Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

ULIZO LA 3

Ni Nani Aliandika Biblia?

“Musa akaandika maneno yote ya Yehova.”

Kutoka 24:4

“Danieli aliona ndoto na maono ya kichwa chake wakati alikuwa amelala katika kitanda chake. Kisha akaandika ndoto hiyo; akaandika habari yote ya mambo hayo.”

Danieli 7:1

“Wakati mulipokea neno la Mungu, lenye mulisikia kutoka kwetu, hamukulikubali kama neno la wanadamu, lakini mulilikubali kama vile liko kwa kweli, kama neno la Mungu.”

1 Watesalonike 2:13

“Kila Andiko limeongozwa na roho ya Mungu na liko na faida kwa kufundisha.”

2 Timoteo 3:16

“Unabii haukuletwa wakati wowote kwa mapenzi ya mwanadamu, lakini wanadamu walisema yenye yalitoka kwa Mungu wakiongozwa na roho takatifu.”

2 Petro 1:21