Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Habari Njema Kulingana na Luka

Sura

Habari Zenye Kuwa Ndani

  • 1

    • Ujumbe kwa Teofilo (1-4)

    • Gabrieli anatabiri kuzaliwa kwa Yohana Mubatizaji (5-25)

    • Gabrieli anatabiri kuzaliwa kwa Yesu (26-38)

    • Maria anamutembelea Elizabeti (39-45)

    • Maria anamutukuza Yehova (46-56)

    • Yohana anazaliwa na anapewa jina (57-66)

    • Unabii wa Zekaria (67-80)

  • 2

    • Kuzaliwa kwa Yesu (1-7)

    • Malaika wanatokea wachungaji (8-20)

    • Kutahiriwa na kutakaswa (21-24)

    • Simeoni anamuona Kristo (25-35)

    • Ana anasema juu ya mutoto (36-38)

    • Wanarudia Nazareti  (39, 40)

    • Yesu akiwa na miaka kumi na mbili iko katika hekalu (41-52)

  • 3

    • Mwanzo wa kazi ya Yohana (1, 2)

    • Yohana anahubiri ubatizo (3-20)

    • Yesu anabatizwa (21, 22)

    • Ukoo wa Yesu Kristo (23-38) (23-38)

  • 4

    • Ibilisi anamujaribu Yesu (1-13)

    • Yesu anaanza kuhubiri katika Galilaya (14, 15)

    • Yesu anakataliwa katika Nazareti (16-30)

    • Yesu katika sinagogi kule Kapernaumu (31-37)

    • Mama-mukwe wa Simoni na wagonjwa wengine wanaponyeshwa (38-41)

    • Watu wanamupata Yesu mahali kwenye hakuna watu (42-44)

  • 5

    • Kuvua samaki kwa njia ya muujiza; wanafunzi wa kwanza (1-11)

    • Mutu mwenye ukoma anaponyeshwa (12-16)

    • Yesu anamuponyesha mutu mwenye kupooza (17-26)

    • Yesu anamuita Lawi (27-32)

    • Ulizo juu ya kufunga (33-39)

  • 6

    • Yesu ni “Bwana wa Sabato” (1-5)

    • Mutu mwenye mukono wenye kukauka anaponyeshwa (6-11)

    • Mitume kumi na mbili (12-16)

    • Yesu anafundisha na kuponyesha (17-19)

    • Furaha na ole (20-26)

    • Kupenda maadui (27-36)

    • Muache kuhukumu (37-42)

    • Muti unajulikana kwa matunda yake (43-45)

    • Nyumba yenye ilijengwa muzuri; nyumba yenye haina musingi wenye nguvu (46-49)

  • 7

    • Imani ya ofisa mumoja wa jeshi (1-10)

    • Yesu anamufufua mwana wa mujane wa Naini (11-17)

    • Yohana Mubatizaji anasifiwa (18-30)

    • Kizazi chenye hakina imani kinahukumiwa (31-35)

    • Mwanamuke mutenda-zambi anasamehewa (36-50)

      • Mufano wa watu wenye madeni (41-43)

  • 8

    • Wanamuke wenye walimufuata Yesu (1-3)

    • Mufano wa mupandaji (4-8)

    • Sababu gani Yesu alitumia mifano (9, 10)

    • Mufano wa mupandaji unafasiriwa (11-15)

    • Taa haipaswe kufunikwa (16-18)

    • Mama na ndugu za Yesu (19-21)

    • Yesu anatuliza zoruba (22-25)

    • Yesu anatuma pepo wachafu waingie ndani ya nguruwe (26-39)

    • Binti ya Yairo; mwanamuke fulani anagusa nguo za inje za Yesu (40-56)

  • 9

    • Wale Kumi na Mbili wanapewa maagizo juu ya utumishi (1-6)

    • Herode anavurugika juu ya Yesu (7-9)

    • Yesu anakulisha wanaume elfu tano (10-17)

    • Petro anatambua Kristo (18-20)

    • Kifo cha Yesu kinatabiriwa (21, 22)

    • Mambo ya kufanya ili kuwa mwanafunzi wa kweli (23-27)

    • Yesu anageuzwa sura (28-36)

    • Kijana mwanaume mwenye pepo muchafu anaponyeshwa (37-43a)

    • Kifo cha Yesu kinatabiriwa tena (43b-45)

    • Wanafunzi wanabishana juu ya ukubwa (46-48)

    • Kila mutu mwenye hatupinge iko upande wetu (49, 50)

    • Yesu anakataliwa katika kijiji kimoja cha Wasamaria (51-56)

    • Namna ya kumufuata Yesu (57-62)

  • 10

    • Yesu anatuma wale makumi saba (1-12)

    • Ole wa miji yenye haitubu (13-16)

    • Wale makumi saba wanarudia (17-20)

    • Yesu anamusifu Baba yake kwa kupendelea wanyenyekevu (21-24)

    • Mufano wa Musamaria mwema (25-37)

    • Yesu anamutembelea Marta na Maria (38-42)

  • 11

    • Namna ya kusali (1-13)

      • Sala ya mufano (2-4)

    • Pepo wachafu wanafukuzwa kupitia kidole cha Mungu (14-23)

    • Roho muchafu anarudia (24-26)

    • Furaha ya kweli (27, 28)

    • Alama ya Yona (29-32)

    • Taa ya mwili (33-36)

    • Ole wao wanafiki wa kidini (37-54)

  • 12

    • Chachu ya Wafarisayo (1-3)

    • Mumuogope Mungu, hapana wanadamu (4-7)

    • Kukubali umoja na Kristo (8-12)

    • Mufano wa tajiri mupumbavu (13-21)

    • Muache kuhangaika (22-34)

      • Kundi ndogo (32)

    • Kukesha (35-40)

    • Musimamizi-nyumba muaminifu na musimamizi-nyumba mwenye haiko muaminifu (41-48)

    • Hapana amani, lakini mugawanyiko (49-53)

    • Ulazima wa kuchunguza wakati (54-56)

    • Kuelewana (57-59)

  • 13

    • Kutubu ao kuharibiwa (1-5)

    • Mufano wa muti wa tini wenye hauzae matunda (6-9)

    • Mwanamuke mulemavu anaponyeshwa siku ya Sabato (10-17)

    • Mufano wa mbegu ya haradali na wa chachu (18-21)

    • Inaomba kujikaza ili kuingia kupitia mulango mwembamba (22-30)

    • Herode, “ule mbweha” (31-33)

    • Yesu anaomboleza juu ya Yerusalemu (34, 35)

  • 14

    • Mutu mwenye ugonjwa wa kuvimbisha mwili anaponyeshwa siku ya Sabato (1-6)

    • Ukuwe mugeni munyenyekevu (7-11)

    • Ualike wale wenye hawawezi kukulipa (12-14)

    • Mufano wa waalikwa wenye walitoa visingizio (15-24)

    • Garama ya kuwa mwanafunzi (25-33)

    • Chumvi yenye inapoteza nguvu yake (34, 35)

  • 15

    • Mufano wa kondoo mwenye alipotea (1-7)

    • Mufano wa feza ya kichele yenye ilipotea (8-10)

    • Mufano wa mwana mupotevu (11-32)

  • 16

    • Mufano wa musimamizi-nyumba mwenye haiko mwenye haki (1-13)

      • ‘Mutu muaminifu katika mambo madogo ni muaminifu katika mambo makubwa’ (10)

    • Sheria na Ufalme wa Mungu (14-18)

    • Mufano wa tajiri na Lazaro (19-31)

  • 17

    • Kukwazika, musamaha, na imani (1-6)

    • Watumwa wenye hawana mafaa yoyote (7-10)

    • Watu kumi wenye ukoma wanaponyeshwa (11-19)

    • Kuja kwa Ufalme wa Mungu (20-37)

      • “Ufalme wa Mungu uko katikati yenu.” (21)

      • “Mukumbuke bibi ya Loti” (32)

  • 18

    • Mufano wa mujane mwenye kuomba bila kuacha (1-8)

    • Mufarisayo na mukusanya-kodi (9-14)

    • Yesu na watoto (15-17)

    • Ulizo la mutawala tajiri (18-30)

    • Kifo cha Yesu kinatabiriwa tena (31-34)

    • Kipofu mwenye kuomba-omba anaona tena (35-43)

  • 19

    • Yesu anamutembelea Zakayo (1-10)

    • Mufano wa mina kumi  (11-27)

    • Yesu anaingia kwa ushindi (28-40)

    • Yesu analilia muji wa Yerusalemu (41-44)

    • Yesu anasafisha hekalu (45-48)

  • 20

    • Mamlaka ya Yesu yanatiliwa mashaka (1-8)

    • Mufano wa walimaji wauaji (9-19)

    • Mungu na Kaisari (20-26)

    • Ulizo juu ya ufufuo (27-40)

    • Je, Kristo ni Mwana wa Daudi? (41-44)

    • Onyo juu ya waandishi (45-47)

  • 21

    • Mujane maskini na feza mbili za vichele(1-4)

    • ALAMA YA MAMBO YENYE YATAKUJA (5-36)

      • Vita, matetemeko makubwa ya inchi, magonjwa ya kuambukiza, upungufu wa chakula (10, 11)

      • Yerusalemu itazungukwa na majeshi (20)

      • Nyakati zenye ziliwekwa za mataifa (24)

      • Kuja kwa Mwana wa binadamu (27)

      • Mufano wa muti wa tini (29-33)

      • Muendelee kukesha (34-36)

    • Yesu anafundisha katika hekalu (37, 38)

  • 22

    • Makuhani wanafanya mupango wa kumuua Yesu (1-6)

    • Matayarisho ya Pasaka ya mwisho (7-13)

    • Chakula cha Mangaribi cha Bwana kinaanzishwa (14-20)

    • ‘Mutu mwenye kunisaliti iko pamoja na mimi kwenye meza’ (21-23)

    • Mabishano makali juu ya ukubwa (24-27)

    • Yesu anafanya agano kwa ajili ya ufalme (28-30)

    • Yesu anatabiri kama Petro atamukana (31-34)

    • Ulazima wa kuwa tayari; panga mbili (35-38)

    • Sala ya Yesu kwenye Mulima wa Mizeituni (39-46)

    • Yesu anakamatwa (47-53)

    • Petro anamukana Yesu (54-62)

    • Yesu anachekelewa (63-65)

    • Yesu anasamba mbele ya Sanhedrini (66-71)

  • 23

    • Yesu mbele ya Pilato na mbele ya Herode (1-25)

    • Yesu na watenda-mabaya wawili wanatundikwa kwenye miti (26-43)

      • “Utakuwa pamoja na mimi katika Paradiso” (43)

    • Yesu anakufa (44-49)

    • Yesu anazikwa (50-56)

  • 24

    • Yesu anafufuliwa (1-12)

    • Wakiwa katika njia kuelekea Emau (13-35)

    • Yesu anatokea wanafunzi (36-49)

    • Yesu anapanda mbinguni (50-53)