Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Habari Njema Kulingana na Matayo

Sura

Habari Zenye Kuwa Ndani

  • 1

    • Ukoo wa Yesu Kristo (1-17)

    • Yesu anazaliwa (18-25)

  • 2

    • Kutembelewa na watu wenye elimu ya nyota (1-12)

    • Kukimbilia Misri (13-15)

    • Herode anaua watoto wanaume (16-18)

    • Kurudia Nazareti (19-23)

  • 3

    • Yohana Mubatizaji anahubiri (1-12)

    • Yesu anabatizwa (13-17)

  • 4

    • Ibilisi anamujaribu Yesu (1-11)

    • Yesu anaanza kuhubiri Galilaya (12-17)

    • Wanafunzi wa kwanza wanaitwa (18-22)

    • Yesu anahubiri, anafundisha, na anaponyesha (23-25)

  • 5

    • MAHUBIRI KWENYE MULIMA (1-48)

      • Yesu anaanza kufundisha kwenye mulima (1, 2)

      • Mambo kenda yenye kuleta furaha (3-12)

      • Chumvi na mwangaza (13-16)

      • Yesu alikuja kutimiza Sheria (17-20)

      • Mashauri juu ya kasirani (21-26), uzinifu (27-30), kuvunja ndoa (31, 32), viapo(33-37), kulipiza kisasi (38-42), kupenda maadui (43-48)

  • 6

    • MAHUBIRI KWENYE MULIMA (1-34)

      • Muepuke kujionyesha kuwa wenye haki (1-4)

      • Namna ya kusali (5-15)

        • Sala ya mufano (9-13)

      • Kufunga (16-18)

      • Hazina duniani na mbinguni (19-24)

      • Muache kuhangaika (25-34)

        • Muendelee kutafuta kwanza Ufalme (33)

  • 7

    • MAHUBIRI KWENYE MULIMA (1-27)

      • Muache kuhukumu (1-6)

      • Muendelee kuomba, kutafuta, kupiga hodi (7-11)

      • Kanuni ya Muzuri Zaidi (12)

      • Mulango mwembamba (13, 14)

      • Watajulikana kwa matunda yao (15-23)

      • Nyumba yenye kujengwa juu ya mwamba, nyumba yenye kujengwa juu ya muchanga (24-27)

    • Watu wengi wanashangazwa na mafundisho ya Yesu (28, 29)

  • 8

    • Mutu mwenye ukoma anaponyeshwa (1-4)

    • Imani ya ofisa mumoja wa jeshi (5-13)

    • Yesu anaponyesha watu wengi Kapernaumu (14-17)

    • Namna ya kumufuata Yesu (18-22)

    • Yesu anatuliza zoruba (23-27)

    • Yesu anatuma pepo wachafu katika nguruwe (28-34)

  • 9

    • Yesu anamuponyesha mutu mwenye kupooza (1-8)

    • Yesu anamuita Matayo (9-13)

    • Ulizo juu ya kufunga (14-17)

    • Binti ya Yairo; mwanamuke anagusa nguo ya inje ya Yesu (18-26)

    • Yesu anaponyesha vipofu na bubu (27-34)

    • Mavuno ni mengi lakini wafanyakazi wako kidogo (35-38)

  • 10

    • Mitume kumi na mbili (1-4)

    • Maagizo kwa ajili ya utumishi (5-15)

    • Wanafunzi watateswa (16-25)

    • Ogopa Mungu, hapana wanadamu (26-31)

    • Sikuleta amani, lakini upanga (32-39)

    • Kupokea wanafunzi wa Yesu (40-42)

  • 11

    • Yohana Mubatizaji anasifiwa (1-15)

    • Kizazi chenye kinakataa kuamini kinalaumiwa (16-24)

    • Yesu anamusifu Baba yake kwa kupendelea wanyenyekevu (25-27)

    • Nira ya Yesu inaburudisha (28-30)

  • 12

    • Yesu, “Bwana wa Sabato” (1-8)

    • Mutu mwenye kuwa na mukono wenye kupooza anaponyeshwa (9-14)

    • Mutumishi mupendwa wa Mungu (15-21)

    • Pepo wachafu wanafukuzwa kwa kutumia roho takatifu (22-30)

    • Zambi yenye haiwezi kusamehewa (31, 32)

    • Muti unajulikana kwa matunda yake (33-37)

    • Alama ya Yona (38-42)

    • Wakati roho muchafu anarudia (43-45)

    • Mama na ndugu za Yesu (46-50)

  • 13

    • MIFANO JUU YA UFALME (1-52)

      • Mupandaji (1-9)

      • Sababu gani Yesu alitumia mifano? (10-17)

      • Mufano wa mupandaji unafasiriwa (18-23)

      • Ngano na magugu (24-30)

      • Mbegu ya haradali na chachu (31-33)

      • Kutumia mifano kunatimiza unabii (34, 35)

      • Mufano wa ngano na magugu unafasiriwa (36-43)

      • Hazina yenye ilifichwa na lulu ya muzuri (44-46)

      • Wavu wa kukokota (47-50)

      • Hazina mupya na za zamani (51, 52)

    • Yesu anakataliwa katika eneo la kwao (53-58)

  • 14

    • Yohana Mubatizaji anakatwa kichwa (1-12)

    • Yesu anakulisha wanaume elfu tano (13-21)

    • Yesu anatembea juu ya maji (22-33)

    • Anaponyesha watu Genesareti (34-36)

  • 15

    • Desturi za wanadamu zinafunuliwa (1-9)

    • Mutu anachafuliwa na kile kinatoka katika moyo (10-20)

    • Imani kubwa ya mwanamuke Mufoinike (21-28)

    • Yesu anaponyesha magonjwa mengi (29-31)

    • Yesu anakulisha wanaume elfu ine (32-39)

  • 16

    • Wanaomba alama (1-4)

    • Chachu ya Wafarisayo na Wasadukayo (5-12)

    • Funguo za Ufalme (13-20)

      • Kutaniko linajengwa juu ya mwamba (18)

    • Kifo cha Yesu kinatabiriwa (21-23)

    • Namna ya kuwa mwanafunzi wa kweli (24-28)

  • 17

    • Yesu anageuzwa sura (1-13)

    • Imani kama mbegu ya haradali (14-21)

    • Kifo cha Yesu kinatabiriwa tena (22, 23)

    • Kodi inalipwa kwa feza ya kichele yenye ilitoka katika kinywa cha samaki (24-27)

  • 18

    • Mwenye kuwa mukubwa zaidi katika Ufalme (1-6)

    • Vikwazo (7-11)

    • Mufano wa kondoo mwenye alipotea (12-14)

    • Namna ya kupatana na ndugu yako (15-20)

    • Mufano wa mutumwa mwenye hasamehe (21-35)

  • 19

    • Ndoa na kuvunja ndoa (1-9)

    • Zawadi ya kubakia bila kufunga ndoa (10-12)

    • Yesu anabariki watoto (13-15)

    • Ulizo la mwanaume kijana mwenye alikuwa tajiri (16-24)

    • Kujitoa kwa ajili ya Ufalme (25-30)

  • 20

    • Wafanyakazi katika shamba la mizabibu wanapokea mushahara uleule (1-16)

    • Kifo cha Yesu kinatabiriwa tena (17-19)

    • Ombi la kupewa vyeo katika Ufalme (20-28)

      • Yesu ni bei ya ukombozi kwa ajili ya wengi (28)

    • Wanaume wawili vipofu wanaponyeshwa (29-34)

  • 21

    • esu anaingia kwa ushindi (1-11)

    • Yesu anasafisha hekalu (12-17)

    • Muti wa tini unalaaniwa (18-22)

    • Mamlaka ya Yesu yanatiliwa mashaka (23-27)

    • Mufano wa wana wawili (28-32)

    • Mufano wa walimaji wauaji (33-46)

      • Jiwe kubwa la pembe linakataliwa (42)

  • 22

    • Mufano wa karamu ya ndoa (1-14)

    • Mungu na Kaisari (15-22)

    • Ulizo juu ya ufufuo (23-33)

    • Amri mbili kubwa zaidi (34-40)

    • Je, Kristo ni mwana wa Daudi? (41-46)

  • 23

    • Musiige waandishi na Wafarisayo (1-12)

    • Ole wao waandishi na Wafarisayo (13-36)

    • Yesu anaomboleza juu ya Yerusalemu (37-39)

  • 24

    • ALAMA YA KUWAPO KWA KRISTO (1-51)

      • Vita, upungufu wa chakula, matetemeko ya inchi (7)

      • Habari njema itahubiriwa (14)

      • Taabu kubwa (21, 22)

      • Alama ya Mwana wa binadamu (30)

      • Muti wa tini (32-34)

      • Kama siku za Noa (37-39)

      • Muendelee kukesha (42-44)

      • Mutumwa mwaminifu na mutumwa muovu (45-51)

  • 25

    • ALAMA YA KUWAPO KWA KRISTO (1-46)

      • Mufano wa mabikira kumi (1-13)

      • Mufano wa talanta (14-30)

      • Kondoo na mbuzi (31-46)

  • 26

    • Makuhani wanafanya mupango wa kumuua Yesu (1-5)

    • Mafuta yenye marashi yanamwangwa juu ya Yesu (6-13)

    • Pasaka ya mwisho na kusalitiwa kwa Yesu (14-25)

    • Kuanzishwa kwa Chakula cha Mangaribi cha Bwana (26-30)

    • Yesu anatabiri kuwa Petro atamukana (31-35)

    • Yesu anasali kule Getsemane (36-46)

    • Yesu anakamatwa (47-56)

    • Anasamba mbele ya Sanhedrini (57-68)

    • Petro anamukana Yesu (69-75)

  • 27

    • Yesu anawekwa katika mikono ya Pilato (1, 2)

    • Yuda anajitundika (3-10)

    • Yesu mbele ya Pilato (11-26)

    • Anachekelewa mbele ya watu wengi (27-31)

    • Anapigiliwa misumari kwenye muti kule Golgota (32-44)

    • Kifo cha Yesu (45-56)

    • Maziko ya Yesu (57-61)

    • Kaburi linawekewa ulinzi mukubwa (62-66)

  • 28

    • Yesu anafufuliwa (1-10)

    • Askari wanapewa rushwa ili waseme uongo (11-15)

    • Amri ya kufanya wanafunzi (16-20)