ULIZO LA 3
Ni Nani Aliandika Biblia?
“Musa akaandika maneno yote ya Yehova.”
“Danieli aliona ndoto na maono ya kichwa chake wakati alikuwa amelala katika kitanda chake. Kisha akaandika ndoto hiyo; akaandika habari yote ya mambo hayo.”
“Wakati mulipokea neno la Mungu, lenye mulisikia kutoka kwetu, hamukulikubali kama neno la wanadamu, lakini mulilikubali kama vile liko kwa kweli, kama neno la Mungu.”
“Kila Andiko limeongozwa na roho ya Mungu na liko na faida kwa kufundisha.”
“Unabii haukuletwa wakati wowote kwa mapenzi ya mwanadamu, lakini wanadamu walisema yenye yalitoka kwa Mungu wakiongozwa na roho takatifu.”