Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

B12-A

Juma la Mwisho la Maisha ya Yesu Katika Dunia (Sehemu ya 1)

Nisani 8 (Sabato)

KUSHUKA KWA JUA (Siku za Wayahudi zinaanza na kumalizika wakati jua linashuka)

  • Anafika Betania siku sita (6) mbele ya Pasaka

KUTOKEA KWA JUA

KUSHUKA KWA JUA

Nisani 9

KUSHUKA KWA JUA

  • Anakula pamoja na Simoni mwenye ukoma

  • Maria anamupakaa Yesu mafuta ya nardo

  • Wayahudi wanakuja kumuona Yesu na Lazaro

KUTOKEA KWA JUA

  • Anaingia Yerusalemu kwa vigelegele

  • Anafundisha katika hekalu

KUSHUKA KWA JUA

Nisani 10

KUSHUKA KWA JUA

  • Analala Betania

KUTOKEA KWA JUA

  • Anaenda Yerusalemu asubui sana

  • Anasafisha hekalu

  • Yehova anasema akiwa mbinguni

KUSHUKA KWA JUA

Nisani 11

KUSHUKA KWA JUA

KUTOKEA KWA JUA

  • Anafundisha katika hekalu, kwa kutumia mifano

  • Analaumu Wafarisayo

  • Anaangalia muchango wa mujane

  • Akiwa kwenye Mulima wa Mizeituni, anatabiri kuanguka kwa Yerusalemu na anatoa alama ya kuwapo kwake wakati wenye kuja

KUSHUKA KWA JUA