Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

ULIZO LA 13

Biblia Inasema Nini Juu ya Kazi?

“Je, umemuona mutu mwenye ufundi katika kazi yake? Atasimama mbele ya wafalme; hatasimama mbele ya watu wa kawaida.”

Mezali 22:29

“Ule mwenye kuiba asiibe tena; lakini afanye kazi kwa bidii, akifanya kazi ya muzuri kwa mikono yake, ili akuwe na kitu cha kumupatia mutu mwenye kuwa katika uhitaji.”

Waefeso 4:28

“Kila mutu anapaswa kula na kunywa na kufurahia kazi yake yote ya nguvu. Ni zawadi ya Mungu.”

Muhubiri 3:13