Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Kitabu cha Mika

Sura

1 2 3 4 5 6 7

Habari Zenye Kuwa Ndani

  • 1

    • Hukumu juu ya Samaria na Yuda (1-16)

      • Zambi na uasi vinatokeza matatizo (5)

  • 2

    • Ole wao wakandamizaji! (1-11)

    • Waisraeli wanakusanywa tena katika umoja (12, 13)

      • Inchi itajaa makelele ya watu (12)

  • 3

    • Viongozi na manabii wanalaumiwa (1-12)

      • Mika anapata nguvu kwa sababu ya roho ya Yehova (8)

      • Makuhani wanafundisha ili wapate feza (11)

      • Yerusalemu itakuwa marundo ya mabomoko (12)

  • 4

    • Mulima wa Yehova utainuliwa (1-5)

      • Panga zitakuwa majembe (3)

      • “Tutatembea katika jina la Yehova” (5)

    • Sayuni yenye imerudishwa itafanywa imara (6-13)

  • 5

    • Mutawala mwenye atakuwa mukubwa katika dunia yote (1-6)

      • Mutawala atatokea Betlehemu (2)

    • Mabaki watakuwa kama umande na kama simba (7-9)

    • Inchi itasafishwa (10-15)

  • 6

    • Kesi ya hukumu ya Mungu pamoja na Israeli (1-5)

    • Yehova anataka mutu afanye nini? (6-8)

      • Haki, ushikamanifu, kiasi (8)

    • Hatia na azabu ya Israeli (9-16)

  • 7

    • Mwenendo mubaya wa Waisraeli (1-6)

      • Maadui wa mutu watakuwa watu wa nyumba yake (6)

    • ‘Nitaonyesha mutazamo wa kungojea’ (7)

    • Watu wa Mungu watatetewa (8-13)

    • Mika anasali na kumusifu Mungu (14-20)

      • Jibu la Yehova (15-17)

      • ‘Ni Mungu gani mwenye kuwa kama Yehova?’ (18)