ONYESHA Vitabu vya Biblia Mwanzo Kutoka Mambo ya Walawi Hesabu Kumbukumbu la Torati Yoshua Waamuzi Rutu 1 Samweli 2 Samweli 1 Wafalme 2 Wafalme 1 Mambo ya Nyakati 2 Mambo ya Nyakati Ezra Nehemia Esta Yobu Zaburi Mezali Muhubiri Wimbo wa Sulemani Isaya Yeremia Maombolezo Ezekieli Danieli Hosea Yoeli Amosi Obadia Yona Mika Nahumu Habakuki Sefania Hagai Zekaria Malaki Matayo Marko Luka Yohana Matendo Waroma 1 Wakorinto 2 Wakorinto Wagalatia Waefeso Wafilipi Wakolosai 1 Watesalonike 2 Watesalonike 1 Timoteo 2 Timoteo Tito Filemoni Waebrania Yakobo 1 Petro 2 Petro 1 Yohana 2 Yohana 3 Yohana Yuda Ufunuo Sura 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16 17 18 19 20 21 22 23 24 25 26 27 28 Matendo ya Mitume Sura 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16 17 18 19 20 21 22 23 24 25 26 27 28 Habari Zenye Kuwa Ndani 1 Ujumbe kwa Teofilo (1-5) Mashahidi mupaka kwenye miisho ya dunia (6-8) Yesu anapanda mbinguni (9-11) Wanafunzi wanakusanyika kwa umoja (12-14) Matia anachaguliwa ili achukue nafasi ya Yuda (15-26) 2 2 Roho takatifu inamwangwa siku ya Pentekoste (1-13) Hotuba ya Petro (14-36) Watu wengi wanaitikia muzuri hotuba ya Petro (37-41) Watu elfu tatu wanabatizwa (41) Ushirika wa Kikristo (42-47) 3 Petro anamuponyesha kilema wa miguu mwenye kuomba-omba (1-10) Hotuba ya Petro kwenye Mistari ya Nguzo za Sulemani (11-26) “Kurudishwa kwa mambo yote” (21) Nabii kama Musa (22) 4 Petro na Yohana wanakamatwa (1-4) Hesabu ya waamini inafikia sasa watu elfu tano (4) Wanasambishwa mbele ya Sanhedrini (5-22) “Hatuwezi kuacha kusema” (20) Wanasali ili wasikuwe na woga (23-31) Wanafunzi wanachangia pamoja vitu vyao (32-37) 5 Anania na Safira (1-11) Mitume wanafanya alama nyingi (12-16) (12-16) Wanafungwa katika gereza, kisha wanaachiliwa (17-21a) Wanapelekwa tena mbele ya Sanhedrini (21b-32) ‘Kumutii Mungu kuliko wanadamu’ (29) Shauri la Gamalieli (33-40) Kuhubiri nyumba kwa nyumba (41, 42) 6 Wanaume saba wanachaguliwa ili kutumikia (1-7) Stefano anashitakiwa kuwa anamutukana Mungu (8-15) 7 Hotuba ya Stefano mbele ya Sanhedrini (1-53) Nyakati za wazee wa ukoo (2-16) Uongozi wa Musa; Waisraeli wanaabudu sanamu (17-43) Mungu haishi katika mahekalu yenye yalifanywa na wanadamu (44-50) Stefano anapigwa majiwe (54-60) 8 Sauli mutesaji (1-3) Utumishi wa Filipo unakuwa na matokeo ya muzuri katika Samaria (4-13) Petro na Yohana wanatumwa Samaria (14-17) Simoni anajaribu kununua roho takatifu (18-25) Towashi Mwetiopia (26-40) 9 Sauli akiwa katika njia kuelekea Damasko (1-9) Anania anatumwa ili kusaidia Sauli (10-19a) Sauli anahubiri juu ya Yesu katika Damasko (19b-25) Sauli anatembelea Yerusalemu (26-31) Petro anamuponyesha Ainea (32-35) Dorkasi mwenye ukarimu anafufuliwa (36-43) 10 Maono ya Kornelio (1-8) Maono ya Petro juu ya wanyama wenye wametakaswa (9-16) Petro anamutembelea Kornelios (17-33) Petro anatangazia watu wa mataifa habari njema (34-43) “Mungu hana ubaguzi” (34, 35) Watu wa mataifa wanapokea roho takatifu na wanabatizwa (44-48) 11 Petro anatoa ripoti kwa mitume (1-18) Barnaba na Sauli katika Antiokia ya Siria (19-26) Wanafunzi wanaitwa Wakristo kwa mara ya kwanza (26) Agabo anatabiri juu ya njaa (27-30) 12 Yakobo anauawa; Petro anafungwa katika gereza (1-5) Petro anawekwa huru kwa njia ya muujiza (6-19) Malaika anamupiga Herode (20-25) 13 Barnaba na Sauli wanatumwa wakiwa wamisionere (1-3) Utumishi katika Kipro (4-12) Hotuba ya Paulo kule Antiokia ya Pisidia (13-41) Amri ya kiunabii ya kugeuka ili kuendea mataifa (42-52) 14 Ongezeko na upinzani kule Ikoniamu (1-7) Wanazaniwa kuwa miungu kule Listra (8-18) Paulo anaokoka kufa kisha kupigwa majiwe (19, 20) Kutia nguvu makutaniko (21-23) Wanarudia Antiokia ya Siria (24-28) 15 Bishano katika Antiokia juu ya kutahiriwa (1, 2) Jambo hilo linapelekwa Yerusalemu (3-5) Wazee na mitume wanakutana pamoja (6-21) Barua kutoka kwa baraza lenye kuongoza (22-29) Kujiepusha na damu (28, 29) Makutaniko yanatiwa moyo kupitia barua (30-35) Paulo na Barnaba wanatengana (36-41) 16 Paulo anamuchagua Timoteo (1-5) Maono juu ya mwanaume Mumakedonia (6-10) Lidia anakuwa muamini kule Filipi (11-15) Paulo na Sila wanafungwa katika gereza (16-24) Mulinzi wa gereza na nyumba yake yote wanabatizwa (25-34) Paulo anataka wamuombe musamaha (35-40) 17 Paulo na Sila katika Tesalonike (1-9) Paulo na Sila katika Beroya (10-15) Paulo katika Atene (16-22a) Hotuba ya Paulo kwenye Areopago (22b-34) 18 18 Utumishi wa Paulo katika Korinto (1-17) Kurudia Antiokia ya Siria (18-22) Paulo anaenda Galatia na Frigia (23) Apolo mwenye anajua kusema anasaidiwa (24-28) 19 Paulo katika Efeso; watu fulani wanabatizwa tena (1-7) Paulo anahangaikia sana kazi ya kufundisha (8-10) Matokeo ya muzuri hata kama kuko pepo wachafu (11-20) Muvurugo katika Efeso (21-41) 20 20Paulo katika Makedonia na Ugiriki (1-6) Eutiko anafufuliwa kule Troa (7-12) Kutoka Troa kuenda Mileto (13-16) Paulo anakutana na wazee wa Efeso (17-38) Kufundisha nyumba kwa nyumba (20) “Furaha zaidi katika kutoa” (35) 21 Safari ya kuenda Yerusalemu (1-14) Kufika Yerusalemu (15-19) Paulo anafuata shauri la wazee (20-26) Muvurugo katika hekalu; Paulo anakamatwa (27-36) Paulo anaruhusiwa kusema na watu wengi (37-40) 22 Paulo anajitetea mbele ya watu wengi (1-21) Paulo anatumia uraia wake wa Roma (22-29) Sanhedrini inakusanywa (30) 23 Paulo anasema mbele ya Sanhedrini (1-10) Bwana anamutia Paulo nguvu (11) Mupango wa kumuua Paulo (12-22) Paulo anapelekwa Kaisaria (23-35) 24 Mashitaka juu ya Paulo (1-9) Paulo anajitetea mbele ya Feliksi (10-21) Kesi ya hukumu ya Paulo inacheleweshwa kwa miaka mbili (22-27) 25 Kesi ya hukumu ya Paulo mbele ya Festo (1-12) “Ninapeleka kesi yangu ya hukumu kwa Kaisari!” (11) Festo anazungumuza na Mufalme Agripa (13-22) Paulo mbele ya Agripa (23-27) 26 Paulo anajitetea mbele ya Agripa (1-11) Paulo anaeleza namna aligeuka kuwa muamini (12-23) Festo na Agripa wanatoa mawazo yao (24-32) 27 Paulo anasafiri katika bahari kuenda Roma (1-12) Zoruba inapiga mashua (13-38) Mashua inavunjika (39-44) 28 Kwenye inchi kavu kule Malta (1-6) Baba ya Publio anaponyeshwa (7-10) Kuelekea Roma (11-16) Paulo anazungumuza na Wayahudi kule Roma (17-29) Paulo anahubiri bila woga kwa miaka mbili (30, 31) YENYE KUTANGULIA ENDELEA CHAPA TUMIA WENGINE TUMIA WENGINE Matendo—Habari Zenye Kuwa Ndani BIBLIA—TAFSIRI YA ULIMWENGU MUPYA (YENYE ILIREKEBISHWA YA 2018) Matendo—Habari Zenye Kuwa Ndani Kiswahili (Congo) Matendo—Habari Zenye Kuwa Ndani https://assetsnffrgf-a.akamaihd.net/assets/ct/2208d1720a/images/syn_placeholder_sqr.png