Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

ULIZO LA 14

Namna Gani Unaweza Kutumia Mali Yako?

“Mwenye anapenda kujifurahisha atakuwa maskini; mwenye anapenda divai na mafuta hatakuwa tajiri.”

Mezali 21:17

“Mukopaji ni mutumwa wa mukopeshaji.”

Mezali 22:7

“Ni nani kati yenu mwenye akitaka kujenga munara hakae kwanza na kuhesabia garama, ili aone kama iko na vitu vya kutosha ili kuumaliza? Kama hafanye vile, anaweza kuweka musingi lakini anashindwa kumaliza munara, na wale wenye kumuangalia wataanza kumuchekelea, na kusema: ‘Mutu huyu alianza kujenga lakini hakuweza kumaliza.’”

Luka 14:28-​30

“Wakati walikuwa wamekula na kushiba, akaambia wanafunzi wake: ‘Mukusanye pamoja vipande vyenye vilibakia, ili kitu chochote kisipotee.’”

Yohana 6:12