ONYESHA Vitabu vya Biblia Mwanzo Kutoka Mambo ya Walawi Hesabu Kumbukumbu la Torati Yoshua Waamuzi Rutu 1 Samweli 2 Samweli 1 Wafalme 2 Wafalme 1 Mambo ya Nyakati 2 Mambo ya Nyakati Ezra Nehemia Esta Yobu Zaburi Mezali Muhubiri Wimbo wa Sulemani Isaya Yeremia Maombolezo Ezekieli Danieli Hosea Yoeli Amosi Obadia Yona Mika Nahumu Habakuki Sefania Hagai Zekaria Malaki Matayo Marko Luka Yohana Matendo Waroma 1 Wakorinto 2 Wakorinto Wagalatia Waefeso Wafilipi Wakolosai 1 Watesalonike 2 Watesalonike 1 Timoteo 2 Timoteo Tito Filemoni Waebrania Yakobo 1 Petro 2 Petro 1 Yohana 2 Yohana 3 Yohana Yuda Ufunuo Sura 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 Barua kwa Waebrania Sura 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 Habari Zenye Kuwa Ndani 1 Mungu anasema kupitia Mwana wake (1-4) Mwana ni mukubwa kuliko malaika (5-14) 2 Kukaza uangalifu zaidi kuliko kawaida (1-4) Vitu vyote vimetiishwa chini ya Yesu (5-9) Yesu na ndugu zake (10-18) Kiongozi Mukubwa wa wokovu wao (10) Kuhani mukubwa mwenye rehema (17) 3 Yesu ni mukubwa kuliko Musa (1-6) Vitu vyote vilijengwa na Mungu (4) Onyo juu ya kukosa imani (7-19) “Leo kama munasikiliza sauti yake” (7, 15) 4 Hatari ya kukosa kuingia katika pumuziko la Mungu (1-10) Kitia-moyo cha kuingia katika pumuziko la Mungu (11-13) Neno la Mungu liko na uzima (12) Yesu, kuhani mukubwa zaidi (14-16) 5 Yesu ni mukubwa kuliko makuhani wakubwa wanadamu (1-10) Kwa mufano wa Melkisedeki (6, 10) Alijifunza kutii kutokana na mateso (8) Iko na daraka la wokovu wa milele (9) Onyo juu ya kukosa ukomavu (11-14) 6 Kusonga mbele kuelekea ukomavuy (1-3) Wale wenye wanaanguka wanamupigilia tena Mwana misumari kwenye muti (4-8) Mufanye tumaini lenu kuwa hakika (9-12) Uhakika wa ahadi ya Mungu (13-20) Ahadi na kiapo cha Mungu havibadilike (17, 18) 7 Melkisedeki, mufalme na kuhani wa pekee (1-10) Ukubwa wa ukuhani wa Kristo (11-28) Kristo anaweza kuokoa kwa ukamili (25) 8 Tabenakulo yenye kufananisha vitu vya mbinguni (1-6) Tofauti kati ya agano jipya na agano la kale (7-13) 9 Utumishi mutakatifu katika hekalu la duniani (1-10) Kristo anaingia mbinguni akiwa na damu yake (11-28) Mupatanishi wa agano jipya (15) 10 Zabihu za wanyama hazina uwezo (1-4) Sheria ni kivuli (1) Zabihu ya Kristo mara moja kwa wakati wote (5-18) Njia mupya na yenye uzima ya kupitia (19-25) Tusiache kukutana pamoja (24, 25) Onyo juu ya zambi ya kimakusudi (26-31) Uhakika na imani ili kuvumilia (32-39) 11 Maana ya imani (1, 2) Mifano ya imani (3-40) Haiwezekane kumupendeza Mungu bila imani (6) 12 Yesu, Mukamilishaji wa imani yetu (1-3) Wingu kubwa la mashahidi (1) Usizarau nizamu ya Yehova (4-11) Fanyia miguu yako njia zenye kunyooka (12-17) Kukaribia Yerusalemu la mbinguni (18-29) 13 Vitia-moyo vya kumalizia, na salamu (1-25) Musisahau ukaribishaji-wageni (2) Ndoa iheshimiwe (4) Mutii wale wenye wanaongoza (7, 17) Kutoa zabihu ya sifa (15, 16) YENYE KUTANGULIA ENDELEA CHAPA TUMIA WENGINE TUMIA WENGINE Waebrania—Habari Zenye Kuwa Ndani BIBLIA—TAFSIRI YA ULIMWENGU MUPYA (YENYE ILIREKEBISHWA YA 2018) Waebrania—Habari Zenye Kuwa Ndani Kiswahili (Congo) Waebrania—Habari Zenye Kuwa Ndani https://assetsnffrgf-a.akamaihd.net/assets/ct/2208d1720a/images/syn_placeholder_sqr.png