Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Kitabu cha Kutoka

Sura

Habari Zenye Kuwa Ndani

  • 1

    • Waisraeli wanaongezeka katika Misri (1-7)

    • Farao anakandamiza Waisraeli (8-14)

    • Wanamuke wa kuzalisha wenye kumuogopa Mungu wanaokoa uzima wa watoto (15-22)

  • 2

    • Musa anazaliwa (1-4)

    • Binti ya Farao anamuchukua Musa kuwa mutoto wake (5-10)

    • Musa anakimbilia Midiani na anamuoa Sipora (11-22)

    • Mungu anasikia kilio cha maumivu cha Waisraeli (23-25)

  • 3

    • Musa na muti mudogo wa miiba wenye kuwaka moto (1-12)

    • Yehova anaeleza maana ya jina Lake (13-15)

    • Yehova anamupatia Musa maagizo (16-22)

  • 4

    • Alama tatu zenye Musa alipaswa kufanya (1-9)

    • Musa anajisikia kuwa hastahili (10-17)

    • Musa anarudia Misri (18-26)

    • Musa anakutana tena na Haruni (27-31)

  • 5

    • Musa na Haruni mbele ya Farao (1-5)

    • Ukandamizaji unaongezeka (6-18)

    • Israeli wanamulaumu Musa na Haruni (19-23)

  • 6

    • Ahadi ya kuwekwa huru inarudiliwa (1-13)

      • Jina Yehova halikujulikana kwa ukamili (2, 3)

    • Ukoo wa Musa na Haruni (14-27)

    • Musa anapaswa kufika tena mbele ya Farao (28-30)

  • 7

    • Yehova anamutia Musa nguvu (1-7)

    • Fimbo ya Haruni inageuka kuwa nyoka mukubwa (8-13)

    • Pigo la 1: maji yanageuka kuwa damu (14-25)

  • 8

    • Pigo la 2: vyura (1-15)

    • Pigo la 3: imbu (16-19)

    • Pigo la 4: mainzi (20-32)

      • Gosheni haipatwe na mapigo (22, 23)

  • 9

    • Pigo la 5: mifugo inakufa (1-7)

    • Pigo la 6: majipu yanakuwa juu ya wanadamu na wanyama (8-12)

    • Pigo la 7: mvua ya majiwe (13-35)

      • Farao atatambua nguvu za Mungu (16)

      • Jina la Yehova litatangazwa (16)

  • 10

    • Pigo la 8: nzige (1-20)

    • Pigo la 9: giza (21-29)

  • 11

    • Pigo la kumi linatangazwa (1-10)

      • Waisraeli wataomba zawadi (2)

  • 12

    • Kuanzishwa kwa Pasaka (1-28)

      • Damu itapakaliwa kwenye miimo ya milango (7)

    • Pigo la 10: wazaliwa wa kwanza wanauawa (29-32)

    • Israeli wanatoka Misri (33-42)

      • Mwisho wa miaka mia ine makumi tatu (40, 41)

    • Maagizo juu ya kula Pasaka (43-51)

  • 13

    • Kila muzaliwa wa kwanza wa kiume ni wa Yehova (1, 2)

    • Sikukuu ya Mikate Yenye Haina Chachu (3-10)

    • Kila muzaliwa wa kwanza wa kiume anapaswa kutolewa kwa Mungu (11-16)

    • Israeli wanaelekezwa kwenye Bahari Nyekundu (17-20)

    • Nguzo ya wingu na ya moto (21, 22)

  • 14

    • Israeli wanafika kwenye bahari (1-4)

    • Farao anafuatilia Israeli (5-14)

    • Israeli wanavuka Bahari Nyekundu (15-25)

    • Wamisri wanazama katika bahari (26-28)

    • Israeli wanamuamini Yehova (29-31)

  • 15

    • Wimbo wa ushindi wa Musa na Israeli (1-19)

    • Miriamu anaimba kwa kuitikia wanaume (20, 21)

    • Maji machungu yanageuzwa kuwa matamu (22-27)

  • 16

    • Watu wananungunika juu ya chakula (1-3)

    • Yehova anasikia manunguniko hayo (4-12)

    • Wanapewa mana na ndege kware (13-21)

    • Hakuna mana siku ya Sabato (22-30)

    • Mana inawekwa ili kuwa kikumbusho (31-36)

  • 17

    • Malalamiko juu ya kukosa maji kule Horebu (1-4)

    • Maji yanatoka katika mwamba (5-7)

    • Waamaleki wanashambulia na kupata ushindi (8-16)

  • 18

    • Yetro na Sipora wanafika (1-12)

    • Shauri la Yetro la kuchagua waamuzi (13-27)

  • 19

    • Kwenye Mulima Sinai (1-25)

      • Israeli watakuwa ufalme wa makuhani (5, 6)

      • Watu wanatakaswa ili wakutane na Mungu (14, 15)

  • 20

    • Amri Kumi (1-17)

    • Mambo ya ajabu yanaogopesha Israeli (18-21)

    • Maagizo juu ya ibada (22-26)

  • 21

    • Maamuzi ya hukumu kwa ajili ya Israeli (1-36)

      • Kuhusu watumwa Waebrania (2-11)

      • Kuhusu kumutendea mutu mwingine jeuri (12-27)

      • Kuhusu wanyama (28-36)

  • 22

    • Maamuzi ya hukumu kwa ajili ya Israeli (1-31)

      • Kuhusu kuiba (1-4)

      • Kuhusu kuharibisha mimea katika mashamba (5, 6)

      • Kuhusu kulipa hasara ya mali na kuriti mali (7-15)

      • Kuhusu kutongoza (16, 17)

      • Kuhusu ibada na kutendea watu kwa haki (18-31)

  • 23

    • Maamuzi ya hukumu kwa ajili ya Israeli (1-19)

      • Kuhusu unyoofu na mwenendo muzuri (1-9)

      • Kuhusu sabato na sikukuu mbalimbali (10-19)

    • Malaika anaongoza Israeli (20-26)

    • Kukamata inchi na mipaka ya inchi hiyo (27-33)

  • 24

    • Watu wanakubali kushika agano (1-11)

    • Musa kwenye Mulima Sinai (12-18)

  • 25

    • Michango kwa ajili ya tabenakulo (1-9)

    • Sanduku (10-22)

    • Meza (23-30)

    • Kinara cha taa (31-40)

  • 26

    • Tabenakulo (1-37)

      • Vitambaa vya hema (1-14)

      • Kadre za mbao na vikalio (15-30)

      • Pazia na kitambaa cha kuficha (31-37)

  • 27

    • Mazabahu ya toleo la kuteketezwa (1-8)

    • Kiwanja (9-19)

    • Mafuta kwa ajili ya kinara cha taa (20, 21)

  • 28

    • Nguo za kikuhani (1-5)

    • Efodi (6-14)

    • Kifuko cha kifua (15-30)

      • Urimu na Tumimu (30)

    • Koti yenye haina mikono (31-35)

    • Kilemba chenye bamba la zahabu (36-39)

    • Nguo zingine za kikuhani (40-43)

  • 29

    • Makuhani wanawekwa katika madaraka yao (1-37)

    • Toleo la kila siku (38-46)

  • 30

    • Mazabahu ya uvumba (1-10)

    • Kuhesabiwa kwa watu na feza za zabihu kwa ajili ya kufunika zambi (11-16)

    • Beseni ya shaba ya kunawia (17-21)

    • Muchanganyiko wa pekee wa mafuta ya kutia mafuta (22-33)

    • Vitu vya kutumia ili kutengeneza uvumba mutakatifu (34-38)

  • 31

    • Mafundi wanajazwa roho ya Mungu (1-11)

    • Sabato, alama kati ya Mungu na Israeli (12-17)

    • Mabamba mbili ya majiwe (18)

  • 32

    • Ibada ya sanamu ya kitoto-dume cha ngombe cha zahabu (1-35)

      • Musa anasikia nyimbo za namna ingine (17, 18)

      • Musa anavunja-vunja mabamba ya sheria (19)

      • Walawi wanabakia washikamanifu kwa Yehova (26-29)

  • 33

    • Ujumbe wa Mungu wa kukaripia Israeli (1-6)

    • Hema ya mukutano inje ya kambi (7-11)

    • Musa anaomba aone utukufu wa Yehova (12-23)

  • 34

    • Mabamba mapya ya majiwe yanatengenezwa (1-4)

    • Musa anaona utukufu wa Yehova (5-9)

    • Maagizo ya agano yanarudiliwa (10-28)

    • Uso wa Musa unatoa miali (29-35)

  • 35

    • Maagizo juu ya Sabato (1-3)

    • Michango kwa ajili ya tabenakulo (4-29)

    • Bezaleli na Oholiabu wanajazwa roho (30-35)

  • 36

    • Michango inakuwa mingi sana (1-7)

    • Ujenzi wa tabenakulo (8-38)

  • 37

    • Kutengeneza Sanduku (1-9)

    • Meza (10-16)

    • Kinara cha taa (17-24)

    • Mazabahu ya uvumba (25-29)

  • 38

    • Mazabahu ya toleo la kuteketezwa (1-7)

    • Beseni ya shaba (8)

    • Kiwanja (9-20)

    • Hesabu ya vitu vyenye vilitumiwa kujenga tabenakulo (21-31)

  • 39

    • Kutengeneza nguo za kikuhani (1)

    • Efodi (2-7)

    • Kifuko cha kifua (8-21)

    • Koti yenye haina mikono (22-26)

    • Nguo zingine za kikuhani (27-29)

    • Bamba la zahabu (30, 31)

    • Musa anachunguza tabenakulo (32-43)

  • 40

    • Kusimamisha tabenakulo (1-33)

    • Utukufu wa Yehova unajaa katika tabenakulo (34-38)