina lake ni nani?

Kut 3:15 Yehova. Hilo ndilo jina langu

Kut 9:16 jina langu litangazwe

Kut 20:7 kutumia jina la Yehova

1Sa 17:45 nakuja katika jina la Yehova

1Ny 29:13 kusifu jina lako la muzuri

Zb 9:10 kujua jina lako watakutegemea

Zb 79:9 Kwa ajili ya jina lako

Mez 18:10 Jina la Yehova ni munara

Mez 22:1 kuchagua jina la muzuri

Muh 7:1 Jina la muzuri linashindia

Yer 23:27 wasahau jina langu

Eze 39:25 nitatetea jina langu

Mal 1:11 jina langu litakuwa kubwa

Mal 3:16 kufikiri juu ya jina lake

Mt 6:9 jina lako litakaswe

Yoh 12:28 tukuza jina lako

Yoh 14:14 Mukiomba katika jina

Yoh 17:26 Nimewajulisha jina lako

Mdo 4:12 hakuna jina lingine

Mdo 15:14 watu kwa ajili ya jina

Ro 10:13 anaitia jina la Yehova

Flp 2:9 jina lenye kuwa juu zaidi

JIPENDEA,

1Ny 29:17 nimetoa kwa kujipendea

JIPENDEKEZA,

2Ko 4:2 tunajipendekeza kwa

2Ko 6:4 katika kila njia tunajipendekeza

JIRANI,

Lu 10:27 umupende jirani

Lu 10:36 nani alijifanya kuwa jirani?

JITIISHA,

Lu 2:51 akaendelea kujitiisha

Ro 13:1 ajitiishe kwa mamlaka kubwa

1Pe 2:13 mujitiishe kwa mufalme

JITOLEA,

Kut 36:2 moyo ulimusukuma ajitolee

JIVUNIA,

2Te 1:4 tunajivunia ninyi

JIWE,

Da 2:34 jiwe likakatwa

Mt 21:42 Jiwe lenye wajenzi walikataa

JIWE LA PEMBE,

Zb 118:22 limekuwa jiwe la pembe

Efe 2:20 Yesu ndiye jiwe la pembe

JIZUIA,

2Ti 2:24 anajizuia wakati

JOGOO,

Mt 26:34 mbele jogoo awike

JUA,

Yos 10:12 Jua, simama juu ya Gibeoni

Yer 31:34 Mumujue Yehova! watanijua

Mt 24:29 Kisha tu taabu, jua litatiwa giza

Mdo 2:20 Jua litageuzwa kuwa giza

Gal 4:9 Mungu amewajua ninyi

JUA MIMI NI YEHOVA,

Kut 7:5 watajua kwamba mimi ni Yehova

Eze 39:7 kujua kwamba mimi ni Yehova

JUMA,

1Ko 16:2 kila juma, aweke pembeni

K

KAA,

Zb 110:1 Kaa kwenye mukono wangu

KABURI,

Yob 14:13 ungenificha katika Kaburi

Muh 9:10 hakuna kazi katika Kaburi

Ho 13:14 Nitawakomboa kutoka katika Kaburi

Mdo 2:31 hakuachwa katika Kaburi

Ufu 1:18 funguo za Kaburi

Ufu 20:13 kifo na Kaburi vikatoa wafu

KAHABA,

Mez 7:10 amevaa kama kahaba

1Ko 6:16 ameungana na kahaba ni mwili

Ufu 17:1 kahaba mwenye anakaa juu ya maji

Ufu 17:16 watamuchukia ule kahaba na

KAINI,

1Yo 3:12 Kaini, alimuua ndugu yake

KAISARI,

Mt 22:17 kumulipa Kaisari kodi

Mk 12:17 Mumulipe Kaisari vitu vya Kaisari

Yoh 19:12 ukimufungua, hauko rafiki ya Kaisari

Yoh 19:15 hatuna mufalme isipokuwa Kaisari

Mdo 25:11 Ninapeleka kesi kwa Kaisari!

KALEBU,

Hes 13:30 Kalebu akajaribu kutuliza

Hes 14:24 Kalebu alikuwa na roho tofauti

KALIWA,

Isa 45:18 aliifanya dunia ikaliwe

KAMATA MATEKA,

2Ko 10:5 tunakamata mateka kila wazo

KAMA WANAUME,

1Ko 16:13 kuwa kama wanaume

KAMBA,

Muh 4:12 kamba ya nyuzi 3 haikatike

Isa 54:2 refusha kamba za hema

KAMILI,

1Ny 28:9 umutumikie kwa moyo kamili

2Ny 16:9 wenye moyo kamili

KAMILIFU,

Kum 32:4 kazi zake ni kamilifu

Zb 19:7 Sheria ya Yehova ni kamilifu

KANA,

Mez 30:9 nisishibe na kukukana

Mt 16:24 ajikane mwenyewe, achukue

Mk 14:30 utanikana mara 3

Yoh 2:1 karamu ya ndoa katika Kana

Tit 1:16 wanamukana kupitia matendo

KANA IMANI,

Mdo 26:11 kuwalazimisha wakane imani

KANDAMIZA,

Muh 7:7 kukandamizwa kunaweza

KANYANGA,

Ebr 10:29 amemukanyangia chini Mwana wa

KARAMU,

Isa 25:6 Karamu ya vyakula

Ro 13:13 karamu za kupitisha mipaka

Gal 5:21 karamu za kupitisha mipaka, na

KARATASI YA MAPATANO YA KUNUNUA,

Yer 32:12 nikapana karatasi ya mapatano ya kununua

KARIBIA,

Zb 73:28 kumukaribia Mungu

Yak 4:8 Mumukaribie Mungu

KARIBISHA,

Ro 14:1 Mukaribishe mwenye uzaifu

Ro 15:7 mukaribishane, kama vile Kristo

1Pe 4:9 Mukaribishane bila kunungunika

3Yo 8 tunalazimika kukaribisha watu

KARIBU,

Zb 145:18 Yehova iko karibu na

KARIPIA,

Zb 141:5 ananikaripia, itakuwa kama

1Ti 5:1 Usimukaripie mwenye kuzeeka

KARIPIO,

Mez 3:11 usichukie karipio

Mez 27:5 Karipio ni muzuri

Muh 7:5 karipio la mwenye hekima

KARIPIWA,

Mez 29:1 shingo nguvu kisha kukaripiwa

KASIRANI,

Zb 37:8 Acha kasirani na gazabu

Mez 16:32 mwenye kuzuia kasirani yake

Efe 4:26 wakati mungali katika kasirani

KASIRIKA,

Zb 37:8 Usikasirike na kutenda uovu

Zb 103:8 Yehova hakasirike haraka

Mez 14:17 mwenye kukasirika haraka

Mdo 15:39 mulipuko wa kasirani

1Ko 13:5 haukasirike haraka

KASIRIKA-KASIRIKA,

Mez 19:19 Mutu mwenye kukasirika-kasirika

Mez 21:19 bibi mwenye kukasirika-kasirika

KASIRISHA,

Efe 6:4 musikuwe munakasirisha watoto

Kol 3:21 musikuwe munakasirisha

KASORO,

Law 22:21 Kasoro haipaswe kuwa

KATAA,

Yer 8:9 Wamekataa neno la Yehova

KATA-KATA,

Law 21:5 Hawapaswe kujikata-kata

KATALIWA,

1Ko 9:27 mimi nisikataliwe

KATA TAMAA,

Ro 9:33 mwenye anamuamini hatakata tamaa

KATISHA TAMAA,

Ro 5:5 tumaini halikatishe tamaa

KAWAIDA,

Mdo 4:13 hawana elimu na wa kawaida

KAWIA,

Hab 2:3 Hata yakikawia, endelea

Lu 12:45 Bwana wangu anakawia

2Pe 3:9 Yehova hakawie

KAZA,

Kol 3:2 kukaza akili juu ya

KAZI,

Ne 4:6 kazi kwa moyo wao wote

Zb 104:24 Kazi zako ni nyingi

Mez 8:30 nikiwa fundi wa kazi

Muh 2:24 kufurahia kazi yake

Yoh 5:17 Baba anafanya kazi

Yoh 6:27 kazi kwa ajili ya chakula

Yoh 14:12 atafanya pia kazi kubwa

Ro 12:4 viungo, havifanye kazi ileile

Efe 4:16 kila kiungo kinafanya kazi

Efe 4:28 asiibe tena; afanye kazi

2Te 3:10 hataki kufanya kazi, asikule

KAZIA,

Kum 6:7 kuyakazia katika wana

KEFA,

1Ko 15:5 alimutokea Kefa,

Gal 2:11 Kefa alikuja Antiokia

KENGEUSHWA,

Lu 10:40 Marta alikengeushwa

KENGEUSHWA FIKIRA,

1Ko 7:35 bila kukengeushwa fikira

KERUBI,

Eze 28:14 kerubi mwenye kutiwa mafuta

KESHA,

Mt 26:41 kukesha na kusali

Lu 21:36 muendelee kukesha

1Pe 4:7 mukeshe kuhusiana na sala

KESHO,

Mez 27:1 Usijisifu juu ya kesho

1Ko 15:32 kesho tutakufa

KIASI,

Mez 11:2 wenye kiasi wako na

Yer 30:11 nizamu kwa kiasi

Mik 6:8 utembee kwa kiasi

1Ti 2:9 wajipambe kwa kiasi

KIBURI,

Mez 8:13 Ninachukia kiburi

Mez 16:5 mwenye kiburi ni chukizo

Mez 16:18 Kiburi kinatangulia kuanguka

KICHEKO,

Mez 14:13 katika kicheko moyo

KICHWA,

Mwa 3:15 Ataponda kichwa chako

Da 2:32 Kichwa cha sanamu kilikuwa

1Ko 11:3 kichwa cha mwanamuke ni

Efe 5:23 Kristo kichwa cha kutaniko

Efe 5:23 bwana ni kichwa cha bibi

KICHWA-NGUVU,

Mdo 19:9 walikataa kwa kichwa-nguvu kuamini

KIDOGO,

Lu 16:10 mambo ya kidogo

KIDOLE,

Kut 8:19 kidole cha Mungu

Kut 31:18 yaliandikwa na kidole cha Mungu

KIFAA,

Muh 10:10 kifaa kinapoteza makali

KIFAFA,

Mt 4:24 wenye kifafa

KIFO,

Rut 1:17 isipokuwa kifo

Isa 25:8 Atameza kifo milele

Eze 18:32 Sifurahie kifo cha mutu

Ho 13:14 Ee Kifo, uko wapi uwezo wako

Yoh 8:51 anashika neno, hataona kifo

Ro 5:12 kifo kilienea kwa wote

Ro 6:23 mushahara wa zambi ni kifo

1Ko 15:26 adui wa mwisho ni kifo

1Te 4:13 usingizi katika kifo

Ebr 2:9 Yesu aonje kifo kwa ajili ya

Ebr 2:15 kwa sababu ya kuogopa kifo

Ufu 21:4 kifo hakitakuwa tena

KIFO CHA PILI,

Ufu 2:11 hataumizwa na kifo cha pili

Ufu 20:6 kifo cha pili hakina mamlaka

Ufu 20:14 kifo cha pili, ziwa la moto

KIFUA,

Isa 40:11 atawabeba kwenye kifua

KIFUNGO,

Efe 4:3 kifungo chenye kuunganisha

Kol 3:14 upendo ni kifungo kikamilifu

KIINI-TETE,

Zb 139:16 nilikuwa kiini-tete

KIJANA,

Isa 11:6 kijana atawaongoza

Yer 1:7 Niko kijana mudogo tu

KIKOMBE,

Mt 20:22 munaweza kunywa kikombe

Lu 22:20 Kikombe kinamaanisha agano jipya

Lu 22:42 uniondolee kikombe

1Ko 11:25 Akafanya vilevile na kikombe

KIKUNDI,

Mdo 17:5 wakafanyiza kikundi

KIKWAZO,

Ro 14:13 musiweke kikwazo

KILEMA,

Isa 35:6 kilema ataruka-ruka

Mal 1:8 munatoa munyama kilema

KILEMBA,

Eze 21:26 Ondoa kilemba

KILIO,

Zb 6:6 Kiti changu kijae kilio

KILIO CHA MAUMIVU,

Kut 2:24 akasikia kilio chao cha maumivu

Isa 35:10 na kilio cha maumivu vitaisha

KIMAKUSUDI,

Ebr 10:26 zambi kimakusudi

KIMBELEMBELE,

Kum 17:12 mwenye anatenda kwa kimbelembele

1Sa 15:23 kuenda kwa kimbelembele

Zb 19:13 matendo ya kimbelembele

Mez 11:2 kimbelembele kinakuja

KIMBIA,

1Ko 6:18 Mukimbie uasherati!

1Ko 9:24 Mukimbie kwa namna ya kuipata

Gal 5:7 Mulikuwa munakimbia muzuri

KIMBILIO,

Zb 9:9 Yehova kimbilio salama

Sef 3:12 kimbilio katika jina la Yehova

KIMWILI,

1Ko 2:14 mutu wa kimwili

1Ko 3:3 mungali wa kimwili

Kol 2:18 akili yake ya kimwili

KIMYA,

Isa 53:7 kondoo-dike mwenye kuwa kimya

KINYONGO,

Law 19:18 kuwekea kinyongo

KINYUME,

Mdo 17:7 kinyume na maagizo

KINYWA,

Zb 8:2 kinywa cha watoto

Ro 10:10 kwa kinywa anafanya tangazo

Yak 3:10 katika kinywa kilekile

KIONGOZI,

Mez 28:16 Kiongozi anatumia mubaya

Mt 23:10 Kiongozi wenu ni mumoja

KIONGOZI MUKUBWA,

Mdo 3:15 Kiongozi Mukubwa wa uzima

Ebr 12:2 Kiongozi Mukubwa na Mukamilishaji

KIOO,

1Ko 13:12 kioo cha metali

Yak 1:23 anaangalia uso katika kioo

KIPIMO,

Lu 6:38 kipimo chenye munapimia

KIPINDI CHA JOTO,

Mt 24:32 kipindi cha joto kinakaribia

KIPOFU,

Law 19:14 kizuizi mbele ya kipofu

KIROHO,

Mt 5:3 uhitaji wao wa kiroho

Ro 1:11 niwapatie zawadi ya kiroho

1Ko 2:15 mutu wa kiroho anachunguza

KISASI,

Kum 32:35 Kisasi ni changu

2Te 1:8 wakati ataleta kisasi

KISIKI,

Isa 11:1 tawi kutoka kisiki cha Yese

Da 4:15 muache kisiki na mizizi

KISINGIZIO,

Yud 4 kisingizio cha mwenendo

KITABU,

Kut 32:33 nitamufuta katika kitabu

Yos 1:8 Kitabu cha Sheria kisitoke

Mal 3:16 kitabu cha kumbukumbu

Ufu 20:15 hakupatikana katika kitabu

KITAMBAA,

2Ko 3:15 kitambaa kinakaa juu ya mioyo

KITANDA,

Ebr 13:4 kitanda cha ndoa kikuwe bila uchafu

KITANDA CHA UGONJWA,

Zb 41:3 kwenye kitanda cha ugonjwa

KITIA-MOYO,

Ro 1:12 ubadilishanaji wa kitia-moyo

KITI CHA HUKUMU,

Yoh 19:13 akakaa juu ya kiti cha hukumu

Ro 14:10 tutasimama mbele ya kiti cha hukumu

KITI CHA UFALME,

Zb 45:6 Mungu ni kiti chako cha ufalme

Isa 6:1 Yehova kwenye kiti cha ufalme

Mt 25:31 Mwana, kwenye kiti cha ufalme

Lu 1:32 atamupatia kiti cha Ufalme cha Daudi

KITOTO-DUME CHA NGOMBE,

Kut 32:4 sanamu ya kitoto-dume cha ngombe

Isa 11:6 kitoto-dume cha ngombe na simba

KITU,

Gal 6:3 wakati yeye haiko kitu

KITU CHA KUCHEKWA,

Yer 20:7 Nimekuwa kitu cha kuchekwa

KITU CHA KUWAZIA-WAZIA,

Isa 41:29 Sanamu ni kitu cha kuwazia-wazia

KITU CHENYE KILICHUKULIWA KATIKA VITA,

Yer 39:18 kama kitu chenye kilichukuliwa katika vita

KITULIZO,

2Te 1:7 mutapewa kitulizo

KIU,

Isa 49:10 wala kuwa na kiu

Isa 55:1 Mukuje, ninyi wenye kiu

Yoh 7:37 mutu iko na kiu, akuje

KIUMBE,

2Ko 5:17 yeye ni kiumbe kipya

KIUNABII,

2Pe 1:19 neno la kiunabii lenye

KIUNGO,

1Ko 12:18 amepanga kila kiungo

KIVULI,

1Ny 29:15 siku zetu ni kama kivuli

Zb 91:1 katika kivuli cha Mweza-Yote

Kol 2:17 kivuli cha yenye yatakuja

Yak 1:17 habadilike kama kivuli

KIZAZI,

Mt 24:34 kizazi hiki hakitapita

KIZIWI,

Law 19:14 kumulaani kiziwi

KIZUIZI,

2Te 2:6 kutenda kama kizuizi

KIZURI,

Mwa 1:31 kila kitu kilikuwa kizuri

KODI,

Mt 17:25 kodi kutoka kwa nani?

Lu 20:22 tunaruhusiwa kulipa Kaisari kodi?

Lu 23:2 kukataza kulipa Kaisari kodi

Ro 13:6 Ndiyo sababu munalipa kodi

Ro 13:7 mwenye anataka kodi, kodi

KOFIA YA CHUMA,

Efe 6:17 mupokee kofia ya chuma ya

KOMAA KABISA,

Efe 4:13 mutu mwenye kukomaa kabisa

KOMBOA,

Zb 49:7 kumukomboa ndugu

Ho 13:14 Nitawakomboa kutoka katika Kaburi

2Pe 2:9 Yehova anajua kukomboa

KONDOO,

Zb 100:3 watu wake na kondoo wa

Isa 53:7 Alipelekwa kama kondoo

Eze 34:12 Nitatunza kondoo wangu

Mt 25:33 kondoo kwenye mukono wa kuume

Yoh 21:16 Chunga kondoo wangu

KONDOO WENGINE,

Yoh 10:16 niko na kondoo wengine

KOPA,

Zb 37:21 anakopa lakini halipe

KOPESHA,

Mez 19:17 anamukopesha Yehova

Lu 6:35 kukopesha bila kutumaini

KOPI,

Kum 17:18 kujiandikia kopi ya Sheria

KORA,

Hes 26:11 wana wa Kora

Yud 11 maneno ya uasi ya Kora

KORESHI,

Ezr 6:3 Koreshi: Nyumba ijengwe

Isa 45:1 mutiwa-mafuta, Koreshi

KORNELIO,

Mdo 10:24 Kornelio alikusanya jamaa

KOSA,

Yob 6:24 nielewe kosa langu

Yak 2:15 wanakosa nguo

KOSA HESHIMA,

2Sa 12:14 umemukosea Yehova heshima

KOSA KUJUA,

2Ko 2:11 hatukose kujua mipango

KOSA USINGIZI,

2Ko 6:5 kwa kukosa usingizi, kukosa

2Ko 11:27 kukosa usingizi usiku

KOSEA,

1Ko 6:7 mukubali wawakosee

KRISTO,

Mt 16:16 Wewe ndiye Kristo

Lu 24:26 lazima Kristo apatwe na?

Yoh 17:3 mwenye ulituma, Yesu Kristo

Mdo 18:28 Yesu ndiye Kristo

1Ko 11:3 kichwa cha Kristo ni Mungu

KUBALI,

Yob 2:10 Tukubali tu mambo ya

Lu 3:22 Mwana wangu, nimekukubali

2Ti 2:15 mwenye kukubaliwa na Mungu

KUBALIKA,

2Ko 6:2 wakati wenye kukubalika

Efe 5:10 yenye kukubaliwa kwa Bwana

KUBWA,

Ro 13:1 ajitiishe kwa mamlaka kubwa

KUBWA SANA,

Ro 11:33 hekima ya Mungu ni kubwa

KUCHANGANYA NA KITU KINGINE,

2Ko 4:2 kuchanganya neno na kitu kingine

KUFA,

Mwa 3:4 Hakika hamutakufa

Yob 14:14 Kama mutu anakufa, je

Zb 89:48 asikufe hata siku moja?

Lu 15:24 mwana wangu alikuwa amekufa

Yoh 11:25 hata akikufa, ataishi tena

Yoh 11:26 ananiamini hatakufa

Ro 14:8 kama tunakufa, sisi ni wa

2Ko 5:15 wanaishi kwa ajili ya mwenye alikufa

1Te 4:16 walikufa katika umoja na Kristo

KUFAA,

Lu 4:13 mupaka wakati wenye kufaa

KUFANYWA KUWA WANA,

Ro 8:15 roho ya kufanywa kuwa wana

KUFIKIRI SANA,

Zb 19:14 kufikiri sana kwa moyo

KUFOKA,

Efe 4:31 kasirani kali, kufoka

KUFUNIKA ZAMBI,

Law 16:34 kufunika zambi mara moja

Ro 3:25 toleo la kufunika zambi

1Yo 2:2 zabihu ya kufunika zambi

KUFUNULIWA,

Ro 8:19 kufunuliwa kwa wana wa

KUFURAHI,

Muh 8:15 kula, kunywa, na kufurahi

KUHANI,

Zb 110:4 kuhani milele

Ho 4:6 usinitumikie kama kuhani

Mal 2:7 midomo ya kuhani inachunga ujuzi

Ebr 2:17 kuhani mukubwa mwenye rehema

KUJA,

Isa 55:1 Mukuje, wenye kiu

Ufu 22:17 mwenye anasikia aseme, Kuja!

KUJIZUIA,

1Ko 7:5 sababu munakosa kujizuia

Gal 5:22, 23 tunda la roho ni kujizuia

KUKOSA KUJALI,

Mez 1:32 kukosa kujali kwa wapumbavu

KUKU,

Mt 23:37 kuku anakusanya vitoto

KULA,

1Ko 5:11 musikule na mutu wa

2Te 3:10 hataki kufanya kazi, asikule

KUMBUKA,

Yob 14:13 na kunikumbuka!

Muh 12:1 kumbuka Muumbaji wako

Isa 65:17 ya zamani hayatakumbukwa

Lu 22:19 kufanya hivi kwa kunikumbuka

Ebr 10:32 kukumbuka siku za zamani

KUMBUSHA,

2Pe 1:12 kuwakumbusha mambo haya

KUMI,

Mwa 18:32 sababu ya wale kumi

KUNDI,

Lu 12:32 Musiogope, kundi ndogo

KUNDI KUBWA,

Ufu 7:9 kundi kubwa, hakuna

KUNDI NDOGO,

Lu 12:32 Musiogope, kundi ndogo

KUNGUKU,

Yak 4:14 ninyi ni kunguku

KUNI,

Mez 26:20 hakuna kuni, moto unazimika

KUNJAMA,

Muh 1:15 chenye kukunjama hakiwezi

KUPASHANA HABARI NA PEPO WACHAFU,

Gal 5:20 kupashana habari na pepo wachafu

KUPIGWA,

2Ko 6:5 kupigwa, kufungwa

KUPOTOSHA,

Mt 24:24 kupotosha wenye kuchaguliwa

KURA,

Zb 22:18 wanapigia nguo kura

Lu 23:51 hakupiga kura ili kuunga

KUSANYA,

Efe 1:10 kukusanya vitu katika Kristo

KUSUDI,

Mez 16:4 kila kitu kitimize kusudi

Ro 8:28 wameitwa kulingana na kusudi

Ro 9:11 kusudi la Mungu litegemee

Efe 3:11 kulingana na kusudi la milele

KUTA,

Eze 38:11 makao hayalindwe na kuta

KUTAHIRIWA,

Ro 2:29 kutahiriwa kwa moyo

1Ko 7:19 Kutahiriwa hakumaanishe kitu

KUTANA,

Ebr 10:25 bila kuacha kukutana

KUTANIKO,

Zb 22:25 Nitakusifu katika kutaniko

Zb 40:9 Ninatangaza katika kutaniko

Mt 16:18 nitajenga kutaniko

Mdo 20:28 kuchunga kutaniko

Ro 16:5 musalimie kutaniko

KUTETEA KISHERIA,

Flp 1:7 kutetea habari njema kisheria

KUTOA,

Mdo 20:35 furaha zaidi katika kutoa

KUTOKUFA,

1Ko 15:53 kuvaa kutokufa

KUTOKUHARIBIKA,

1Ko 15:42 unafunuliwa katika kutokuharibika

KUTUMIA MUBAYA,

1Ko 9:18 nisitumie mubaya mamlaka

KUTUNZA KWA UPENDO,

Efe 5:29 anaukulisha na kuutunza kwa upendo

KUUMANA,

Gal 5:15 munaendelea kuumana

KUVUNJIKA MOYO,

Zb 34:18 karibu na wenye kuvunjika moyo

Zb 147:3 Anaponyesha wenye kuvunjika moyo

KUWA,

Kut 3:14 Nitakuwa Kile Ninachagua

1Ko 9:22 Nimekuwa mambo yote

2Ti 3:17 akiwa na vifaa kamili

KUWAPO,

Mt 24:3 alama ya kuwapo

Mt 24:37 siku za Noa, ni vile kuwapo

2Pe 3:4 Kuwapo kwake kuko wapi?

KWANZA,

Mt 19:30 wa kwanza watakuwa

Mk 9:35 wa kwanza, anapaswa kuwa

KWAZA,

Lu 17:2 amukwaze mumoja wa

1Ko 8:13 chakula kinamukwaza ndugu

Flp 1:10 musikuwe munakwaza wengine

KWAZIKA,

Mt 13:41 vinafanya watu wakwazike

KWELI,

Zb 15:2 kusema kweli katika moyo

Zb 119:160 Chanzo cha neno ni kweli

Mez 23:23 Ununue kweli na usiiuzishe

Yoh 4:24 kumuabudu kwa roho na kweli

Yoh 7:28 mwenye alinituma ni wa kweli

Yoh 8:32 na mutajua kweli, na kweli

Yoh 14:6 Mimi ndiye njia na kweli na

Yoh 16:13 roho ya ile kweli, atawaongoza

Yoh 17:3 kukujua wewe Mungu wa kweli

Yoh 17:17 Uwatakase kwa njia ya ile kweli

Yoh 18:38 Pilato akamuambia: Kweli ni nini?

2Ko 13:8 hatuwezi kupinga ile kweli

Efe 4:25 museme kweli

2Pe 1:12 muko imara katika kweli

3Yo 4 wanatembea katika kweli

KWELIKWELI,

1Ti 6:19 uzima wa kwelikweli

L

LAANI,

Hes 23:8 ninaweza kulaani watu

Yob 2:5 atakulaani mbele ya uso wako

Yob 2:9 Laani Mungu na ukufe!

Ro 12:14 mubariki lakini musilaani

LAANIWA,

Yoh 7:49 hawajue Sheria ni wenye kulaaniwa

LAINI,

Mez 25:15 ulimi laini unaweza kuvunja

LALA,

Mez 6:10 Kulala kidogo kusinzia

LALAMIKA,

Kol 3:13 kulalamika juu ya

LALA USINGIZI,

1Te 5:6 tusilale usingizi kama

LAUMU,

Mt 5:11 wakati watu wanawalaumu

LAWI,

Mal 3:3 atatakasa wana wa Lawi

LAZARO,

Lu 16:20 wa kuomba-omba, Lazaro

Yoh 11:11 Lazaro amelala usingizi

Yoh 11:43 Lazaro, kuja huku inje!

LAZIMA,

Mt 6:32 anajua muko na lazima

Ro 12:13 yenye wako nayo lazima

LAZIMIKA,

1Yo 3:16 tunalazimika kutoa

LEMEA,

Zb 40:12 Makosa yamenilemea

LEMEWA,

Lu 21:34 mioyo yenu isilemewe

LEWA,

Efe 5:18 musilewe divai

LIA,

Isa 65:19 Sauti ya kulia haitasikika

Ho 12:4 Alilia na kuomba amuonyeshe

Mt 26:75 akaenda inje na kulia

Lu 6:21 Wenye furaha ni wenye kulia

Ro 12:15 mulie na wenye kulia

LIA KWA MAUMIVU,

Eze 9:4 utie alama wenye kulia kwa maumivu

Ro 8:22 uumbaji unaendelea kulia kwa maumivu

LIDIA,

Mdo 16:14 Lidia, muuzishaji wa nguo

LINDA,

Mez 4:23 Linda moyo wako

Yoh 17:12 nilikuwa ninawalinda

LINGANISHA,

Isa 46:5 kunilinganisha na

Gal 6:4 hapana kwa kujilinganisha

LIPA,

Kut 21:36 anapaswa kulipa

Zb 37:21 anakopa lakini halipe

Zb 116:12 Nitamulipa Yehova nini?

Mt 22:21 mumulipe Kaisari

Ro 12:19 Kisasi ni changu; nitalipa

2Te 1:6 kulipa taabu wale wenye

LIPIZA,

Mez 20:22 Nitalipiza uovu!

LIPIZA KISASI,

Ro 12:19 Wapendwa, musijilipizie kisasi

LISHA,

Yoh 21:17 Lisha kondoo wangu

LOT

I, Lu 17:32 bibi ya Loti

2Pe 2:7 alimukomboa Loti

LUGA,

Mwa 11:7 tuvuruge luga yao

Sef 3:9 nitabadilisha luga ya vikundi

Zek 8:23 watu 10 kutoka katika luga

Mdo 2:4 kusema katika luga

1Ko 13:8 kuko luga, zitaisha

1Ko 14:22 luga ni alama kwa wenye

Ufu 7:9 kutoka mataifa yote na luga

LUKA,

Kol 4:14 Luka, munganga

LULU,

Mt 7:6 musitupe lulu

Mt 13:45 mwenye kutafuta lulu

M

MAADUI,

Zb 110:2 utawale katikati ya maadui

Mt 5:44 kupenda maadui

Mt 10:36 maadui wa mutu

MAANA,

Mt 6:26 hamuko wa maana kuliko wao?

Flp 1:10 muhakikishe mambo ya maana

MAANDIKO,

Mt 22:29 hamujue Maandiko

Lu 24:32 wakati alitufasiria Maandiko

Mdo 17:2 akafikiri nao kwa kutumia Maandiko

Mdo 17:11 walikuwa wanachunguza Maandiko

Ro 15:4 faraja kutoka katika Maandiko

MABALOZI,

2Ko 5:20 mabalozi pa nafasi ya

MABAMBA,

Kut 31:18 akamupatia Musa mabamba

MABAWA,

Rut 2:12 ulinzi chini ya mabawa

MABAYA,

Mwa 3:5 mukijua mema na mabaya

MABIKIRA,

Mt 25:1 Ufalme unafananishwa na mabikira

1Ko 7:25 kuhusu mabikira, sina amri

MABINTI,

Mdo 21:9 mabinti 4 walitoa unabii

2Ko 6:18 wana na mabinti kwangu

MABWANA,

Mt 6:24 mabwana wawili

1Ko 8:5 kuko mabwana wengi

MACHAFU,

Ro 1:27 mambo machafu

Kol 3:8 muondoe maneno machafu

MACHANJO,

Law 19:28 kujitia machanjo

MACHO,

Zb 115:5 [sanamu] ziko na macho

Mez 15:3 Macho ya Yehova

1Ko 16:13 Mukae macho

Ufu 16:15 mwenye anakaa macho

MACHOZI,

2Fa 20:5 Nimeona machozi

Zb 6:6 ninalowanisha kitanda kwa machozi

Zb 126:5 kupanda mbegu kwa machozi

Muh 4:1 machozi ya wenye kukandamizwa

Mdo 20:19 nilimutumikia Bwana kwa machozi

Mdo 20:31 kumuonya kila mumoja kwa machozi

Ebr 5:7 Kristo alitoa maombi, kwa machozi

MADENI,

Mt 6:12 utusamehe madeni

MAENDELEO,

1Ti 4:15 maendeleo yaonekane

MAFAA YOYOTE,

Zb 101:3 kitu chenye hakina mafaa yoyote

MAFUTA,

1Fa 17:16 mutungi wa mafuta

Mt 25:4 wenye busara walibeba mafuta

Mk 14:4 mafuta yamepotezwa bure?

MAGANDA YA MBEGU,

Sef 2:2 haijapeperuka kama maganda ya mbegu

MAGARI,

Amu 4:13 magari 900 yenye miundu

2Fa 6:17 magari ya vita ya moto

MAGOGU,

Eze 38:2 Gogu wa inchi ya Magogu

MAGONJWA,

Isa 53:4 alibeba magonjwa yetu

MAGONJWA YA KUAMBUKIZA,

Lu 21:11 na magonjwa ya kuambukiza

MAGUMU,

Zb 34:19 Magumu ya mwenye haki

MAHALI JUA LINATOKEA,

Isa 41:2 mutu kutoka mahali jua linatokea

MAHANGAIKO,

1Sa 1:15 mwenye mahangaiko

Zb 94:19 mahangaiko yalinilemea

Mez 12:25 Mahangaiko katika moyo

Mk 4:19 mahangaiko ya mupangilio

Lu 8:14 wanabebwa na mahangaiko

Lu 21:34 isilemewe na mahangaiko ya

2Ko 11:28 mahangaiko juu ya makutaniko

MAHEKALU,

Mdo 17:24 hakae katika mahekalu

MAHEMA,

Mdo 18:3 kutengeneza mahema

MAJANI,

Isa 65:25 Simba atakula majani

Eze 47:12 majani ya kuponyesha

Mt 24:32 matawi yanatoa majani

MAJARIBU,

Lu 22:28 na mimi katika majaribu

Yak 1:2 furaha, wakati munapata majaribu

MAJESHI,

Ufu 19:14 majeshi katika mbingu

MAJI,

Hes 20:10 maji katika mwamba huu?

Mez 20:5 Mawazo ya moyo ni kama maji

Mez 25:25 Kama maji ya baridi juu ya nafsi

Isa 55:1 wenye kiu, mukuje kwenye maji!

Yer 2:13 chemchemi ya maji ya uzima

Yer 50:38 maji yake yatakaushwa

Zek 14:8 maji ya uzima yatatiririka

Yoh 4:10 angekupatia maji ya uzima

1Ko 3:6 Apolo akatia maji

Ufu 7:17 kwenye chemchemi za maji ya uzima

Ufu 17:1 kahaba anakaa juu ya maji mengi

MAJIVUNO,

Yak 4:6 anapinga wenye majivuno

MAJIWE,

Lu 19:40 wangebakia kimya, majiwe

MAJUMA,

Da 9:24 majuma 70 yameamuliwa

MAKAA,

Ro 12:20 makaa yenye moto

MAKABILA,

Mwa 49:28 makabila 12 ya Israeli

MAKABURI YA UKUMBUSHO,

Yoh 5:28 katika makaburi ya ukumbusho

MAKAHABA,

Lu 15:30 alitumia mali na makahaba

MAKEDONIA,

Mdo 16:9 uingie Makedonia

MAKERUBI,

Mwa 3:24 makerubi na upanga

MAKOSA,

Zb 40:12 Makosa mengi kuliko

Zb 130:3 ungekuwa unaangalia makosa

Isa 53:5 anapondwa kwa ajili ya makosa

MAKRISTO, WA UONGO,

Mt 24:24 Makristo wa uongo watatokea

MAKUHANI,

Mik 3:11 Makuhani wanafundisha ili

Mdo 6:7 makuhani wakaanza kutii

Ufu 20:6 makuhani wa Mungu na

MAKUMI YA MAELFU,

Ufu 5:11 ilikuwa makumi ya maelfu ya

MALAIKA,

Mwa 28:12 malaika wanapanda

2Fa 19:35 malaika akaua watu 185 000

Yob 4:18 makosa ndani ya malaika

Zb 34:7 Malaika anapiga kambi

Da 3:28 alituma malaika wake

Ho 12:4 [Yakobo] anashindana na malaika

Mt 13:41 atatuma malaika wake

Mt 22:30 wao ni kama malaika

Mt 24:31 malaika watakusanya

Mdo 5:19 malaika akafungua gereza

Mdo 12:11 alimutuma malaika wake

1Ko 4:9 tamasha kwa malaika

1Ko 6:3 tutahukumu malaika?

Ebr 13:2 walikaribisha malaika

1Pe 1:12 malaika wanachungulia

Yud 6 malaika hawakulinda mahali pao

MALAIKA MUKUBWA,

1Te 4:16 sauti ya malaika mukubwa

Yud 9 Mikaeli malaika mukubwa

MALI,

Kut 19:5 mutakuwa mali yangu

Zb 62:10 mali zinaongezeka, musiweke

Mez 10:2 Mali zenye zilipatikana kwa uovu

Mez 11:4 Mali haitakuwa na faida siku ya

Mez 18:11 Mali ni kama ukuta wa ulinzi

Muh 5:10 mwenye anapenda mali

Isa 60:5 Mali za mataifa zitakuja

Isa 61:6 Mutakula mali za mataifa

Lu 16:9 marafiki kupitia mali

MALIPO,

Yer 22:13 anakataa kumulipa malipo

Ebr 10:34 malipo ya muzuri

MALISHO,

Isa 30:23 mifugo katika malisho

MALIZA,

Mdo 20:24 kumaliza mwendo

MALKIA,

1Fa 10:1 malkia wa Sheba akakuja

MALTA,

Mdo 28:1 kisiwa kiliitwa Malta

MAMA,

Kut 20:12 Heshimia mama yako

Zb 27:10 baba na mama wananiacha

Mez 23:22 usizarau mama yako

Lu 8:21 Mama yangu ni

Yoh 19:27 Ona! Mama yako!

Gal 4:26 Yerusalemu la juu ni mama

MAMBO YA MUSINGI,

Gal 4:9 munarudilia mambo ya musingi

MAMBO YENU WENYEWE,

1Te 4:11 kuhangaikia mambo yenu wenyewe

MAMBO YENYE KUOGOPESHA,

Zb 91:5 mambo yenye kuogopesha ya usiku

MAMBO YENYE KUPANGWA MBELE YA WAKATI,

Isa 65:11 mungu wa Mambo Yenye Kupangwa Mbele ya Wakati

MAMBO YOYOTE,

Flp 4:8 mambo yoyote yenye kuwa ya kweli

MAMLAKA,

Mez 28:16 anatumia mubaya mamlaka

Mt 28:18 Nimepewa mamlaka

Lu 4:6 mamlaka hii na

Ro 13:1 ajitiishe kwa mamlaka

1Ko 9:18 nisitumie mubaya mamlaka

Tit 3:1 kutii mamlaka, tayari kwa

2Pe 2:10 wenye kuzarau mamlaka

MANA,

Kut 16:31 ikaita mukate huo mana

Yos 5:12 mana haikuanguka tena

MANABII,

1Fa 18:4 Obadia alificha manabii

Amo 3:7 hajafunulia manabii

Mdo 10:43 Manabii wanatoa ushahidi juu yake

MANABII WA UONGO,

Mt 7:15 manabii wa uongo katika ngozi

Mt 24:11 Manabii wa uongo watatokea

Mk 13:22 manabii wa uongo watafanya maajabu

MANASE,

2Ny 33:13 Manase akajua kwamba

MANYOYA,

Amu 6:37 umande juu ya manyoya

MAOMBI,

Zb 20:5 Yehova atimize maombi yako

MAOMBOLEZO,

Muh 7:2 katika nyumba ya maombolezo

MAONGEZI,

Mez 14:23 maongezi yanaleta umaskini

MAONO,

Da 10:14 ni maono kwa ajili ya siku

MAPAJI YA NYUSO,

Eze 9:4 alama kwenye mapaji ya nyuso

MAPATANO,

1Ko 7:5 Musiimane isipokuwa kwa mapatano

MAPATO,

Muh 5:10 hatashiba mapato

MAPENZI,

Zb 40:8 ninafurahia mapenzi yako

Zb 143:10 Unifundishe mapenzi yako

Mt 6:10 Mapenzi yako yafanyike duniani

Mt 7:21 mwenye kufanya mapenzi ya Baba

Lu 22:42 mapenzi yako yatendeke

Yoh 6:38 sikushuka kufanya mapenzi yangu

Mdo 21:14 Mapenzi ya Yehova yatendeke

Ro 12:2 mapenzi ya Mungu yenye kukubalika

1Te 4:3 mapenzi ya Mungu, kujiepusha na

1Yo 2:17 mwenye anafanya mapenzi ya Mungu

1Yo 5:14 tunaomba kulingana na mapenzi yake

MAPIGO,

Ufu 18:4 sehemu ya mapigo yake

MARAFIKI,

Mez 14:20 tajiri iko na marafiki wengi

Mez 16:28 muchongezi anatenganisha marafiki

Lu 16:9 marafiki kupitia mali

Yoh 15:13 atoe uzima kwa ajili ya marafiki

Yoh 15:14 marafiki wangu kama munafanya

MARA MOJA,

Lu 21:34 ikuje juu yenu mara moja

MARIA 1.,

Mk 6:3 seremala, mwana wa Maria

MARIA 2.,

Lu 10:39 Maria aliendelea kusikiliza

Lu 10:42 Maria alichagua fungu

Yoh 12:3 Maria akakamata mafuta

MARIA 3.,

Mt 27:56 Maria Magdalene na

MARIA 4.,

Mt 27:56 Maria mama ya Yakobo

Lu 8:2 Maria Magdalene, mwenye

MARIA 5.,

Mdo 12:12 Maria mama ya Yohana

MARKO,

Kol 4:10 Marko, binamu ya Barnaba

MARTA,

Lu 10:41 Marta unahangaika

MASHAHIDI,

Kum 19:15 kwa ushuhuda wa mashahidi wawili

Isa 43:10 Muko mashahidi wangu

Mt 18:16 ushuhuda wa mashahidi wawili

Mdo 1:8 mutakuwa mashahidi wangu

Ufu 11:3 mashahidi wawili watoe unabii

MASHAKA,

Mt 21:21 na hamuna mashaka

Yak 1:6 kuomba bila kuwa na mashaka

Yud 22 rehema kwa wenye mashaka

MASHAMBA,

Yoh 4:35 mashamba ni meupe

MASHAMBA YA MIZABIBU,

Isa 65:21 watapanda mashamba ya mizabibu

MASHINDANO,

Gal 5:26 tusichochee mashindano

MASHIRIKA,

1Ko 15:33 Mashirika ya mubaya yanaharibu

MASHITAKA YA KISHERIA,

1Ko 6:7 mashitaka ya kisheria mumoja na

MASIYA,

Da 9:25 mupaka Masiya

Da 9:26 Masiya atakatiliwa mbali

Yoh 1:41 Tumemupata Masiya

Yoh 4:25 Ninajua Masiya anakuja

MASKINI,

1Sa 2:8 Anainua maskini

Zb 9:18 maskini hawatasahauliwa

Zb 69:33 Yehova anasikiliza maskini

Mez 30:9 Wala nikuwe maskini, niibe

Lu 4:18 nitangazie maskini

Yoh 12:8 maskini muko nao sikuzote

Ro 7:24 Maskini mimi!

2Ko 6:10 kama maskini lakini

2Ko 8:9 Kristo, maskini kwa ajili yenu

Gal 2:10 tukumbuke maskini

MASOMO,

Yoh 7:15 hakusoma kwenye masomo?

MASURIA,

1Fa 11:3 bibi 700 na masuria 300

MATAIFA,

Mwa 22:18 mataifa yatajipatia baraka

Mt 25:32 Mataifa yote yatakusanywa

Lu 21:24 nyakati za mataifa

MATAJIRI,

Law 19:15 upendeleo kwa matajiri

Lu 14:12 unatayarisha chakula, usiite matajiri

2Ko 6:10 wenye kufanya wengi kuwa matajiri

1Ti 6:9 wameazimia kuwa matajiri wanaanguka

1Ti 6:17 matajiri wasikuwe na majivuno

MATENDO,

Yob 31:34 kuogopa matendo ya wengi?

Ebr 9:14 haitasafisha zamiri kutoka matendo

MATESO,

Yob 36:15 anaokoa katika mateso

Zb 119:50 faraja yangu katika mateso

Mt 13:21 mateso, anakwazika

Mk 4:17 wakati mateso yanatokea

Mk 10:30 watoto, pamoja na mateso

Ro 8:18 mateso haiko kitu

Ebr 2:10 mukamilifu kupitia mateso

1Pe 5:9 mukijua kwamba mateso yaleyale

MATETEMEKO YA INCHI,

Lu 21:11 Kutakuwa matetemeko ya inchi

MATOKEO,

Isa 46:10 Ninatabiri matokeo tangu

Isa 55:11 neno langu halitarudia bila matokeo

MATOKEO YA MUBAYA,

Mez 27:12 na kupata matokeo ya mubaya

MATOKEO YA MUZURI,

Yos 1:8 itakuwa na matokeo ya muzuri

1Fa 2:3 utapata matokeo ya muzuri

2Ny 20:20 mutakuwa na matokeo ya muzuri

MATOLEO,

1Ny 29:9 kutoa matoleo

Isa 1:11 matoleo yenu ya kuteketezwa

MATONE YA UMANDE,

Zb 110:3 vijana kama matone ya umande

MATOWASHI,

Isa 56:4 matowashi wenye kuchagua

Mt 19:12 matowashi wenye walizaliwa

MATUKANO,

Efe 4:31 kufoka, matukano

1Pe 2:23 hakujibu kwa matukano

MATUNDA,

Mwa 3:3 matunda, hamupaswe

Mt 7:20 mutawatambua kwa matunda

Mt 21:43 taifa lenye kuzaa matunda

Lu 8:15 kuzaa matunda kwa uvumilivu

Yoh 15:2 ili lizae matunda zaidi

Yoh 15:8 muendelee kuzaa matunda

MATUNDA YA KWANZA,

Ro 8:23 na matunda ya kwanza

MATUNDA YA MUTOFAA,

Mez 25:11 matunda ya mutofaa ya zahabu

MAUA YA MAYUNGIYUNGI,

Lu 12:27 Muangalie maua ya mayungiyungi

MAUMIVU,

Lu 21:25 yatakuwa na maumivu makali

Ro 8:22 kulia kwa maumivu mupaka sasa

Ro 9:2 maumivu yenye hayaishe

MAUMIVU YA MOYO,

Mez 17:25 analetea maumivu ya moyo

MAVI,

Kum 23:13 ufunike mavi yako

MAVUMBI,

Mwa 2:7 kutoka katika mavumbi

Mwa 3:19 utarudia katika mavumbi

Zb 103:14 Anakumbuka tuko mavumbi

Isa 40:15 Mataifa ni mavumbi

MAVUNO,

Mt 9:37 mavuno ni mengi

MAWAZO,

1Fa 18:21 kati ya mawazo mbili

Zb 26:2 Usafishe mawazo yangu

Zb 139:17 mawazo yako ni yenye samani

Zb 146:4 Siku ileile mawazo yake yanapotea

Mez 20:5 Mawazo ya moyo ni kama maji

Isa 55:8 mawazo yangu hayako mawazo yenu

Ro 14:1 mawazo yenye kuwa tofauti

MAWINGU,

Muh 11:4 anaangalia mawingu hatavuna

Mt 24:30 Mwana akikuja juu ya mawingu

MAYATIMA,

Yak 1:27 kuhangaikia mayatima

MAZABAHU,

Mwa 8:20 akamujengea mazabahu

Kut 27:1 Utatengeneza mazabahu kwa

Mt 5:24 acha zawadi yako mbele ya mazabahu

Mdo 17:23 mazabahu Kwa Mungu Mwenye

MAZEHEBU,

2Pe 2:1 wataingiza mazehebu

MAZITO,

Mt 23:23 mambo mazito zaidi ya Sheria

1Ko 2:10 roho inachunguza mambo mazito

MAZIWA,

Kut 3:8 yenye kutiririka maziwa

Mez 5:19 Maziwa yake yakushibishe

Isa 60:16 maziwa ya mataifa

Ebr 5:12 lazima ya maziwa

1Pe 2:2 maziwa yenye hayachanganywe

MAZOEZI,

1Pe 5:10 Mungu atamaliza mazoezi

MAZUNGUMUZO,

Mez 15:22 wakati hakuna mazungumuzo

MBALI,

Mdo 17:27 haiko mbali sana

MBEGU,

Lu 8:11 Mbegu ni neno

MBINGU,

Zb 8:3 ninaona mbingu zako

Zb 19:1 Mbingu zinatangaza utukufu

2Ko 12:2 mupaka kwenye mbingu ya 3

2Pe 3:13 tunangojea mbingu mupya

MBINGUNI,

Yoh 3:13 amepanda mbinguni

MBIO,

Muh 9:11 ndio wanashinda katika mbio

2Ti 4:7 nimekimbia mbio mupaka mwisho

MBONI,

Zb 17:8 Unilinde kama mboni ya

Zek 2:8 anawagusa anagusa mboni ya jicho

MBUZI,

Mt 25:32 kondoo na mbuzi

MBWEHA,

Mt 8:20 Mbweha wako na mashimo

MELKISEDEKI,

Mwa 14:18 Melkisedeki wa Salemu

Zb 110:4 Kwa mufano wa Melkisedeki

MEMA,

Mwa 3:5 mukijua mema na mabaya

MENGI,

1Ko 15:58 mengi ya kufanya

MEZA,

Da 11:27 kwenye meza moja wakiambiana

1Ko 10:21 munashiriki meza ya Yehova

MIANZO,

Zek 4:10 siku ya mianzo midogo?

MICHAFU,

Efe 5:4 mizaha michafu

MICHANGO,

2Ny 31:10 kuleta michango

MIDOMO,

Mez 10:19 anazuia midomo

Isa 29:13 wananiheshimia kwa midomo

Ho 14:2 tutatoa sifa ya midomo

Ebr 13:15 zabihu, tunda la midomo

MIFANO,

Mt 13:34 Yesu alitumia mifano

Mk 4:2 kuwafundisha kwa kutumia mifano

1Ko 10:6 yalikuwa mifano kwetu

1Pe 5:3 mifano kwa kundi

MIFUPA,

2Fa 13:21 aligusa mifupa ya Elisha

Zb 34:20 Analinda mifupa yake

Yer 20:9 kuwaka katika mifupa yangu

MIGAWANYIKO,

Ro 16:17 wanaleta migawanyiko

1Ko 1:10 migawanyiko kati yenu

MIGUMU,

Mk 3:5 walikuwa na mioyo migumu

MIGUU,

Isa 52:7 yenye kupendeza miguu

Yoh 13:5 kunawisha wanafunzi miguu

Ro 16:20 atamuponda chini ya miguu

MIIBA,

Mk 15:17 wakasuka taji la miiba na

MIILI,

Ro 6:13 mutoe miili yenu kwa Mungu

Ro 12:1 mutoe miili yenu ikuwe zabihu

MIJI,

Lu 4:43 nitangaze katika miji

MIJI YA MAKIMBILIO,

Hes 35:11 miji ya makimbilio yenye kuwafaa

Yos 20:2 Mujichagulie miji ya makimbilio

MIKAELI,

Da 10:13 Mikaeli mumoja kati ya

Da 12:1 Mikaeli atasimama

Ufu 12:7 Mikaeli na malaika wake

MIKONO,

Isa 35:3 Mutie nguvu mikono zaifu

MIKONO WAZI,

Kum 16:16 asionekane mikono wazi

MIKUSANYIKO,

Law 23:4 mikusanyiko mitakatifu

MILANGO,

Yoh 20:19 milango imefungwa

MILELE,

Mwa 3:22 kula na kuishi milele

Zb 37:29 Wenye haki wataishi milele

Muh 3:14 kila kitu kitadumu milele

1Pe 1:25 neno la Yehova linadumu milele

MILIMA,

Mwa 7:20 yakapanda juu ya milima

MIMBA,

Kut 21:22 mwanamuke mwenye mimba

1Te 5:3 maumivu ya mwenye mimba

MINA,

Lu 19:16 mina yako imeleta faida

MIOYO,

Mez 17:3 Yehova anachunguza mioyo

Lu 12:34 kwenye kuwa hazina, ni pale mioyo

Lu 21:34 mioyo yenu isilemewe

Lu 24:32 mioyo iliwaka wakati alikuwa

1Yo 3:20 ni mukubwa kuliko mioyo

MIPAKA,

Law 23:22 mavuno ya mipaka ya

1Te 4:6 hapaswe kuvuka mipaka

MIPANGO,

Mez 15:22 Mipango inashindikana

Mez 19:21 Moyo uko na mipango

MIRIAMU,

Hes 12:1 Miriamu na Haruni

MISHALE,

Zb 127:4 mishale katika mukono

MISRI,

Mt 2:15 Kutoka Misri nilimuita

MITI,

Isa 61:3 wataitwa miti ya haki

Eze 47:12 Aina zote za miti zitakuwa

Ufu 22:14 kuenda kwenye miti ya uzima

MITUME,

Mt 10:2 majina ya mitume 12

Mdo 15:6 mitume na wazee wakakusanyika

1Ko 15:9 mudogo zaidi kati ya mitume

2Ko 11:5 mitume wenu wenye kujiona

MIZANI,

Law 19:36 mizani sawa

Mez 11:1 Mizani za uongo ni chukizo

MIZEITUNI, MULIMA WA,

Lu 22:39 kwenye Mulima wa mizeituni

Mdo 1:12 Mulima wa Mizeituni, karibu na

MIZIGO,

Lu 11:46 munabebesha mizigo

Gal 6:2 kubebeana mizigo mizito

MIZIZI,

Lu 8:13 lakini hawana mizizi

MOTO,

Yer 20:9 moto katika mifupa

Mt 25:41 moto wa milele

1Ko 3:13 moto utaonyesha ni kazi

1Te 5:19 Musizimishe moto wa roho

2Ti 1:6 uchochee kama moto zawadi

2Pe 3:7 vimewekwa kwa ajili ya moto

MOYO,

Mwa 6:5 muelekeo wa moyo

Kum 6:6 yanapaswa kuwa kwenye moyo

1Fa 8:38 anajua pigo la moyo wake

2Ny 16:9 moyo wao ni kamili

Ezr 7:10 Ezra ametayarisha moyo

Zb 51:10 Umba moyo safi

Zb 51:17 Moyo wenye kuvunjika

Mez 4:23 Linda moyo wako

Mez 17:22 Moyo wenye furaha ni dawa

Mez 28:26 anategemea moyo, ni mujinga

Yer 17:9 Moyo ni mudanganyifu

Yer 17:10 Mimi, ninachunguza moyo

Yer 31:33 nitaiandika katika moyo wao

Mt 15:19 mawazo ya wizi yanatoka katika moyo

Mt 22:37 kumupenda Yehova kwa moyo wote

Mdo 16:14 akafungua wazi moyo wake

Ro 6:17 watiifu kutoka katika moyo

Ebr 3:12 moyo muovu, kwa kujitosha

MUAMINIFU,

Lu 16:10 muaminifu katika mambo ya kidogo

1Ko 10:13 Mungu ni muaminifu

Ufu 2:10 muaminifu kufikia kifo

MUAMUZI,

Isa 33:22 Yehova ni Muamuzi wetu

Lu 18:2 muamuzi hamuogope Mungu

MUANGALIFU,

1Ti 4:16 muangalifu kuhusu

MUASI-IMANI,

Mez 11:9 muasi-imani anamuharibu

MUBAYA,

Tit 2:8 la mubaya la kusema

MUCHANGA,

Mwa 22:17 uzao kama muchanga

Ufu 20:8 Hesabu yao kama muchanga

MUCHEZO,

Mez 10:23 mwenendo wa haya ni muchezo

MUCHONGEZI,

Mez 16:28 muchongezi anatenganisha marafiki

MUCHOYO,

Mez 23:6 chakula cha muchoyo

MUCHUNGAJI,

Zb 23:1 Yehova ni Muchungaji

Isa 40:11 Atatunza kundi kama muchungaji

Eze 37:24 na muchungaji mumoja Daudi

Zek 13:7 Piga muchungaji, na kundi

Mt 9:36 kondoo wenye hawana muchungaji

Yoh 10:11 muchungaji mwema; anatoa uzima

Yoh 10:14 Mimi ndiye muchungaji mwema

Yoh 10:16 kundi moja, muchungaji mumoja

MUDA,

Ebr 11:13 wakaaji wa muda

Ebr 11:25 kuliko kufurahia zambi kwa muda

MUDANGANYIFU,

Mez 3:32 Yehova anachukia mudanganyifu

Yer 17:9 Moyo ni mudanganyifu

MUDOGO,

Isa 60:22 Mudogo atakuwa 1 000

MUDOGO ZAIDI,

Lu 9:48 kama mudogo zaidi

MUELEKEO,

Mwa 8:21 muelekeo wa moyo

1Ny 28:9 Mungu anatambua kila muelekeo

Flp 2:20 mwenye muelekeo kama wake

MUFALME,

Amu 21:25 mufalme katika Israeli

1Sa 23:17 mufalme juu ya Israeli

Zb 2:6 mufalme Juu ya Sayuni

Mez 21:1 Moyo wa mufalme ni kama

Isa 32:1 Mufalme atatawala

Zek 14:9 Yehova atakuwa Mufalme

Mt 21:5 Mufalme anakuja juu ya punda

Mt 27:29 Jambo, Mufalme wa Wayahudi!

Yoh 19:15 hatuna mufalme isipokuwa

1Ko 15:25 kutawala akiwa mufalme

MUFALME WA KASKAZINI,

Da 11:7 ngome ya mufalme wa kaskazini

Da 11:40 mufalme wa kaskazini atamushambulia

MUFALME WA KUSINI,

Da 11:11 mufalme wa kusini atakuwa

Da 11:40 mufalme wa kusini atasukumana

MUFANO,

Mwa 1:26 mutu kwa mufano wetu

Yoh 13:15 niliwawekea mufano

1Ti 4:12 mufano kwa waaminifu

2Ti 1:13 mufano wa maneno yenye faida

Ebr 8:5 vitu kulingana na mufano

Yak 5:10 mufuate mufano wa manabii

1Pe 2:21 Kristo aliwaachia mufano

MUFANYABIASHARA,

Mt 13:45 Ufalme ni kama mufanyabiashara

MUFANYAKAZI,

Lu 10:7 mufanyakazi anastahili

MUFINYANZI,

Isa 64:8 uko Mufinyanzi wetu

Ro 9:21 mufinyanzi iko na mamlaka

MUFUASI,

Mt 19:21 ukuwe mufuasi wangu

MUFUPA,

Mwa 2:23 mufupa wa mifupa yangu

Mez 25:15 ulimi laini unavunja mufupa

Yoh 19:36 Hakuna mufupa wenye utavunjwa

MUGAWANYIKO,

Mt 10:35 kuleta mugawanyiko

MUGENI,

Zb 15:1 mugeni katika hema yako?

MUGONJWA,

Isa 33:24 atasema: Niko mugonjwa

Yak 5:14 Je, kuko mugonjwa kati yenu?

MUGUMU,

Ebr 3:13 mugumu kwa nguvu za

MUHESHIMIWA,

Mdo 24:3 Muheshimiwa Feliksi

MUHUBIRI,

2Pe 2:5 Noa, muhubiri wa haki

MUHURI,

Wim 8:6 kama muhuri juu ya moyo

2Ko 1:22 ametia muhuri wake juu yetu

MUJANE,

Zb 146:9 anamutegemeza mujane

Mk 12:43 mujane huyu ametoa zaidi

Lu 18:3 mujane alikuwa anamuendea na kusema

MUJI,

Ebr 11:10 muji wenye misingi ya kweli

MUJINGA,

Mez 14:15 Mujinga anaamini kila neno

MUJUMBE,

Mal 3:1 Ninamutuma mujumbe wangu

MUKAAJI MUGENI,

Kut 22:21 kumutendea mukaaji mugeni

Hes 9:14 kwa ajili ya mukaaji mugeni

Kum 10:19 kumupenda mukaaji mugeni

MUKABA,

Isa 11:5 Haki itakuwa mukaba

MUKAMILIFU,

Ebr 2:10 Kiongozi Mukubwa mukamilifu

MUKARIBISHAJI-WAGENI,

Tit 1:7, 8 anapaswa kuwa mukaribishaji-wageni

MUKARIMU,

Mez 11:25 mukarimu atafanikiwa

MUKATE,

Ne 9:15 mukate kutoka mbinguni

Zb 37:25 watoto wake wakitafuta mukate

Isa 55:2 chenye hakiko mukate? Mt 4:4 hapaswe kuishi kwa mukate tu

Mt 6:11 Utupatie mukate wetu

Mt 26:26 Yesu akakamata mukate

Yoh 6:35 Mimi ndio mukate wa uzima

1Ko 10:17 mukate mumoja, tunakula mukate

MUKAZO,

2Ko 1:8 chini ya mukazo mukubwa

MUKONO,

Zb 145:16 Unafungua mukono

Isa 41:10 Nitakushika kwa mukono

Zek 14:13 mukono wa mwenzake

Mt 6:3 usiache mukono wa kushoto ujue

Mt 6:27 kuongeza mukono kwenye

Yoh 12:38 mukono wa Yehova

MUKOPAJI,

Mez 22:7 mukopaji ni mutumwa

MUKOPO,

Mez 11:15 anaahidi kulipia mukopo

MUKUBWA,

Isa 9:6 Mukubwa wa Amani

Da 10:13 mukubwa wa Uajemi alisimama

Yoh 14:28 Baba ni mukubwa kuliko mimi

1Yo 3:20 Mungu ni mukubwa kuliko mioyo

MUKUKI,

1Sa 18:11 akatupa mukuki huo

MUKUSANYA-KODI,

Mt 18:17 akuwe kwako kama mukusanya-kodi

Lu 18:11 siko kama mukusanya-kodi

MULANGO,

Mt 7:13 mulango mwembamba

1Ko 16:9 nimefunguliwa mulango mukubwa

Ufu 3:20 kwenye mulango ninapiga hodi

MULEVI,

Mez 23:21 mulevi atakuwa maskini

1Ko 5:11 muache kushirikiana na mulevi

MULIMA,

Zb 24:3 mulima wa Yehova?

Isa 2:3 tupande kwenye mulima wa

Isa 11:9 mulima wangu mutakatifu

Da 2:35 likakuwa mulima mukubwa

MULOZI,

Mdo 13:6 Bar-Yesu, mulozi

MUMOJA,

Mdo 15:25 uamuzi mumoja

1Ko 8:6 Mungu mumoja, Bwana mumoja

MUNARA,

Mwa 11:4 Tujijengee munara

Mez 18:10 Jina la Yehova ni munara

Lu 13:4 18 munara uliangukia kule Siloamu

MUNARA WA MULINZI,

Isa 21:8 ninasimama juu ya munara wa mulinzi

MUNGANGA,

Lu 5:31 lazima ya munganga

MUNGU,

Kum 10:17 Yehova ni Mungu wa miungu

Mt 27:46 Mungu, sababu gani umeniacha?

Yoh 1:18 Hakuna mwenye amemuona Mungu

Yoh 17:3 kukujua wewe Mungu wa pekee

Yoh 20:17 Mungu wangu na Mungu wenu

1Ko 8:4 hakuna Mungu isipokuwa

2Ko 4:4 mungu wa mupangilio huu

Efe 4:6 Mungu mumoja na Baba

1Yo 4:8 Mungu ni upendo

MUNYAMA,

Law 18:23 ngono na munyama

MUNYENYEKEVU,

Zek 9:9 munyenyekevu na amepanda

MUONGO,

Zb 101:7 hakuna muongo mwenye

Mez 19:22 maskini kuliko kuwa muongo

Yoh 8:44 Ibilisi, muongo na baba ya

MUONGOZO WA ROHO,

1Ny 28:12 alijulishwa kupitia muongozo wa roho

MUOVU,

Mez 29:2 muovu anatawala, watu wanalia

Isa 26:10 muovu anaonyeshwa wema

1Yo 5:19 ulimwengu katika nguvu za muovu

MUPAKA,

Zb 119:96 amri yako haina mupaka

MUPATANISHI,

1Ti 2:5 mupatanisha kati ya Mungu

MUPENDWA,

Mt 3:17 Mwana wangu, mupendwa

MUPIGANAJI-VITA,

Yer 20:11 Yehova kama mupiganaji-vita

MUPOLE,

2Ti 2:24 mupole kwa wote

MUPUMBAVU,

Zb 14:1 Mupumbavu anasema

MUPYA,

Isa 42:9 mambo ya mupya

Yoh 13:34 Ninawapatia amri mupya

Mdo 17:21 kusikiliza jambo la mupya

Ufu 21:1 mbingu mupya na

MUSA,

Hes 12:3 Musa alikuwa mupole

Zb 106:32 yakamuendea Musa mubaya

Mdo 7:22 Musa alikuwa na nguvu

2Ko 3:7 kuangalia uso wa Musa

MUSAADA,

Zb 46:1 Musaada wenye kupatikana

MUSAIDIZI,

Yoh 14:16 atawapatia musaidizi

Yoh 14:26 musaidizi, roho takatifu

MUSAMAHA,

Mt 26:28 musamaha wa zambi

MUSAMARIA,

Lu 10:33 Musamaria akamusikilia huruma

MUSHAHARA,

Mwa 31:7 kubadilisha mushahara wangu

Ro 6:23 mushahara wenye zambi inalipa

MUSHAURI,

Isa 9:6 Mushauri wa Ajabu

MUSHITAKI,

Ufu 12:10 mushitaki wa ndugu

MUSIMAMIZI-NYUMBA,

Lu 12:42 musimamizi-nyumba muaminifu

MUSINGI,

Lu 6:48 musingi juu ya mwamba

Ro 15:20 musingi wa mutu mwingine

1Ko 3:11 hakuna musingi mwingine

MUTAKATIFU,

Law 19:2 mimi ni mutakatifu

1Pe 1:15 watakatifu katika mwenendo

Ufu 4:8 mutakatifu ni Yehova Mungu

MUTANGO,

Yon 4:10 Ulisikilia huruma mutango

MUTAWALA,

Da 4:17 Mwenye Kuwa Juu Zaidi ni Mutawala

Yoh 12:31 mutawala wa ulimwengu atatupwa

Yoh 14:30 mutawala wa ulimwengu hana uwezo

MUTAZAMO,

Efe 4:23 mutazamo wenye unatawala

Efe 6:7 kuwa na mutazamo muzuri

Flp 2:5 mutazamo wa akili wenye ulikuwa

MUTEGO,

Zb 91:3 mutego wa muwindaji

Mez 29:25 Kutetemeka ni mutego

Lu 21:34, 35 siku ikuje kama mutego

MUTENDA-ZAMBI,

Lu 15:7 furaha sababu ya mutenda-zambi

Lu 18:13 unihurumie, mimi mutenda-zambi

MUTI,

Mwa 2:9 muti wa ujuzi wa mema na

Mwa 2:9 muti wa uzima katikati

Zb 1:3 muti pembeni ya maji

Da 4:14 Mukate muti huu, mukate

Mk 15:25 wakamupigilia kwenye muti

Lu 23:21 Auawe kwenye muti!

Gal 3:13 ametundikwa kwenye muti

Ufu 2:7 ruhusa ya kula matunda ya muti

MUTIIFU,

1Fa 3:9 moyo mutiifu

Flp 2:8 mutiifu mupaka kifo

MUTI MUDOGO WA MIIBA,

Mdo 7:30 muti mudogo wa miiba wenye kuwaka

MUTIWA-MAFUTA,

Zb 2:2 kumupinga mutiwa-mafuta

MUTI WA MATESO,

Mt 10:38 hakubali muti wake wa mateso

Lu 9:23 achukue muti wake wa mateso kila siku

MUTI WA TINI,

1Fa 4:25 chini ya muti wake wa tini

Mik 4:4 na muti wake wa tini

Mt 21:19 muti wa tini ukakauka

Mk 13:28 mufano kuhusu muti wa tini

MUTO,

Ufu 12:16 dunia ikameza ule muto

Ufu 22:1 muto wa maji ya uzima

MUTOAJI-SHERIA,

Yak 4:12 mwenye kuwa Mutoaji-sheria

MUTOTO,

Amu 13:8 namna tunapaswa kumutendea mutoto

Lu 9:47 akamuchukua mutoto mudogo

1Ko 13:11 ninawaza kama mutoto

MUTOTO MWANAMUKE,

2Fa 5:2 mutoto mudogo mwanamuke

Mk 5:42 mutoto mwanamuke akasimama

MUTOTO MWANAUME,

Mez 22:6 Zoeza mutoto mwanaume; hata

MUTOTO MWENYE HANA BABA,

Kut 22:22 kumutesa mutoto mwenye hana baba

MUTUMISHI,

1Sa 2:11 akakuwa mutumishi

Isa 42:1 Mutumishi, mwenye ninategemeza!

Mk 10:43 anapaswa kuwa mutumishi

MUTUMWA,

Mez 22:7 mukopaji ni mutumwa

Mt 24:45 Ni nani mutumwa muaminifu?

Mt 25:21 mutumwa mwema na muaminifu!

Yoh 8:34 mwenye anazoea zambi ni mutumwa

MUTU MWENYE KUPASHANA HABARI NA PEPO WACHAFU,

Kum 18:11 shauri kwa mutu mwenye kupashana habari na pepo wachafu

MUTU MWENYE KUSAFISHA,

Mal 3:3 atakaa kama mutu mwenye kusafisha

MUTU WA UVUNJAJI WA SHERIA,

2Te 2:3 mutu wa uvunjaji wa sheria afunuliwe

MUUAJI,

Hes 35:6 ili muuaji akimbilie

Yoh 8:44 alikuwa muuaji wakati alianza

MUUMBAJI,

Muh 12:1 kumbuka Muumbaji

MUVIRINGO,

Isa 40:22 muviringo wa dunia

MUVIVU,

Mez 6:6 Uende kwa siafu, muvivu

Mez 10:26 moshi katika macho, Ni vile muvivu

Mez 19:24 Muvivu anazika mukono

Mez 20:4 Muvivu halime

Ro 12:11 wenye bidii, hapana wavivu

MUVURUGO,

1Ko 14:33 haiko Mungu wa muvurugo

MUWINDAJI WA NDEGE,

Zb 91:3 mutego wa muwindaji wa ndege

MUYAHUDI,

Zek 8:23 watashika kanzu ya Muyahudi

1Ko 9:20 Kwa Wayahudi kama Muyahudi

MUZABIBU,

Mik 4:4 chini ya muzabibu

Yoh 15:1 Mimi ndiye muzabibu wa kweli

MUZAHA,

Mwa 19:14 anafanya muzaha

Mez 26:19 ninafanya muzaha tu!

MUZALIWA-PEKEE,

Yoh 1:18 mungu muzaliwa-pekee

Yoh 3:16 Mwana wake muzaliwa-pekee

MUZALIWA WA KWANZA,

Kut 11:5 kila muzaliwa wa kwanza atakufa

Kol 1:15 muzaliwa wa kwanza wa viumbe

MUZEE WA SIKU,

Da 7:9 Muzee wa Siku akakaa

MUZEITUNI,

Zb 52:8 muzeituni katika nyumba

Ro 11:17 muzeituni wa pori

MUZIGO,

Zb 38:4 makosa kama muzigo

Zb 55:22 Umutupie Yehova muzigo wako

Zb 68:19 Yehova anatubebea muzigo

Mdo 15:28 tusiwaongezee muzigo zaidi

Gal 6:5 muzigo wake mwenyewe

1Te 2:6 muzigo muzito wa kututunza

Ufu 2:24 siwaongezee ninyi muzigo

MUZIGO MUZITO,

1Yo 5:3 amri zake haziko muzigo muzito

MUZIMA,

1Pe 3:18 akafanywa kuwa muzima

MUZURI,

Kut 4:10 siko musemaji muzuri

Mt 25:21 Umefanya muzuri, mutumwa

Ro 5:7 kufa kwa ajili ya mutu muzuri

Ro 7:19 jambo la muzuri lenye ninataka

Gal 6:10 tutendee wote mambo ya muzuri

MUZURI ZAIDI,

1Ko 12:31 njia ya muzuri zaidi

MVUA,

Mwa 7:12 Mvua ikanyesha siku 40

Kum 11:14 nitawapatia mvua ya kipindi

Kum 32:2 Mafundisho yataanguka kama mvua

Isa 55:10 kama vile mvua na teluji hairudie

Mt 5:45 mvua juu ya wenye haki na wenye

MWAKA,

Hes 14:34 siku 40, siku moja mwaka mumoja

MWAKILISHI,

Yoh 7:29 mwakilishi kutoka kwake

MWAMBA,

Kum 32:4 Mwamba, kazi zake ni

Mt 7:24 alijenga nyumba juu ya mwamba

MWANA,

Zb 2:12 Mumuheshimie mwana

Mez 13:24 anazuia fimbo anachukia mwana

Mez 15:20 Mwana mwenye hekima

Mt 3:17 Huyu ni Mwana wangu, mupendwa

Lu 15:13 mwana mudogo akatumia mubaya mali

MWANADAMU MWENYE ANAWEZA KUFA,

Zb 8:4 Mwanadamu mwenye anaweza kufa ni

MWANA-KONDOO,

2Sa 12:3 isipokuwa mwana-kondoo

Yoh 1:29 Mwana-kondoo wa Mungu

MWANAMUKE,

Mwa 3:15 uadui kati yako na mwanamuke

Muh 7:26 Mwanamuke muchungu kuliko kifo

Ufu 12:1 Mwanamuke amepambwa jua

MWANAUME,

Law 20:13 mwanaume analala na

MWANA WA BINADAMU,

Da 7:13 mwana wa binadamu anakuja na

Mt 10:23 mupaka Mwana wa binadamu afike

Lu 21:27 watamuona Mwana wa binadamu

MWANGA,

Zb 62:8 Mumwange mioyo yenu

MWANGALIZI,

1Ti 3:1 ili akuwe mwangalizi

1Pe 2:25 mwangalizi wa nafsi zenu

MWANGAZA,

Zb 36:9 Kupitia mwangaza

Zb 119:105 Neno lako ni mwangaza

Mez 4:18 iko kama mwangaza

Isa 42:6 mwangaza wa mataifa

Mt 5:14 ninyi ni mwangaza wa ulimwengu

Mt 5:16 mwangaza wenu uangaze

Yoh 8:12 mimi ni mwangaza wa ulimwengu

2Ko 4:6 Mwangaza uangaze katika giza

MWANZO,

Isa 46:10 matokeo tangu mwanzo

Mt 24:8 yote ni mwanzo wa maumivu

MWANZO WA KIPINDI,

1Ko 7:36 amepita mwanzo wa kipindi cha ujana

MWEKUNDU,

Mwa 25:30 muchuzi mwekundu

MWEMBAMBA,

Mt 7:13 mulango mwembamba

MWENDO,

Mwa 33:14 mwendo wa mifugo

Mdo 20:24 mwendo wangu na utumishi

MWENENDO,

Gal 6:16 kanuni hii ya mwenendo

1Pe 2:12 mwenendo muzuri kati ya mataifa

1Pe 3:1 wavutwe kupitia mwenendo

1Pe 3:16 wapate haya sababu ya mwenendo

MWENENDO MUPOTOVU WA BILA HAYA,

Gal 5:19 uchafu, mwenendo mupotovu wa bila haya

2Pe 2:7 na mwenendo mupotovu wa bila haya

MWENEZA-INJILI,

Mdo 21:8 Filipo mweneza-injili

2Ti 4:5 kazi ya mweneza-injili

MWENYE HAKI,

Zb 34:19 Magumu ya mwenye haki ni mengi

Zb 37:25 sijamuona mwenye haki ameachwa

Zb 72:7 mwenye haki atasitawi

Zb 141:5 Kama mwenye haki ananipiga

Mez 24:16 mwenye haki anaweza kuanguka

MWENYE KUNGAA,

Isa 14:12 Ee mwenye kungaa

MWENYE KUPATIA ZAWABU,

Ebr 11:6 mwenye kuwapatia zawabu wale

MWENYE KUWA JUU ZAIDI,

Zb 83:18 Yehova, Mwenye Kuwa Juu Zaidi

Da 4:17 Mwenye Kuwa Juu Zaidi ni Mutawala

MWEPESI,

Yak 1:19 mwepesi wa kusema

MWEREVU,

Mez 12:23 mwerevu anaficha

Mez 14:15 mwerevu anafikiria hatua

Mez 22:3 mwerevu anaona hatari

MWEUPE,

Ufu 7:14 kanzu zao na kuzifanya mweupe

MWEZI,

Yoe 2:31 mwezi utakuwa damu

Lu 21:25 alama katika jua na mwezi

MWIBA,

2Ko 12:7 nilipewa mwiba katika mwili

MWILI,

Mwa 2:24 mwili mumoja

Yob 33:25 Mwili wake ukuwe teketeke

Mt 10:28 musiogope wenye wanaua mwili

Mt 26:26 Huu unamaanisha mwili wangu

Ro 8:5 wanaishi kulingana na mwili

1Ko 7:4 mamlaka juu ya mwili wake, lakini bibi

1Ko 12:18 amepanga kila kiungo cha mwili

1Ko 15:44 Unapandwa ukiwa mwili wa nyama

Gal 5:19 matendo ya mwili

Flp 3:21 atageuza mwili wetu wa hali ya chini

MWISHO,

Muh 12:13 ndio mwisho wa jambo

Isa 2:2 kipindi cha mwisho cha siku

Mt 24:14 kisha mwisho utakuja

Yoh 13:1 Yesu aliwapenda mupaka mwisho

2Ti 4:7 nimekimbia mupaka mwisho

MWITO,

Efe 4:1 namna yenye kustahili mwito

MWIZI,

Mez 6:30 mwizi anaiba wakati anasikia

Mez 29:24 Mwenye kushirikiana na mwizi

Mt 24:43 angejua wakati mwizi atakuja

1Te 5:2 siku inakuja sawasawa na mwizi

MWOKOZI,

2Sa 22:3 Mungu ni mwokozi wangu

Mdo 5:31 Kiongozi Mukubwa na Mwokozi

N

NABII,

Kum 18:18 Nitawainulia nabii

Eze 2:5 watajua nabii alikuwa kati yao

Amo 7:14 sikukuwa nabii wala mwana wa nabii

NAFASI,

Gal 6:10 tungali na nafasi, tutendee

NAFSI,

Hes 31:28 nafsi moja kati ya wanadamu

Eze 18:4 Nafsi yenye inatenda zambi itakufa

Mt 22:37 kumupenda Yehova kwa nafsi

NAFSI YOTE,

Efe 6:6 ya Mungu kwa nafsi yote

Kol 3:23 mulifanye kwa nafsi yote

NAINI,

Lu 7:11 muji wenye kuitwa Naini

NAMNA,

Mdo 1:11 atakuja kwa namna ileile

2Pe 3:11 munapaswa kuwa watu wa namna gani

NANGA,

Ebr 6:19 tumaini kama nanga ya nafsi

NATANI,

2Sa 12:7 Natani akamuambia: ni wewe!

NAWISHA,

Yoh 13:5 akaanza kunawisha wanafunzi

NAZIRI,

Kum 23:21 unafanya naziri kwa Yehova

Amu 11:30 Yefta akafanya naziri

NDANI,

Ro 7:22 mwenye niko kwa ndani

2Ko 4:16 mwenye tuko kwa ndani

Efe 3:16 mwenye muko kwa ndani

NDANI KABISA,

Ufu 2:23 mawazo ya ndani kabisa

NDEGE,

Mt 6:26 Muangalie ndege wa mbinguni

NDIYO,

Mt 5:37 Ndiyo imaanishe ndiyo

NDOA,

Kum 7:3 mapatano ya ndoa

Mt 22:2 alifanya karamu ya ndoa

Yoh 2:1 karamu ya ndoa katika Kana

Ebr 13:4 Ndoa iheshimiwe na wote

Ufu 19:7 ndoa ya Mwana-Kondoo

NDOTO,

Muh 5:3 ndoto inatokana na mawazo

NDUGU,

Mez 17:17 ndugu kwa ajili ya nyakati za

Mez 18:24 anashikamana sana kuliko ndugu

Mt 13:55 ndugu zake Yakobo, Yosefu, na

Mt 23:8 na ninyi wote ni ndugu

Mt 25:40 mumoja wa ndugu zangu, mulinitendea

1Ko 5:11 ndugu mwenye kuwa mwasherati

1Pe 5:9 ushirika muzima wa ndugu

NEBUKADNEZA,

Da 2:1 Nebukadneza aliota ndoto

NENO,

Mez 25:11 neno wakati wenye kufaa

Isa 55:11 neno langu litafanikiwa

Lu 8:12 Ibilisi anaondoa lile neno

Yoh 1:1 Katika mwanzo Neno alikuwa

Yoh 17:17 neno lako ni kweli

Mdo 18:5 Paulo akahangaikia neno

Flp 2:16 kushika sana neno la uzima

2Ti 2:15 ukitumia sawasawa neno la kweli

NENO LA MUNGU,

Isa 40:8 neno la Mungu linadumu

Mk 7:13 munafanya neno la Mungu kuwa bure

1Te 2:13 mulikubali neno la Mungu kama

Ebr 4:12 neno la Mungu liko na uzima

NGAMIA,

Mt 19:24 vyepesi zaidi kwa ngamia

NGANO,

Mt 13:25 magugu katikati ya ngano

NGAO,

Zb 84:11 Yehova ni jua na ngao

Efe 6:16 ngao kubwa ya imani

NGAZI,

Mwa 28:12 ngazi ilifika mbinguni

NGOJEA,

Zb 37:7 umungojee Yehova

Mik 7:7 mutazamo wa kumungojea

Hab 2:3 yakikawia, endelea kuyangojea

Lu 3:15 watu walikuwa wanangojea

Lu 21:26 watazimia sababu ya kungojea

Ro 8:25 tunaendelea kukingojea

NGOMBE-DUME,

Kut 21:28 ngombe-dume anamupiga kwa pembe

Kum 25:4 Haupaswe kufunga kinywa cha ngombe-dume

Mez 7:22 kama ngombe-dume mwenye anaenda

Ho 14:2 tungetoa ngombe-dume wadogo

1Ko 9:9 Je, ngombe-dume ndio wenye

NGOME,

Zb 18:2 Yehova ni ngome

Isa 25:4 ngome kwa mutu wa hali ya chini

Lu 19:43 ngome ya miti

NGUMU,

2Ti 3:1 nyakati ngumu

NGUO,

Mwa 3:21 nguo za murefu

NGURUWE,

Lu 8:33 wakaingia ndani ya nguruwe

Lu 15:15 ili achunge nguruwe

2Pe 2:22 nguruwe mwenye alioshwa

NGUVU,

Yos 1:7 hodari na mwenye nguvu

Zb 29:11 atapatia watu wake nguvu

Zb 31:10 Nguvu zangu zinapunguka

Zb 84:7 kutoka nguvu mupaka nguvu

Mez 17:22 inamaliza mutu nguvu

Isa 35:4 Mukuwe na nguvu. Musiogope

Isa 40:29 Anapatia nguvu mwenye kuchoka

Isa 40:31 watapata nguvu tena

Zek 4:6 Hapana kwa nguvu za jeshi

Mk 5:30 akatambua nguvu zimemutoka

Mk 12:30 kumupenda Yehova kwa nguvu

Mdo 1:8 mutapokea nguvu

Ro 15:1 uzaifu wa wenye hawana nguvu

1Ko 16:13 mukuwe na nguvu

2Ko 4:7 nguvu kupita za kawaida

2Ko 12:9 nguvu zangu zinakamilishwa

2Ko 12:10 ndio wakati ninakuwa na nguvu

Flp 4:13 niko na nguvu kupitia

2Ti 2:15 Fanya nguvu yako yote ili ujitoe

2Pe 3:14 mufanye nguvu ili awapate

Ufu 3:8 ninajua uko na nguvu kidogo

NGUZO,

Mwa 19:26 akakuwa nguzo

Kut 13:22 nguzo ya wingu, nguzo ya

Gal 2:9 walionekana kuwa nguzo

1Ti 3:15 nguzo na tegemezo la kweli

NIA,

Mez 16:2 Yehova anachunguza nia

NINAWI,

Yon 4:11 kusikilia huruma Ninawi?

NIRA,

1Fa 12:14 alifanya nira kuwa nzito

Mt 11:30 nira yangu haiko yenye kuumiza

2Ko 6:14 Musifungwe nira na

NITAKUWA,

Kut 3:14 Nitakuwa amenituma

NIZAMU,

Mez 1:7 wapumbavu wanazarau nizamu

Mez 3:11 usikatae nizamu ya Yehova

Mez 19:18 Patia mwana nizamu

Mez 23:13 Usiime mutoto nizamu

Ebr 12:11 hakuna nizamu yenye kufurahisha

Ufu 3:19 wenye ninapenda, ninawatia nizamu

NJAA,

Zb 37:19 Wakati wa njaa watakuwa

Isa 65:13 ninyi mutakuwa na njaa

Amo 8:11 Hapana njaa ya mukate

NJIA,

Mez 4:18 njia ya wenye haki

Mez 16:25 njia inaonekana sawa, lakini

Isa 30:21 Hii ndiyo njia. Mutembee ndani

Yoe 2:7 kila mumoja katika njia yake

Yoh 14:6 Mimi ndiye njia na kweli na uzima

Mdo 9:2 wenye walikuwa wa Ile Njia

1Ko 10:13 atafanya pia njia ya kutokea

Flp 1:27 mujiendeshe kwa njia yenye

NJIWA,

Mt 3:16 ikishuka kama njiwa

Mt 10:16 bila kosa kama njiwa

NOA,

Mwa 6:9 Noa alitembea na Mungu

Mt 24:37 kama vile siku za Noa

NUNGUNIKA,

Hes 14:27 Waisraeli wananungunika

1Ko 10:10 tusinungunike kama wamoja

Flp 2:14 kufanya mambo bila kunungunika

Yud 16 Watu hawa ni wenye kunungunika

NUNULIA,

Ufu 5:9 kwa damu ukanunulia Mungu

NUNULIWA,

1Ko 7:23 Mulinunuliwa kwa bei

NYAKATI ZENYE ZILIWEKWA,

Lu 21:24 nyakati zenye ziliwekwa za mataifa

NYAMA,

Mez 23:20 kula nyama nyingi

1Ko 15:50 nyama na damu haviwezi

NYAMAZA,

Zb 4:4 Museme na munyamaze

Zb 32:3 Wakati nilinyamaza, mifupa ilikuwa zaifu

Muh 3:7 Wakati wa kunyamaza na wa kusema

NYAMAZISHA,

1Pe 2:15 munyamazishe maneno

NYANGANYA,

Law 19:13 haupaswe kunyanganya

NYANGANYWA,

Ebr 10:34 mukakubali kunyanganywa

NYASI,

1Ko 3:12 anajenga juu ya musingi nyasi

NYAVU,

Lu 5:4 mushushe nyavu zenu

NYEKUNDU YENYE KUNGAA,

Isa 1:18 ziko na rangi nyekundu yenye kungaa

NYENYEKEA,

Ebr 13:17 munyenyekee wenye wanaongoza

NYENYEKEZA,

Kum 8:2 akunyenyekeze na

Mt 18:4 atajinyenyekeza kama mutoto

Yak 4:10 Mujinyenyekeze mbele ya Yehova

1Pe 5:6 mujinyenyekeze chini ya mukono wa

NYIMBO,

Ne 12:46 nyimbo za kumusifu

Kol 3:16 nyimbo za kiroho zenye

NYINGI,

Zb 72:16 kutakuwa nafaka nyingi

NYOKA,

Mwa 3:4 nyoka akamuambia mwanamuke:

Yoh 3:14 kama vile Musa aliinua nyoka katika

NYOKA-KOBRA,

Isa 11:8 shimo la nyoka-kobra

NYOKA MUKUBWA,

Ufu 12:9 nyoka mukubwa akatupwa

NYONYESHA,

1Te 2:7 mwenye kunyonyesha

NYOOFU,

Yob 1:8 Yobu munyoofu

NYOTA,

Zb 147:4 anaita nyota kwa majina

Mt 24:29 Kisha tu taabu, nyota zitaanguka

Ufu 2:1 nyota 7 katika mukono wake

NYUMA,

Lu 9:62 mambo yenye kuwa nyuma

NYUMBA,

2Sa 7:13 atajenga nyumba kwa ajili ya

Zb 27:4 nikae katika nyumba ya Yehova

Zb 101:2 nitatembea ndani ya nyumba

Zb 127:1 Kama Yehova hajenge nyumba

Isa 56:7 itaitwa nyumba ya sala

Isa 65:21 Watajenga nyumba na kuishi ndani

Lu 2:49 katika nyumba ya Baba

Yoh 2:16 kuwa nyumba ya biashara!

Yoh 14:2 Katika nyumba ya Baba

Mdo 5:42 na nyumba kwa nyumba

Mdo 7:48 hakae katika nyumba

Mdo 20:20 kuwafundisha nyumba kwa nyumba

2Ko 5:1 nyumba ya milele mbinguni

Efe 2:19 washiriki wa nyumba ya Mungu

Ebr 3:4 kila nyumba inajengwa

NYUZI-NYUZI,

Hes 15:39 upindo wa nyuzi-nyuzi

NYWELE,

Mt 10:30 nywele zimehesabiwa

Lu 21:18 hakuna hata unywele wa

1Ko 11:14 nywele za murefu ni haya

NZIGE,

Yoe 1:4 kiliachwa na nzige

O

OA,

Mt 22:30 wanaume hawaoe

Mt 24:38 mbele ya Garika, wanaoa na

1Ko 7:8 ninaambia wenye hawajaoa

1Ko 7:9 muzuri kuoa ao kuolewa

1Ko 7:32 mwenye hajaoa anahangaikia

1Ko 7:36 Aoe ao aolewe

1Ko 7:38 haoe ao haolewe atafanya muzuri

OGA,

2Fa 5:10 uoge mara 7 katika

OGOPA,

2Ny 20:15 Musiogope watu

Yob 31:34 kuogopa matendo ya watu

Zb 56:4 ninaweka tegemeo; siogope

Zb 118:6 iko upande wangu; sitaogopa

Isa 28:16 mwenye imani hataogopa

Isa 41:10 Usiogope, niko na wewe

Mik 4:4 hakuna mwenye atawaogopesha

Lu 12:4 musiogope wenye wanaua mwili

Ufu 2:10 Usiogope mateso

OGOPA YEHOVA,

Zb 19:9 Kumuogopa Yehova ni jambo safi

Zb 111:10 Kumuogopa Yehova mwanzo wa

Mez 8:13 Kumuogopa Yehova kunamaanisha

OGOPESHA,

Mdo 4:17 basi tuwaogopeshe na

Efe 6:9 kwa njia ileile, bila kuwaogopesha

Ebr 10:31 jambo lenye kuogopesha

1Pe 2:23 Wakati aliteseka, hakuogopesha

OGOPESHWA,

Flp 1:28 bila kuogopeshwa na

OKOA,

Isa 59:1 hauko mufupi usiweze kuokoa

Mt 16:25 mwenye anataka kuokoa uzima wake

Lu 19:10 Mwana wa binadamu alikuja kuokoa

1Ti 4:16 utajiokoa na wenye wanakusikiliza.

OKOLEWA,

Mt 24:22 hakuna mwili ungeokolewa

OKOTA,

Law 19:9 kuokota masalio ya mavuno

Rut 2:8 Boazi akamuambia: Usiende kuokota

OLE,

Isa 5:20 Ole wenye kusema wema ni ubaya

1Ko 9:16 Ole wangu kama sitangaze

Ufu 12:12 Ole wa dunia na wa bahari

OLEWA,

1Ko 7:39 kuolewa katika Bwana tu

OMBA,

Zb 2:8 Uniombe, nitakupatia mataifa

Mt 6:8 muko nacho lazima mbele mumuombe

Mt 7:7 Muendelee kuomba, na

Yoh 14:13 jambo munaomba katika jina langu

Ro 12:1 ninawaomba kwa huruma za

2Ko 5:20 tunaomba: Mupatanishwe

Efe 3:20 kupita mambo yenye tunaomba

Flm 9 nikuombe kwa musingi wa upendo

1Yo 5:14 tunaomba kulingana na mapenzi

OMBEA,

Ro 8:34 Kristo anatuombea

OMBOLEZA,

Mt 5:4 wenye kuomboleza

OMBWA,

Lu 12:48 ataombwa mengi

ONA,

Mt 6:1 ili tu wawaone

Yoh 1:18 Hakuna mwenye amemuona Mungu

Yoh 14:9 mwenye ameniona amemuona Baba

ONA MWEZI,

Law 15:19 siku za kuona mwezi

Law 18:19 wakati wa kuona mwezi

ONDOA,

1Ko 5:13 Muondoe muovu katikati yenu

ONDOKA,

1Ko 7:15 anaamua kuondoka

ONDOLEA,

Flp 2:7 alijiondolea hali yake

ONDOLEWA,

Ro 6:7 amekufa ameondolewa zambi

ONEKANA,

Ro 1:20 sifa zinaonekana

2Ko 4:18 macho juu ya vitu vyenye vinaonekana

Ebr 11:27 Ule mwenye haonekane

ONEKANA KWA INJE,

Mt 22:16 namna wanaonekana kwa inje

2Ko 10:7 namna yanaonekana kwa inje

Gal 2:6 namna anaonekana kwa inje

ONGEA,

Mez 17:9 kuongea juu ya jambo

ONGOZA,

Zb 48:14 atatuongoza kwa umilele

Mez 11:14 ufundi wa kuongoza,

Yer 10:23 hana uwezo wa kuongoza

Ebr 13:7, 17 wanaongoza kati yenu

ONGOZWA NA ROHO,

2Ti 3:16 Kila Andiko limeongozwa na roho

ONJA,

Zb 34:8 Muonje kwamba Yehova ni

Ebr 6:4 wameonja zawadi ya kimbingu

1Pe 2:3 mumeonja kwamba Bwana ni

ONYA,

Eze 3:17 unapaswa kuwaonya

Eze 33:9 kama unamuonya muovu ageuke

ONYESHA,

Yoh 5:20 Baba anamuonyesha Mwana

1Yo 2:16 kujionyesha mali katika maisha

ONYO,

Eze 33:4 hatii onyo, damu yake

1Ko 10:11 yaliandikwa ili kuwa onyo kwetu

OSHA,

Zb 51:2 Unioshe kutokana na kosa

OVYOOVYO,

Yob 6:3 mazungumuzo ya ovyoovyo

OZA,

Efe 4:29 Neno lenye kuoza lisitoke

P

PAJI LA USO,

Eze 3:9 paji la uso kama almasi

PAMBA,

Tit 2:10 wapambe mafundisho

1Pe 3:3 Kujipamba kusikuwe kwa inje

PAMBANA,

Efe 6:12 tunapambana, hapana na

PAMBO,

Da 11:45 mulima mutakatifu wa Pambo

PANDA,

Zb 126:5 wenye kupanda kwa machozi

Muh 11:6 Panda mbegu zako asubui

Isa 65:22 hawatapanda ili wengine

Yoh 3:13 mwenye amepanda mbinguni

1Ko 3:6 Nilipanda, Apolo akatia

Gal 6:7 chenye mutu anapanda, ni kile

PANGA,

Isa 2:4 Watafua panga kuwa majembe

Ro 13:14 munapanga mbele ya wakati

PANGO,

Mt 21:13 pango la wanyanganyi

PANZI,

Isa 40:22 wakaaji ni kama panzi

PARADISO,

Lu 23:43 na mimi katika Paradiso

2Ko 12:4 kuingia katika paradiso

PASAKA,

Kut 12:11 Ni Pasaka ya Yehova

Kut 12:27 Pasaka kwa ajili ya Yehova

1Ko 5:7 Kristo kondoo wa Pasaka

PASUA,

Yoe 2:13 Mupasue mioyo yenu

PATAKATIFU,

Kut 25:8 Watanifanyia patakatifu

Kut 26:33 Patakatifu na Patakatifu Zaidi

Zb 73:17 wakati niliingia katika patakatifu

PATANA NA AKILI,

Mdo 9:22 alihakikisha kupatana na akili

PATANISHA,

2Ko 5:19 anapatanisha ulimwengu

PATANISHWA,

Ro 5:10 tulipatanishwa na Mungu

PATIA,

Lu 16:11 atawapatia mali ya kweli?

Ebr 13:21 awapatie ili mufanye mapenzi

PATIA UZIMA,

Isa 57:15 kupatia uzima roho ya

PAULO

. Angalia pia SAULI,

1Ko 1:12 Mimi ni wa Paulo

PEKE YANGU,

Yoh 16:32 siko peke yangu

PEMBE,

Da 7:7 alikuwa na pembe 10

Da 8:8 pembe kubwa ikavunjwa

PENDA,

Kut 35:5 moyo wa kupenda

Law 19:18 kumupenda mwenzako

Kum 6:5 kumupenda Yehova kwa moyo

Zb 110:3 Watu watajitoa kwa kujipendea

Mez 8:30 alipenda sana siku kwa siku

Mt 10:37 Kila mutu mwenye anamupenda

Mt 22:37 kumupenda Yehova kwa moyo

Mk 10:21 Yesu akamupenda na kusema

Yoh 3:16 Mungu alipenda ulimwengu

Yoh 12:25 anapenda sana uzima

Yoh 13:1 amependa wenye ni wake

Yoh 13:34 kwamba mupendane

Yoh 14:15 Kama munanipenda, mutashika

Yoh 21:17 Simoni, je, unanipenda?

Ro 7:22 ninapenda sheria ya Mungu

Ro 13:8 musikuwe na deni isipokuwa kupendana

1Ko 12:18 kama vile alipenda

Gal 2:20 Mwana wa Mungu, alinipenda

Kol 3:19 kupenda bibi zenu

1Pe 5:2 Muchunge kundi kwa kupenda

1Yo 2:15 Musipende ulimwengu

1Yo 3:18 kupendana, hapana kwa ulimi

1Yo 4:10 yeye alitupenda akamutuma

1Yo 4:20 mwenye hamupendi ndugu

1Yo 5:3 kumupenda Mungu kunamaanisha

Yud 21 mubakie katika upendo wa

Ufu 3:19 wenye ninapenda, ninawakaripia

PENDA SANA,

1Ti 6:4 Anapenda sana ubishi

PENDEKEZA,

Ro 5:8 Mungu anapendekeza upendo

PENDELEO,

Flp 1:29 pendeleo ili muteseke

PENDEZA,

Zb 147:1 Inapendeza kumusifu!

Yoh 8:29 mambo yenye kumupendeza

Ro 15:1 tusikuwe tunajipendeza

Ro 15:2 amupendeze jirani yake

Ro 15:3 Kristo hakujipendeza

1Ko 7:33 kumupendeza bibi yake

1Ko 10:33 ninajaribu kupendeza wote

Gal 1:10 kupendeza wanadamu?

Gal 1:10 ningekuwa ninapendeza wanadamu

Efe 1:5 kulingana na vile ilimupendeza

Efe 6:6 ili tu kupendeza wanadamu

Kol 1:10 ili kumupendeza Yehova

PENDEZWA,

Zb 1:2 anapendezwa na sheria

PEPERUSHWA,

Ebr 2:1 tusipeperushwe mbali

PEPO,

Ufu 7:1 wakishika zile pepo ine za dunia

PEPO MUCHAFU,

Mdo 16:16 pepo muchafu wa uaguzi

PEPO WACHAFU,

Mt 8:28 wanaume wenye pepo wachafu

1Ko 10:20 zabihu kwa pepo wachafu

1Ko 10:21 meza ya pepo wachafu

Efe 6:12 pepo wachafu katika mahali pa

Yak 2:19 pepo wachafu wanaamini na

PETRO,

Mt 14:29 Petro akatembea juu ya maji

Lu 22:54 Petro alikuwa anafuata

Yoh 18:10 Petro, alikuwa na upanga

Mdo 12:5 Petro katika gereza

PEWA,

Lu 12:48 mwenye alipewa mengi

PICHA,

Ro 2:20 picha ya ile kweli

PIGA HODI,

Mt 7:7 muendelee kupiga hodi

PIGA KOFI,

Yoh 19:3 walikuwa wanamupiga makofi

PIGANA,

2Ny 20:17 lazima ya kupigana

Mdo 5:39 munapigana na Mungu

1Ti 6:12 Pigana pigano la muzuri

2Ti 2:24 hana lazima ya kupigana

PIGANIA,

Yud 3 mupiganie imani

PIGA-PIGA,

1Ko 9:27 ninapiga-piga mwili

PIGO,

Kut 11:1 pigo zaidi juu ya Farao

PILATO,

Yoh 19:6 Pilato: sione kosa

PIMWA,

Mez 27:21 mutu anapimwa kupitia sifa

Da 5:27 umepimwa ukaonekana umepungukiwa

PINDUA,

2Ko 10:4 kupindua mambo yenye

PITA,

1Ko 4:6 Musipite yenye yaliandikwa

PLANI,

Kut 26:30 tabenakulo kulingana na plani

1Fa 6:38 nyumba kulingana na plani

POFUSHA,

2Ko 4:4 amepofusha akili

POMBE,

Mez 20:1 pombe inamufanya mutu

PONDEKANA,

Isa 42:3 utete wenye kupondekana

PONDWA,

Zb 34:18 anaokoa wenye kupondwa

Mez 18:14 kuvumilia roho yenye kupondwa

Isa 57:15 wenye kupondwa na wenye

PONGEZA,

1Ko 11:2 Ninawapongeza kwa sababu

PONYESHA,

Zb 147:3 Anaponyesha wenye kuvunjika moyo

Mez 12:18 ulimi wa mwenye hekima unaponyesha

Lu 4:23 Munganga, ujiponyeshe

Lu 9:11 akaponyesha wenye walikuwa na lazima

Lu 10:9 muponyeshe wagonjwa na muwaambie

Ufu 22:2 majani yalikuwa ya kuponyesha

PONYESHWA,

2Ny 36:16 hawangeweza kuponyeshwa

Mdo 5:16 wote walikuwa wanaponyeshwa

POOZA,

Lu 5:24 mwenye kupooza: Simama

POROJO,

Mez 20:19 mwenye anapenda porojo

1Ti 5:13 wanapiga porojo na wanajiingiza

POTEA,

Zb 119:176 kondoo mwenye amepotea

Eze 34:4 kutafuta wenye walipotea

Lu 15:24 mwana alikuwa amepotea

PRISILA,

Mdo 18:26 Prisila na Akila

PUMBAVU,

Lu 12:20 Wewe pumbavu, usiku huu

PUMBAZA,

Yer 20:7 Umenipumbaza, Ee Yehova

PUMUA,

Zb 150:6 chenye kupumua kimusifu Yah

PUMUZI,

Mwa 2:7 matundu ya pua yake pumuzi ya uzima

PUMUZIKA,

Da 12:13 Utapumuzika, lakini

PUMUZIKO LA SABATO,

Ebr 4:9 kunabakia pumuziko la sabato

PUMUZISHA,

Mt 11:28 na nitawapumuzisha

PUNDA,

Hes 22:28 akamufanya punda aseme

Zek 9:9 amepanda juu ya punda

PUNJA,

Law 19:13 kumupunja mwenzako

1Ko 6:7 wengine wawapunje ninyi

PUPA,

Lu 12:15 mujilinde na pupa

1Ko 5:11 kushirikiana na mwenye pupa

1Ko 6:10 wenye pupa hawatariti

Kol 3:5 pupa, yenye kuwa ibada ya sanamu

R

RAFIKI,

2Ny 20:7 Abrahamu rafiki yako

Zb 55:13 Rafiki yangu ambaye ninajua

Mez 17:17 Rafiki wa kweli anapenda

Mez 18:24 rafiki mwenye anashikamana

Mez 27:6 vyenye kutokezwa na rafiki

Yak 2:23 Abrahamu akaitwa rafiki ya Yehova

RAFIKI,

Yak 4:4 rafiki ya ulimwengu ni

RAHA,

Lu 8:14 wanabebwa na raha

Ufu 18:7 maisha ya raha

RAHELI,

Mwa 29:18 miaka 7 kwa ajili ya Raheli

Yer 31:15 Raheli analia wana wake

REBEKA,

Mwa 26:7 Rebeka alikuwa na sura

REFUSHA,

Isa 54:2 refusha kamba za hema

REGEVU,

Mez 19:15 muregevu atakuwa na njaa

REHEMA,

Kum 4:31 Mungu mwenye rehema

1Ny 21:13 rehema yake ni nyingi

Ne 9:19 kwa rehema, haukuwaacha

Zb 78:38 alikuwa mwenye rehema

Mez 28:13 ataonyeshwa rehema

Isa 55:7 atamuonyesha rehema

Mt 5:7 Wenye furaha ni wenye rehema

Mt 9:13 rehema, hapana zabihu

Lu 6:36 kuwa wenye rehema

2Ko 1:3 Baba wa rehema

Yak 2:13 Rehema inapata hukumu

Yak 5:11 Yehova ni mwenye rehema

REKEBISHA,

Kum 8:5 alikuwa anakurekebisha

Zb 94:12 mutu mwenye unarekebisha

Gal 6:1 kumurekebisha kwa roho ya upole

Efe 4:12 kusudi la kurekebisha

REKEBISHWA,

2Ko 13:11 muendelee kufurahi, kurekebishwa

RITI,

Mt 5:5 wapole watariti

Mt 25:34 muriti Ufalme kwa ajili yenu

ROHO,

Hes 11:25 sehemu fulani ya roho

1Sa 16:13 roho ikaanza kumutia nguvu Daudi

2Sa 23:2 Roho ya Yehova ilisema kupitia mimi

Zb 51:10 utie ndani yangu roho mupya

Zb 51:17 ni roho yenye kuvunjika

Zb 104:29 unaondoa roho yao, wanakufa

Zb 146:4 Roho yake inatoka, anarudia

Muh 12:7 roho inarudia kwa Mungu

Isa 61:1 Roho ya Yehova iko juu yangu

Yoe 2:28 nitamwanga roho juu ya

Zek 4:6 lakini kwa roho yangu

Mt 3:16 roho ya Mungu ikishuka kama njiwa

Mt 12:31 mwenye anatukana roho takatifu

Mt 26:41 roho inataka lakini mwili

Lu 23:46 ninaweka roho yangu katika mikono

Yoh 4:24 Mungu ni Roho

Yoh 16:13 roho ya ile kweli, atawaongoza

Ro 8:16 Roho yenyewe inatoa ushahidi

Ro 8:26 roho inatuombea pamoja na

1Ko 15:44 unafufuliwa ukiwa mwili wa roho

2Ko 3:17 Yehova ni Roho

Gal 5:16 kutembea kwa roho

Gal 5:22 tunda la roho ni upendo

Gal 6:8 anapanda kwa roho

1Pe 3:18 kuwa muzima katika roho

ROHO TAKATIFU,

Zb 51:11 usiondoe roho takatifu

Lu 1:35 Roho takatifu itakufunika

Lu 3:22 roho takatifu katika umbo ya njiwa

Lu 11:13 Baba atawapatia roho takatifu

Yoh 14:26 roho takatifu atawafundisha

Mdo 1:8 wakati roho takatifu itakuja

Mdo 2:4 wakajazwa roho takatifu

Mdo 5:32 roho takatifu Mungu amepatia

Efe 4:30 musihuzunishe roho takatifu

RUDIA,

Yoe 2:12 murudie kwangu

Ebr 10:39 wanarudia nyuma kwenye

RUDILIA,

Mal 3:7 Munirudilie, na nitawarudilia

RUHUSIWA,

1Ko 6:12 yote yanaruhusiwa kwangu

RUSHWA,

Muh 7:7 rushwa inapotosha moyo

S

SAA,

Mt 24:36 siku ile na saa ile

SABABU,

Muh 7:25 sababu yenye kufanya mambo

Ro 13:5 sababu ya lazima kujitiisha

SABABU YA KUJITETEA,

Yoh 15:22 sababu ya kujitetea kwa ajili ya zambi

Ro 1:20 hawana sababu ya kujitetea

SABATO,

Kut 20:8 siku ya Sabato

Mt 12:8 ni Bwana wa Sabato

Mk 2:27 Sabato kwa ajili ya mwanadamu

Lu 14:5 hatamutosha siku ya Sabato?

Kol 2:16 mutu asiwahukumu juu ya sabato

SADIKI,

Ro 8:38 nimesadiki ikuwe kifo ao uzima

Ro 15:14 mimi nimesadiki juu yenu

SADIKISHWA,

Ro 4:21 amesadikishwa kwamba Yeye

2Ti 3:14 ulijifunza na ulisadikishwa

SAFI,

Law 13:45 Siko safi, siko safi!

Yob 14:4 mutu safi ndani ya mwenye haiko safi?

Hab 1:13 Macho yako ni safi sana, hayawezi

Sef 3:9 nitabadilisha luga ya watu kuwa luga safi

Mt 5:8 Wenye furaha ni wenye moyo safi

Yoh 15:3 safi kwa sababu ya neno

Mdo 20:26 safi kutokana na damu ya watu

SAFINA,

Mwa 6:14 Ujijengee safina

SAFISHA,

Zb 51:2 unisafishe na zambi

Da 11:35 ili kufanya kazi ya kusafisha

Zek 13:9 nitawasafisha kama vile feza

2Ko 7:1 tujisafishe kila uchafu

SAFISHWA,

1Ko 6:11 mumesafishwa mukakuwa

SAHAU,

Kum 4:23 waangalifu ili musisahau

Zb 119:141 Lakini, sijasahau maagizo

Isa 49:15 mwanamuke anaweza kumusahau?

Nah 1:7 Hasahau wenye wanatafuta

Flp 3:13 Ninasahau mambo ya nyuma

Ebr 6:10 hana ukosefu wa haki ili asahau

SALA,

Zb 65:2 Musikiaji wa sala

Zb 141:2 Sala ikuwe kama uvumba

Mez 15:8 sala ya watu wanyoofu

Mez 28:9 Hata sala yake inachukiza

Mk 11:24 mambo munaomba katika sala

Ro 12:12 Mudumu katika sala

Yak 5:15 sala ya imani itaponyesha

1Pe 3:7 sala zenu zisizuiwe

Ufu 8:4 uvumba na sala za watakatifu

SALA YA KUMULILIA MUNGU,

Yak 5:16 Sala ya kumulilia Mungu ya

SALA ZA KUMULILIA MUNGU,

1Ti 2:1 kwamba sala za kumulilia Mungu

Ebr 5:7 Kristo alitoa sala za kumulilia Mungu

SALI,

2Fa 19:15 Hezekia akaanza kusali

Da 6:13 anasali mara 3 kwa siku

Mt 5:44 kusali kwa ajili ya wenye kuwatesa

Mt 6:9 munapaswa kusali hivi:

Mk 1:35 akaamuka akaanza kusali

Lu 5:16 kwenye hakuna watu ili kusali

Mdo 12:5 kutaniko lilikuwa linasali

Ro 8:26 chenye tuko na lazima ya kusali

1Te 5:17 Musali bila kuacha

2Te 3:1 muendelee kusali kwa ajili yetu

SALIMIA,

2Yo 10 wala kumusalimia

SALITI,

Mt 26:21 mumoja atanisaliti

SAMAKI,

Yon 1:17 akatuma samaki amumeze

Yoh 21:11 wavu umejaa samaki

SAMANI,

Mez 3:9 vitu vyenye samani

Da 9:23 wewe ni mwenye samani

Hag 2:7 vitu vyenye samani vya mataifa

1Pe 1:19 damu yenye samani, ya Kristo

SAMARIA,

2Fa 17:6 akakamata Samaria

Yoh 4:7 Mwanamuke wa Samaria akakuja

SAMEHE,

Ne 9:17 Mungu tayari kusamehe

Zb 25:11 Unisamehe kosa langu

Zb 103:3 Anasamehe makosa yako

Mez 17:9 mwenye anasamehe kosa anatafuta

Isa 55:7 atasamehe kwa njia kubwa

Mt 6:14 kama munasamehe Baba atawasamehe

Mt 18:21 kumusamehe mara ngapi?

Kol 3:13 vile Yehova aliwasamehe

SAMSONI,

Amu 13:24 jina Samsoni

SAMWELI,

1Sa 1:20 akamuita Samweli

1Sa 2:18 Samweli alikuwa anatumikia

SANAMU,

Kut 20:4 Haupaswe kujifanyia sanamu

Zb 115:4 Sanamu zao ni feza

Da 2:31 ukaona sanamu kubwa

Da 3:18 hatutaabudu sanamu ya zahabu

1Yo 5:21 mujiepushe na sanamu

SANDUKU,

Kut 25:10 Watafanya sanduku la

2Sa 6:6 Uza akashika Sanduku

1Ny 15:2 anapaswa kubeba Sanduku

SANHEDRINI,

Mdo 5:41 wakatoka mbele ya Sanhedrini

SARA,

Mwa 17:19 Sara atakuzalia mwana

1Pe 3:6 Sara alimutii Abrahamu, akimuita bwana

SAULI,

1Sa 15:11 nimemufanya Sauli kuwa mufalme

Mdo 7:58 kwenye miguu ya kijana Sauli

Mdo 8:3 Sauli akaanza kushambulia kutaniko

Mdo 9:1 Sauli alikuwa anataka kuwaua

Mdo 9:4 Sauli, Sauli, sababu gani unanitesa?

SAUTI,

1Fa 19:12 kukakuwa sauti tulivu

Zb 19:4 sauti yao imefika katika dunia yote

Yoh 5:28 katika makaburi watasikia sauti

Yoh 10:27 Kondoo wanasikiliza sauti yangu

SAUTI YA CHINI,

Yos 1:8 soma kwa sauti ya chini

Zb 1:2 anasoma sheria kwa sauti ya chini

SAWA,

Flp 2:6 akuwe sawa na Mungu

SAYUNI,

Zb 2:6 mufalme juu ya Sayuni

Zb 48:2 Mulima Sayuni, Muji wa Mufalme

Isa 66:8 Sayuni alizaa wana

Ufu 14:1 Mwana-Kondoo juu ya Sayuni

SEDEKIA,

Yer 52:11 akapofusha Sedekia

SEHEMU,

1Ko 13:9 tunajua kwa sehemu

SEHEMU MOJA YA KUMI,

Ne 10:38 wanakusanya sehemu moja ya kumi

SENAKERIBU,

2Fa 19:16 maneno yenye Senakeribu

SEREMALA,

Mk 6:3 ule seremala, mwana wa Maria

SHAHIDI,

Ufu 1:5 Yesu Kristo, Shahidi Muaminifu

SHAMBA,

Mt 13:38 shamba ni ulimwengu

1Ko 3:9 Ninyi ni shamba la Mungu

SHAMBA LA MIZABIBU,

Mt 20:1 wafanyakazi shamba la mizabibu

Mt 21:28 uende katika shamba la mizabibu

Lu 20:9 Mutu alipanda shamba la mizabibu

SHANGAA,

1Pe 4:4 Wanashangaa kwa sababu

SHANGAZA,

1Ko 2:1 maneno ya kushangaza

SHANGILIA,

Zb 137:6 Sababu za kushangilia

Isa 65:13 Watumishi wangu watashangilia

SHANGWE,

Ne 8:10 shangwe ya Yehova ni ngome

Yob 38:7 zilipiga vigelele vya shangwe

Isa 65:14 watapiga vigelegele vya shangwe

SHAVU,

Mt 5:39 kofi kwenye shavu la kuume

SHAWISHI,

1Ko 2:4 maneno ya kushawishi

2Ko 5:11 tunaendelea kushawishi watu

SHEOLI

. Angalia KABURI.

SHERIA,

Zb 19:7 Sheria ya Yehova ni kamilifu

Zb 40:8 sheria yako iko ndani yangu

Zb 94:20 matatizo kwa kutumia sheria?

Zb 119:97 Ninapenda sheria yako!

Yer 31:33 Nitatia sheria yangu

Hab 1:4 Sheria haitumike

Ro 7:22 ninapenda sheria ya Mungu

Ro 10:4 Kristo ndiye mwisho wa Sheria

Ro 13:8 ametimiza sheria

Gal 3:24 Sheria imekuwa mulinzi

Gal 6:2 mutatimiza sheria ya Kristo

2Ti 2:5 ameshindana kulingana na sheria

Yak 2:8 sheria ya kifalme

SHETANI,

Yob 1:6 Shetani akaingia kati yao

Zek 3:2 Shetani, Yehova akukemee!

Mt 4:10 Toka mbele yangu, Shetani!

Mt 16:23 Pita nyuma yangu, Shetani!

Mk 4:15 Shetani anakuja na kuondoa neno

Ro 16:20 Mungu atamuponda Shetani chini ya

1Ko 5:5 kumutoa mutu kwa Shetani

2Ko 2:11 ili Shetani asitushinde akili

2Ko 11:14 Shetani malaika wa mwangaza

2Te 2:9 kupitia utendaji wa Shetani

Ufu 12:9 mwenye kuitwa Ibilisi na Shetani

Ufu 20:2 Shetani, akamufunga miaka 1 000

SHIDA,

1Pe 4:18 mwenye haki anaokolewa kwa shida

SHIKA,

Mt 28:20 kushika mambo yote

Yoh 14:15 Kama munanipenda, mutashika

Flp 2:16 kushika sana neno la uzima

SHIKAMANA,

Mwa 2:24 atashikamana na bibi yake

Kum 10:20 unapaswa kushikamana naye

Yos 23:8 munapaswa kushikamana na Yehova

Lu 22:28 mumeshikama na mimi

Ro 12:9 mushikamane na mema

SHIKAMANA NA YEYE TU,

Kut 34:14 watu washikamane na yeye tu

Wim 8:6 mutu kutaka washikamane na yeye tu

SHILO,

Mwa 49:10 wakati Shilo atakuja

SHIMO,

Mez 26:27 anachimba shimo

Da 6:7 shimo la simba

Mt 15:14 wataanguka ndani ya shimo

SHINDA,

Yer 1:19 Lakini hawatakushinda

Yoh 16:33 nimeshinda ulimwengu

Ro 8:37 katika yote tumeshinda kupitia

Ro 12:21 kushinda uovu kwa wema

Ufu 2:7 mwenye atashinda nitamupatia

SHIRIKI,

Ro 12:13 Mushiriki na watakatifu

SHIRIKIANA,

1Ko 5:9 kushirikiana na waasherati

Efe 4:16 ushirikiane kupitia kila kiungo

2Te 3:14 muache kushirikiana naye

SHITAKA,

1Ti 5:19 shitaka juu ya muzee

Tit 1:7 mwenye hana mashitaka

SHITAKI,

Ro 8:33 nani mwenye atashitaki

SHOMORO,

Mt 10:29 shomoro wawili

SHUKA MOYO,

Flp 2:26 [Epafrodito] ameshuka moyo

1Te 5:14 kufariji wenye wameshuka moyo

SHUKRANI,

Zb 95:2 Tuingie tukiwa na shukrani

Mez 29:21 atakuwa mwenye hana shukrani

Efe 5:20 mutoe shukrani kwa ajili ya yote

Kol 3:15 mujionyeshe kuwa wenye shukrani

1Ti 1:12 Mimi ni mwenye shukrani

SHUKURU,

Zb 92:1 Ni muzuri kumushukuru Yehova

Yoh 11:41 Baba, ninakushukuru kwa sababu

Mdo 28:15 Paulo aliwaona, akamushukuru Mungu

1Ko 1:4 Sikuzote ninamushukuru Mungu

SIAFU,

Mez 6:6 Uende kwa siafu

Mez 30:25 Siafu wanatayarisha chakula

SIFA,

Mez 27:21 anapimwa kupitia sifa

SIFA ZA KUSTAHILI,

Gal 6:1 muko na sifa za kusatahili

SIFIWA,

1Ny 16:25 Yehova anastahili kusifiwa

SIFU,

Zb 147:1 inafaa kumusifu yeye!

Mez 27:2 Acha mwingine akusifu

1Ko 1:31 ajisifu katika Yehova

SIFU-SIFU,

Mez 26:28 kinywa cha kusifu-sifu

Mez 29:5 anasifu-sifu jirani yake

Ro 16:18 kwa maneno ya kusifu-sifu

Yud 16 wanawasifu-sifu kwa ajili ya faida

SIFU YAH,

Zb 146:1 Mumusifu Yah! nafsi

Zb 150:6 chenye kupumua—kimusifu Yah

Ufu 19:1 Walisema: Mumusifu Yah!

SIKIA,

Ro 10:14 watasikia namna gani

SIKIA HAYA,

Ezr 9:6 ninasikia haya kukuinulia

SIKIA WIVU,

Zb 37:1 usisikilie wivu wakosaji

Zb 73:3 nilisikilia wivu wenye kiburi

SIKILIZA,

Mez 1:5 mwenye hekima anasikiliza

Eze 2:7 kama watasikiliza ao hapana

Mt 17:5 Mwana wangu, Mumusikilize

Lu 10:16 mwenye anawasikiliza ninyi

Mdo 4:19 kuwasikiliza kuliko Mungu

Yak 1:19 mwepesi wa kusikiliza

SIKILIZANA,

1Ko 7:11 asikilizane na bwana

SIKU,

Zb 84:10 siku moja katika viwanja

Eze 4:6 siku moja kwa ajili ya mwaka

Mt 24:36 siku ile na saa ile

2Pe 3:8 siku moja ni kama miaka 1 000

SIKUKUU,

Law 23:4 sikukuu za vipindi

SIKUKUU YA KUZALIWA,

Mwa 40:20 sikukuu ya kuzaliwa kwa Farao

Mt 14:6 sikukuu ya kuzaliwa kwa Herode

SIKU YA YEHOVA,

Yoe 2:1 siku ya Yehova inakuja!

Amo 5:18 siku ya Yehova itakuwa na maana

Sef 1:14 siku kubwa ya Yehova iko karibu!

1Te 5:2 siku ya Yehova inakuja

2Te 2:2 siku ya Yehova iko hapa

2Pe 3:12 kuweka katika akili siku ya Yehova

SIKU ZA MWISHO,

2Ti 3:1 siku za mwisho nyakati ngumu

SILAHA,

Isa 54:17 Hakuna silaha yenye

2Ko 10:4 silaha za vita yetu haziko za kimwili

Efe 6:11 Muvae silaha zote

Efe 6:13 silaha zote

SIMAMA,

1Ko 10:12 anawaza anasimama

SIMAMA IMARA,

1Ko 16:13 musimame imara katika imani

SIMAMIA,

Ro 12:8 mwenye kusimamia afanye vile

1Te 5:12 muwaheshimie wenye kuwasimamia

SIMBA,

1Sa 17:36 alipiga na kuua simba

Zb 91:13 Utakanyanga simba

Isa 11:7 Simba atakula majani

Da 6:27 katika makucha ya simba

1Pe 5:8 anatembea kama simba

Ufu 5:5 Simba wa kabila la Yuda

SIMONI,

Mdo 8:18 Simoni akawapatia feza

SINAI,

Kut 19:20 akashuka juu ya Mulima Sinai

SINGIZIWA,

1Ko 4:13 tunasingiziwa, tunajibu

SINZIA,

Mez 23:21 kusinzia kutavalisha mutu

SIRI,

Zb 91:1 mahali pa siri pa

Mez 11:13 mwenye kutumainika anachunga siri

Mez 20:19 Muchongezi anafunua siri

Mez 25:9 usifunue yenye uliambiwa kwa siri

Amo 3:7 hajafunulia manabii jambo lake la siri

Flp 4:12 siri ya namna ya kushiba

SIRI TAKATIFU,

Ro 16:25 siri takatifu ilikuwa

Efe 3:4 namna ninaelewa siri takatifu

SITA-SITA,

Yak 1:8 mwenye kusita-sita

SODOMA,

Mwa 19:24 moto juu ya Sodoma

2Pe 2:6 alihukumu Sodoma, akiwekea mufano

Yud 7 Sodoma na Gomora, mufano wa kuonya

SOKO,

Mdo 17:17 kufikiri na watu katika soko

SOMA,

Kum 17:19 anapaswa kusoma ndani

Yoh 7:15 hakusoma kwenye masomo?

Mdo 8:30 mambo yenye unasoma?

STAHILI,

Mt 10:11 mwenye kustahili

Mt 10:37 kuliko mimi hanistahili

Lu 15:19 Sistahili kuitwa mwana wako

Mdo 5:41 furaha kwa sababu wanastahili

Mdo 13:46 hamujione munastahili uzima

1Ko 11:27 kunywa kikombe bila kustahili

2Ko 3:5 kustahili kwetu kabisa kunatoka

Efe 4:1 kwa namna yenye kustahili mwito

Kol 1:10 mutembee kwa kumustahili Yehova

2Te 1:5 muhesabiwe munastahili Ufalme

2Ti 2:2 wenye watastahili kufundisha

Ufu 4:11 Unastahili, Yehova, kwa sababu

SUKUMA,

Kut 35:21 moyo ulimusukuma

SULEMANI,

1Fa 4:29 akamupatia Sulemani hekima

Mt 6:29 hata Sulemani katika utukufu wake

SURA,

1Sa 16:7 Usiangalie sura

T

TAA,

Zb 119:105 taa ya muguu

Mt 6:22 Taa ya mwili ni jicho

Mt 25:1 mabikira 10 walikamata taa

TAABU,

2Sa 22:7 Katika taabu nilimuitia

Zb 46:1 Musaada nyakati za taabu

Isa 38:14 Yehova, niko katika taabu

Mt 24:21 taabu kubwa yenye haijatokea

Mdo 14:22 katika Ufalme kupitia taabu

Ro 5:3 tufurahi hata katika taabu

Ro 12:12 Muvumilie chini ya taabu

1Ko 7:28 wenye wanaoa watakuwa na taabu

2Ko 4:17 hata kama taabu ni ya wakati kidogo

2Te 1:4 uvumilivu na imani katika taabu

Ufu 7:14 wanatoka katika ile taabu kubwa

TABENAKULO,

Zb 78:60 tabenakulo ya Shilo

Zb 84:1 Tabenakulo yako kubwa ni

TAFAZALI,

Mwa 15:5 Tafazali, angalia mbinguni

TAFUTA,

1Ny 28:9 Kama unamutafuta

Zb 119:176 Tafuta mutumishi wako

Isa 55:6 Mumutafute Yehova wakati

Eze 34:11 nitatafuta kondoo wangu

Sef 2:3 Mumutafute Yehova, wapole

Lu 15:8 fagia nyumba na kuitafuta

Yoh 4:23 Baba anatafuta watu

Mdo 17:27 ili wamutafute Mungu

Kol 3:1 kutafuta mambo yenye kuwa juu

1Pe 1:10 kutafuta kwa uangalifu

TAFUTA SIFA,

Flp 2:3 kwa kutafuta sifa

TAI,

Isa 40:31 Wataruka kama tai

TAIFA,

Kut 19:6 ufalme na taifa

Zb 33:12 Lenye furaha ni taifa lenye

Isa 66:8 taifa litazaliwa mara moja?

Mt 21:43 Ufalme utapewa taifa

Mt 24:7 taifa litapigana na taifa

Mdo 17:26 alifanya kila taifa la watu

1Pe 2:9 taifa takatifu

TAJI,

Mez 12:4 Bibi mwenye uwezo ni taji

Mt 27:29 wakasuka taji la miiba

1Ko 9:25 wapate taji lenye linaharibika

TAJIRI,

Mez 10:22 inamufanya mutu kuwa tajiri

Yer 9:23 tajiri asijisifu kwa sababu ya utajiri

Ufu 3:17 unasema, Mimi ni tajiri

TAJWA,

Efe 5:3 visitajwe hata kidogo

TAKA,

Kum 10:12 Yehova anataka ufanye nini?

Mik 6:8 Yehova anataka ufanye nini?

TAKASA,

1Fa 9:3 Nimetakasa nyumba hii

Yer 1:5 mbele uzaliwe nilikutakasa

Eze 36:23 nitatakasa jina langu kubwa

Da 12:10 Wengi watajitakasa

TAKASWA,

Lu 11:2 jina lako litakaswe

TAKATAKA,

Flp 3:8 ninaviona kuwa takataka

TALANTA,

Mt 25:15 mumoja talanta 5

TAMAA,

Zb 37:4 atakutimizia tamaa za

Zb 145:16 kutimiza tamaa ya kila kitu

Ro 7:18 tamaa ya kufanya mambo ya muzuri

Gal 5:16 hamutatenda tamaa ya mwili

Efe 2:3 kupatana na tamaa za mwili

2Ti 2:22 kimbia tamaa za ujana

Yak 1:14 kushawishiwa na tamaa yake

1Pe 2:2 tamaa kwa ajili ya maziwa

1Pe 2:11 kujiepusha na tamaa za mwili

1Yo 2:16 tamaa ya mwili na tamaa ya macho

TAMAA KUBWA,

Ro 1:26 tamaa kubwa ya ngono

1Te 4:5 pupa, tamaa kubwa ya ngono

TAMAA YA NGONO,

Ro 1:27 waliwakiana tamaa ya ngono

TAMANI,

Kut 20:17 Haupaswe kutamani bibi ya

Yob 14:15 Utatamani sana kazi ya mikono yako

Zb 84:2 kutamani, Viwanja vya Yehova

Isa 26:9 ninakutamani kwa nafsi yote

Ro 1:15 ninatamani kuwatangazia

Flp 1:8 ninatamani sana kuwaona

TAMANI SANA,

Zb 84:2 inatamani sana Yehova

TAMASHA,

1Ko 4:9 tumekuwa tamasha

1Ko 7:31 tamasha ya ulimwengu inabadilika

TAMBARARE,

Zb 26:12 umesimama mahali tambarare

TAMBULIWA,

2Ko 6:9 hawajulikane lakini tunatambuliwa

TAMU,

Ro 16:18 kwa maneno matamu

TANGA-TANGA,

Zb 119:176 Nimetanga-tanga kama kondoo

Isa 53:6 tumetanga-tanga kama kondoo

TANGAZA,

1Ko 11:26 kutangaza kifo cha Bwana

TANGAZO,

Ro 10:10 tangazo kwa ajili ya wokovu

Ebr 10:23 tangazo la tumaini letu

TANGAZWA,

Kut 9:16 jina langu litangazwe

TANGI,

Mez 5:15 Kunywa maji ya tangi lako

TANURU,

Da 3:17 kutuokoa ndani ya tanuru

TARSHISHI,

Yon 1:3 Yona akaenda Tarshishi

TARTARO,

2Pe 2:4 aliwatupa ndani ya Tartaro

TASA,

Kut 23:26 wanamuke hawatakuwa tasa

Isa 54:1 Piga vigelegele, wewe tasa

TATU,

Kum 16:16 Mara tatu kwa mwaka

TAWALA,

Mwa 1:28 mutawale kila kiumbe

Mwa 3:16 bwana yako, atakutawala

Zb 119:133 Jambo lenye uovu lisinitawale

Mez 29:2 wakati muovu anatawala

Muh 8:9 mwanadamu ametawala mwanadamu

Ro 6:12 musiruhusu zambi iendelee kutawala

Ufu 11:15 atatawala akiwa mufalme milele

TAWALIWA,

1Ko 6:12 sitajiacha nitawaliwe na

TAWI,

Yoh 15:4 tawi peke yake haliwezi kuzaa

TAYARI,

Kut 19:8 tuko tayari kuyafanya

Mt 24:44 mukuwe tayari

TAYARISHA,

Yoh 14:2 kuwatayarishia nafasi

TAZAMIO,

Mez 13:12 Tazamio lenye kucheleweshwa

TAZAMIWA,

 

Muh 9:11 matukio yenye hayatazamiwe

TEGEMEA,

Zb 9:10 kujua jina lako watakutegemea

Zb 62:8 Mumutegemee nyakati zote

Zb 84:12 mwenye anakutegemea

Mez 3:5 usitegemee uelewaji wako

Mez 3:5 Umutegemee Yehova kwa moyo wote

Mez 28:26 anategemea moyo wake ni mujinga

Yer 17:5 mwenye anategemea wanadamu

Ro 12:18 kadiri inawategemea ninyi

1Pe 4:11 anategemea nguvu zenye Mungu

TEGEMEKA,

Zb 19:7 Kikumbusho kinategemeka

Zb 33:4 lenye Yehova anafanya linategemeka

TEGEMEO,

Zb 56:11 Katika Mungu ninaweka tegemeo

2Ko 1:9 tegemeo letu, hapana katika sisi

TELUJI,

Isa 1:18 zitafanywa nyeupe kama teluji

TEMA,

Mt 26:67 wakamutemea mate

TEMBEA,

Mik 6:8 utembee kwa kiasi na Mungu

Yoh 6:19 Yesu akitembea juu ya bahari

TEMBELEA,

Mdo 15:36 tutembelee ndugu tuone

TENDA,

Lu 16:8 hekima yenye kutenda

2Pe 1:8 musikuwe wenye hawatende

TENDA ZAMBI,

Mwa 39:9 nimutendee Mungu zambi?

2Sa 12:13 Daudi: Nimemutendea Yehova zambi

TENGA,

Mez 18:1 anajitenga na wengine

TENGANA,

1Ko 7:10 bibi asitengane na bwana

TENGANISHA,

Mt 25:32 atatenganisha watu

Ro 8:39 kututenganisha na upendo wa Mungu

TEREZA,

Zb 73:18 udongo wenye kutereza

TESA,

Zb 119:86 wananitesa bila sababu

Yoh 15:20 wamenitesa, watawatesa pia

Mdo 22:4 Nilitesa mupaka kifo

Ro 12:14 Mubariki wenye wanawatesa

TESEKA,

Ro 8:17 kama tunateseka pamoja naye

1Ko 12:26 Kama kiungo kimoja kinateseka

Flp 1:29 pendeleo ili muteseke kwa ajili yake

1Pe 3:14 munateseka sababu ya haki

TESWA,

Zb 119:71 ni muzuri kwamba nimeteswa

Mt 5:10 wale wenye wameteswa

1Ko 4:12 wakati tunateswa, tunavumilia

2Ko 4:9 tunateswa, lakini hatuachwe

TETEA,

Flp 1:7 kutetea na kuifanya ikubaliwe

1Pe 3:15 sikuzote mukwe tayari kujitetea

TETEMEKA,

Mez 29:25 Kutetemeka mbele ya wanadamu

Flp 2:12 kufanyia kazi wokovu kwa kutetemeka

TIA,

1Pe 2:23 alijitia katika mikono ya

TIA KATIKA HATARI,

Ro 16:4 wametia shingo katika hatari

TIA MAFUTA,

1Sa 16:13 akamutia mafuta Daudi

Isa 61:1 alinitia mafuta nitangaze habari njema

TIA MIZIZI,

2Ko 10:4 yenye yametia mizizi

Kol 2:7 mumetia mizizi katika imani

TIA MOYO,

Mdo 13:15 neno la kutia moyo

Kol 3:16 Muendelee kutiana moyo

Tit 1:9 kutia moyo kupitia fundisho

Ebr 10:25 tutiane moyo, zaidi sana

TIA MUHURI,

Da 12:9 kutiwa muhuri mupaka

Efe 1:13 Kisha kuamini, mulitiwa muhuri

Ufu 7:3 mupaka tutie muhuri watumwa

TIA NGUVU,

1Sa 30:6 Daudi akajitia nguvu

Isa 35:3 Mutie nguvu mikono zaifu

Isa 41:10 Nitakutia nguvu, nitakusaidia

Lu 22:32 wakati utarudia, utie nguvu

Mdo 14:22 wakatia wanafunzi nguvu

TII,

Kut 24:7 tayari kuyafanya, tutatii

1Sa 15:22 Kutii ni muzuri kuliko zabihu

Zb 51:12 Uchochee utayari wa kukutii

Yoh 3:36 hamutii Mwana hataona uzima

Mdo 5:29 kumutii Mungu kuliko wanadamu

Ro 5:19 kutii kwa mutu mumoja

Efe 6:5 mutii mabwana wenu

Ebr 5:8 alijifunza kutii kutokana na

Ebr 13:17 Mutii wenye wanaongoza

TIISHA,

1Ko 15:27 alitiisha vyote chini ya miguu

TIKISA,

Hag 2:7 nitatikisa mataifa yote

TIKISIKA,

1Pe 5:10 atawafanya musitikisike

TIKISWA,

1Te 3:3 asitikiswe na taabu hizo

TIMIZA,

Mt 5:17 kuharibu Sheria, lakini kutimiza

TIMIZA MAHITAJI,

1Ti 5:8 hatimize mahitaji ya watu wake

TIMOTEO,

Mdo 16:1 mwenye kuitwa Timoteo

1Ko 4:17 ninamutuma Timoteo kwenu

1Ti 1:2 Timoteo, mutoto wangu wa kweli

TIWA MOYO,

1Ko 14:31 na watiwe moyo

TOA,

Ro 6:13 mujitoe kwa Mungu

1Pe 4:19 kujitoa kwa Muumbaji

TOA HABARI,

Law 5:1 shahidi, hatoe habari

TOA MAUA,

Isa 35:1 Jangwa litatoa maua

TOA UNABII,

Yoe 2:28 wanamuke watatoa unabii

TOBA,

Ro 2:4 anakuongoza kwenye toba

2Ko 7:10 huzuni inatokeza toba

TOBOA,

Zek 12:10 mwenye walitoboa

TOFAUTI,

Law 11:47 tofauti kati ya kitu chenye

Mal 3:18 tofauti kati ya mwenye haki

Ebr 5:14 tofauti kati ya mambo

TOKA,

Isa 52:11 mutoke kule, musiguse

Ufu 18:4 Mutoke kwake, watu wangu

TOLEO,

Law 7:37 toleo la nafaka, toleo la

TOLEO LA KINYWAJI,

Flp 2:17 kama tolea la kinywaji

TONGOZA,

Mez 7:21 Anamutongoza kwa maneno

TOSHA,

1Pe 4:3 wakati wenye ulipita uliwatosha

TOSHEKA,

Flp 4:11 nimejifunza kutosheka

1Ti 6:8 tutatosheka na vitu hivyo

TOWASHI,

Mdo 8:27 towashi Mwetiopia

TRIBINALI,

Da 7:10 Tribinali ikakaa

Mk 13:9 watawapeleka kwenye tribinali

1Ko 6:6 kwenye tribinali kumushitaki ndugu

TUBU,

Lu 15:7 mutenda-zambi anatubu

Mdo 3:19 mutubu na mugeuke

Mdo 17:30 wote wanapaswa kutubu

Mdo 26:20 yanaonyesha kwamba wametubu

Ufu 16:11 wakamutukana Mungu, hawakutubu

TUKANA,

Mk 3:29 anatukana roho takatifu

TUKUFU,

2Pe 2:10 kutukana watukufu

TULIA,

Yob 37:14 Tulia na ufikiri juu ya

Lu 12:19 tulia., kula, kunywa

TULIVU,

Mez 14:30 Moyo mutulivu unapatia mwili

Mez 17:27 mwenye utambuzi atabakia mutulivu

TULIZA,

Mdo 3:19 vipindi vya kutuliza

TUMA,

Isa 6:8 Mimi huyu! Unitume

TUMAINI,

Mez 3:26 chanzo cha tumaini

Ro 8:24 tuliokolewa katika tumaini

Ro 12:12 Mufurahi katika tumaini

Ro 15:4 kupitia uvumilivu, tukuwe na tumaini

Efe 1:18 aliwaita kwenye tumaini

Efe 2:12 hamukukuwa na tumaini

Ebr 6:19 tumaini kama nanga

TUMAINIA,

Zb 146:3 Musitumainie wakubwa

Zb 146:5 Mwenye anamutumainia Yehova

TUMAINIKA,

Kut 18:21 wanaume wenye kutumainika

TUMBO,

Flp 3:19 mungu wao ni tumbo

TUMIA,

1Ko 7:31 wanatumia ulimwengu

TUMIA MUBAYA,

Lu 15:13 akatumia mubaya mali

TUMIKA,

Da 7:10 waliendelea kumutumikia

Mt 20:28 ili atumikie wengine

1Te 2:9 Tulikuwa tunatumika usiku na

1Pe 4:10 muitumie zawadi ili kutumikiana

TUMIKA PAMOJA,

Ro 8:28 kazi zake zitumike pamoja

TUMIKIA,

Yos 24:15 muchague nani mutatumikia

1Ny 28:9 umutumikie kwa moyo kamili

Zb 100:2 Mumutumikie Yehova kwa furaha

Gal 5:13 mutumikiane kupitia upendo

TUMIWA,

2Ko 12:15 kwa furaha nitatumiwa

TUNDA,

Gal 5:22 tunda la roho ni upendo

TUNGA,

Zb 94:20 kinatunga matatizo

TUPWA,

Efe 4:14 tukitupwa huku na huku

U

UA,

Kut 20:13 Haupaswe kuua

Yoh 16:2 kila mwenye atawaua

Kol 3:5 muue viungo vya mwili wenu

UADILIFU,

Isa 32:1 atatawala kwa ajili ya uadilifu

UADUI,

Mwa 3:15 uadui kati yako na

UAGUZI,

Hes 23:23 uaguzi juu ya Israeli

Kum 18:10 mwenye kufanya uaguzi

UAMINIFU,

Hab 2:4 ataishi kwa uaminifu wake

UAMINIFU-MUSHIKAMANIFU,

1Ny 29:17 na uaminifu-mushikamanifu

Yob 27:5 sitaacha uaminifu-mushikamanifu

Zb 25:21 Uaminifu-mushikamanifu unilinde

Zb 26:11 katika uaminifu-mushikamanifu

Zb 101:2 uaminifu-mushikamanifu wa moyo

UASHERATI,

Mt 15:19 uasherati unatoka katika

Mdo 15:20 wajiepushe na uasherati, na damu

1Ko 6:18 Mukimbie uasherati!

1Ko 10:8 Na tusifanye uasherati

Gal 5:19 uasherati, uchafu

Efe 5:3 Uasherati usitajwe

1Te 4:3 kujiepusha na uasherati

UASI,

1Sa 15:23 uasi ni sawa na uaguzi

UASI-IMANI,

2Te 2:3 mupaka uasi-imani ukuje

UBADILISHANAJI,

Ro 1:12 ubadilishanaji wa kitia-moyo

UBAGUZI,

Mdo 10:34 Mungu hana ubaguzi

UBATIZO,

Lu 3:3 ubatizo wenye kuonyesha kutubu

Ro 6:4 tulizikwa kupitia ubatizo

1Pe 3:21 Ubatizo unawaokoa ninyi sasa

UBAVU,

Mwa 2:22 mwanamuke kwa kutumia ubavu

UBAYA,

Isa 5:20 wenye kusema ubaya ni wema

UCHAFU,

Ro 1:24 aliwaacha katika uchafu

1Ko 4:13 tumekuwa kama uchafu

2Ko 7:1 tujisafishe kila uchafu

Kol 3:5 kuhusiana na uasherati, uchafu

UCHAWI,

Kum 18:10 mwenye kufanya uchawi

Mdo 19:19 uchawi, wakaviteketeza vitabu

UCHUNGU,

Yob 6:2 uchungu wangu ungepimwa

Mez 14:10 unajua uchungu wake

Mt 26:75 na kulia kwa uchungu

Efe 4:31 uchungu wenye uovu, hasira

Kol 3:19 musiwakasirikie kwa uchungu

UCHUNGUZI,

Kum 13:14 kufanya uchunguzi

UDANGANYIFU,

Zb 34:13 midomo isiseme udanganyifu

Da 6:4 hakuna udanganyifu ndani ya Danieli

Mal 2:15 asimutendee bibi kwa udanganyifu

UDONGO,

Isa 45:9 udongo utamuambia mufinyanzi

Isa 64:8 Tuko udongo, uko Mufinyanzi wetu

Da 2:42 sehemu ingine udongo

Mt 13:23 ilipandwa kwenye udongo muzuri

UELEWAJI,

1Fa 3:11 uliomba uelewaji

Mez 3:5 usitegemee uelewaji wako

Mez 4:7 pamoja na vyote, pata uelewaji

Da 11:33 watapatia watu wengi uelewaji

1Ko 14:20 watu wazima katika uelewaji

UFAHAMU,

Zb 119:99 ufahamu mwingi kuliko

Mez 19:11 Ufahamu wa mutu unatuliza

Da 12:3 wenye ufahamu watangaa

UFALME,

Kut 19:6 ufalme wa makuhani

Da 2:44 atasimamisha ufalme

Da 7:14 akapewa utawala, na ufalme

Da 7:18 watakatifu watapokea ufalme

Mt 6:10 Ufalme wako ukuje

Mt 6:33 kutafuta kwanza Ufalme

Mt 21:43 Ufalme utapewa taifa

Mt 24:14 habari njema ya Ufalme

Mt 25:34 Mukuje, muriti Ufalme

Lu 12:32 kuwapatia ninyi Ufalme

Lu 22:29 agano kwa ajili ya ufalme

Yoh 18:36 Ufalme hauko sehemu

Mdo 1:6 unarudishia Israeli ufalme?

1Ko 15:24 atarudisha Ufalme kwa Mungu

Gal 5:21 hawatariti Ufalme wa Mungu

Kol 1:13 ufalme wa Mwana wake

Ufu 1:6 alitufanya tukuwe ufalme

Ufu 11:15 Ufalme wa ulimwengu umekuwa

UFUFUO,

Mt 22:23 wanasema hakuna ufufuo

Mt 22:30 wakati wa ufufuo, hawaoe

Yoh 5:29 kwenye ufufuo wa uzima

Yoh 11:24 atafufuka katika ufufuo katika

Yoh 11:25 Mimi ndiye ufufuo na uzima

Mdo 24:15 ufufuo wa wenye haki

1Ko 15:13 hakuna ufufuo, Kristo hakufufuliwa

UFUNDI,

Kut 35:35 ufundi wa kufanya kazi

Mez 22:29 mwenye ufundi katika kazi yake?

1Ko 4:17 Atawakumbusha ufundi wangu

UFUNDI WA KUFUNDISHA,

2Ti 4:2 na ufundi wa kufundisha

UGOMVI,

Mez 6:19 ugomvi kati ya ndugu

Mez 15:18 mwenye hakasirike anatuliza ugomvi

Mez 17:14 mbele ugomvi uanze, ondoka

UGONJWA,

Mt 9:35 kuponyesha kila ugonjwa

UHAKIKA,

2Ko 5:6 tuko na uhakika kabisa

2Te 3:4 tuko na uhakika katika Bwana juu yenu

UHAKIKISHO,

Mdo 17:31 uhakikisho kuwa amemufufua

UHARIBIFU,

2Te 1:9 azabu ya uharibifu

2Pe 3:7 uharibifu wa wenye hawamuogope

UHODARI,

Mdo 28:15 Paulo akajipa uhodari

Flp 1:14 uhodari wa kusema neno

UHURU,

Ro 8:21 uhuru wenye utukufu

2Ko 3:17 kwenye kuko roho, kuko uhuru

1Pe 2:16 mukitumia uhuru, hapana kama

2Pe 2:19 wanawaahidi uhuru

UJANA,

Yob 33:25 kuliko wakati wa ujana

Zb 71:17 umenifundisha tangu ujana

Mk 10:20 nimeshika yote tangu ujana

1Ti 4:12 yeyote asizarau ujana

UJUZI,

Mez 1:7 mwanzo wa ujuzi

Mez 2:10 ujuzi utapendeza nafsi

Mez 24:5 kwa ujuzi mutu anaongeza

Isa 5:13 Kwa sababu ya kukosa ujuzi

Isa 11:9 dunia itajaa ujuzi

Da 12:4 ujuzi wa kweli utakuwa mwingi

Ho 4:6 Kwa sababu umekataa ujuzi

Mal 2:7 inapaswa kuchunga ujuzi

Lu 11:52 mulitosha funguo ya ujuzi

1Ko 8:1 Ujuzi unaleta majivuno

UJUZI WENYE HAUNA MAKOSA,

Ro 10:2 na ujuzi wenye hauna makosa

Kol 3:10 kupitia ujuzi wenye hauna makosa

1Ti 2:4 wapate ujuzi wenye hauna makosa

UKALI,

Mez 12:10 rehema ya waovu ni yenye ukali

Mez 15:1 neno la ukali linachochea

UKAME,

Yer 17:8 mwaka wa ukame hatahangaika

UKAMILI,

1Te 4:1 kufanya vile kwa ukamili

1Te 4:10 kufanya vile kwa ukamili

UKANDAMIZAJI,

Zb 72:14 Atawaokoa katika ukandamizaji

UKARIBISHAJI-WAGENI,

Ro 12:13 Mufuate njia ya ukaribishaji-wageni

Ebr 13:2 Musisahau ukaribishaji-wageni

UKARIMU,

Kum 15:8 kumufungulia mukono kwa ukarimu

Mez 11:24 anatoa kwa ukarimu

Yak 1:5 anapatia wote kwa ukarimu

UKOMA,

Law 13:45 ukoma: Siko safi!

Hes 12:10 Miriamu alipigwa kwa ukoma

Lu 5:12 mwenye kujaa ukoma!

UKOMAVU,

Ebr 6:1 tusonge kuelekea ukomavu

UKOMBOZI,

Est 4:14 ukombozi kutoka chanzo kingine

Lu 21:28 ukombozi wenu unakaribia

UKOSEFU WA HAKI,

Kum 32:4 hana ukosefu wa haki

Ro 9:14 iko na ukosefu wa haki?

UKUHANI,

1Pe 2:9 ukuhani wa kifalme

UKUTA,

Yos 6:5 ukuta wa muji utaanguka

Da 5:5 kuandika kwenye ukuta wa nyumba

Yoe 2:7 Wanapanda ukuta kama wanajeshi

ULIMI,

Zb 34:13 linda ulimi na ubaya

Mez 18:21 Kifo na uzima katika nguvu za ulimi

Isa 35:6 ulimi wa bubu utapiga vigelegele

Isa 50:4 ulimi wa wenye kufundishwa

Yak 1:26 hazuie kabisa ulimi wake

Yak 3:8 hakuna kufuga ulimi

ULIMWENGU,

Lu 9:25 anapata ulimwengu wote

Yoh 15:19 hamuko sehemu ya ulimwengu

Yoh 17:16 hawako sehemu ya ulimwengu

1Yo 2:15 Musipende ulimwengu ao

1Yo 2:17 ulimwengu unapita, lakini

ULINZI,

Muh 7:12 hekima ni ulinzi

UMALIZIO,

Mt 28:20 niko na ninyi mupaka umalizio

UMANDE,

Kum 32:2 matone-matone kama umande

UMASKINI,

Mez 30:8 Usinipatie umaskini

2Ko 8:2 umaskini mukubwa

UMBA,

Mwa 1:1 Katika mwanzo Mungu aliumba

Zb 104:30 unatuma roho yako, wanaumbwa

Isa 45:18 hakuumba dunia bila sababu

Ro 1:20 tangu kuumbwa kwa ulimwengu

Kol 1:16 Vitu vimeumbwa kupitia yeye

Ufu 4:11 uliumba vyote sababu ya mapenzi

UMEME WA RADI,

Mt 24:27 vile umeme wa radi

Lu 10:18 ameanguka kama umeme wa radi

UMILELE,

Muh 3:11 ametia umilele katika

UMIZA,

Zb 23:4 jambo lenye kuumiza

Isa 11:9 Hawatatokeza jambo lenye kuumiza

UMIZWA,

Ufu 13:3 kichwa kilikuwa kimeumizwa

UMOJA,

Zb 133:1 kukaa pamoja kwa umoja!

Efe 4:3 muendeleze umoja wa roho

Efe 4:13 sisi wote tufikie umoja

UNABII,

2Pe 1:20 hakuna unabii unatokana na

2Pe 1:21 unabii haukuletwa kwa mapenzi

UNAFIKI,

Ro 12:9 Upendo bila unafiki

UNGAMA,

Zb 32:5 niliungama zambi

Mez 28:13 mwenye anayaungama

Yak 5:16 muungame kwa mutu

1Yo 1:9 Kama tunaungama, atatusamehe

UNGANISHA,

Mt 19:6 chenye Mungu ameunganisha

UNGANISHWA,

Flp 2:2 mukiwa mumeunganishwa

UNYASI,

Mt 7:3 unyasi katika jicho la ndugu

UNYENYEKEVU,

Mez 15:33 mbele ya utukufu kuko unyenyekevu

UNYOOFU,

2Ko 8:21 mambo yote kwa unyoofu

Ebr 13:18 kujiendesha kwa unyoofu

UONGO,

Mt 26:59 ushuhuda wa uongo

Gal 2:4 ndugu wa uongo waliingizwa

Efe 4:25 mumeacha uongo, museme kweli

Kol 3:9 Musiambiane uongo

2Te 2:11 wafikie kuamini uongo

Tit 1:2 hawezi kusema uongo

2Pe 2:3 maneno ya uongo

UOVU,

1Te 5:22 Mukatae kila namna ya uovu

UPANGA,

1Sa 17:47 haokoe kwa upanga

Mt 26:52 wanatumikisha upanga watakufa

Efe 6:17 upanga wa roho, neno la Mungu

Ebr 4:12 neno liko makali kuliko upanga

UPARA,

Law 13:40 mwanaume anakuwa na upara

Law 21:5 Hawapaswe kujifanyia upara

2Fa 2:23 Panda juu, wewe mwenye upara!

UPATANO,

1Ko 1:10 museme kwa upatano

Efe 4:16 unaunganishwa kwa upatano

UPENDELEO,

Kum 10:17 yeyote kwa upendeleo

Yak 2:9 kuonyesha upendeleo

UPENDO,

Wim 8:6 upendo uko na nguvu

Mt 24:12 upendo wa wengi utapoa

Yoh 15:13 upendo mukubwa kuliko huu

Ro 8:39 kututenganisha na upendo wa Mungu

Ro 13:10 upendo ndio utimizo wa sheria

1Ko 8:1 lakini upendo unajenga

1Ko 13:2 kama sina upendo,

1Ko 13:8 Upendo haushindwe

1Ko 13:13 jambo la mukubwa zaidi ni upendo

1Ko 16:14 yote yafanywe kwa upendo

2Ko 2:8 mumuhakikishie upendo wenu

Kol 3:12 muvae upendo wenye upole

Kol 3:14 upendo ni kifungo cha umoja

1Pe 4:8 upendo unafunika zambi

1Yo 4:8 Mungu ni upendo

Ufu 2:4 umeacha upendo wenye

UPENDO MUSHIKAMANIFU,

Kut 34:6 ni mwenye upendo mushikaminifu

Zb 13:5 upendo wako mushikamanifu

Zb 136:1-26 upendo wake mushikamanifu

Ho 6:6 ninapendezwa na upendo mushikamanifu

UPENDO WA KINDUGU,

Ro 12:10 Katika upendo wa kindugu mukuwe

UPEPO,

Muh 11:4 anaangalia upepo hatapanda

Mt 7:25 upepo ukavuma na kupiga

Efe 4:14 kupeperushwa na kila upepo wa

UPINDE WA MVUA,

Mwa 9:13 upinde wa mvua utakuwa

UPINZANI,

1Te 2:2 katika upinzani mwingi

UPOFU,

Mwa 19:11 wakawapiga kwa upofu

UPOLE,

1Ko 4:13 tunajibu kwa upole

1Pe 3:4 royo ya utulivu na ya upole

UPOTEVU,

Flp 3:7 nimeviona kuwa upotevu

UPOTOVU,

Mez 1:32 upotovu wa wajinga

UPUMBAVU,

Mez 19:3 Upumbavu wa mutu ndio

Mez 22:15 Upumbavu umefungwa katika moyo

1Ko 3:19 hekima ya ulimwengu ni upumbavu

UPUNGUFU WA CHAKULA,

Mt 24:7 kutakuwa upungufu wa chakula

UPUUZI,

Efe 4:17 upuuzi wa akili zao

URAFIKI,

Zb 25:14 Urafiki na Yehova

Mez 3:32 anafanya urafiki wa karibu

URAIA,

Flp 3:20 uraia wetu uko mbinguni

UREFU KUENDA CHINI,

Efe 3:18 kuelewa urefu kuenda chini

URIMU NA TUMIMU,

Kut 28:30 Utaweka Urimu na Tumimu

URITI,

Hes 18:20 fungu na uriti

Zb 127:3 Wana ni uriti

Efe 1:18 anawekea watakatifu kuwa uriti

1Pe 1:4 uriti wenye hauwezi kuharibika

USADIKISHO,

Kol 4:12 usadikisho imara

1Te 1:5 kwa roho takatifu, na usadikisho

USALAMA,

1Fa 4:25 Israeli waliishi kwa usalama

Mez 3:23 utatembea kwa usalama

Mez 12:3 hakuna usalama kwa kutenda uovu

Isa 32:17 matunda ya haki yatakuwa usalama

Ho 2:18 nitawafanya walale katika usalama

Flp 3:1 mambo yaleyale, ni ya usalama

USAMINI,

Zb 27:4 kuangalia kwa usamini

USAWAZIKO,

Flp 4:5 Usawaziko ujulikane

USAWAZISHO,

2Ko 8:14 ili kukuwe usawazisho

USHAHIDI,

Mt 24:14 itahubiriwa ili kuwa ushahidi

Yoh 7:7 sababu ninatoa ushahidi

Yoh 18:37 ili nitoe ushahidi juu ya kweli

Mdo 10:42 tuhubirie watu na kutoa ushahidi

Mdo 28:23 kutoa ushahidi kamili juu ya Ufalme

USHIKAMANIFU,

Mik 6:8 upende ushikamanifu

USHIKAMANIFU KWA MUNGU,

1Ti 4:7 kusudi la ushikamanifu kwa Mungu

1Ti 4:8 ushikamanifu kwa Mungu uko na faida

1Ti 6:6 faida katika ushikamanifu kwa Mungu

2Ti 3:12 ushikamanifu kwa Mungu watateswa

USHINDI,

2Ko 2:14 maandamano ya ushindi

Ufu 6:2 akishinda na kukamilisha ushindi

USHIRIKA,

1Pe 2:17 mupende ushirika muzima

USIKU,

Zb 19:2 usiku kwa usiku

Ro 13:12 Usiku umeendelea sana

USIMAMIZI,

Efe 1:10 kwa ajili ya usimamizi

USINGIZI,

Ro 13:11 kuamuka kutoka usingizi

UTAJIRI,

Mez 11:28 kutegemea utajiri

Mez 30:8 Usinipatie umaskini wala utajiri

Eze 28:5 majivuno sababu ya utajiri

Mt 6:24 watumwa wa Mungu na wa Utajiri

Mt 13:22 nguvu za udanganyifu wa utajiri

UTAKASO,

Ebr 12:14 Mufuatie utakaso

UTAMBI,

Isa 42:3 hatazima utambi

UTAMBUZI,

Mt 24:15 musomaji atumie utambuzi

UTARATIBU,

1Ny 15:13 hatukutafuta utaratibu

1Ko 14:40 kwa adabu na kwa utaratibu

Gal 5:25 kutembea kwa utaratibu

1Ti 3:2 mwenye utaratibu

UTAWALA,

Isa 9:7 Kuongezeka kwa utawala

Da 4:34 utawala wake ni wa milele

UTAYARI,

Zb 51:12 utayari wa kukutii

2Ko 8:12 kama utayari uko kwanza

Efe 6:15 utayari wa kutangaza habari njema

UTENDAJI,

1Pe 1:13 akili kwa ajili ya utendaji

UTII,

Ro 16:26 kuendeleza utii kupitia imani

UTOTO,

2Ti 3:15 tangu utoto umejua

UTU,

Efe 4:24 kuvaa utu mupya

Kol 3:9 Muvue utu wa zamani

UTUKUFU,

Yoh 12:43 walipenda utukufu

Ro 3:23 kupungukiwa na utukufu

Ro 8:18 kuyalinganisha na utukufu

1Ko 10:31 yote kwa utukufu wa Mungu

Ufu 4:11 Unastahili, kupokea utukufu

UTULIVU,

1Te 4:11 kuishi kwa utulivu

1Pe 3:4 roho ya utulivu na ya upole

UTUMISHI,

Mdo 20:24 kumaliza utumishi

Ro 11:13 ninatukuza utumishi wangu

2Ko 4:1 utumishi kupitia rehema

2Ko 6:3 lisipatikane katika utumishi

1Ti 1:12 kwa kunipatia utumishi

2Ti 4:5 timiza kwa ukamili utumishi

UTUMISHI MUTAKATIFU,

Ro 12:1 utumishi mutakatifu pamoja na

UUMBAJI,

Ro 8:20 uumbaji ulitiishwa

Kol 1:23 ilihubiriwa katika uumbaji wote

Ufu 3:14 mwanzo wa uumbaji wa Mungu

UVUMILIVU,

Mez 14:29 hana uvumilivu

Mez 25:15 Kwa uvumilivu kamanda

Lu 8:15 kuzaa matunda kwa uvumilivu

Lu 21:19 Kupitia uvumilivu mutaokoa

Ro 5:3 taabu inatokeza uvumilivu

Ro 9:22 alivumilia kwa uvumilivu

1Ko 13:4 Upendo ni wenye uvumilivu

Yak 1:4 uvumilivu ukamilishe kazi

Yak 5:8 mukuwe na uvumilivu

Yak 5:11 uvumilivu wa Yobu

2Pe 3:15 uvumilivu wa Bwana wetu

UVUNJAJI WA SHERIA,

Mt 24:12 kuongezeka kwa uvunjaji wa sheria

2Te 2:7 fumbo la uvunjaji wa sheria

UVUTIO,

Mez 31:30 Uvutio unaweza kudanganya

UWEZO,

Kut 18:21 wanaume wenye uwezo

Mez 3:27 uwezo wa kusaidia

Mez 31:29 bibi wenye uwezo, umewapita wote

Mt 25:15 kila mumoja kulingana na uwezo wake

UWEZO WA KUFIKIRI,

Mez 1:4 kumupatia kijana uwezo wa kufikiri

UZAIFU,

Ro 14:1 Mukaribishe mwenye uzaifu

Ro 15:1 kubeba uzaifu wa

UZAO,

Mwa 3:15 uadui kati ya uzao wako

Mwa 22:17 uzao wako ukuwe mwingi

Isa 65:23 uzao wa wenye kubarikiwa

Gal 3:16 uzao wako, ambaye ni Kristo

Gal 3:29 uzao wa Abrahamu, wariti

UZEE,

Zb 71:9 Usinitupe wakati wa uzee

Zb 92:14 wakati wa uzee watasitawi

UZEMBE,

Yer 48:10 kazi ya Yehova kwa uzembe!

Da 6:4 uzembe ndani ya Danieli

UZIA,

2Ny 26:21 Uzia alibakia mwenye ukoma

UZIMA,

Kum 30:19 nimeweka uzima na kifo

Zb 36:9 chemchemi ya uzima

Lu 9:24 anataka kuokoa uzima

Yoh 5:26 Baba iko na uzima

Yoh 11:25 Mimi ndiye ufufuo na uzima

Mdo 20:24 sione uzima wangu kuwa wa maana

Ebr 4:12 neno la Mungu liko na uzima

UZIMA WA MILELE,

Da 12:2 kwenye uzima wa milele

Lu 18:30 kipindi hiki, uzima wa milele

Yoh 3:16 apate uzima wa milele

Yoh 17:3 Uzima wa milele ndio huu

Mdo 13:48 kwa ajili ya uzima wa milele

Ro 6:23 zawadi ya Mungu ni uzima wa milele

1Ti 6:12 shika uzima wa milele

UZINIFU,

Kut 20:14 kufanya uzinifu

Mt 5:28 uzinifu katika moyo wake

Mt 19:9 kumuoa mwingine anafanya uzinifu

UZITO,

Ebr 12:1 tutupe pia kila uzito

UZOEFU,

Zb 19:7 mwenye hana uzoefu

Mez 22:3 hawana uzoefu wanapata matokeo

UZURI,

Mez 6:25 Usitamani uzuri wake

Mez 19:11 ni uzuri kwake kuachilia kosa

Mez 31:30 uzuri unaweza kupita haraka

Eze 28:17 majivuno sababu ya uzuri

V

VAA,

Mez 7:10 amevaa kama kahaba

VICHWA VIGUMU,

2Pe 2:10 wenye vichwa vigumu

VIDONDA,

Mez 23:29 vidonda bila sababu?

Mez 27:6 Vidonda vyenye kutokezwa na rafiki

Isa 53:5 sababu ya vidonda vyake tuliponyeshwa

VIJANA,

Zb 110:3 vijana kama matone

Mez 20:29 Utukufu wa vijana ni nguvu

VIKUMBUSHO,

Zb 119:24 Ninapenda vikumbusho

VIKWAZO,

1Ko 10:32 Muepuke kuwa vikwazo

VILEMA,

Mt 15:31 vilema wanaponyeshwa

VILIO VYA MAUMIVU,

Ro 8:26 vilio vya maumivu vyenye havitamukwe

VIOO,

2Ko 3:18 kama vioo utukufu wa Mungu

VIPINDI,

Da 2:21 anabadilisha vipindi

Mdo 1:7 Haiko kazi yenu kujua vipindi

1Te 5:1 kwa habari ya nyakati na vipindi

VIPOFU,

Isa 35:5 macho ya vipofu

Mt 15:14 Wao ni viongozi vipofu

VIPYA,

Ufu 21:5 vitu vyote kuwa vipya

VITA,

1Sa 17:47 vita ni ya Yehova

Zb 46:9 Anamaliza vita

Isa 2:4 hawatajifunza vita tena

Ho 2:18 Nitaondoa katika inchi vita

1Ko 14:8 nani atajitayarisha kwa ajili ya vita?

Ufu 12:7 vita ikatokea mbinguni: Mikaeli

Ufu 16:14 vita ya ile siku kubwa ya Mungu

VITABU,

Muh 12:12 mwisho wa kutunga vitabu

Mdo 19:19 wakateketeza vitabu vyao

VITABU VYA KUKUNJWA,

Ufu 20:12 vitabu vya kukunjwa kulingana na

VITI VYA UFALME,

Da 7:9 viti vya Ufalme vikawekwa

VITU,

Lu 14:33 haachane na vitu vyake

Ebr 10:34 mukakubali kunyanganywa vitu

VITUNGA,

Mt 14:20 wakajaza vitunga 12

VITUNGUU SAUMU,

Hes 11:5 vitunguu, na vitunguu saumu

VITU VYA KUTOA MWANGAZA,

Flp 2:15 vitu vya kutoa mwangaza katika

VIVU,

Mt 25:26 Mutumwa muovu na muvivu

VIZIWI,

Isa 35:5 masikio ya viziwi

Mk 7:37 Hata anafanya viziwi wasikie

VUA,

Lu 5:10 utakuwa unavua watu

VUGUVUGU,

Ufu 3:16 wewe ni vuguvugu

VUMILIA,

2Fa 10:16 sivumilie ushindani

Ne 9:30 Uliwavumilia kwa miaka

Hab 1:13 hauwezi kuvumilia uovu

Mt 24:13 mwenye atavumilia mupaka

Ro 9:22 alivumilia vyombo vya kasirani kali

Ro 12:12 Muvumilie chini ya taabu

1Ko 4:12 wakati tunateswa tunavumilia

1Pe 2:20 munavumilia mateso

VUMILIANA,

Efe 4:2 mukivumiliana katika upendo

VUNA,

Muh 11:4 anaangalia mawingu hatavuna

Ho 8:7 upepo wanapanda, watavuna upepo

2Ko 9:6 anapanda kwa uchoyo atavuna

Gal 6:7 chenye mutu anapanda, ni kile atavuna

Gal 6:9 tutavuna kama hatuchoke kabisa

VUNJA NDOA,

Mal 2:16 ninachukia kuvunja ndoa

Mt 19:9 anavunja ndoa, kama haiko tu

Mk 10:11 anavunja ndoa na kuoa

VUNJA SHERIA,

Mt 7:23 ya kuvunja sheria!

Lu 22:37 pamoja na wenye kuvunja sheria

VUNJIKA,

Zb 51:17 roho yenye kuvunjika

Isa 66:2 mwenye kuvunjika katika roho

VUNJIKA MASHUA,

2Ko 11:25 mara tatu nilivunjikiwa mashua

VUNJIKA MOYO,

2Ny 15:7 na musivunjike moyo

Mez 24:10 unavunjika moyo siku ya taabu

Kol 3:21 ili wasivunjike moyo

VUNJWA,

Mez 29:1 ikuwe nguvu atavunjwa

VURUGWA,

2Te 2:2 akili yenu isivurugwe

VUTA,

Yoh 6:44 isipokuwa Baba amuvute

VYAKULA VITAMU,

Da 1:5 vyakula vitamu vya

VYUMBA,

Isa 26:20 muingie katika vyumba

W

WAABUDU-SANAMU,

1Ko 6:9 waabudu-sanamu hawatariti

WAAMINIFU,

1Ko 4:2 kupatwa wakiwa waaminifu

WAANGALIZI,

Isa 60:17 amani kuwa waangalizi

Mdo 20:28 imewaweka kuwa waangalizi

1Pe 5:2 waangalizi kwa kupenda

WAASHERATI,

1Ko 5:9 kushirikiana na waasherati

1Ko 6:9 Waasherati hawatariti Ufalme

WAASI,

Hes 20:10 Musikie, ninyi waasi!

Mez 24:21 usishirikiane na waasi

WACHUNGAJI,

Eze 34:2 wachungaji wakijikulisha!

Efe 4:11 wengine wachungaji na walimu

WACHURUZI,

2Ko 2:17 hatuko wachuruzi

WAFALME,

Mez 22:29 mbele ya wafalme

Lu 21:12 Mutapelekwa mbele ya wafalme

Mdo 4:26 Wafalme wa dunia walijipanga

Ufu 5:10 watatawala wakiwa wafalme

Ufu 18:3 wafalme walifanya uasherati

WAFANYABIASHARA,

Ufu 18:3 wafanyabiashara wa dunia

WAFANYAKAZI PAMOJA,

1Ko 3:9 wafanyakazi pamoja na Mungu

WAFARIJI,

Yob 16:2 wafariji wenye kusumbua!

WAFU,

Muh 9:5 wafu hawajue kitu

Lu 20:38 haiko Mungu wa wafu, lakini

Efe 2:1 wazima, hata kama mulikuwa wafu

Ufu 14:13 Wenye furaha ni wafu wenye

WAGENI,

Yoh 10:5 sauti ya wageni

WAIGAJI,

1Ko 11:1 Mukuwe waigaji wangu

Efe 5:1 mukuwe waigaji wa Mungu

WAIMBAJI,

1Ny 15:16 akawaambia waweke waimbaji

WAJANE,

Yak 1:27 kuhangaikia wajane

WAKA,

Ro 12:11 Muwake roho

WAKAMILIFU,

Mt 5:48 mukuwe wakamilifu

WAKANDAMIZAJI,

Muh 4:1 wakandamizaji walikuwa na nguvu

WAKARIMU,

1Ti 6:18 wakuwe wakarimu

WAKATI,

Muh 3:1 kila kazi iko na wakati

Muh 9:11 wakati na matukio yenye

Da 7:25 wakati, nyakati, na nusu ya wakati

Yoh 7:8 wakati wangu haujafika kabisa

1Ko 7:29 wakati wenye unabakia umepunguka

Efe 5:16 mukitumia muzuri zaidi wakati wenu

WAKATI KIDOGO,

2Ko 4:17 taabu ni ya wakati kidogo

WAKATI MUFUPI,

Zb 30:5 kasirani kwa wakati mufupi

Isa 26:20 Mujifiche kwa wakati mufupi

WAKATI WENYE KUJA,

Zb 73:17 wakati wao wenye kuja

Mez 24:20 wakati wenye kuja kwa ajili ya

WAKATI WENYE ULIWEKWA,

Hab 2:3 ni ya wakati wenye uliwekwa

WAKOMAVU,

Ebr 5:14 wakomavu, nguvu za utambuzi

WAKRISTO,

Mdo 11:26

WAKUBWA,

Zb 45:16 wakubwa katika dunia

Isa 32:1 wakubwa watatawala kwa ajili ya haki

WALAWI,

Kut 32:26 Walawi wakakusanyika

Hes 3:12 Walawi watakuwa wangu

2Ny 35:3 Walawi, wafundishaji wa Israeli

WALEVI,

1Ko 6:10 walevi hawatariti Ufalme

WALIMU,

Zb 119:99 ufahamu kuliko walimu

Efe 4:11 wengine wachungaji na walimu

WANA,

Mwa 6:2 wana wa Mungu wakachukua

1Sa 8:3 wana wake hawakutembea

Yob 38:7 wana wa Mungu walipandisha sauti

Isa 54:13 wana wako watafundishwa na Yehova

Isa 66:8 Sayuni alizaa wana

Ro 8:14 wanaongozwa na roho, wana wa Mungu

WANAFILOZOFIA,

Mdo 17:18 wanafilozofia Wastoa

WANAFUNZI,

Mt 28:19 mufanye wanafunzi

Yoh 8:31 ninyi ni wanafunzi wangu

Yoh 13:35 wanafunzi wangu—kama muko na

WANAINCHI,

1Te 2:14 katika mikono ya wanainchi

WANA-KONDOO,

Isa 40:11 Atakusanya wana-kondoo

Yoh 21:15 Lisha wana-kondoo wangu

WANAMUKE,

Kum 31:12 Kusanya watu, wanamuke

Mez 31:3 Usipatie wanamuke nguvu

WANAUME WENYE KULALA NA WANAUME,

1Ko 6:9 wanaume wenye kulala na wanaume

WANEFILI,

Mwa 6:4 Wanefili juu ya dunia

WANYAMA,

Mwa 7:2 wanyama safi saba-saba

Law 26:6 nitaondoa wanyama wakali

Mez 12:10 Mwenye haki anatunza wanyama

Muh 3:19 linapata wanadamu na wanyama

Eze 34:25 nitaondoa wanyama hatari wa pori

Da 7:3 wanyama 4 wakubwa sana

Ho 2:18 agano na wanyama wa pori

WANYENYEKEVU,

Yak 4:6 anapatia wanyenyekevu

WAOVU,

Zb 37:9 waovu wataharibiwa

Zb 37:10 waovu hawatakuwa tena

Mez 15:8 Zabihu ya waovu ni chukizo

Mez 15:29 Yehova iko mbali na waovu

Isa 57:21 Hakuna amani kwa waovu

Ro 12:17 uovu kwa uovu

WAPINGA-KRISTO,

1Yo 2:18 wapinga-Kristo wengi

WAPINZANI,

Lu 21:15 hekima yenye wapinzani

1Ko 16:9 kuko wapinzani wengi

Flp 1:28 bila kuogopeshwa na wapinzani

WAPOLE,

Zb 37:11 wapole watariti dunia

Sef 2:3 Mumutafute Yehova, wapole

1Te 2:7 tulikuwa wapole kama mama

WAREKABU,

Yer 35:5 divai mbele ya Warekabu

WARITI,

Ro 8:17 wariti wa Mungu, lakini wariti

Gal 3:29 uzao wa Abrahamu, wariti

WASHAURI,

Mez 15:22 kupitia washauri wengi

WASHIKAMANIFU,

1Sa 2:9 hatua za washikamanifu

2Sa 22:26 Kwa mushikamanifu unatenda

Zb 16:10 Hautaruhusu mushikamanifu

Zb 37:28 Yehova hataacha washikamanifu

WASIKIVU,

Mdo 17:11 walikuwa wasikivu kuliko

WASIMAMIZI-NYUMBA,

1Ko 4:2 wasimamizi-nyumba ni kupatwa wakiwa

WATAFSIRI,

1Ko 12:30 wote ni watafsiri?

WATAKATIFU,

Da 7:18 watakatifu watapokea ufalme

WATAWALA,

Yoh 12:42 wengi kati ya watawala

Mdo 4:26 watawala wakakusanyika ili kumupinga

WATENDAJI,

Yak 1:22 mukuwe watendaji

WATENDA-ZAMBI,

Zb 1:5 watenda-zambi hawataendelea

Yoh 9:31 Mungu hasikilize watenda-zambi

Ro 5:8 tulikuwa watenda-zambi, Kristo alikufa

WATIIFU,

Ro 6:17 watiifu kutoka katika moyo

WATIWA-MAFUTA,

Zb 105:15 Musiguse watiwa-mafuta

WATOTO,

Kum 31:12 Kusanya watu, watoto

Zb 8:2 Kutoka katika kinywa cha watoto

Mt 11:16 kama watoto wadogo katika masoko

Mt 18:3 kuwa kama watoto wadogo

Mt 19:14 Muache watoto wakuje kwangu

Lu 10:21 umeyafunua kwa watoto wadogo

Ro 8:21 uhuru wa watoto wa Mungu

1Ko 7:14 watoto wenu hawangekuwa safi

1Ko 14:20 watoto kuhusiana na ubaya

2Ko 12:14 watoto kuweka akiba kwa ajili ya

Efe 6:1 Watoto, mutii wazazi wenu

1Yo 3:2 sisi ni watoto wa Mungu

WATOTO WANAMUKE,

Yoe 2:28 watoto wanamuke watatoa unabii

WATOTO WENYE HAWANA BABA,

Zb 68:5 Baba ya watoto wenye hawana baba

WATUMISHI,

Isa 65:13 Watumishi wangu watakula

2Ko 3:6 tustahili kuwa watumishi

2Ko 6:4 tunajipendekeza kuwa watumishi

WATUMISHI WA HUDUMA,

1Ti 3:8 watumishi wa huduma wanapaswa

WATUMWA,

Lu 17:10 watumwa wenye hawana

1Ko 7:23 watumwa wa wanadamu

WATUNGA-MASHAIRI,

Mdo 17:28 watunga-mashairi wenu wenyewe

WATU WA JAMAA,

Mdo 10:24 alikusanya watu wa jamaa

WATU WAZIMA,

1Ko 14:20 watu wazima katika uelewaji

WATU WENGI,

Kut 23:2 kufuata watu wengi

WATU WENYE ELIMU YA NYOTA,

Mt 2:1 watu wenye elimu ya nyota kutoka

WAVU,

Mt 13:47 Ufalme ni kama wavu

WAVUMILIVU,

1Te 5:14 wavumilivu kwa wote

2Pe 3:9 Yehova ni muvumilivu

WAVUVI WA WATU,

Mt 4:19 nitawafanya kuwa wavuvi wa watu

WAWILI-WAWILI,

Lu 10:1 akawatuma wawili-wawili

WAYAHUDI,

Ro 3:29 Mungu wa Wayahudi peke yao?

WAZAZI,

Lu 18:29 ameacha wazazi

Lu 21:16 mutatolewa na wazazi

2Ko 12:14 wazazi wanaweka akiba

Efe 6:1 mutii wazazi wenu

Kol 3:20 mutii wazazi katika kila jambo

WAZAZI WA WAZAZI,

1Ti 5:4 walipe wazazi wa wazazi

WAZEE,

Tit 1:5 uweke wazee

WAZIA,

Mt 24:44 saa yenye hamuwazie

WAZIHAKI,

2Pe 3:3 wazihaki watakuja

WAZIMA,

Lu 20:38 Mungu wa wazima

1Te 4:15 sisi wazima wenye tunabakia

WAZINIFU,

1Ko 6:9 wazinifu hawatariti Ufalme

WAZITO,

Ebr 5:11 wazito katika kusikia

WAZIWA,

Mwa 18:25 jambo lenye haliwezi kuwaziwa

WAZO,

2Ko 10:5 kila wazo ili limutii Kristo

Ufu 17:17 ndani ya mioyo ili kutimiza wazo lake

WEKA,

Zb 31:5 Ninaweka roho yangu

WEKA MUSINGI,

Mt 25:34 tangu kuwekwa musingi

WEMA,

Isa 26:10 muovu anaonyeshwa wema

WENGI,

Yer 8:6 yenye inapendwa na wengi

WENYE HAKI,

1Pe 3:12 macho ya Yehova juu ya wenye haki

WENYE HAWAKO WAAMINI,

1Ko 6:6 mbele ya wenye hawako waamini!

2Ko 6:14 nira na watu wenye hawako waamini

WENYE HAWAKO WENYE HAKI,

Mdo 24:15 ufufuo wa wenye hawako wenye haki

1Ko 6:9 wenye hawako wenye haki hawatariti

WENYE KUBAKIA,

Ufu 12:17 vita na wale wenye kubakia

WENYE KUCHAGULIWA,

Mt 24:22 sababu ya wenye kuchaguliwa

Mt 24:31 watakusanya wenye kuchaguliwa

WENYE KUFANYA AMANI,

Mt 5:9 ni wenye kufanya amani

WENYE KULALAMIKA,

Yud 16 wenye kulalamika juu ya fungu lao

WENYE KUTABIRI MATUKIO,

Law 19:31 watu wenye kutabiri matukio

WEUSI,

Sef 1:15 Siku ya giza na weusi

WEZI,

Mt 6:20 kwenye wezi hawavunje

1Ko 6:10 wezi hawatariti Ufalme

WIMBO,

Zb 98:1 Mumuimbie Yehova wimbo

Mdo 16:25 Paulo na Sila walimusifu kwa wimbo

WINDA,

Law 17:13 anawinda, kumwanga damu

WINGI ZAIDI,

Efe 3:20 kufanya kwa wingi zaidi

WINGU,

Ebr 12:1 wingu kubwa la mashahidi

WIVU,

Zb 106:16 Walimusikilia Musa wivu

Mez 6:34 wivu unafanya bwana akasirike

Mez 14:30 wivu unaozesha mifupa

1Ko 13:4 Upendo hauna wivu

WOGA,

Isa 44:8 kwa sababu ya woga

Lu 21:26 watazimia kwa woga

1Te 2:2 alitufanya tusikuwe na woga

2Ti 1:7 Mungu hakutupatia roho ya woga

1Yo 4:18 Hakuna woga katika upendo

WOKOVU,

2Ny 20:17 muone wokovu wa Yehova

Zb 3:8 Wokovu ni wa Yehova

Mdo 4:12 wokovu katika mutu mwingine

Ro 13:11 sasa wokovu wetu uko karibu

Flp 2:12 kufanyia kazi wokovu wenu

Ufu 7:10 Wokovu unatoka kwa Mungu

WONYESHO,

1Ko 4:9 mitume katika wonyesho

Y

YAH,

Kut 15:2 Uwezo wangu ni Yah

Isa 12:2 Yah Yehova ni nguvu zangu

YAKOBO 1.,

Mwa 32:24 kupigana mieleka na Yakobo

YAKOBO 2.,

Lu 6:16 Yuda mwana wa Yakobo

YAKOBO 3.,

Mdo 12:2 Yakobo ndugu ya Yohana

YAKOBO 4.,

Mk 15:40 Maria mama ya Yakobo

YAKOBO 5.,

Mt 13:55 ndugu zake Yakobo na

Mdo 15:13 Yakobo akajibu

1Ko 15:7 alimutokea Yakobo

Yak 1:1 Yakobo, mutumwa wa Mungu

YEFTA,

Amu 11:30 Yefta akafanya naziri

YEHOSHAFATI,

2Ny 20:3 Yehoshafati akaogopa

YEHOVA,

Kut 3:15 Yehova ndilo jina langu

Kut 5:2 Yehova ni nani? Simujue Yehova

Kut 6:3 kuhusu jina Yehova sikujitambulisha

Kut 20:7 kutumia jina la Yehova

Kum 6:5 kumupenda Yehova kwa moyo wote

Kum 7:9 Yehova ndiye Mungu wa kweli

Zb 83:18 jina lako ni Yehova

Isa 42:8 Yehova. Ndilo jina langu

Ho 12:5 Yehova wa majeshi, Yehova

Mal 3:6 mimi ni Yehova; sibadilike

Mk 12:29 Yehova mumoja

YEREMIA,

Yer 38:6 wakamutupa Yeremia

YERUSALEMU,

Yos 18:28 Yebusi, Yerusalemu

Da 9:25 kujenga upya Yerusalemu

Mt 23:37 Yerusalemu, Yerusalemu, muuaji

Lu 2:41 walizoea kuenda Yerusalemu

Lu 21:20 Yerusalemu imezungukwa

Lu 21:24 Yerusalemu itakanyangwa

Mdo 5:28 mumejaza Yerusalemu na

Mdo 15:2 mitume na wazee kule Yerusalemu

Gal 4:26 Yerusalemu la juu

Ebr 12:22 Yerusalemu la mbinguni

Ufu 3:12 Yerusalemu Mupya unashuka

Ufu 21:2 Yerusalemu Mupya, ukishuka

YESE,

1Sa 17:12 Yese alikuwa na wana 8

Isa 11:1 tawi kutoka kisiki cha Yese

YESU,

Mt 1:21 utamupatia jina Yesu

YEZEBELI,

1Fa 21:23 Imbwa watakula Yezebeli

Ufu 2:20 unavumilia Yezebeli

YOBU,

Yob 1:9 Yobu anamuogopa Mungu?

Yak 5:11 uvumilivu wa Yobu

YOHANA 1.,

Mt 21:25 Ubatizo wa Yohana

Mk 1:9 Yohana akamubatiza Yesu

YOHANA 2.,

Yoh 1:42 Simoni, mwana wa Yohana

YOHANA 3.,

Mt 4:21 wa Zebedayo na Yohana

YONA,

Yon 2:1 Yona akasali katika tumbo

YONATANI,

1Sa 18:3 Yonatani na Daudi

1Sa 23:16 Yonatani akamusaidia Daudi

YORDANI,

Yos 3:13 maji ya Yordani

2Fa 5:10 uoge mara 7 katika Yordani

YOSEFU,

Mwa 39:23 Yehova alikuwa na Yosefu

Lu 4:22 Huyu ni mwana wa Yosefu?

YOSHUA,

Kut 33:11 Yoshua mwana wa Nuni

YOSIA,

2Fa 22:1 Yosia alitawala miaka 31

YUBILE,

Law 25:10 Itakuwa Yubile kwenu

YUDA,

Mwa 49:10 Fimbo haitatoka kwa Yuda

Mt 27:3 Kisha Yuda akahuzunika

YUMBA-YUMBA,

1Fa 18:21 kuyumba-yumba kati ya?

Z

ZAA,

Mwa 1:28 Muzae na mukuwe wengi

Isa 66:7 Mbele akuwe na uchungu, alizaa

1Pe 1:3 alituzaa upya kwa ajili ya tumaini

ZABIHU,

1Sa 15:22 Kutii ni muzuri kuliko zabihu

2Sa 24:24 zabihu zenye hazinigarimu kitu

Zb 40:6 Haukutamani zabihu na toleo

Zb 51:17 Zabihu kwa Mungu ni roho

Mez 15:8 Zabihu ya waovu ni chukizo

Ho 6:6 upendo mushikamanifu, hapana zabihu

Ro 12:1 mutoe miili yenu ikuwe zabihu

Ebr 13:15 tumutolee Mungu zabihu ya sifa

ZABIHU YA KUENDELEA,

Da 11:31 kuondoa zabihu ya kuendelea

Da 12:11 zabihu ya kuendelea imeondolewa

ZAHABU,

Eze 7:19 Feza wala zahabu

Da 3:1 alitengeneza sanamu ya zahabu

ZAIFU,

1Ko 1:27 Mungu alichagua vitu zaifu

2Ko 12:10 wakati niko muzaifu

1Te 5:14 musaidie wazaifu

1Pe 3:7 chombo kizaifu, mwanamuke

ZAKA,

Mal 3:10 Mulete zaka yote

ZAKAYO,

Lu 19:2 Zakayo, mukubwa wa

ZALIWA,

Yob 14:1 mwenye kuzaliwa na

Zb 51:5 Nilizaliwa na hatia ya kosa

ZAMA,

1Ti 4:15 fikiri sana, zama

ZAMANI,

Isa 65:17 ya zamani hayatakumbukwa

ZAMBI,

Mwa 4:7 zambi inashutama

Zb 32:1 mwenye zambi yake imefunikwa

Zb 38:18 Nilisumbuliwa na zambi yangu

Isa 1:18 kama zambi zenu ziko nyekundu

Isa 38:17 umetupa zambi zangu nyuma

Isa 53:12 Alibeba zambi ya watu wengi

Yer 31:34 sitakumbuka tena zambi yao

Eze 33:14 wakati muovu anaacha zambi

Mt 18:15 kama ndugu anatenda zambi, uende

Mk 3:29 anatukana roho, zambi ya milele

Yoh 1:29 Mwana-Kondoo anatosha zambi

Mdo 3:19 mutubu ili zambi zenu zifutwe

Ro 3:25 anasamehe zambi zenye zilifanywa

Ro 5:12 kupitia mutu mumoja zambi iliingia

Ro 6:14 zambi haipaswe kuwa bwana

Ro 6:23 mushahara wenye zambi inalipa

1Ti 5:24 zambi za wengine zinakuwa wazi

Yak 4:17 lakini hayafanye, hiyo ni zambi

Yak 5:15 amefanya zambi, atasamehewa

1Yo 1:7 inatusafisha kutoka katika zambi

1Yo 2:1 kama yeyote anafanya zambi

1Yo 5:17 Kila ukosefu wa haki ni zambi

ZAMIRI,

Ro 2:15 zamiri yao inatoa ushahidi

Ro 13:5 kwa sababu ya zamiri yenu

1Ko 8:12 kuumiza zamiri yao zaifu

1Ti 4:2 zamiri zao zimekuwa kama kovu

1Pe 3:16 kuwa na zamiri ya muzuri

1Pe 3:21 ombi ili kupata zamiri ya muzuri

ZARAU,

Isa 53:3 Alizarauliwa na wanadamu

1Te 4:8 hazarau mwanadamu, lakini

1Ti 4:14 Usizarau zawadi ndani yako

ZARAULIKA,

Hes 21:5 mukate wenye kuzaraulika

ZAWABU,

Rut 2:12 Yehova akupatie zawabu

Kol 3:24 zawabu kutoka kwa Yehova

ZAWADI,

Ro 6:23 zawadi yenye Mungu anatoa

Ro 12:6 tuko na zawadi tofauti

1Ko 7:7 kila mumoja iko na zawadi

1Ko 9:24 ni mumoja tu anapokea zawadi

Efe 4:8 zawadi katika wanadamu

Kol 2:18 mutu awanyanganye zawadi

Yak 1:17 Kila zawadi ya muzuri

ZEEKA,

Zb 37:25 sasa nimezeeka

ZEHEBU,

Mdo 28:22 zehebu hili, linasemwa

Tit 3:10 mwenye anaendeleza zehebu

ZEKARIA 1.,

Lu 11:51 damu ya Zekaria

ZEKARIA 2.,

Ezr 5:1 nabii hagai na Zekaria

ZEKARIA 3.,

Lu 1:5 kuhani mwenye aliitwa Zekaria

ZEU,

Mdo 14:12 Barnaba wakamuita Zeu, Paulo

ZIWA,

Ufu 19:20 ziwa la moto

ZIZI,

Yoh 10:16 hawako wa zizi hili

ZOEZA,

Mez 22:6 Zoeza mutoto mwanaume

ZUIA,

Mez 10:19 anazuia midomo yake

Mez 16:32 mwenye kuzuia kasirani

Isa 14:27 ameamua, nani anaweza kuzuia?

1Ko 7:35 hapana ili kuwazuia, lakini

1Te 2:16 kutuzuia kuwahubiria watu

1Te 4:4 kujua namna ya kuzuia mwili

ZURI ZAIDI,

Flp 2:3 wengine kuwa wazuri zaidi

0-9

12,

Mk 3:14 12 wenye aliita mitume

24,

Ufu 4:4 viti vya ufalme 24

70,

Zb 90:10 maisha yetu ni miaka 70

Da 9:2 ukiwa wa Yerusalemu, miaka 70

Da 9:24 majuma 70 yameamuliwa

Lu 10:1 Bwana akachagua 70

77,

Mt 18:22 lakini mara 77

100,

Mt 13:8 zikazaa, mara 100

Mt 18:12 iko na kondoo 100

Mk 10:30 hatapata mara 100

300,

Amu 7:7 kupitia wanaume 300

500,

1Ko 15:6 ndugu zaidi ya 500

666,

Ufu 13:18 namba yake ni 666

1 000,

Ufu 20:2 akamufunga miaka 1 000

Ufu 20:4 wakatawala miaka 1 000

4 000,

Mk 8:20 mikate 7 kwa wanaume 4 000

5 000,

Mt 14:21 wanaume karibu 5 000

144000,

Ufu 7:4 walitiwa muhuri, 144 000

Ufu 14:3 144 000 wenye wamenunuliwa

185 000,

2Fa 19:35 akaua watu 185 000