Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

ULIZO LA 15

Unaweza Kufanya Nini Ili Upate Furaha?

“Ni muzuri zaidi kula mboga za majani mahali kwenye kuko upendo kuliko kula ngombe-dume mwenye kunenepa mahali kwenye kuko chuki.”

Mezali 15:17

“Mimi, Yehova, niko Mungu wako, Mwenye anakufundisha ili ujipatie faida, Mwenye anakuongoza katika njia yenye unapaswa kutembea ndani yake.”

Isaya 48:17

“Wenye furaha ni wale wenye wanatambua uhitaji wao wa kiroho, kwa sababu Ufalme wa mbinguni ni wao.”

Matayo 5:3

“Unapaswa kumupenda jirani yako kama wewe mwenyewe.”

Matayo 22:39

“Kama vile munataka watu wawatendee ninyi, muwatendee kwa njia ileile.”

Luka 6:31

“Wenye furaha ni wale wenye wanasikia neno la Mungu na kulishika!”

Luka 11:28

“Wakati mutu iko na vitu vingi, uzima wake hautokane na vitu vyenye iko navyo.”

Luka 12:15

“Basi, kama tuko na chakula na nguo, tutatosheka na vitu hivyo.”

1 Timoteo 6:8

“Kuko furaha zaidi katika kutoa kuliko katika kupokea.”

Matendo 20:35