B12-B
Juma la Mwisho la Maisha ya Yesu Katika Dunia (Sehemu ya 2)
Nisani 12
KUSHUKA KWA JUA (Siku za Wayahudi zinaanza na kumalizika wakati jua linashuka)
KUTOKEA KWA JUA
-
Anapitisha siku yenye utulivu pamoja na wanafunzi wake
-
Yuda anafanya mupango wa kumusaliti
KUSHUKA KWA JUA
Nisani 13
KUSHUKA KWA JUA
KUTOKEA KWA JUA
-
Petro na Yohana wanatayarisha Pasaka
-
Yesu na mitume wengine wanafika mangaribi
KUSHUKA KWA JUA
Nisani 14
KUSHUKA KWA JUA
-
Anakula Pasaka pamoja na mitume
-
Ananawisha miguu ya mitume
-
Anamufukuza Yuda
-
Anaanzisha Chakula cha Mangaribi cha Bwana
-
Anasalitiwa na kukamatwa katika bustani ya Getsemane
-
Mitume wanakimbia
-
Anahukumiwa na Sanhedrini kwenye nyumba ya Kayafa
-
Petro anamukana Yesu
KUTOKEA KWA JUA
-
Anasimama tena mbele ya Sanhedrini
-
Anapelekwa kwa Pilato, kisha kwa Herode, kisha anarudishwakwa Pilato
-
Anahukumiwa kifo na anatundikwa kule Golgota
-
Anakufa karibu saa kenda kisha muchana-kati
-
Mwili wake unaondolewa kwenye muti na kuzikwa
KUSHUKA KWA JUA
Nisani 15 (Sabato)
KUSHUKA KWA JUA
KUTOKEA KWA JUA
-
Pilato anakubali walinzi wawekwe kwenye kaburi la Yesu
KUSHUKA KWA JUA
Nisani 16
KUSHUKA KWA JUA
-
Manukato mengine ya kutayarisha mwili kwa ajili ya maziko yanauzwa
KUTOKEA KWA JUA
-
Anafufuka
-
Anatokea wanafunzi
KUSHUKA KWA JUA