Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

ULIZO LA 9

Sababu Gani Watu Wanateseka?

“Haiko wenye mbio ndio wanashinda kila mara katika mbio, wala haiko wenye nguvu ndio wanashinda katika vita, wala haiko wenye hekima ndio wanapata kila mara chakula, wala haiko wenye akili ndio wanakuwa kila mara na utajiri, wala haiko wenye ujuzi ndio wanafanikiwa kila mara, kwa sababu wakati na matukio yenye hayatazamiwe yanafikia wote.”

Muhubiri 9:11

“Kupitia mutu mumoja zambi iliingia katika ulimwengu na kifo kupitia zambi, na ni vile kifo kilienea kwa watu wote kwa sababu wote walikuwa wamefanya zambi—.”

Waroma 5:12

“Kwa kusudi hili Mwana wa Mungu alifunuliwa, ili avunje kazi za Ibilisi.”

1 Yohana 3:8

“Ulimwengu muzima unakaa katika nguvu za ule muovu.”

1 Yohana 5:19