Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

B12-B

Juma la Mwisho la Maisha ya Yesu Katika Dunia (Sehemu ya 2)

Nisani 12

KUSHUKA KWA JUA (Siku za Wayahudi zinaanza na kumalizika wakati jua linashuka)

KUTOKEA KWA JUA

  • Anapitisha siku yenye utulivu pamoja na wanafunzi wake

  • Yuda anafanya mupango wa kumusaliti

KUSHUKA KWA JUA

Nisani 13

KUSHUKA KWA JUA

KUTOKEA KWA JUA

  • Petro na Yohana wanatayarisha Pasaka

  • Yesu na mitume wengine wanafika mangaribi

KUSHUKA KWA JUA

Nisani 14

KUSHUKA KWA JUA

  • Anakula Pasaka pamoja na mitume

  • Ananawisha miguu ya mitume

  • Anamufukuza Yuda

  • Anaanzisha Chakula cha Mangaribi cha Bwana

  • Anasalitiwa na kukamatwa katika bustani ya Getsemane

  • Mitume wanakimbia

  • Anahukumiwa na Sanhedrini kwenye nyumba ya Kayafa

  • Petro anamukana Yesu

KUTOKEA KWA JUA

  • Anasimama tena mbele ya Sanhedrini

  • Anapelekwa kwa Pilato, kisha kwa Herode, kisha anarudishwakwa Pilato

  • Anahukumiwa kifo na anatundikwa kule Golgota

  • Anakufa karibu saa kenda kisha muchana-kati

  • Mwili wake unaondolewa kwenye muti na kuzikwa

KUSHUKA KWA JUA

Nisani 15 (Sabato)

KUSHUKA KWA JUA

KUTOKEA KWA JUA

  • Pilato anakubali walinzi wawekwe kwenye kaburi la Yesu

KUSHUKA KWA JUA

Nisani 16

KUSHUKA KWA JUA

  • Manukato mengine ya kutayarisha mwili kwa ajili ya maziko yanauzwa

KUTOKEA KWA JUA

  • Anafufuka

  • Anatokea wanafunzi

KUSHUKA KWA JUA