Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Kitabu cha Muhubiri

Sura

1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12

Habari Zenye Kuwa Ndani

  • 1

    • Kila kitu ni bure (1-11)

      • Dunia inadumu milele (4)

      • Mizunguko ya asili inaendelea (5-7)

      • Hakuna kitu kipya chini ya jua (9)

    • Hekima ya wanadamu iko na mipaka (12-18)

      • Kufuatilia upepo (14)

  • 2

    • Kuchunguza mambo yenye Sulemani alifuatilia (1-11)

    • Hekima ya wanadamu haina faida kubwa (12-16)

    • Kazi ngumu ni bure (17-23)

    • Kula, kunywa, na ufurahie kazi (24-26)

  • 3

    • Kila jambo liko na wakati wake wenye umewekwa (1-8)

    • Kufurahia maisha ni zawadi kutoka kwa Mungu (9-15)

      • Umilele uko katika moyo wa mwanadamu (11)

    • Mungu anahukumu watu wote kwa haki (16, 17)

    • Wanadamu na wanyama wote wanafikia kufa (18-22)

      • Wote watarudia katika mavumbi (20)

  • 4

    • Ukandamizaji ni mubaya kuliko kifo (1-3)

    • Maoni yenye kufaa juu ya kazi (4-6)

    • Faida ya kuwa na rafiki (7-12)

      • Wawili ni muzuri kuliko mumoja (9)

    • Maisha ya mutawala yanaweza kuwa ya bure (13-16)

  • 5

    • Karibia Mungu ukiwa na woga wenye unafaa (1-7)

    • Watu wenye kuwa chini wanaangaliwa na watu wenye kuwa juu zaidi (8, 9)

    • Utajiri ni bure (10-20)

      • Watu wenye wanapenda feza hawatosheke hata kidogo (10)

      • Usingizi wa mufanyakazi ni mutamu (12)

  • 6

    • Mali bila furaha (1-6)

    • Furahia vitu vyenye uko navyo sasa (7-12)

  • 7

    • Jina la muzuri na siku ya kufa (1-4)

    • Kemeo la mutu mwenye hekima (5-7)

    • Mwisho ni muzuri zaidi kuliko mwanzo (8-10)

    • Faida ya hekima (11, 12)

    • Siku za muzuri na siku za mubaya (13-15)

    • Epuka kuvuka mipaka (16-22)

    • Mambo yenye mukutanishaji alijionea (23-29)

  • 8

    • Wakati mwanadamu mwenye hakamilike anatawala (1-17)

      • Tii maagizo ya mufalme (2-4)

      • Utawala wa mwanadamu ni wenye kuumiza (9)

      • Wakati azabu haitolewe haraka (11)

      • Kula, kunywa, na ufurahi (15)

  • 9

    • Wote wanapatwa na jambo lilelile (1-3)

    • Furahia maisha hata kama utakufa (4-12)

      • Wafu hawajue kitu chochote (5)

      • Hakuna kazi yoyote katika Kaburi (10)

      • Wakati na mambo yenye hayatazamiwe (11)

    • Hekima haifurahiwe kila mara (13-18)

  • 10

    • Upumbavu kidogo unaharibu hekima (1)

    • Hatari za kukosa kuwa na uwezo wa kufanya mambo kwa njia ya muzuri (2-11)

    • Hali yenye kuhuzunisha ya wapumbavu (12-15)

    • Upumbavu kati ya watawala (16-20)

      • Ndege anaweza kurudilia maneno yako (20)

  • 11

    • Tumia nafasi yenye inajitokeza (1-8)

      • Tupa mukate wako juu ya maji (1)

      • Panda mbegu kuanzia asubui mupaka mangaribi (6)

    • Furahia ujana kwa njia yenye inafaa (9, 10)

  • 12

    • Kumbuka Muumbaji mbele ya kuzeeka (1-8)

    • Maneno ya kumalizia ya mukutanishaji (9-14)

      • Maneno ya hekima ni kama michokoo ya kuongozea ngombe (11)

      • Ogopa Mungu wa kweli (13)