Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Barua kwa Waroma

Sura

1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16

Habari Zenye Kuwa Ndani

  • 1

    • Salamu (1-7)

    • Paulo anatamani kutembelea Roma (8-15)

    • Mwenye haki ataishi kwa imani (16, 17)

    • Watu wenye hawamuogope Mungu hawana sababu ya kujitetea (18-32)

      • Sifa za Mungu zinaonekana kupitia uumbaji (20)

  • 2

    • Hukumu ya Mungu juu ya Wayahudi na Wagiriki (1-16)

      • Namna zamiri inafanya kazi (14, 15)

    • Wayahudi na Sheria (17-24)

    • Kutahiriwa kwa moyo (25-29) (25-29)

  • 3

    • “Mungu aonekane kuwa wa kweli” (1-8)

    • Wayahudi na Wagiriki pia wako chini ya zambi (9-20)

    • Watu wanatangazwa kuwa wenye haki kupitia imani (21-31)

      • Wote wamepungukiwa na utukufu wa Mungu (23)

  • 4

    • Abrahamu alitangazwa kuwa mwenye haki kupitia imani (1-12)

      • Abrahamu, baba ya wale wenye kuwa na imani (11)

    • Ahadi inapatikana kupitia imani (13-25)

  • 5

    • Kupatanishwa na Mungu kupitia Kristo (1-11)

    • Kifo kupitia Adamu, uzima kupitia Kristo (12-21)

      • Zambi na kifo vilienea kwa wote (12)

      • Tendo moja la kutetewa kuwa wenye haki (18)

  • 6

    • Uzima mupya kupitia ubatizo katika Kristo (1-11)

    • Musiache zambi itawale katika miili yenu (12-14)

    • Kuacha utumwa wa zambi na kuwa watumwa wa Mungu (15-23)

      • Mushahara wa zambi​—kifo; zawadi ya Mungu​—uzima (23)

  • 7

    • Kuwekwa huru kutoka katika Sheria kunaelezwa kupitia mufano (1-6)

    • Zambi inajulikana kupitia Sheria (7-12)

    • Kupambana na zambi (13-25)

  • 8

    • Uzima na uhuru kupitia roho (1-11)

    • Roho ya kuwa wana inatoa ushahidi (12-17)

    • Uumbaji unangojea uhuru wa wana wa Mungu (18-25)

    • ‘Roho inatuombea’ (26, 27)

    • Kuchaguliwa na Mungu mbele ya wakati (28-30)

    • Kupata ushindi kupitia upendo wa Mungu (31-39)

  • 9

    • Huzuni ya Paulo juu ya Israeli wa kimwili (1-5)

    • Uzao wa kweli wa Abrahamu (6-13)

    • Mungu akichagua mutu hakuna mwenye anaweza kupinga (14-26)

      • Vyombo vya kasirani kali na vya rehema (22, 23)

    • Ni mabaki tu ndio wataokolewa (27-29)

    • Waisraeli wanajikwaa (30-33)

  • 10

    • Namna ya kufikia haki ya Mungu (1-15)

      • Tangazo la mbele ya watu wote (10)

      • Kuitia jina la Yehova kunamaanisha wokovu (13)

      • Miguu ya wahubiri inapendeza (15)

    • Habari njema inakataliwa (16-21)

  • 11

    • Waisraeli hawakukataliwa wote (1-16)

    • Mufano wa muzeituni (17-32)

    • Hekima ya Mungu ni kubwa sana (33-36)

  • 12

    • Mutoe miili yenu ikuwe zabihu yenye uzima (1, 2)

    • Zawadi mbalimbali lakini mwili mumoja (3-8)

    • Mashauri juu ya maisha ya Wakristo wa kweli (9-21)

  • 13

    • Kujitiisha chini ya mamlaka (1-7)

      • Kulipa kodi (6, 7)

    • Upendo unatimiza Sheria (8-10)

    • Mutembee kama wakati wa muchana (11-14)

  • 14

    • Musihukumu wengine (1-12)

    • Musikwaze wengine (13-18)

    • Mujikaze kupata amani na umoja (19-23)

  • 15

    • Mukaribishane kama vile Kristo alifanya (1-13)

    • Paulo, mutumishi kwa watu wa mataifa (14-21)

    • Mipango ya safari za Paulo (22-33)

  • 16

    • Paulo anamujulisha mutumishi Fibi kwa Wakristo wa Roma (1, 2)

    • Salamu kwa Wakristo wa Roma (3-16)

    • Maonyo juu ya migawanyiko (17-20)

    • Salamu kutoka kwa wenye kufanya kazi pamoja na Paulo (21-24)

    • Siri takatifu inafunuliwa sasa (25-27)