Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Matendo ya Mitume

Sura

Habari Zenye Kuwa Ndani

  • 1

    • Ujumbe kwa Teofilo (1-5)

    • Mashahidi mupaka kwenye miisho ya dunia  (6-8)

    • Yesu anapanda mbinguni (9-11)

    • Wanafunzi wanakusanyika kwa umoja (12-14)

    • Matia anachaguliwa ili achukue nafasi ya Yuda  (15-26)

  • 2

    • 2 Roho takatifu inamwangwa siku ya Pentekoste (1-13)

    • Hotuba ya Petro (14-36)

    • Watu wengi wanaitikia muzuri hotuba ya Petro (37-41)

      • Watu elfu tatu wanabatizwa (41)

    • Ushirika wa Kikristo (42-47)

  • 3

    • Petro anamuponyesha kilema wa miguu mwenye kuomba-omba (1-10)

    • Hotuba ya Petro kwenye Mistari ya Nguzo za Sulemani (11-26)

      • “Kurudishwa kwa mambo yote” (21)

      • Nabii kama Musa (22)

  • 4

    • Petro na Yohana wanakamatwa (1-4)

      • Hesabu ya waamini inafikia sasa watu elfu tano (4)

    • Wanasambishwa mbele ya Sanhedrini (5-22)

      • “Hatuwezi kuacha kusema” (20)

    • Wanasali ili wasikuwe na woga (23-31)

    • Wanafunzi wanachangia pamoja vitu vyao (32-37)

  • 5

    • Anania na Safira (1-11)

    • Mitume wanafanya alama nyingi (12-16) (12-16)

    • Wanafungwa katika gereza, kisha wanaachiliwa (17-21a)

    • Wanapelekwa tena mbele ya Sanhedrini (21b-32)

      • ‘Kumutii Mungu kuliko wanadamu’ (29)

    • Shauri la Gamalieli (33-40)

    • Kuhubiri nyumba kwa nyumba (41, 42)

  • 6

    • Wanaume saba wanachaguliwa ili kutumikia (1-7)

    • Stefano anashitakiwa kuwa anamutukana Mungu (8-15)

  • 7

    • Hotuba ya Stefano mbele ya Sanhedrini (1-53)

      • Nyakati za wazee wa ukoo (2-16)

      • Uongozi wa Musa; Waisraeli wanaabudu sanamu (17-43)

      • Mungu haishi katika mahekalu yenye yalifanywa na wanadamu (44-50)

    • Stefano anapigwa majiwe (54-60)

  • 8

    • Sauli mutesaji (1-3)

    • Utumishi wa Filipo unakuwa na matokeo ya muzuri katika Samaria (4-13)

    • Petro na Yohana wanatumwa Samaria (14-17)

    • Simoni anajaribu kununua roho takatifu (18-25)

    • Towashi Mwetiopia (26-40)

  • 9

    • Sauli akiwa katika njia kuelekea Damasko (1-9)

    • Anania anatumwa ili kusaidia Sauli (10-19a)

    • Sauli anahubiri juu ya Yesu katika Damasko (19b-25)

    • Sauli anatembelea Yerusalemu (26-31)

    • Petro anamuponyesha Ainea (32-35)

    • Dorkasi mwenye ukarimu anafufuliwa (36-43)

  • 10

    • Maono ya Kornelio (1-8)

    • Maono ya Petro juu ya wanyama wenye wametakaswa (9-16)

    • Petro anamutembelea Kornelios (17-33)

    • Petro anatangazia watu wa mataifa habari njema (34-43)

      • “Mungu hana ubaguzi” (34, 35)

    • Watu wa mataifa wanapokea roho takatifu na wanabatizwa (44-48)

  • 11

    • Petro anatoa ripoti kwa mitume (1-18)

    • Barnaba na Sauli katika Antiokia ya Siria (19-26)

      • Wanafunzi wanaitwa Wakristo kwa mara ya kwanza (26)

    • Agabo anatabiri juu ya njaa (27-30)

  • 12

    • Yakobo anauawa; Petro anafungwa katika gereza (1-5)

    • Petro anawekwa huru kwa njia ya muujiza (6-19)

    • Malaika anamupiga Herode (20-25)

  • 13

    • Barnaba na Sauli wanatumwa wakiwa wamisionere (1-3)

    • Utumishi katika Kipro (4-12)

    • Hotuba ya Paulo kule Antiokia ya Pisidia (13-41)

    • Amri ya kiunabii ya kugeuka ili kuendea mataifa (42-52)

  • 14

    • Ongezeko na upinzani kule Ikoniamu (1-7)

    • Wanazaniwa kuwa miungu kule Listra (8-18)

    • Paulo anaokoka kufa kisha kupigwa majiwe (19, 20)

    • Kutia nguvu makutaniko (21-23)

    • Wanarudia Antiokia ya Siria (24-28)

  • 15

    • Bishano katika Antiokia juu ya kutahiriwa (1, 2)

    • Jambo hilo linapelekwa Yerusalemu (3-5)

    • Wazee na mitume wanakutana pamoja (6-21)

    • Barua kutoka kwa baraza lenye kuongoza (22-29)

      • Kujiepusha na damu (28, 29)

    • Makutaniko yanatiwa moyo kupitia barua (30-35)

    • Paulo na Barnaba wanatengana (36-41)

  • 16

    • Paulo anamuchagua Timoteo (1-5)

    • Maono juu ya mwanaume Mumakedonia (6-10)

    • Lidia anakuwa muamini kule Filipi (11-15)

    • Paulo na Sila wanafungwa katika gereza (16-24)

    • Mulinzi wa gereza na nyumba yake yote wanabatizwa (25-34)

    • Paulo anataka wamuombe musamaha (35-40)

  • 17

    • Paulo na Sila katika Tesalonike (1-9)

    • Paulo na Sila katika Beroya (10-15)

    • Paulo katika Atene (16-22a)

    • Hotuba ya Paulo kwenye Areopago (22b-34)

  • 18

    • 18 Utumishi wa Paulo katika Korinto (1-17)

    • Kurudia Antiokia ya Siria (18-22)

    • Paulo anaenda Galatia na Frigia (23)

    • Apolo mwenye anajua kusema anasaidiwa (24-28)

  • 19

    • Paulo katika Efeso; watu fulani wanabatizwa tena (1-7)

    • Paulo anahangaikia sana kazi ya kufundisha (8-10)

    • Matokeo ya muzuri hata kama kuko pepo wachafu (11-20)

    • Muvurugo katika Efeso (21-41)

  • 20

    • 20Paulo katika Makedonia na Ugiriki (1-6)

    • Eutiko anafufuliwa kule Troa (7-12)

    • Kutoka Troa kuenda Mileto (13-16)

    • Paulo anakutana na wazee wa Efeso (17-38)

      • Kufundisha nyumba kwa nyumba (20)

      • “Furaha zaidi katika kutoa” (35)

  • 21

    • Safari ya kuenda Yerusalemu (1-14)

    • Kufika Yerusalemu (15-19)

    • Paulo anafuata shauri la wazee (20-26)

    • Muvurugo katika hekalu; Paulo anakamatwa (27-36)

    • Paulo anaruhusiwa kusema na watu wengi (37-40)

  • 22

    • Paulo anajitetea mbele ya watu wengi (1-21)

    • Paulo anatumia uraia wake wa Roma (22-29)

    • Sanhedrini inakusanywa (30)

  • 23

    • Paulo anasema mbele ya Sanhedrini (1-10)

    • Bwana anamutia Paulo nguvu (11)

    • Mupango wa kumuua Paulo (12-22)

    • Paulo anapelekwa Kaisaria (23-35)

  • 24

    • Mashitaka juu ya Paulo (1-9)

    • Paulo anajitetea mbele ya Feliksi (10-21)

    • Kesi ya hukumu ya Paulo inacheleweshwa kwa miaka mbili (22-27)

  • 25

    • Kesi ya hukumu ya Paulo mbele ya Festo (1-12)

      • “Ninapeleka kesi yangu ya hukumu kwa Kaisari!” (11)

    • Festo anazungumuza na Mufalme Agripa (13-22)

    • Paulo mbele ya Agripa (23-27)

  • 26

    • Paulo anajitetea mbele ya Agripa (1-11)

    • Paulo anaeleza namna aligeuka kuwa muamini (12-23)

    • Festo na Agripa wanatoa mawazo yao (24-32)

  • 27

    • Paulo anasafiri katika bahari kuenda Roma (1-12)

    • Zoruba inapiga mashua (13-38)

    • Mashua inavunjika (39-44)

  • 28

    • Kwenye inchi kavu kule Malta (1-6)

    • Baba ya Publio anaponyeshwa (7-10)

    • Kuelekea Roma (11-16)

    • Paulo anazungumuza na Wayahudi kule Roma (17-29)

    • Paulo anahubiri bila woga kwa miaka mbili (30, 31)