A7-D
Matukio Makubwa ya Maisha ya Yesu Katika Dunia—Utumishi Mukubwa wa Yesu Katika Galilaya (Sehemu ya 2)
WAKATI |
MAHALI |
TUKIO |
MATAYO |
MARKO |
LUKA |
YOHANA |
---|---|---|---|---|---|---|
31 ao 32 |
Eneo la Kapernaumu |
Yesu anatoa mifano kuhusu Ufalme |
||||
Bahari ya Galilaya |
Anatuliza zoruba akiwa ndani ya mashua |
|||||
Eneo la Gadara |
Anatuma pepo wachafu ndani ya nguruwe |
|||||
Pengine Kapernaumu |
Anamuponyesha mwanamuke mwenye mutiririko wa damu; anamufufua binti ya Yairo |
|||||
Kapernaumu (?) |
Anaponyesha vipofu na bubu |
|||||
Nazareti |
Anakataliwa tena katika muji wa kwao |
|||||
Galilaya |
Anatembelea Galilaya kwa mara ya tatu; anapanua kazi kwa kutuma mitume |
|||||
Tiberia |
Herode anakata kichwa cha Yohana Mubatizaji; Herode anashangazwa na Yesu |
|||||
32, karibu na Pasaka (Yoh 6:4) |
Kapernaumu (?); Kask-Mash mwa Bahari ya Galilaya |
Mitume wanarudia kutoka katika safari ya kuhubiri; Yesu anakulisha wanaume 5000 |
||||
Kask-Mash mwa Bahari ya Galilaya; Genesareti |
Watu wanajaribu kumufanya Yesu kuwa mufalme; anatembea juu ya bahari; anaponyesha watu wengi |
|||||
Kapernaumu |
Anasema yeye ni “mukate wa uzima”; wengi wanakwazika na kuondoka |
|||||
32, kisha Pasaka |
Pengine Kapernaumu |
Anafunua mapokeo ya wanadamu |
||||
Foinike; Dekapoli |
Anaponyesha binti ya mwanamuke Musirofoinike; anakulisha wanaume 4000 |
|||||
Magadani |
Hatoe alama yoyote isipokuwa alama ya Yona |