Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

ULIZO LA 12

Tunaweza Kuwa na Tumaini Gani Juu ya Watu Wenye Wamekufa?

“Musishangazwe na jambo hili, kwa maana saa inakuja yenye wale wote wenye kuwa katika makaburi ya ­ukumbusho watasikia sauti yake na watatoka.”

Yohana 5:28, 29

“Kutakuwa ufufuo wa wenye haki na wenye hawako wenye haki.”

Matendo 24:15

“Nikaona wafu, wakubwa na wadogo, wamesimama mbele ya kile kiti cha ufalme, na vitabu vya kukunjwa vikafunguliwa. Lakini kitabu kingine cha kukunjwa kikafunguliwa; hicho ni kitabu cha kukunjwa cha uzima. Wafu wakahukumiwa kupatana na yale mambo yenye kuandikwa katika vile vitabu vya kukunjwa kulingana na matendo yao. Na bahari ikatoa wafu wenye walikuwa ndani yake, na kifo na Kaburi vikatoa wafu wenye walikuwa ndani yavyo, na walihukumiwa kila mumoja kulingana na matendo yake.”

Ufunuo 20:12, 13