Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

ULIZO LA 8

Je, Ni Mungu Analetea Watu Mateso?

“Ni jambo lenye haliwezi kuwaziwa kwamba Mungu wa kweli atende uovu, na Mweza-Yote afanye makosa!”

Yobu 34:10

“Wakati mutu iko katika jaribu, asiseme: ‘Mungu ananijaribu.’ Kwa maana Mungu hawezi kujaribiwa na mambo maovu, wala yeye mwenyewe hamujaribu mutu yeyote.”

Yakobo 1:13

“Mumutupie mahangaiko yenu yote, kwa sababu yeye anawahangaikia ninyi.”

1 Petro 5:7

“Yehova hakawie kuhusiana na ahadi yake, kama vile watu fulani wanaona kukawia, lakini yeye ni muvumilivu kuwaelekea ninyi kwa sababu hataki mutu yeyote aharibiwe lakini anataka wote wafikie kutubu.”

2 Petro 3:9