Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

A7-E

Matukio Makubwa ya Maisha ya Yesu Katika Dunia—Utumishi Mukubwa wa Yesu Katika Galilaya (Sehemu ya 3) na Katika Yudea

WAKATI

MAHALI

TUKIO

MATAYO

MARKO

LUKA

YOHANA

32, kisha Pasaka

Bahari ya Galilaya; Betsaida

Ndani ya mashua akienda Betsaida, Yesu anaonya kuhusu chachu ya Wafarisayo; anamuponyesha mwanaume kipofu

16:5-12

8:13-26

   

Eneo la Kaisaria Filipi

Funguo za Ufalme; anatabiri kifo na ufufuo wake

16:13-28

8:27–9:1

9:18-27

 

Pengine Ml. Hermoni

Anageuzwa sura; Yehova anasema

17:1-13

9:2-13

9:28-36

 

Eneo la Kaisaria Filipi

Anaponyesha kijana mwanaume mwenye pepo wachafu

17:14-20

9:14-29

9:37-43

 

Galilaya

Anatabiri tena kifo chake

17:22, 23

9:30-32

9:43-45

 

Kapernaumu

Analipa kodi kwa feza ya kichele yenye ilitoka katika kinywa cha samaki

17:24-27

     

Mukubwa zaidi katika Ufalme; mufano wa kondoo mwenye alipotea na wa mutumwa mwenye hasamehe

18:1-35

9:33-50

9:46-50

 

Galilaya-Samaria

Katika safari ya kuenda Yerusalemu, anaambia wanafunzi waache mambo yote kwa ajili ya Ufalme

8:19-22

 

9:51-62

7:2-10

Utumishi Wenye Yesu Alifanya Baadaye Katika Yudea

WAKATI

MAHALI

TUKIO

MATAYO

MARKO

LUKA

YOHANA

32, Sikukuu ya Tabenakulo (ao, Vibanda)

Yerusalemu

Anafundisha kwenye Sikukuu; maofisa wanatumwa ili kumukamata

     

7:11-52

Anasema “Mimi ndiye mwangaza wa ulimwengu”; anaponyesha mutu mwenye alizaliwa kipofu

     

8:12–9:41

Pengine Yudea

Anatuma wale 70; wanarudia wakiwa wenye furaha

   

10:1-24

 

Yudea; Betania

Mufano wa Musamaria mwema; anatembelea nyumbani kwa Maria na Marta

   

10:25-42

 

Pengine Yudea

Anafundisha tena sala ya mufano; mufano wa rafiki mwenye kuomba bila kuacha

   

11:1-13

 

Anafukuza pepo wachafu kupitia kidole cha Mungu; tena anatoa tu alama ya Yona

   

11:14-36

 

Anakula pamoja na Mufarisayo; analaumu unafiki wa Wafarisayo

   

11:37-54

 

Mifano: tajiri mupumbavu na musimamizi-nyumba muaminifu

   

12:1-59

 

Anamuponyesha mwanamuke kilema wa miguu siku ya Sabato; mufano wa mbegu ya haradali na wa chachu

   

13:1-21

 

32, Sikukuu ya Kumutolea Mungu Hekalu

Yerusalemu

Mufano wa muchungaji mwema na zizi la kondoo; Wayahudi wanajaribu kumupiga majiwe; anaondoka na kuenda Betania ngambo ingine ya Yordani

     

10:1-39