Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Habari Njema Kulingana na Yohana

Sura

1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16 17 18 19 20 21

Habari Zenye Kuwa Ndani

  • 1

    • Neno akakuwa mwili (1-18)

    • Ushahidi wenye Yohana Mubatizaji alitoa (19-28)

    • Yesu, Mwana-kondoo wa Mungu(29-34)

    • Wanafunzi wa kwanza wa Yesu (35-42)

    • Filipo na Natanaeli (43-51)

  • 2

    • Arusi kule Kana; maji yanageuzwa kuwa divai (1-12)

    • Yesu anasafisha hekalu (13-22)

    • Yesu anajua chenye kuwa ndani ya mwanadamu (23-25)

  • 3

    • Yesu na Nikodemo (1-21)

      • Kuzaliwa tena (3-8)

      • Mungu alipenda ulimwengu (16)

    • Yohana anatoa ushahidi wake wa mwisho juu ya Yesu (22-30)

    • Ule mwenye anatoka juu (31-36)

  • 4

    • Yesu na mwanamuke Musamaria (1-38)

      • Abudu Mungu “kwa roho na kweli” (23, 24)

    • Wasamaria wengi wanamuamini Yesu (39-42)

    • Yesu anamuponyesha mwana wa ofisa (43-54)

  • 5

    • Mwanaume mugonjwa anaponyeshwa kule Betzata (1-18)

    • Yesu anapewa mamlaka na Baba yake (19-24)

    • Wafu watasikia sauti ya Yesu (25-30)

    • Ushahidi juu ya Yesu (31-47)

  • 6

    • Yesu anakulisha watu elfu tano (1-15)

    • Yesu anatembea juu ya maji (16-21)

    • Yesu ni “mukate wa uzima” (22-59)

    • Wengi wanakwazwa na maneno ya Yesu (60-71)

  • 7

    • Yesu akiwa kwenye Sikukuu ya Tabenakulo (1-13)

    • Yesu anafundisha kwenye sikukuu (14-24)

    • Mawazo mbalimbali juu ya Kristo (25-52)

  • 8

    • Baba anatoa ushahidi juu ya Yesu (12-30)

      • Yesu ni “mwangaza wa ulimwengu” (12)

    • Watoto wa Abrahamu (31-41)

      • “Kweli itawaweka ninyi huru” (32)

    • Watoto wa Ibilisi (42-47)

    • Yesu na Abrahamu (48-59)

  • 9

    • Yesu anamuponyesha mutu mwenye alizaliwa kipofu (1-12)

    • Wafarisayo wanamuuliza maulizo mutu mwenye aliponyeshwa (13-34)

    • Upofu wa Wafarisayo (35-41)

  • 10

    • Muchungaji na zizi la kondoo (1-21)

      • Yesu ndiye muchungaji mwema (11-15)

      • “Niko na kondoo wengine” (16)

    • Wayahudi wanakutana na Yesu kwenye Sikukuu ya Kumutolea Mungu Hekalu (22-39)

      • Wayahudi wengi wanakataa kuamini (24-26)

      • “Kondoo wangu wanasikiliza sauti yangu” (27)

      • Mwana iko katika umoja na Baba (30, 38)

    • Watu wengi ngambo ingine ya Yordani wanaamini (40-42)

  • 11

    • Kifo cha Lazaro (1-16)

    • Yesu anafariji Marta na Maria (17-37)

    • Yesu anamufufua Lazaro (38-44)

    • Mupango wa kumuua Yesu (45-57)

  • 12

    • Maria anamwanga mafuta kwenye miguu ya Yesu (1-11)

    • Yesu anaingia kwa ushindi (12-19)

    • Yesu anatabiri kifo chake (20-37)

    • Ukosefu wa imani wa Wayahudi unatimiza unabii (38-43)

    • Yesu alikuja kuokoa ulimwengu (44-50)

  • 13

    • Yesu ananawisha wanafunzi wake miguu (1-20)

    • Yesu anatambulisha Yuda kuwa ni musaliti (21-30)

    • Amri mupya (31-35)

      • “Kama muko na upendo kati yenu” (35)

    • Yesu anatabiri kama Petro atamukana (36-38)

  • 14

    • Yesu ndiye njia pekee ya kumukaribia Baba (1-14)

      • ‘Mimi ndiye njia, kweli, na uzima’ (6)

    • Yesu anaahidi roho takatifu (15-31)

      • “Baba ni mukubwa kuliko mimi” (28)

  • 15

    • Mufano wa muzabibu wa kweli (1-10)

    • Amri ya kuonyesha upendo kama wa Kristo (11-17)

      • ‘Hakuna upendo mukubwa kuliko huu’ (13)

    • Ulimwengu unachukia wanafunzi wa Yesu (18-27)

  • 16

    • Wanafunzi wa Yesu watapambana na kifo (1-4a)

    • Kazi ya roho takatifu (4b-16)

    • Huzuni ya wanafunzi itageuka kuwa furaha (17-24)

    • Yesu anashinda ulimwengu (25-33)

  • 17

    • Sala ya mwisho ya Yesu pamoja na mitume wake (1-26)

      • Kufikia kumujua Mungu kunaongoza kwenye uzima wa milele (3)

      • Wakristo hawako sehemu ya ulimwengu (14-16)

      • “Neno lako ni kweli” (17)

      • ‘Nimejulisha jina lako’ (26)

  • 18

    • Yuda anamusaliti Yesu (1-9)

    • Petro anatumia upanga (10, 11)

    • Yesu anapelekwa kwa Anasi (12-14)

    • Petro anamukana Yesu mara ya kwanza (15-18)

    • Yesu mbele ya Anasi (19-24)

    • Petro anamukana Yesu mara ya pili na ya tatu (25-27)

    • Yesu mbele ya Pilato (28-40)

      • “Ufalme wangu hauko sehemu ya ulimwengu huu” (36)

  • 19

    • Yesu anapigwa mijeledi na anachekelewa (1-7)

    • Pilato anamuuliza tena Yesu maulizo (8-16a)

    • Yesu anapigwa misumari kwenye muti kule Golgota (16b-24)

    • Yesu anakamata mipango kwa ajili ya mama yake (25-27)

    • Kifo cha Yesu (28-37)

    • aziko ya Yesu (38-42)

  • 20

    • Kaburi liko wazi (1-10)

    • Yesu anamutokea Maria Magdalene (11-18)

    • Yesu anatokea wanafunzi wake (19-23)

    • Tomasi anakuwa na mashaka lakini kisha wakati anasadikishwa (24-29)

    • Kusudi la kitabu hiki cha kukunjwa (30, 31)

  • 21

    • Yesu anatokea wanafunzi wake (1-14)

    • Petro anamuhakikishia Yesu kuwa anamupenda (15-19)

      • “Lisha kondoo wangu wadogo” (17)

    • Wakati wenye kuja wa mwanafunzi mwenye Yesu alipenda (20-23)

    • Umalizio (24, 25)