Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Kitabu cha Mezali

Sura

Habari Zenye Kuwa Ndani

  • 1

    • Kusudi la mezali (1-7)

    • Hatari za mashirika ya mubaya (8-19)

    • Hekima ya kweli inaita kwa sauti kubwa mahali pa watu wengi (20-33)

  • 2

    • Hekima ni ya maana sana (1-22)

      • Tafuta hekima kama hazina zenye kufichwa (4)

      • Uwezo wa kufikiri ni ulinzi (11)

      • Uasherati unaleta musiba (16-19)

  • 3

    • Ukuwe na hekima na umutegemee Yehova (1-12)

      • Umuheshimie Yehova kupitia vitu vyenye samani (9)

    • Hekima inaleta furaha (13-18)

    • Hekima inaleta usalama (19-26)

    • Namna inafaa kutendea wengine (27-35)

      • Tendea wengine mema ikiwezekana (27)

  • 4

    • Mafundisho ya baba yenye hekima (1-27)

      • Zaidi ya yote, pata hekima (7)

      • Epuka njia za uovu (14, 15)

      • Njia ya wenye haki inangaa zaidi na zaidi (18)

      • “Linda moyo wako” (23)

  • 5

    • Onyo juu ya wanamuke waasherati (1-14)

    • Furahi pamoja na bibi yako (15-23)

  • 6

    • Ukuwe muangalifu kuhusu kutoa ahadi ya kulipia wengine mukopo (1-5)

    • “Uende kwa siafu, wewe muvivu” (6-11)

    • Mutu muovu mwenye hana mafaa yoyote (12-15)

    • Vitu saba vyenye Yehova anachukia (16-19)

    • Ujilinde na mwanamuke muovu (20-35)

  • 7

    • Shika amri za Mungu na uishi (1-5)

    • Kijana mwanaume mujinga anatongozwa (6-27)

      • “Kama ngombe-dume mwenye anaenda kuchinjwa” (22)

  • 8

    • Hekima yenye kuzungumuziwa kama mutu inaongea (1-36)

      • ‘Mimi ni mwanzo kabisa wa kazi za Mungu’ (22)

      • ‘Nilikuwa pembeni ya Mungu nikiwa fundi wa kazi’ (30)

      • ‘Nilipenda sana wana wa binadamu’ (31)

  • 9

    • Hekima ya kweli inatoa mualiko (1-12)

      • “Nitafanya siku zako zikuwe nyingi” (11)

    • Mwanamuke mujinga anaalika watu (13-18)

      • “Maji yenye yaliibwa ni matamu” (17)

  • MEZALI ZA SULEMANI (10:1–24:34)

    • 10

      • Mwana mwenye hekima anamufurahisha baba yake (1)

      • Mikono yenye bidii inaleta utajiri (4)

      • Kusema maneno mengi kunaleta makosa (19)

      • Baraka ya Yehova inamufanya mutu kuwa tajiri (22)

      • Kumuogopa Yehova kunarefusha maisha (27)

    • 11

      • Wenye kiasi wako na hekima (2)

      • Muasi-imani anapeleka wengine kwenye uharibifu (9)

      • “Mafanikio kupitia washauri wengi” (14)

      • Mutu mukarimu atafanikiwa (25)

      • Mwenye anategemea utajiri wake ataanguka (28)

    • 12

      • Mwenye anachukia karipio hana akili (1)

      • “Maneno yenye kusemwa bila kufikiri yanatoboa kama upanga” (18)

      • Kuendeleza amani kunaleta furaha (20)

      • Midomo yenye kusema uongo inamuchukiza Yehova (22)

      • Mahangaiko yanalemea moyo (25)

    • 13

      • Wenye kutafuta shauri wako na hekima (10)

      • Tumaini lenye kucheleweshwa linafanya moyo ugonjwe (12)

      • Mujumbe muaminifu analeta uponyeshaji (17)

      • Kutembea na wenye hekima kunafanya mutu akuwe na hekima (20)

      • Nizamu inaonyesha upendo (24)

    • 14

      • Moyo unajua uchungu wake mwenyewe (10)

      • Njia yenye inaonekana kuwa sawa inaweza kuleta kifo (12)

      • Mujinga anaamini kila neno (15)

      • Tajiri iko na marafiki wengi (20)

      • Moyo mutulivu unapatia mwili uzima (30)

    • 15

      • Jibu la upole linatuliza kasirani (1)

      • Macho ya Yehova yako kila mahali (3)

      • Sala ya mutu munyoofu inamufurahisha Mungu (8)

      • Mipango inashindikana wakati hakuna kupatiana mawazo (22)

      • Fikiri sana mbele ya kujibu (28)

    • 16

      • Yehova anachunguza nia (2)

      • Tia kazi zako katika mikono ya Yehova (3)

      • Mizani za unyoofu zinatoka kwa Yehova (11)

      • Kiburi kinatangulia kuanguka kwa kishindo (18)

      • Imvi ni taji la uzuri (31)

    • 17

      • Usilipe ubaya kwa wema (13)

      • Ondoka mbele ugomvi uanze (14)

      • Rafiki wa kweli anapenda nyakati zote (17)

      • “Moyo wenye furaha ni dawa ya muzuri” (22)

      • Mutu mwenye utambuzi anazuia maneno yake (27)

    • 18

      • Kujitenga na wengine ni kutafuta faida yake mwenyewe na haiko jambo la hekima (1)

      • Jina la Yehova ni munara wenye nguvu (10)

      • Mali ni ulinzi wa kuwaziwa tu (11)

      • Hekima ya kusikiliza pande zote mbili (17)

      • Rafiki anashikamana na mutu kwa ukaribu kuliko ndugu (24)

    • 19

      • Ufahamu unatuliza kasirani (11)

      • Bibi mugomvi ni kama sehemu ya juu ya nyumba yenye kuvuya (13)

      • Bibi mwenye busara anatoka kwa Yehova (14)

      • Tia mutoto nizamu wakati kungali tumaini (18)

      • Hekima ya kusikiliza shauri (20)

    • 20

      • Divai ni yenye zihaka (1)

      • Muvivu halime wakati wa kipindi cha baridi (4)

      • Mawazo ya mutu ni kama maji yenye kina (5)

      • Onyo juu ya kuweka naziri haraka-haraka (25)

      • Utukufu wa vijana ni nguvu zao (29)

    • 21

      • Yehova anaongoza moyo wa mufalme (1)

      • Haki inashindia zabihu (3)

      • Bidii inaleta mafanikio (5)

      • Mwenye hasikilize mutu wa hali ya chini hatasikiwa (13)

      • Hakuna hekima katika kumupinga Yehova (30)

    • 22

      • Jina la muzuri linashindia kuwa na mali nyingi (1)

      • Mazoezi yenye mutoto anapata wakati angali mudogo yatadumu maisha yake yote (6)

      • Muvivu anaogopa kwamba simba iko inje (13)

      • Nizamu inaondoa upumbavu (15)

      • Mufanyakazi mwenye ufundi anatumikia wafalme (29)

    • 23

      • Ukuwe na busara wakati unaonyeshwa ukarimu (2)

      • Usifuatilie utajiri (4)

      • Utajiri unaweza kuruka mbali na wewe (5)

      • Usikuwe kati ya wenye kunywa pombe sana (20)

      • Pombe inauma kama nyoka (32)

    • 24

      • Usisikilie waovu wivu (1)

      • Nyumba inajengwa kwa hekima (3)

      • Mwenye haki anaweza kuanguka lakini atasimama (16)

      • Usilipize kisasi (29)

      • Kusinzia kunaleta umaskini (33, 34)

  • MEZALI ZA SULEMANI ZENYE ZILIANDIKWA NA WATU WA MUFALME HEZEKIA (25:1–29:27)

    • 25

      • Kuweka siri (9)

      • Maneno yenye kuchaguliwa muzuri (11)

      • Kuheshimia wakati wa wengine wa kuwa peke yao (17)

      • Kukusanya makaa juu ya kichwa cha adui (21, 22)

      • Habari ya muzuri ni kama maji ya baridi (25)

    • 26

      • Maelezo kuhusu watu wavivu (13-16)

      • Usijiingize katika ugomvi wenye haukuangalie (17)

      • Epuka mizaha (18, 19)

      • Kwenye hakuna kuni, moto unazimika (20, 21)

      • Maneno ya muchongezi ni kama matonge matamu (22)

    • 27

      • Karipio kutoka kwa rafiki ni lenye faida (5, 6)

      • Mwana wangu, furahisha moyo wangu (11)

      • Chuma kinanoa chuma (17)

      • Jua kundi lako (23)

      • Mali haidumu milele (24)

    • 28

      • Sala ya mutu mwenye hasikilize sheria inachukiza (9)

      • Mwenye anaungama anaonyeshwa rehema (13)

      • Mwenye kuharakisha kupata utajiri hatakosa kuwa na hatia (20)

      • Karipio linashindia kusifu-sifu (23)

      • Mutu mukarimu hakose kitu (27)

    • 29

      • Mutoto mwenye kuachiliwa analeta haya (15)

      • Wakati hakuna maono, watu wanafanya kile wanapenda (18)

      • Mutu mwenye kasirani anachochea ugomvi (22)

      • Mutu munyenyekevu anapata utukufu (23)

      • Kuogopa wanadamu ni mutego (25)

  • 30

    • MANENO YA AGURI (1-33)

      • Usinipatie umaskini wala utajiri (8)

      • Vitu vyenye havishibake (15, 16)

      • Vitu vyenye haviachake alama (18, 19)

      • Mwanamuke muzinifu (20)

      • Wanyama wenye hekima ya kisilika (24)

  • 31

    • MANENO YA MUFALME LEMUELI (1-31)

      • Ni nani anaweza kupata bibi mwenye uwezo? (10)

      • Anatumika sana na kwa bidii (17)

      • Fazili ziko kwenye ulimi wake (26)

      • Watoto wake na bwana yake wanamusifu (28)

      • Uvutio na uzuri vinapita haraka (30)