Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

A7-C

Matukio Makubwa ya Maisha ya Yesu Katika Dunia—Utumishi Mukubwa wa Yesu Katika Galilaya (Sehemu ya 1)

WAKATI

MAHALI

TUKIO

MATAYO

MARKO

LUKA

YOHANA

30

Galilaya

Yesu anatangaza kwa mara ya kwanza kama “Ufalme wa mbinguni umekaribia”

4:17

1:14, 15

4:14, 15

4:44, 45

Kana; Nazareti; Kapernaumu

Anamuponyesha mwana wa ofisa wa mufalme; anasoma katika kitabu cha kukunjwa cha Isaya; anaenda Kapernaumu

4:13-16

 

4:16-31

4:46-54

Bahari ya Galilaya, karibu na Kapernaumu

Anaita wanafunzi ine: Simoni na Andrea, Yakobo na Yohana

4:18-22

1:16-20

5:1-11

 

Kapernaumu

Anaponyesha mama-mukwe wa Simoni na wengine

8:14-17

1:21-34

4:31-41

 

Galilaya

Anatembelea Galilaya kwa mara ya kwanza, pamoja na wale ine

4:23-25

1:35-39

4:42, 43

 

Anaponyesha mutu mwenye ukoma; watu wengi wanamufuata

8:1-4

1:40-45

5:12-16

 

Kapernaumu

Anaponyesha mutu mwenye kupooza

9:1-8

2:1-12

5:17-26

 

Anaita Matayo; anakula pamoja na wakusanya-kodi; ulizo juu ya kufunga

9:9-17

2:13-22

5:27-39

 

Yudea

Anahubiri katika masinagogi

   

4:44

 

31, Pasaka

Yerusalemu

Anaponyesha mugonjwa kwenye kiziwa cha maji cha Betzata; Wayahudi wanatafuta kumuua

     

5:1-47

Kurudia kutoka Yerusalemu (?)

Wanafunzi wanakata nafaka siku ya Sabato; Yesu “Bwana wa Sabato”

12:1-8

2:23-28

6:1-5

 

Galilaya; Bahari ya Galilaya

Anaponyesha mukono wa mutu siku ya Sabato; watu wengi wanamufuata; anaponyesha wengine wengi

12:9-21

3:1-12

6:6-11

 

Ml. karibu na Kapernaumu

Anachagua mitume 12

 

3:13-19

6:12-16

 

Karibu na Kapernaumu

Anafanya Mahubiri ya Mulimani

5:1–7:29

 

6:17-49

 

Kapernaumu

Anamuponyesha mutumishi wa ofisa wa jeshi

8:5-13

 

7:1-10

 

Naini

Anafufua mwana wa mujane

   

7:11-17

 

Tiberia; Galilaya (Naini ao karibu na pale)

Yohana anatuma wanafunzi kumuona Yesu; kweli inafunuliwa kwa watoto wadogo; nira yake haiumize

11:2-30

 

7:18-35

 

Galilaya (Naini ao karibu na pale)

Mwanamuke mwenye zambi anamwanga mafuta kwenye miguu ya Yesu; mufano wa watu wenye madeni

   

7:36-50

 

Galilaya

Safari ya pili ya kuhubiri, pamoja na wale 12

   

8:1-3

 

Anafukuza pepo wachafu; zambi yenye haiwezi kusamehewa

12:22-37

3:19-30

   

Hatoe alama yoyote isipokuwa alama ya Yona

12:38-45

     

Mama yake na ndugu zake wanakuja; anasema wanafunzi wake ndio jamaa yake

12:46-50

3:31-35

8:19-21