Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Barua kwa Waebrania

Sura

1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13

Habari Zenye Kuwa Ndani

  • 1

    • Mungu anasema kupitia Mwana wake (1-4)

    • Mwana ni mukubwa kuliko malaika (5-14)

  • 2

    • Kukaza uangalifu zaidi kuliko kawaida (1-4)

    • Vitu vyote vimetiishwa chini ya Yesu (5-9)

    • Yesu na ndugu zake (10-18)

      • Kiongozi Mukubwa wa wokovu wao (10)

      • Kuhani mukubwa mwenye rehema (17)

  • 3

    • Yesu ni mukubwa kuliko Musa (1-6)

      • Vitu vyote vilijengwa na Mungu (4)

    • Onyo juu ya kukosa imani (7-19)

      • “Leo kama munasikiliza sauti yake” (7, 15)

  • 4

    • Hatari ya kukosa kuingia katika pumuziko la Mungu (1-10)

    • Kitia-moyo cha kuingia katika pumuziko la Mungu (11-13)

      • Neno la Mungu liko na uzima (12)

    • Yesu, kuhani mukubwa zaidi (14-16)

  • 5

    • Yesu ni mukubwa kuliko makuhani wakubwa wanadamu (1-10)

      • Kwa mufano wa Melkisedeki (6, 10)

      • Alijifunza kutii kutokana na mateso (8)

      • Iko na daraka la wokovu wa milele (9)

    • Onyo juu ya kukosa ukomavu (11-14)

  • 6

    • Kusonga mbele kuelekea ukomavuy (1-3)

    • Wale wenye wanaanguka wanamupigilia tena Mwana misumari kwenye muti (4-8)

    • Mufanye tumaini lenu kuwa hakika (9-12)

    • Uhakika wa ahadi ya Mungu (13-20)

      • Ahadi na kiapo cha Mungu havibadilike (17, 18)

  • 7

    • Melkisedeki, mufalme na kuhani wa pekee (1-10)

    • Ukubwa wa ukuhani wa Kristo (11-28)

      • Kristo anaweza kuokoa kwa ukamili (25)

  • 8

    • Tabenakulo yenye kufananisha vitu vya mbinguni (1-6)

    • Tofauti kati ya agano jipya na agano la kale (7-13)

  • 9

    • Utumishi mutakatifu katika hekalu la duniani (1-10)

    • Kristo anaingia mbinguni akiwa na damu yake (11-28)

      • Mupatanishi wa agano jipya (15)

  • 10

    • Zabihu za wanyama hazina uwezo (1-4)

      • Sheria ni kivuli (1)

    • Zabihu ya Kristo mara moja kwa wakati wote (5-18)

    • Njia mupya na yenye uzima ya kupitia (19-25)

      • Tusiache kukutana pamoja (24, 25)

    • Onyo juu ya zambi ya kimakusudi (26-31)

    • Uhakika na imani ili kuvumilia (32-39)

  • 11

    • Maana ya imani (1, 2)

    • Mifano ya imani (3-40)

      • Haiwezekane kumupendeza Mungu bila imani (6)

  • 12

    • Yesu, Mukamilishaji wa imani yetu (1-3)

      • Wingu kubwa la mashahidi (1)

    • Usizarau nizamu ya Yehova (4-11)

    • Fanyia miguu yako njia zenye kunyooka (12-17)

    • Kukaribia Yerusalemu la mbinguni (18-29)

  • 13

    • Vitia-moyo vya kumalizia, na salamu (1-25)

      • Musisahau ukaribishaji-wageni (2)

      • Ndoa iheshimiwe (4)

      • Mutii wale wenye wanaongoza (7, 17)

      • Kutoa zabihu ya sifa (15, 16)