Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

A7-D

Matukio Makubwa ya Maisha ya Yesu Katika Dunia—Utumishi Mukubwa wa Yesu Katika Galilaya (Sehemu ya 2)

WAKATI

MAHALI

TUKIO

MATAYO

MARKO

LUKA

YOHANA

31 ao 32

Eneo la Kapernaumu

Yesu anatoa mifano kuhusu Ufalme

13:1-53

4:1-34

8:4-18

 

Bahari ya Galilaya

Anatuliza zoruba akiwa ndani ya mashua

8:18, 23-27

4:35-41

8:22-25

 

Eneo la Gadara

Anatuma pepo wachafu ndani ya nguruwe

8:28-34

5:1-20

8:26-39

 

Pengine Kapernaumu

Anamuponyesha mwanamuke mwenye mutiririko wa damu; anamufufua binti ya Yairo

9:18-26

5:21-43

8:40-56

 

Kapernaumu (?)

Anaponyesha vipofu na bubu

9:27-34

     

Nazareti

Anakataliwa tena katika muji wa kwao

13:54-58

6:1-5

   

Galilaya

Anatembelea Galilaya kwa mara ya tatu; anapanua kazi kwa kutuma mitume

9:35–11:1

6:6-13

9:1-6

 

Tiberia

Herode anakata kichwa cha Yohana Mubatizaji; Herode anashangazwa na Yesu

14:1-12

6:14-29

9:7-9

 

32, karibu na Pasaka (Yoh 6:4)

Kapernaumu (?); Kask-Mash mwa Bahari ya Galilaya

Mitume wanarudia kutoka katika safari ya kuhubiri; Yesu anakulisha wanaume 5000

14:13-21

6:30-44

9:10-17

6:1-13

Kask-Mash mwa Bahari ya Galilaya; Genesareti

Watu wanajaribu kumufanya Yesu kuwa mufalme; anatembea juu ya bahari; anaponyesha watu wengi

14:22-36

6:45-56

 

6:14-21

Kapernaumu

Anasema yeye ni “mukate wa uzima”; wengi wanakwazika na kuondoka

     

6:22-71

32, kisha Pasaka

Pengine Kapernaumu

Anafunua mapokeo ya wanadamu

15:1-20

7:1-23

 

7:1

Foinike; Dekapoli

Anaponyesha binti ya mwanamuke Musirofoinike; anakulisha wanaume 4000

15:21-38

7:24–8:9

   

Magadani

Hatoe alama yoyote isipokuwa alama ya Yona

15:39–16:4

8:10-12