Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

A6-B

Muchoro: Manabii na Wafalme wa Yuda na wa Israeli (Sehemu ya 2)

Wafalme wa Ufalme wa Kusini (Inaendelea)

777

Yotamu: miaka 16

762

Ahazi: miaka 16

746

Hezekia: miaka 29

716

Manase: miaka 55

661

Amoni: miaka 2

659

Yosia: miaka 31

628

Yehoahazi: miezi 3

Yehoyakimu: miaka 11

618

Yehoyakini: miezi 3 na siku 10

617

Sedekia: miaka 11

607

Yerusalemu na hekalu lake vinaharibiwa na Wababiloni wenye kushambulia, wenye kuongozwa na Nebukadneza. Sedekia, mufalme wa mwisho wa kidunia katika ukoo wa Daudi, anaondolewa kwenye kiti cha ufalme

Wafalme wa Ufalme wa Kaskazini (Inaendelea)

803 hivi

Zekaria: utawala wa miezi 6 tu ndio umehakikishwa

Zekaria alianza kutawala kwa njia fulani, lakini inaonekana kwamba ufalme wake ulikuwa haujahakikishwa kabisa kuwa wake mupaka mwaka wa 792 hiv

791 hivi

Shalumu: mwezi 1

Menahemu: miaka 10

780 hivi

Pekahia: miaka 2

778 hivi

Peka: miaka 20

758 hivi

Hoshea: miaka 9 kuanzia 748 hivi

748 hivi

Inaonekana kwamba utawala wa Hoshea uliwekwa imara kabisa ao pengine ulisaidiwa na mufalme wa Ashuru Tiglat-pileseri wa Tatu mwaka wa 748 hivi

740

Ashuru inashinda Samaria, inatiisha Israeli; ufalme wa kaskazini wa makabila kumi unafikia mwisho

  • Oroza ya Manabii

  • Isaya

  • Mika

  • Sefania

  • Yeremia

  • Nahumu

  • Habakuki

  • Danieli

  • Ezekieli

  • Obadia

  • Hosea