Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

A7-H

Matukio Makubwa ya Maisha ya Yesu Katika Dunia—Utumishi wa Mwisho wa Yesu Katika Yerusalemu (Sehemu ya 2)

WAKATI

MAHALI

TUKIO

MATAYO

MARKO

LUKA

YOHANA

Nisani 14

Yerusalemu

Yesu anaonyesha kama Yuda ni musaliti na anamufukuza

26:21-25

14:18-21

22:21-23

13:21-30

Anaanzisha Chakula cha Mangaribi cha Bwana (1Kor 11:23-​25)

26:26-29

14:22-25

22:19, 20, 24-30

 

Anatabiri kwamba Petro atamukana na mitume watatawanyika

26:31-35

14:27-31

22:31-38

13:31-38

Anaahidi musaidizi; mufano wa muzabibu wa kweli; anatoa amri ya kupendana; sala ya mwisho pamoja na mitume

     

14:1–17:26

Getsemane

Maumivu makali katika bustani; kusalitiwa na kukamatwa kwa Yesu

26:30, 36-56

14:26, 32-52

22:39-53

18:1-12

Yerusalemu

Anaulizwa maulizo na Anasi; anahukumiwa na Kayafa, Sanhedrini; Petro anamukana

26:57–27:1

14:53–15:1

22:54-71

18:13-27

Yuda musaliti anajitundika (Mdo 1:18, 19)

27:3-10

     

Mbele ya Pilato, kisha mbele ya Herode, na anarudishwa kwa Pilato

27:2, 11-14

15:1-5

23:1-12

18:28-38

Pilato anatafuta kumuachilia lakini Wayahudi wanaomba wapewe Baraba; anahukumiwa kifo kwenye muti wa mateso

27:15-30

15:6-19

23:13-25

18:39–19:16

(karibu saa 9 kisha muchana-kati, Siku ya Tano)

Golgota

Anakufa kwenye muti wa mateso

27:31-56

15:20-41

23:26-49

19:16-30

Yerusalemu

Mwili wake unaondolewa kwenye muti na kuwekwa ndani ya kaburi

27:57-61

15:42-47

23:50-56

19:31-42

Nisani 15

Yerusalemu

Makuhani na Wafarisayo wanaweka walinzi kwenye kaburi na wanalitia muhuri

27:62-66

     

Nisani 16

Yerusalemu na maeneo ya pembeni-pembeni; Emau

Yesu anafufuliwa; anatokea wanafunzi mara tano

28:1-15

16:1-8

24:1-49

20:1-25

Kisha Nisani 16

Yerusalemu; Galilaya

Anatokea wanafunzi mara nyingi (1Kor 15:5-7; Mdo 1:3-8); anatoa maagizo; anawatuma wafanye wanafunzi

28:16-20

   

20:26–21:25

Iyari 25

Mulima wa Mizeituni, karibu na Betania

Yesu anapanda mbinguni, siku ya 40 kisha ufufuo wake (Mdo 1:9-​12)

   

24:50-53