Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Kitabu cha Zaburi

Sura

Habari Zenye Kuwa Ndani

  • 1

    • Tofauti kati ya njia mbili inaonyeshwa

      • Kusoma sheria ya Mungu kunaleta furaha (2)

      • Wenye haki wako kama muti wenye kuzaa matunda kwa wingi (3)

      • Waovu wako kama maganda ya mbegu yenye kupeperushwa mbali (4)

  • 2

    • Yehova na mutiwa-mafuta wake

      • Yehova anacheka mataifa (4)

      • Yehova anamuweka mufalme wake (6)

      • Mumuheshimie mwana (12)

  • 3

    • Kumutumainia Mungu ijapokuwa hatari

      • ‘Sababu gani wapinzani wamekuwa wengi sana?’ (1)

      • “Wokovu ni wa Yehova” (8)

  • 4

    • Sala ya kumutegemea Mungu

      • “Mukasirike, lakini musitende zambi” (4)

      • ‘Nitalala usingizi kwa amani’ (8)

  • 5

    • Yehova ni kimbilio la mwenye haki

      • Mungu anachukia uovu (4, 5)

      • ‘Uniongoze katika haki yako’ (8)

  • 6

    • Sala ya kuomba rehema

      • Wafu hawamusifu Mungu (5)

      • Mungu anasikia sala za kuomba rehema (9)

  • 7

    • Yehova ni Muamuzi mwenye haki

      • “Unihukumu, Ee Yehova” (8)

  • 8

    • Utukufu wa Mungu na heshima ya mwanadamu

      • “Jina lako ni lenye utukufu sana!” (1, 9)

      • ‘Mwanadamu mwenye anaweza kufa ni nini?’ (4)

      • Mwanadamu anavalishwa taji la utukufu (5)

  • 9

    • Kutangaza kazi za Mungu za ajabu

      • Yehova ni kimbilio salama (9)

      • Kujua jina la Mungu kunamaanisha kumutegemea yeye (10)

  • 10

    • Yehova ni musaidizi wa watu wenye hawana uwezo

      • Muovu anajisifu: “Hakuna Mungu” (4)

      • Watu wenye hawana uwezo wanageuka kumuelekea Yehova (14)

      • “Yehova ni Mufalme milele” (16)

  • 11

    • Kumukimbilia Yehova

      • “Yehova iko katika hekalu lake takatifu” (4)

      • Mungu anachukia mutu yeyote mwenye kupenda jeuri (5)

  • 12

    • Yehova anasimama ili kutenda

      • Maneno ya Mungu yako safi (6)

  • 13

    • Kutamani wokovu wa Yehova

      • ‘Ee Yehova, mupaka wakati gani?’ (1, 2)

      • Yehova anatoa zawabu nyingi (6)

  • 14

    • Maelezo kuhusu mupumbavu

      • “Hakuna Yehova” (1)

      • “Hakuna mwenye kutenda mema” (3)

  • 15

    • Ni nani anaweza kuwa mugeni katika hema ya Yehova?

      • Anasema kweli katika moyo wake (2)

      • Hasingizie (3)

      • Anatimiza ahadi hata wakati inaleta matatizo (4)

  • 16

    • Yehova ni Chanzo cha wema

      • “Yehova ni fungu langu” (5)

      • ‘Mawazo yangu yananirekebisha usiku’ (7)

      • ‘Yehova iko kwenye mukono wangu wa kuume’ (8)

      • “Hautaniacha katika Kaburi” (10)

  • 17

    • Sala ya kuomba ulinzi

      • “Umechunguza moyo wangu” (3)

      • “Katika kivuli cha mabawa yako” (8)

  • 18

    • Kumusifu Mungu kwa sababu ya wokovu

      • “Yehova ni mwamba wangu” (2)

      • Yehova ni mushikamanifu kwa watu washikamanifu (25)

      • Njia ya Mungu ni kamilifu (30)

      • “Unyenyekevu wako unanifanya nikuwe mukubwa” (35)

  • 19

    • Uumbaji wa Mungu na sheria yake vinatoa ushahidi

      • ‘Mbingu zinatangaza utukufu wa Mungu’ (1)

      • Sheria kamilifu ya Mungu inarudisha nguvu (7)

      • “Zambi zenye sijue” (12)

  • 20

    • Wokovu kwa ajili ya mufalme mutiwa-mafuta wa Mungu

      • Watu fulani wanategemea magari na farasi, ‘lakini sisi tunaitia jina la Yehova’ (7)

  • 21

    • Baraka juu ya mufalme mwenye kumutegemea Yehova

      • Mufalme anapewa maisha marefu (4)

      • Maadui wa Mungu watashindwa (8-12)

  • 22

    • Kisha kupoteza tumaini anamusifu Mungu

      • “Mungu wangu, sababu gani umeniacha?” (1)

      • “Wanapigia nguo zangu kura” (18)

      • Kumusifu Mungu katika kutaniko (22, 25)

      • Dunia yote itamuabudu Mungu (27)

  • 23

    • “Yehova ni Muchungaji wangu”

      • “Sitakosa kitu” (1)

      • “Ananiburudisha” (3)

      • “Kikombe changu kimejazwa muzuri” (5)

  • 24

    • Mufalme mwenye utukufu anaingia katika milango mikubwa

      • ‘Dunia ni ya Yehova’ (1)

  • 25

    • Sala ya kuomba muongozo na musamaha

      • “Unifundishe mapito yako” (4)

      • “Urafiki wa karibu pamoja na Yehova” (14)

      • “Usamehe zambi zangu zote” (18)

  • 26

    • Kutembea katika uaminifu-mushikamanifu

      • “Unichunguze, Ee Yehova” (2)

      • Kuepuka mashirika ya mubaya (4, 5)

      • ‘Nitatembea kuzunguka mazabahu ya Mungu’ (6)

  • 27

    • Yehova ni ngome ya uzima wangu

      • Kusamini hekalu la Mungu (4)

      • Yehova anamuhangaikia mutu hata kama wazazi hawamuhangaikie (10)

      • “Umutumainie Yehova” (14)

  • 28

    • Sala ya muandikaji wa zaburi inasikiwa

      • ‘Yehova ni nguvu zangu na ngao yangu’ (7)

  • 29

    • Sauti ya Yehova yenye nguvu

      • Muabudu katika mapambo matakatifu (2)

      • “Mungu mwenye utukufu ananguruma” (3)

      • Yehova anapatia watu wake nguvu (11)

  • 30

    • Maombolezo yanageuzwa kuwa shangwe

      • Wema wa Mungu unadumu maisha yote (5)

  • 31

    • Kumukimbilia Yehova

      • “Ninaweka roho yangu katika mukono wako” (5)

      • “Yehova, Mungu wa ukweli” (5)

      • Wema mwingi wa Mungu (19)

  • 32

    • Wenye furaha ni wale ambao wamesamehewa

      • “Niliungama zambi yangu kwako” (5)

      • Mungu anakupatia ufahamu (8)

  • 33

    • Sifa kwa Muumbaji

      • “Mumuimbie wimbo mupya” (3)

      • Yehova anaumba kupitia neno lake na roho yake (6)

      • Taifa la Yehova lenye furaha (12)

      • Jicho la Yehova lenye kulinda (18)

  • 34

    • Yehova anaokoa watumishi wake

      • “Tutukuze jina lake pamoja” (3)

      • Malaika wa Yehova analinda (7)

      • “Muonje na muone kwamba Yehova ni mwema” (8)

      • ‘Hakuna mumoja kati ya mifupa yake wenye ulivunjwa’ (20)

  • 35

    • Sala ya kuomba ukombozi kutoka kwa maadui

      • Maadui watafukuzwa (5)

      • Kumusifu Mungu kati ya vikundi vya watu (18)

      • Anachukiwa bila sababu (19)

  • 36

    • Upendo mushikamanifu wa Mungu wenye samani

      • Muovu hamuogope Mungu (1)

      • Mungu ni chanzo cha uzima (9)

      • “Kupitia mwangaza wako tunaweza kuona mwangaza” (9)

  • 37

    • Wenye kumutegemea Yehova watasitawi

      • Usikasirishwe na waovu (1)

      • “Pata furaha nyingi sana katika Yehova” (4)

      • “Tia njia yako katika mukono wa Yehova” (5)

      • “Wapole watariti dunia” (11)

      • Wenye haki hawatakosa mukate (25)

      • Wenye haki wataishi milele juu ya dunia (29)

  • 38

    • Sala ya mutu mwenye alitubu mwenye anateseka

      • “Nimesumbuka na kushuka moyo sana” (6)

      • Yehova anasikia wale wenye kumungojea (15)

      • “Nilisumbuliwa na zambi yangu” (18)

  • 39

    • Ufupi wa maisha

      • Mwanadamu ni pumuzi tu (5, 11)

      • “Usijifanye kuwa hauone machozi yangu” (12)

  • 40

    • Kumushukuru Mungu mwenye hawezi kulinganishwa na mutu yeyote

      • Kazi za Mungu ni nyingi sana haziwezi kusimuliwa (5)

      • Haiko zabihu ndizo Mungu anahangaikia kwanza (6)

      • “Ninafurahia kufanya mapenzi yako” (8)

  • 41

    • Sala kwenye kitanda cha ugonjwa

      • Mungu anategemeza wagonjwa (3)

      • Anasalitiwa na rafiki wa karibu (9)

  • 42

    • Kumusifu Mungu akiwa Mwokozi Mukubwa

      • Kuwa na kiu kwa ajili ya Mungu kama vile paa mwenye kuwa na kiu ya maji (1, 2)

      • “Sababu gani nimepoteza tumaini?” (5, 11)

      • “Umungojee Mungu” (5, 11)

  • 43

    • Mungu ambaye ni Muamuzi anaokoa

      • “Tuma mwangaza wako na kweli yako” (3)

      • “Sababu gani nimepoteza tumaini?” (5)

      • “Umungojee Mungu” (5)

  • 44

    • Sala ya kuomba musaada

      • “Wewe ndiye ulituokoa” (7)

      • Kama “kondoo kwa ajili ya kuchinjwa” (22)

      • “Simama ili utusaidie!” (26)

  • 45

    • Ndoa ya mufalme mutiwa-mafuta

      • Maneno yenye kupendeza (2)

      • “Mungu ni kiti chako cha ufalme milele” (6)

      • Mufalme anatamani uzuri wa bibi-arusi (11)

      • Wana watakuwa wakubwa katika dunia yote (16)

  • 46

    • “Mungu ni kimbilio letu”

      • Kazi za Mungu zenye kushangaza (8)

      • Mungu anamaliza vita katika dunia yote (9)

  • 47

    • Mungu ni Mufalme juu ya dunia yote

      • “Yehova ni mwenye kuogopesha sana” (2)

      • Mumuimbie Mungu sifa (6, 7)

  • 48

    • Sayuni, muji wa Mufalme Mukubwa

      • Shangwe ya dunia yote (2)

      • Muchunguze muji na minara yake (11-13)

  • 49

    • Upumbavu wa kutegemea utajiri

      • Hakuna mwanadamu mwenye anaweza kumukomboa mwingine (7, 8)

      • Mungu anakomboa kutoka katika Kaburi (15)

      • Utajiri hauwezi kuokoa kutoka katika kifo (16, 17)

  • 50

    • Mungu anahukumu kati ya mutu mushikamanifu na muovu

      • Agano pamoja na Mungu kupitia zabihu (5)

      • “Mungu mwenyewe ni Muamuzi” (6)

      • Wanyama wote ni wa Mungu (10, 11)

      • Mungu anafunua waovu (16-21)

  • 51

    • Sala ya mutu mwenye alitubu

      • Mwenye zambi tangu wakati mama yake alichukua mimba yake (5)

      • “Unisafishe kutokana na zambi yangu” (7)

      • “Umba moyo safi ndani yangu” (10)

      • Moyo wenye kupondwa unamupendeza Mungu (17)

  • 52

    • Kutegemea upendo mushikamanifu wa Mungu

      • Wenye kujisifu kwa sababu ya ubaya wanaonywa (1-5)

      • Wenye hawamuogope Mungu wanategemea utajiri (7)

  • 53

    • Maelezo kuhusu mupumbavu

      • “Hakuna Yehova” (1)

      • “Hakuna mwenye kutenda mema” (3)

  • 54

    • Sala ya kuomba musaada wakati mutu iko kati ya maadui

      • “Mungu ni musaidizi wangu” (4)

  • 55

    • Sala ya mutu mwenye alisalitiwa na rafiki

      • Anazihakiwa na rafiki wa karibu (12-14)

      • “Tupia Yehova muzigo wako” (22)

  • 56

    • Sala wakati mutu anateswa

      • “Katika Mungu ninaweka tegemeo langu” (4)

      • “Machozi yangu katika chupa yako ya ngozi” (8)

      • “Mwanadamu bure anaweza kunifanya nini?” (4, 11)

  • 57

    • Sala ya kuomba rehema

      • Kukimbilia chini ya mabawa ya Mungu (1)

      • Maadui wanaanguka katika mutego wao wenyewe (6)

  • 58

    • Kuko Mungu mwenye kuhukumu dunia

      • Sala ya kuomba waovu wapewe azabu (6-8)

  • 59

    • Mungu ni ngao na kimbilio

      • “Usionyeshe rehema wasaliti” (5)

      • “Nitaimba kuhusu nguvu zako” (16)

  • 60

    • Mungu anatiisha maadui

      • Wokovu kutoka kwa wanadamu hauna mafaa yoyote (11)

      • “Kwa musaada wa Mungu tutapata nguvu” (12)

  • 61

    • Mungu ni munara wenye nguvu juu ya maadui

      • “Nitakuwa mugeni katika hema yako” (4)

  • 62

    • Wokovu wa kweli unatoka kwa Mungu

      • “Ninamungojea Mungu kimyakimya” (1, 5)

      • ‘Mumwange mioyo yenu mbele ya Mungu’ (8)

      • Wanadamu ni pumuzi tu (9)

      • Musitegemee mali (10)

  • 63

    • Kumutamani Mungu

      • “Upendo wako mushikamanifu ni muzuri kuliko uzima” (3)

      • ‘Nimetosheka na fungu la muzuri kabisa’ (5)

      • Kufikiri sana juu ya Mungu wakati wa usiku (6)

      • ‘Ninashikamana na Mungu’ (8)

  • 64

    • Ulinzi kutokana na mashambulizi yenye kufichwa

      • “Mungu atawapiga mishale” (7)

  • 65

    • Mungu anatunza dunia

      • “Musikiaji wa sala” (2)

      • “Mwenye furaha ni ule mwenye unachagua” (4)

      • Wema mwingi wa Mungu (11)

  • 66

    • Kazi za Mungu zenye kuogopesha sana

      • “Mukuje na muone kazi za Mungu” (5)

      • “Nitatimiza naziri zenye niliweka kwako” (13)

      • Mungu anasikia sala (18-20)

  • 67

    • Miisho ya dunia itamuogopa Mungu

      • Njia ya Mungu itajulikana (2)

      • ‘Acha vikundi vyote vya watu vimusifu Mungu’ (3, 5)

      • “Mungu atatubariki” (6, 7)

  • 68

    • ‘Acha maadui wa Mungu wasambazwe’

      • “Baba ya watoto wenye hawana baba” (5)

      • Mungu anapatia makao wenye kuwa peke yao (6)

      • Wanamuke wanatangaza habari njema (11)

      • Zawadi katika umbo la wanadamu (18)

      • ‘Yehova anatubebea muzigo wetu kila siku’ (19)

  • 69

    • Sala ili kuokolewa

      • “Bidii kwa ajili ya nyumba yako imenikula” (9)

      • “Unijibu haraka” (17)

      • ‘Walinipatia siki ili nikunywe’ (21)

  • 70

    • Anaomba asaidiwe haraka

      • “Tenda haraka kwa ajili yangu” (5)

  • 71

    • Tegemeo la wenye kuzeeka

      • Kumutegemea Mungu tangu wakati wa ujana (5)

      • “Wakati nguvu zangu zinaisha” (9)

      • ‘Mungu amenifundisha tangu ujana wangu’ (17)

  • 72

    • Utawala wa amani wa mufalme wa Mungu

      • “Mwenye haki atasitawi” (7)

      • Raia kutoka bahari mupaka bahari (8)

      • Kuokolewa kutokana na jeuri (14)

      • Nafaka itakuwa nyingi juu ya dunia (16)

      • Jina la Mungu linasifiwa milele (19)

  • 73

    • Mutu mwenye kumuogopa Mungu anarudiwa na ufahamu wa kiroho

      • “Miguu yangu ilikuwa karibu kutoka katika njia” (2)

      • “Nilisumbuka muchana wote” (14)

      • ‘Mupaka wakati niliingia katika patakatifu pa Mungu’ (17)

      • Waovu wako kwenye udongo wenye kutereza (18)

      • Kumukaribia Mungu ni jambo la muzuri (28)

  • 74

    • Sala ya kumuomba Mungu akumbuke watu wake

      • Kukumbuka matendo ya Mungu ya wokovu (12-17)

      • “Kumbuka zihaka za adui” (18)

  • 75

    • Mungu anahukumu kwa haki

      • Waovu watakunywa kikombe cha Yehova (8)

  • 76

    • Mungu anashinda maadui wa Sayuni

      • Mungu anaokoa wapole (9)

      • Maadui wenye kiburi watanyenyekezwa (12)

  • 77

    • Sala ya wakati wa taabu

      • Kufikiri sana juu ya kazi za Mungu (11, 12)

      • ‘Ee Mungu, ni nani mwenye kuwa mukubwa kama wewe?’ (13)

  • 78

    • Utunzaji wa Mungu na kukosa imani kwa Israeli

      • Elezea kizazi chenye kuja (2-8)

      • “Hawakukuwa na imani katika Mungu” (22)

      • “Nafaka ya mbinguni” (24)

      • “Wakamuhuzunisha Mutakatifu wa Israeli” (41)

      • Kutoka Misri mupaka Inchi ya Ahadi (43-55)

      • “Waliendelea kushindana na Mungu” (56)

  • 79

    • Sala wakati mataifa yalivamia watu wa Mungu

      • ‘Tuko kitu cha kulaumiwa’ (4)

      • ‘Utusaidie kwa ajili ya jina lako’ (9)

      • “Lipa majirani wetu mara saba” (12)

  • 80

    • Muchungaji wa Israeli anatafutwa ili awarudishe

      • “Ee Mungu, uturudishe” (3)

      • Israeli, muzabibu wa Mungu (8-15)

  • 81

    • Wanatiwa moyo watii

      • Musiabudu miungu ya kigeni (9)

      • ‘Ingekuwa muzuri kama mungesikiliza’ (13)

  • 82

    • Wanaombwa wahukumu kwa haki

      • Mungu anahukumu kati ya “miungu” (1)

      • “Mutetee mutu wa hali ya chini” (3)

      • “Ninyi ni miungu” (6)

  • 83

    • Sala ya mutu mwenye kuwa mbele ya maadui

      • “Ee Mungu, usinyamaze” (1)

      • Maadui ni kama muchongoma wenye kupeperushwa (13)

      • Jina la Mungu ni Yehova (18)

  • 84

    • Kutamani sana tabenakulo kubwa ya Mungu

      • Mulawi anatamani kuwa kama ndege (3)

      • “Siku moja katika viwanja vyako” (10)

      • “Mungu ni jua na ngao” (11)

  • 85

    • Sala ya kuomba warudishwe

      • Mungu ataambia washikamanifu wake kuhusu amani (8)

      • Upendo mushikamanifu utakutana na uaminifu (10)

  • 86

    • Hakuna mungu mwenye kuwa kama Yehova

      • Yehova iko tayari kusamehe (5)

      • Mataifa yote yatamuabudu Yehova (9)

      • ‘Unifundishe kuhusu njia yako’ (11)

      • “Unganisha moyo wangu” (11)

  • 87

    • Sayuni, muji wa Mungu wa kweli

      • Wenye walizaliwa Sayuni (4-6)

  • 88

    • Sala ili kulindwa kutokana na kifo

      • “Uzima wangu unakaribia kuingia katika Kaburi” (3)

      • ‘Kila asubui ninasali kwako’ (13)

  • 89

    • Kuimba kuhusu upendo mushikamanifu wa Yehova

      • Agano pamoja na Daudi (3)

      • Uzao wa Daudi utadumu milele (4)

      • Mutiwa-mafuta wa Mungu anamuita Yeye “Baba” (26)

      • Agano la Daudi ni hakika (34-37)

      • Mwanadamu hawezi kuponyoka Kaburi (48)

  • 90

    • Mungu wa milele na mwanadamu mwenye kuishi wakati mufupi

      • Miaka elfu moja ni kama jana (4)

      • Mwanadamu anaishi miaka makumi saba mupaka makumi munane (10)

      • “Utufundishe namna ya kuhesabia siku zetu” (12)

  • 91

    • Ulinzi mahali pa siri pa Mungu

      • Kuokolewa kutoka kwa muwindaji wa ndege (3)

      • Kukimbilia chini ya mabawa ya Mungu (4)

      • Usalama hata kama maelfu wanaanguka (7)

      • Malaika wanaamuriwa kutoa ulinzi (11)

  • 92

    • Yehova ni mwenye kuinuliwa milele

      • Kazi zake kubwa na mawazo yake mazito (5)

      • ‘Wenye haki watasitawi kama muti’ (12)

      • Watu wenye kuzeeka wataendelea kusitawi (14)

  • 93

    • Utawala wa Yehova wenye utukufu

      • “Yehova amekuwa Mufalme!” (1)

      • ‘Vikumbusho vyako vinategemeka’ (5)

  • 94

    • Sala ya kuomba Mungu alipize kisasi

      • “Waovu wataendelea mupaka wakati gani?” (3)

      • Kurekebishwa na Yah kunaleta furaha (12)

      • Mungu hataacha watu wake (14)

      • ‘Kutunga matatizo kwa kutumia sheria’ (20)

  • 95

    • Ibada ya kweli pamoja na utii

      • “Leo kama munasikiliza sauti yake” (7)

      • “Musifanye moyo wenu kuwa mugumu” (8)

      • “Hawataingia katika pumuziko langu” (11)

  • 96

    • “Mumuimbie Yehova wimbo mupya”

      • Yehova anastahili kusifiwa sana (4)

      • Miungu ya vikundi vya watu haina mafaa yoyote (5)

      • Muabudu katika mapambo matakatifu (9)

  • 97

    • Yehova ni mwenye kuinuliwa juu ya miungu mingine

      • “Yehova amekuwa Mufalme!” (1)

      • Mumupende Yehova, muchukie mambo ya mubaya (10)

      • Mwangaza kwa ajili ya wenye haki (11)

  • 98

    • Yehova ni Mwokozi na Muamuzi mwenye haki

      • Wokovu wa Yehova unajulishwa (2, 3)

  • 99

    • Yehova ni Mufalme mutakatifu

      • Amekaa akiwa mufalme juu ya makerubi (1)

      • Mungu mwenye kusamehe na kutoa malipizi (8)

  • 100

    • Kumushukuru Muumbaji

      • “Mumutumikie Yehova kwa furaha” (2)

      • ‘Mungu ndiye alituumba’ (3)

  • 101

    • Mutawala mwenye kutenda kwa uaminifu-mushikamanifu

      • ‘Sitavumilia kiburi’ (5)

      • “Nitaangalia waaminifu” (6)

  • 102

    • Sala ya mutu mwenye kukandamizwa wakati amepoteza tumaini

      • “Niko kama ndege mwenye kuwa peke yake” (7)

      • ‘Siku zangu ni kivuli chenye kufifia’ (11)

      • “Yehova atajenga upya Sayuni” (16)

      • Yehova anadumu milele (26, 27)

  • 103

    • “Acha nimusifu Yehova”

      • Mungu anatia zambi zetu mbali sana (12)

      • Mungu anaonyesha rehema kama baba (13)

      • Mungu anakumbuka kwamba tuko mavumbi (14)

      • Kiti cha ufalme cha Yehova na ufalme wake (19)

      • Malaika wanashika neno la Mungu (20)

  • 104

    • Kumusifu Mungu kwa sababu ya maajabu ya uumbaji

      • Dunia itadumu milele (5)

      • Divai na mukate kwa ajili ya mwanadamu mwenye anaweza kufa (15)

      • “Kazi zako ni nyingi sana!” (24)

      • ‘Wakati roho inaondolewa, wanakufa’ (29)

  • 105

    • Matendo ya uaminifu ya Yehova kuelekea watu wake

      • Mungu anakumbuka agano lake (8-10)

      • “Musiguse watiwa-mafuta wangu” (15)

      • Mungu anamutumia Yosefu mwenye alikuwa katika utumwa (17-22)

      • Miujiza ya Mungu katika Misri (23-36)

      • Israeli wanatoka Misri (37-39)

      • Mungu anakumbuka ahadi yenye alimupatia Abrahamu (42)

  • 106

    • Israeli wanakosa shukrani

      • Walisahau haraka matendo ya Mungu (13)

      • Walibadilisha utukufu wa Mungu na mufano wa ngombe-dume (19, 20)

      • Hawakukuwa na imani katika ahadi ya Mungu (24)

      • Walijiunga na ibada ya Baali (28)

      • Watoto walitolewa kuwa zabihu kwa pepo wachafu (37)

  • 107

    • Mumushukuru Mungu kwa sababu ya kazi zake za ajabu

      • Aliwaongoza katika njia yenye kufaa (7)

      • Alitosheleza wenye kiu na kushibisha wenye njaa (9)

      • Aliwatosha katika giza (14)

      • Alituma neno lake ili kuwaponyesha (20)

      • Analinda maskini ili wasikandamizwe (41)

  • 108

    • Sala ya kuomba ushindi juu ya maadui

      • Wokovu kutoka kwa wanadamu hauna mafaa yoyote (12)

      • “Kwa musaada wa Mungu tutapata nguvu” (13)

  • 109

    • Sala ya mutu mwenye kuwa katika taabu

      • “Mutu mwingine akamate cheo chake” (8)

      • Mungu anasimama kwenye mukono wa kuume wa maskini (31)

  • 110

    • Mufalme na kuhani kama Melkisedeki

      • ‘Tawala katikati ya maadui wako’ (2)

      • Vijana wenye wanajitoa kwa kujipendea ni kama matone ya umande (3)

  • 111

    • Mumusifu Yehova kwa sababu ya kazi zake kubwa

      • Jina la Mungu ni takatifu na lenye kuogopesha sana (9)

      • Kumuogopa Yehova ni hekima (10)

  • 112

    • Mwenye haki anamuogopa Yehova

      • Mutu mwenye kukopesha kwa ukarimu atasitawi (5)

      • “Mwenye haki atakumbukwa milele” (6)

      • Mutu mukarimu anapatiaka maskini (9)

  • 113

    • Mungu mwenye kuwa juu anamuinua mutu wa hali ya chini

      • Jina la Yehova linasifiwa milele (2)

      • Mungu anainama (6)

  • 114

    • Israeli wanakombolewa kutoka Misri

      • Bahari ilikimbia (5)

      • Milima iliruka-ruka kama kondoo-dume (6)

      • Jiwe ngumu liligeuzwa kuwa chemchemi ya maji (8)

  • 115

    • Mungu peke yake ndiye anapaswa kutukuzwa

      • Sanamu zenye hazina uzima (4-8)

      • Wanadamu wamepewa dunia (16)

      • “Wafu hawamusifu Yah” (17)

  • 116

    • Wimbo wa shukrani

      • “Nitamulipa Yehova nini?” (12)

      • “Nitainua kikombe cha wokovu” (13)

      • “Nitamutimizia Yehova naziri zangu” (14, 18)

      • Kifo cha washikamanifu ni chenye bei kali (15)

  • 117

    • Mataifa yote yanaombwa kumusifu Yehova

      • Upendo mushikamanifu wa Mungu ni mwingi (2)

  • 118

    • Kushukuru kwa sababu ya ushindi wa Yehova

      • ‘Nilimuitia Yah, naye akanijibu’ (5)

      • “Yehova iko upande wangu” (6, 7)

      • Jiwe lenye lilikataliwa litakuwa jiwe kubwa la pembe (22)

      • ‘Ule mwenye kuja katika jina la Yehova’ (26)

  • 119

    • Kupendezwa na neno la Mungu lenye samani

      • ‘Namna gani vijana wanaweza kufanya njia yao iendelee kuwa safi?’ (9)

      • “Ninapenda sana vikumbusho vyako” (24)

      • “Neno lako ni tumaini langu” (74, 81, 114)

      • “Ninapenda sana sheria yako!” (97)

      • “Ufahamu mwingi kuliko walimu wangu wote” (99)

      • “Neno lako ni taa ya muguu wangu” (105)

      • ‘Chanzo kabisa cha neno lako ni kweli’ (160)

      • Wenye kupenda sheria ya Mungu wako na amani (165)

  • 120

    • Mugeni anatamani amani

      • ‘Uniokoe kutokana na ulimi mudanganyifu’ (2)

      • “Mimi ni mutu wa amani” (7)

  • 121

    • Yehova analinda watu wake

      • “Musaada wangu unatoka kwa Yehova” (2)

      • Yehova halale usingizi hata kidogo (3, 4)

  • 122

    • Sala ya kuomba muji wa Yerusalemu ukuwe na amani

      • Shangwe ya kuenda kwenye nyumba ya Yehova (1)

      • Muji wenye kuunganishwa pamoja kama kitu kimoja (3)

  • 123

    • Kumutegemea Yehova ili kupata rehema

      • ‘Kama vile watumishi, tunamuangalia Yehova’ (2)

      • ‘Tumezarauliwa kwa ukamili’ (3)

  • 124

    • “Kama Yehova hangekuwa pamoja na sisi”

      • Ponyoka mutego wenye ulivunjika (7)

      • ‘Jina la Yehova ni musaada wetu’ (8)

  • 125

    • Yehova analinda watu wake

      • “Kama vile milima inazunguka Yerusalemu” (2)

      • “Amani ikuwe juu ya Israeli” (5)

  • 126

    • Sayuni itarudishwa kwa shangwe

      • ‘Yehova ametenda mambo makubwa’ (3)

      • Kisha kulia, kutakuwa shangwe (5, 6)

  • 127

    • Bila Mungu, kila kitu ni bure

      • “Kama Yehova hajenge nyumba” (1)

      • Watoto ni zawabu kutoka kwa Mungu (3)

  • 128

    • Furaha kwa sababu ya kumuogopa Yehova

      • Bibi mwenye kuwa kama muzabibu wenye kuzaa matunda mengi (3)

      • “Na uone Yerusalemu ikisitawi” (5)

  • 129

    • Alishambuliwa lakini hakushindwa

      • Wenye kuchukia Sayuni wanapatishwa haya (5)

  • 130

    • “Ninakuita nikiwa katika sehemu za chini kabisa”

      • ‘Kama ungekuwa unaangalia makosa’ (3)

      • Yehova anatoa musamaha wa kweli (4)

      • “Ninamungojea Yehova kwa hamu” (6)

  • 131

    • Kutulia kama mutoto mwenye ameachishwa kunyonya

      • Kukosa kutafuta mambo makubwa sana (1)

  • 132

    • Daudi anachaguliwa na pia Sayuni

      • “Usimukatae mutiwa-mafuta wako” (10)

      • Makuhani wa Sayuni wanavalishwa wokovu (16)

  • 133

    • Kukaa pamoja kwa umoja

      • Kama mafuta kwenye kichwa cha Haruni (2)

      • Kama umande wa Hermoni (3)

  • 134

    • Kumusifu Mungu nyakati za usiku

      • “Muinue mikono yenu katika utakatifu” (2)

  • 135

    • Mumusifu Yah kwa sababu ya ukubwa wake

      • Alama na miujiza juu ya Misri (8, 9)

      • “Jina lako linadumu milele” (13)

      • Sanamu zenye hazina uzima (15-18)

  • 136

    • Upendo mushikamanifu wa Yehova unadumu milele

      • Mbingu na dunia zilifanywa kwa ufundi (5, 6)

      • Farao alikufa katika Bahari Nyekundu (15)

      • Mungu anakumbuka wenye kushuka moyo (23)

      • Anapatia chakula kila kiumbe chenye uzima (25)

  • 137

    • Pembeni ya mito ya Babiloni

      • Nyimbo za Sayuni hazikuimbwa (3, 4)

      • Babiloni itaharibiwa (8)

  • 138

    • Mungu anahangaikia watu, hata kama yeye ni mwenye kuinuliwa

      • ‘Ulijibu sala yangu’ (3)

      • ‘Hata katikati ya hatari, unaniokoa’ (7)

  • 139

    • Mungu anajua muzuri watumishi wake

      • Hakuna mahali pa kujificha mbali na roho ya Mungu (7)

      • ‘Nimeumbwa kwa njia ya ajabu’ (14)

      • ‘Uliniona nikiwa kiini-tete’ (16)

      • “Uniongoze katika njia ya milele” (24)

  • 140

    • Yehova ni Mwokozi mwenye nguvu

      • Waovu wako kama nyoka (3)

      • Watu wenye jeuri wataanguka (11)

  • 141

    • Sala ya kuomba ulinzi

      • ‘Sala yangu ikuwe kama uvumba’ (2)

      • Karipio la mwenye haki ni kama mafuta (5)

      • Waovu wanaanguka ndani ya nyavu zao wenyewe (10)

  • 142

    • Sala ya kuomba aokolewe kutoka kwa watesaji

      • “Hakuna kwenye ninaweza kukimbilia” (4)

      • “Sina mwingine isipokuwa wewe” (5)

  • 143

    • Kiu kwa ajili ya Mungu kama inchi yenye kukauka

      • ‘Ninafikiri sana juu ya kazi zako’ (5)

      • “Unifundishe kufanya mapenzi yako” (10)

      • ‘Acha roho yako ya muzuri iniongoze’ (10)

  • 144

    • Sala ya kuomba ushindi

      • “Mwanadamu mwenye anaweza kufa ni nini?” (3)

      • ‘Acha maadui wasambazwe’ (6)

      • Watu wa Yehova ni wenye furaha (15)

  • 145

    • Kumusifu Mungu, Mufalme mukubwa

      • ‘Nitatangaza ukubwa wa Mungu’ (6)

      • “Yehova ni mwema kwa wote” (9)

      • “Washikamanifu wako watakusifu” (10)

      • Ufalme wa Mungu ni wa milele (13)

      • Mukono wa Mungu unatosheleza wote (16)

  • 146

    • Tegemea Mungu, hapana wanadamu

      • Mawazo ya mwanadamu yanapotea wakati anakufa (4)

      • Mungu anasimamisha wenye kuinama chini (8)

  • 147

    • Kusifu matendo ya Mungu ya upendo na yenye nguvu

      • Anaponyesha wenye kuvunjika moyo (3)

      • Anaita nyota zote kwa majina (4)

      • Anatuma teluji kama manyoya ya kondoo (16)

  • 148

    • Uumbaji wote umusifu Yehova

      • “Mumusifu, ninyi malaika wake wote” (2)

      • ‘Mumusifu, jua, mwezi, na nyota’ (3)

      • Vijana na wazee wamusifu Mungu (12, 13)

  • 149

    • Wimbo wa kusifu ushindi wa Mungu

      • Mungu anafurahia watu wake (4)

      • Heshima ni ya washikamanifu wa Mungu (9)

  • 150

    • Acha kila kitu chenye kupumua kimusifu Yah

      • Hallelujah! (1, 6)