Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

A6-A

Muchoro: Manabii na Wafalme wa Yuda na wa Israeli (Sehemu ya 1)

Wafalme wa Ufalme wa Kusini wa Yuda wa Makabila Mbili

997

Rehoboamu: miaka 17

980

Abiya (Abiyamu): miaka 3

980

Asa: miaka 41

937

Yehoshafati: miaka 25

913

Yehoramu: miaka 8

906 hivi

Ahazia: mwaka 1

905 hivi

Malkia Atalia: miaka 6

898

Yehoashi: miaka 40

858

Amazia: miaka 29

829

Uzia (Azaria): miaka 52

Wafalme wa Ufalme wa Kaskazini wa Israeli wa Makabila Kumi

997

Yeroboamu: miaka 22

976 hivi

Nadabu: miaka 2

975 hivi

Baasha: miaka 24

952 hivi

Ela: miaka 2

Zimri: siku 7 (951 hivi)

Omri na Tibni: miaka 4

947 hivi

Omri (peke yake): miaka 8

940 hivi

Ahabu: miaka 22

920 hivi

Ahazia: miaka 2

917 hivi

Yehoramu: miaka 12

905 hivi

Yehu: miaka 28

876

Yehoahazi: miaka 14

862 hivi

Yehoahazi na Yehoashi: miaka 3

859 hivi

Yehoashi (peke yake): miaka 16

844 hivi

Yeroboamu wa Pili: miaka 41

  • Oroza ya Manabii

  • Yoeli

  • Eliya

  • Elisha

  • Yona

  • Amosi