Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

A7-G

Matukio Makubwa ya Maisha ya Yesu Katika Dunia—Utumishi wa Mwisho wa Yesu Katika Yerusalemu (Sehemu ya 1)

WAKATI

MAHALI

TUKIO

MATAYO

MARKO

LUKA

YOHANA

33, Nisani 8

Betania

Yesu anafika siku sita mbele ya Pasaka

     

11:55–12:1

Nisani 9

Betania

Maria anamwanga mafuta kwenye kichwa na miguu ya Yesu

26:6-13

14:3-9

 

12:2-11

Betania-Betfage- Yerusalemu

Anaingia Yerusalemu kwa ushindi, akiwa juu ya punda

21:1-11, 14-17

11:1-11

19:29-44

12:12-19

Nisani 10

Betania-Yerusalemu

Analaani muti wa tini; anasafisha tena hekalu

21:18, 19; 21:12, 13

11:12-17

19:45, 46

 

Yerusalemu

Wakubwa wa makuhani na waandishi wanafanya mupango wa kumuua Yesu

 

11:18, 19

19:47, 48

 

Yehova anasema; Yesu anatabiri kifo chake; kukosa imani kwa Wayahudi kunatimiza unabii wa Isaya

     

12:20-50

Nisani 11

Betania-Yerusalemu

Somo kutokana na muti wa tini wenye ulikauka

21:19-22

11:20-25

   

Yerusalemu, hekalu

Mamlaka ya Yesu yanapingwa; mufano wa wana wawili

21:23-32

11:27-33

20:1-8

 

Mifano: walimaji wauaji, karamu ya ndoa

21:33–22:14

12:1-12

20:9-19

 

Anajibu maulizo juu ya Mungu na Kaisari, ufufuo, amri kubwa zaidi

22:15-40

12:13-34

20:20-40

 

Anauliza watu ikiwa Kristo ni mwana wa Daudi

22:41-46

12:35-37

20:41-44

 

Ole wao waandishi na Wafarisayo

23:1-39

12:38-40

20:45-47

 

Anaangalia muchango wa mujane

 

12:41-44

21:1-4

 

Mulima wa Mizeituni

Anatoa alama ya kuwapo kwake wakati wenye kuja

24:1-51

13:1-37

21:5-38

 

Mifano: mabikira kumi, talanta, kondoo na mbuzi

25:1-46

     

Nisani 12

Yerusalemu

Viongozi wa Wayahudi wanafanya mupango wa kumuua

26:1-5

14:1, 2

22:1, 2

 

Yuda anapanga namna atamusaliti

26:14-16

14:10, 11

22:3-6

 

Nisani 13 (Siku ya Ine kisha muchana-kati)

Karibu na ndani ya Yerusalemu

Anatayarisha Pasaka ya mwisho

26:17-19

14:12-16

22:7-13

 

Nisani 14

Yerusalemu

Anakula Pasaka pamoja na mitume

26:20, 21

14:17, 18

22:14-18

 

Ananawisha miguu ya mitume

     

13:1-20