Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

A7-F

Matukio Makubwa ya Maisha ya Yesu Katika Dunia—Utumishi Wenye Yesu Alifanya Baadaye Mashariki mwa Yordani

WAKATI

MAHALI

TUKIO

MATAYO

MARKO

LUKA

YOHANA

32, kisha Sikukuu ya Kumutolea Mungu Hekalu

Betania ngambo ingine ya Yordani

Anaenda kwenye Yohana alikuwa anabatizia; watu wengi wanamuamini Yesu

     

10:40-42

Perea

Anafundisha katika miji na vijiji, akiwa katika safari kuelekea Yerusalemu

   

13:22

 

Anatia watu moyo waingie kupitia mulango mwembamba; anaomboleza juu ya Yerusalemu

   

13:23-35

 

Pengine Perea

Anafundisha unyenyekevu; mifano: nafasi ya heshima zaidi na wageni wenye kutoa visingizio

   

14:1-24

 

Hesabia garama ya kuwa mwanafunzi

   

14:25-35

 

Mifano: kondoo mwenye alipotea, feza ya kichele yenye ilipotea, mwana mupotevu

   

15:1-32

 

Mifano: musimamizi-nyumba mwenye haiko mwenye haki, tajiri na Lazaro

   

16:1-31

 

Anafundisha kuhusu kukwazika, kusamehe, na imani

   

17:1-10

 

Betania

Lazaro anakufa na anafufuliwa

     

11:1-46

Yerusalemu; Efraimu

Mupango wa kumuua Yesu; anaondoka

     

11:47-54

Samaria; Galilaya

Anaponyesha watu kumi wenye ukoma; anaeleza namna Ufalme wa Mungu utakuja

   

17:11-37

 

Samaria ao Galilaya

Mifano: mujane mwenye kuomba bila kuacha, Mufarisayo na mukusanya-kodi

   

18:1-14

 

Perea

Anafundisha kuhusu ndoa na kuvunja ndoa

19:1-12

10:1-12

   

Anabariki watoto

19:13-15

10:13-16

18:15-17

 

Ulizo la mwanaume tajiri; mufano wa wafanyakazi katika shamba la mizabibu na mushahara wa sawasawa

19:16–20:16

10:17-31

18:18-30

 

Pengine Perea

Anatabiri kifo chake mara ya tatu

20:17-19

10:32-34

18:31-34

 

Ombi kwa ajili ya Yakobo na Yohana la kupata cheo katika Ufalme

20:20-28

10:35-45

   

Yeriko

Anapita katika Yeriko, anaponyesha wanaume wawili vipofu; anatembelea Zakayo; mufano wa mina kumi

20:29-34

10:46-52

18:35–19:28