Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Habari Njema Kulingana na Marko

Sura

1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16

Habari Zenye Kuwa Ndani

  • 1

    • Yohana Mubatizaji anahubiri (1-8)

    • Yesu anabatizwa (9-11)

    • Shetani anamujaribu Yesu (12, 13)

    • Yesu anaanza kuhubiri Galilaya (14, 15)

    • Wanafunzi wa kwanza wanaitwa (16-20)

    • Roho muchafu anafukuzwa (21-28)

    • Yesu anaponyesha wagonjwa wengi kule Kapernaumu (29-34)

    • Yesu anasali mahali kwenye hakuna watu (35-39)

    • Mutu mwenye ukoma anaponyeshwa (40-45)

  • 2

    • Yesu anamuponyesha mutu mwenye kupooza (1-12)

    • Yesu anamuita Lawi (13-17)

    • Ulizo juu ya kufunga (18-22)

    • Yesu, ‘Bwana wa Sabato’ (23-28)

  • 3

    • Mutu mwenye mukono wenye kukauka anaponyeshwa (1-6)

    • Watu wengi sana pembeni ya bahari (7-12)

    • Mitume kumi na mbili (13-19)

    • Kutukana roho takatifu  (20-30)

    • Mama na ndugu za Yesu (31-35)

  • 4

    • MIFANO JUU YA UFALME (1-34)

      • Mupandaji (1-9)

      • Sababu gani Yesu alitumia mifano (10-12)

      • Mufano wa mupandaji unafasiriwa (13-20)

      • Taa haiwekwe chini ya kitunga (21-23)

      • Kipimo chenye unapimia (24, 25)

      • Mupandaji mwenye kulala (26-29)

      • Mbegu ya haradali (30-32)

      • Kutumia mifano (33, 34)

    • Yesu anatuliza zoruba (35-41)

  • 5

    • Yesu anatuma pepo wachafu ndani ya nguruwe (1-20)

    • Binti ya Yairo; mwanamuke anagusa nguo za inje za Yesu (21-43)

  • 6

    • Yesu anakataliwa katika muji wa kwao (1-6)

    • Wale Kumi na Mbili wanapewa maagizo juu ya utumishi (7-13)

    • Kifo cha Yohana Mubatizaji (14-29)

    • Yesu analisha watu elfu tano (30-44)

    • Yesu anatembea juu ya maji (45-52)

    • Yesu anaponyesha watu katika Genesareti (53-56)

  • 7

    • Desturi za wanadamu zinafunuliwa (1-13)

    • Uchafu unatoka katika moyo (14-23)

    • Imani ya mwanamuke wa Sirofoinike (24-30)

    • Mwanaume kiziwi anaponyeshwa (31-37)

  • 8

    • Yesu analisha watu elfu ine (1-9)

    • Wanaomba alama (10-13)

    • Chachu ya Wafarisayo na ya Herode (14-21)

    • Mwanaume kipofu anaponyeshwa katika Betsaida (22-26)

    • Peter identifies the Christ (27-30)

    • Kifo cha Yesu kinatabiriwa (31-33)

    • Mambo ya kufanya ili kuwa mwanafunzi wa kweli (34-38)

  • 9

    • Yesu anageuzwa sura (1-13)

    • Kijana mwanaume mwenye kuwa na pepo muchafu anaponyeshwa (14-29)

      • Mambo yote yanawezekana kwa mutu mwenye imani (23)

    • Kifo cha Yesu kinatabiriwa tena (30-32)

    • Wanafunzi wanabishana juu ya ukubwa (33-37)

    • Kila mutu mwenye hatupinge iko upande wetu (38-41)

    • Vikwazo (42-48)

    • “Mukuwe na chumvi ndani yenu” (49, 50)

  • 10

    • Ndoa na kuvunja ndoa (1-12)

    • Yesu anabariki watoto (13-16)

    • Ulizo la mwanaume tajiri (17-25)

    • Kujitoa kwa ajili ya Ufalme (26-31)

    • Kifo cha Yesu kinatabiriwa tena (32-34)

    • Ombi la Yakobo na Yohana (35-45)

      • Yesu ni bei ya ukombozi kwa ajili ya wengi (45)

    • Kipofu Bartimayo anaponyeshwa (46-52)

  • 11

    • Yesu anaingia kwa ushindi (1-11)

    • Muti wa tini unalaaniwa (12-14)

    • Yesu anasafisha hekalu (15-18)

    • Kujifunza somo kutokana na muti wa tini wenye ulikauka (19-26)

    • Wanataka kujua mamlaka ya Yesu inatoka wapi (27-33)

  • 12

    • Mufano wa walimaji wauaji (1-12)

    • Mungu na Kaisari (13-17)

    • Ulizo juu ya ufufuo (18-27)

    • Amri mbili kubwa zaidi (28-34)

    • Je, Kristo ni mwana wa Daudi? (35-37a)

    • Onyo juu ya waandishi (37b-40)

    • Feza mbili za kichele za mujane maskini (41-44)

  • 13

    • UMALIZIO WA MUPANGILIO WA MAMBO (1-37)

      • Vita, matetemeko ya inchi, upungufu wa chakula (8)

      • Lazima habari njema ihubiriwe (10)

      • Taabu kubwa (19)

      • Kuja kwa Mwana wa binadamu (26)

      • Mufano wa muti wa tini (28-31)

      • Muendelee kukesha (32-37)

  • 14

    • Makuhani wanafanya mupango wa kumuua Yesu (1, 2)

    • Mafuta yenye marashi yanamwangwa juu ya Yesu (3-9)

    • Yuda anamusaliti Yesu (10, 11)

    • Pasaka ya mwisho (12-21)

    • Chakula cha Mangaribi cha Bwana kinaanzishwa (22-26)

    • Yesu anasema kwamba Petro atamukana (27-31)

    • Yesu anasali akiwa Getsemane (32-42)

    • Yesu anakamatwa (43-52)

    • Anasamba mbele ya Sanhedrini (53-65)

    • Petro anamukana Yesu (66-72)

  • 15

    • Yesu mbele ya Pilato (1-15)

    • Anachekelewa mbele ya watu (16-20)

    • Anatundikwa kwenye muti kule Golgota (21-32)

    • Kifo cha Yesu (33-41)

    • Yesu anazikwa (42-47)

  • 16

    • Yesu anafufuliwa (1-8)