Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

A7-B

Matukio Makubwa ya Maisha ya Yesu Katika Dunia—Mwanzo wa Utumishi wa Yesu

WAKATI

MAHALI

TUKIO

MATAYO

MARKO

LUKA

YOHANA

29, kipindi cha mvua ya kwanza

Muto Yordani, pengine Betania ao karibu na pale ngambo ingine ya Yordani

Yesu anabatizwa na kutiwa mafuta; Yehova anamutangaza kuwa Mwana wake na kumukubali

3:13-17

1:9-11

3:21-38

1:32-34

Jangwa la Yudea

Anajaribiwa na Ibilisi

4:1-11

1:12, 13

4:1-13

 

Betania ngambo ingine ya Yordani

Yohana Mubatizaji anamutambulisha Yesu kuwa Mwana-Kondoo wa Mungu; wanafunzi wa kwanza wanajiunga na Yesu

     

1:15, 29-51

Kana ya Galilaya; Kapernaumu

Muujiza wa kwanza kwenye karamu ya ndoa, anabadilisha maji kuwa divai; anatembelea Kapernaumu

     

2:1-12

30, Pasaka

Yerusalemu

Anasafisha hekalu

     

2:13-25

Anazungumuza na Nikodemo

     

3:1-21

Yudea; Aenoni

Anaenda kwenye maeneo ya mashamba ya Yudea, wanafunzi wake wanabatiza; ushuhuda wa mwisho wa Yohana juu ya Yesu

     

3:22-36

Tiberia; Yudea

Yohana anafungwa; Yesu anaondoka na kuenda Galilaya

4:12; 14:3-5

6:17-20

3:19, 20

4:1-3

Sikari, katika Samaria

Katika safari ya kuenda Galilaya, anafundisha Wasamaria

     

4:4-43

Jangwa la Yudea