Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Barua kwa Wagalatia

Sura

1 2 3 4 5 6

Habari Zenye Kuwa Ndani

  • 1

    • Salamu (1-5)

    • Hakuna habari njema ingine (6-9)

    • Habari njema yenye Paulo alihubiri inatoka kwa Mungu (10-12)

    • Kugeuzwa kwa Paulo na kazi yake ya pale mwanzo (13-24)

  • 2

    • Paulo anakutana na mitume Yerusalemu (1-10)

    • Paulo anamurekebisha Petro (Kefa) (11-14)

    • Kutangazwa kuwa wenye haki kupitia tu imani (15-21)

  • 3

    • Tofauti kati ya matendo ya Sheria na imani (1-14)

      • Mwenye haki ataishi kwa imani (11)

    • Ahadi kwa Abrahamu haikukuwa kupitia Sheria (15-18)

      • Kristo, uzao wa Abrahamu (16)

    • Chanzo na kusudi la Sheria (19-25)

    • Wana wa Mungu kupitia imani (26-29)

      • Wazao wa Abrahamu, wale wenye kuwa wa Kristo (29)

  • 4

    • Hatuko watumwa tena, lakini tuko wana (1-7)

    • Hangaiko la Paulo juu ya Wagalatia (8-20)

    • Hagari na Sara: maagano mbili (21-31)

      • Yerusalemu la juu, mama yetu, liko huru (26)

  • 5

    • Uhuru wa Kikristo (1-15)

    • Kutembea kwa roho (16-26)

  • 6

    • Mubebeane mizigo mizito (1-10)

      • Kuvuna kile chenye kilipandwa (7, 8)

    • Kutahiriwa hakuna maana (11-16)

      • Kiumbe kipya (15)

    • Maneno ya kumalizia (17, 18)