Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Kitabu cha Ufunuo

Sura

Habari Zenye Kuwa Ndani

  • 1

    • Ufunuo kutoka kwa Mungu, kupitia Yesu (1-3)

    • Salamu kwa yale makutaniko saba (4-8)

      • “Mimi ndiye Alfa na Omega” (8)

    • Yohana katika siku ya Bwana kwa muongozo wa roho (9-11)

    • Maono ya Yesu mwenye kutukuzwa (12-20)

  • 2

    • Ujumbe kwa kutaniko la Efeso (1-7), la Smirna (8-11), la Pergamamu (12-17), la Tiatira (18-29)

  • 3

    • Ujumbe kwa kutaniko la Sardi (1-6), la Filadelfia (7-13), la Laodikia (14-22)

  • 4

    • Maono ya kuwapo kwa Yehova mbinguni (1-11)

      • Yehova akiwa amekaa kwenye kiti chake cha ufalme (2)

      • Wazee makumi mbili na ine kwenye viti vya ufalme (4)

      • Viumbe ine vyenye uzima (6)

  • 5

    • Kitabu cha kukunjwa chenye mihuri saba (1-5)

    • Mwana-Kondoo anakamata kitabu cha kukunjwa (6-8)

    • Mwana-Kondoo anastahili kufungua mihuri (9-14)

  • 6

    • Mwana-Kondoo anafungua mihuri sita ya kwanza (1-17)

      • Mushindi akiwa kwenye farasi mweupe (1, 2)

      • Mwenye kupanda farasi wa rangi ya moto anatosha amani (3, 4)

      • Mwenye kupanda farasi mweusi analeta njaa (5, 6)

      • Mwenye kupanda farasi wa rangi ya majivu anaitwa Kifo (7, 8)

      • Wenye waliuawa wako chini ya mazabahu (9-11)

      • Tetemeko kubwa la inchi (12-17)

  • 7

    • Malaika ine wenye kuzuia pepo za uharibifu (1-3)

    • Wale elfu mia moja makumi ine na ine wanatiwa muhuri (4-8)

    • Kundi kubwa la watu wenye kuvaa kanzu nyeupe (9-17)

  • 8

    • Muhuri wa saba unafunguliwa (1-6)

    • Tarumbeta ine za kwanza zinapigwa (7-12)

    • Ole tatu zinatangazwa (13)

  • 9

    • Tarumbeta ya tano (1-11)

    • Ole ya kwanza imepita, ole mbili zaidi zinakuja (12)

    • Tarumbeta ya sita (13-21)

  • 10

    • Malaika mwenye nguvu akiwa na kitabu kidogo cha kukunjwa (1-7)

      • “Hakutakuwa tena kukawia” (6)

      • Siri takatifu itafikishwa kwenye mwisho wake (7)

    • Yohana anakula kile kitabu kidogo cha kukunjwa (8-11)

  • 11

    • Mashahidi wawili (1-13)

      • Wanatoa unabii kwa siku elfu moja mia mbili makumi sita wakiwa wamevaa nguo za magunia (3)

      • Wanauawa kisha wanaachwa bila kuzikwa (7-10)

      • Wanarudishwa kwenye uzima kisha siku tatu na nusu (11, 12)

    • Ole ya pili inapita, ole ya tatu inakuja (14)

    • Tarumbeta ya saba (15-19)

      • Ufalme wa Bwana wetu na wa Kristo wake (15)

      • Wale wenye wanaharibu dunia wataharibiwa (18)

  • 12

    • Mwanamuke, mutoto mwanaume, na nyoka mukubwa (1-6)

    • Mikaeli anapigana na ule nyoka mukubwa (7-12)

      • Nyoka mukubwa anatupwa katika dunia (9)

      • Ibilisi anajua kwamba iko na kipindi kifupi (12)

    • Nyoka mukubwa anamutesa mwanamuke (13-17)

  • 13

    • Munyama wa pori mwenye vichwa saba anatoka katika bahari (1-10)

    • Munyama wa pori mwenye pembe mbili anatoka katika dunia (11-13)

    • Sanamu ya munyama wa pori mwenye vichwa saba (14, 15)

    • Alama na namba ya munyama wa pori (16-18)

  • 14

    • Mwana-Kondoo na wale elfu mia moja makumi ine na ine (1-5)

    • Ujumbe kutoka kwa malaika watatu (6-12)

      • Malaika katikati ya mbingu akiwa na habari njema (6, 7)

    • Wenye furaha ni wale wenye wanakufa katika umoja na Kristo (13)

    • Dunia inavunwa mara mbili (14-20)

  • 15

    • Malaika saba wenye kuwa na mapigo saba (1-8)

      • Wimbo wa Musa na wa Mwana-Kondoo (3, 4)

  • 16

    • Mabakuli saba ya kasirani ya Mungu (1-21)

      • Yanamwangwa juu ya dunia (2), bahari (3), mito na chemchemi (4-7), jua (8, 9), kiti cha ufalme cha munyama wa pori (10, 11), Efrati (12-16), na hewa (17-21)

      • Vita ya Mungu kwenye Armagedoni (14, 16)

  • 17

    • Hukumu juu ya “Babiloni Mukubwa” (1-18)

      • Kahaba mukubwa anakaa juu ya munyama wa pori wa rangi nyekundu yenye kungaa (1-3)

      • Munyama wa pori ‘alikuwa, haiko, lakini atapanda kutoka katika abiso’ (8)

      • Pembe kumi zitapigana na Mwana-Kondoo (12-14)

      • Pembe kumi zitamuchukia kahaba (16, 17)

  • 18

    • Kuanguka kwa “Babiloni Mukubwa” (1-8)

      • “Mutoke kwake, watu wangu” (4)

    • Kuomboleza juu ya kuanguka kwa Babiloni (9-19)

    • Kufurahi mbinguni juu ya kuanguka kwa Babiloni (20)

    • Babiloni atatupwa katika bahari kama jiwe (21-24)

  • 19

    • Mumusifu Yah kwa sababu ya hukumu zake (1-10)

      • Ndoa ya Mwana-Kondoo (7-9)

    • Mwenye kupanda farasi mweupe (11-16)

    • Chakula kikubwa cha mangaribi cha Mungu (17, 18)

    • Munyama wa pori anashindwa (19-21)

  • 20

    • Shetani anafungwa kwa miaka elfu moja (1-3)

    • Wale wenye watatawala pamoja na Kristo kwa miaka elfu moja (4-6)

    • Shetani anafunguliwa, kisha anaharibiwa (7-10)

    • Wafu wanahukumiwa mbele ya kiti cha mweupe cha ufalme (11-15)

  • 21

    • Mbingu mupya na dunia mupya (1-8)

      • Kifo hakitakuwa tena (4)

      • Vitu vyote vinafanywa kuwa vipya (5)

    • Yerusalemu mupya linafunuliwa (9-27)

  • 22

    • Muto wa maji ya uzima (1-5)

    • Umalizio (6-21)

      • ‘Kuja! Chukua maji ya uzima bure’ (17)

      • “Kuja, Bwana Yesu” (20)