Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

ULIZO LA 18

Namna Gani Unaweza Kumukaribia Mungu?

“Ee Musikiaji wa sala, watu wa namna zote watakuendea.”

Zaburi 65:2

“Umutegemee Yehova kwa moyo wako wote, na usitegemee uelewaji wako mwenyewe. Umutambue katika njia zako zote, naye atanyoosha mapito yako.”

Mezali 3:5, 6

“Uzima wa milele ndio huu, wafikie kukujua wewe Mungu wa pekee wa kweli, na ule mwenye ulituma, Yesu Kristo.”

Yohana 17:3

“Kweli, [Mungu] haiko mbali sana na kila mumoja wetu.”

Matendo 17:27

“Hili ndilo ninaendelea kusali, kwamba upendo wenu ukuwe mwingi zaidi na zaidi pamoja na ujuzi wenye hauna makosa na utambuzi kamili.”

Wafilipi 1:9

“Kama mutu yeyote kati yenu anakosa hekima, aendelee kumuomba Mungu, kwa maana yeye anapatia wote kwa ukarimu na bila kulaumu, na atapewa hiyo.”

Yakobo 1:5

“Mumukaribie Mungu, naye atawakaribia ninyi. Musafishe mikono yenu, ninyi watenda-zambi, na mutakase mioyo yenu, ninyi wenye kusita-sita.”

Yakobo 4:8

“Kwa maana kumupenda Mungu kunamaanisha hivi, kwamba tushike amri zake; na bado amri zake haziko muzigo muzito.”

1 Yohana 5:3