Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Kitabu cha Ezekieli

Sura

Habari Zenye Kuwa Ndani

  • 1

    • Ezekieli anaona maono ya Mungu akiwa Babiloni (1-3)

    • Maono ya gari la kimbingu la Yehova (4-28)

      • Zoruba, wingu, na moto (4)

      • Viumbe ine vyenye uzima (5-14)

      • Magurudumu ine (15-21)

      • nga lenye kumeta-meta kama barafu (22-24)

      • Kiti cha ufalme cha Yehova (25-28)

  • 2

    • Ezekieli anapewa mugao wa kuwa nabii (1-10)

      • Kama watasikiliza ao hapana’ (5)

      • Anaonyeshwa kitabu cha kukunjwa chenye nyimbo za huzuni (9, 10)

  • 3

    • Ezekieli anapaswa kula kitabu cha kukunjwa chenye Mungu alimupatia (1-15)

    • Ezekieli anapaswa kuwa mulinzi (16-27)

      • Kupuuza kunaleta hatia ya damu (18-21)

  • 4

    • Anaonyesha namna muji wa Yerusalemu utazungukwa kwa ajili ya vita (1-17)

      • Anabeba hatia kwa siku mia tatu makumi kenda na siku makumi ine (4-7)

  • 5

    • Anaonyesha namna muji wa Yerusalemu utaanguka (1-17)

      • Nywele za nabii zenye zilinyolewa zinagawanywa katika mafungu tatu (1-4)

      • Muji wa Yerusalemu uko muovu kuliko mataifa (7-9)

      • Waasi wanapewa azabu kwa njia tatu (12)

  • 6

    • Juu ya milima ya Israeli (1-14)

      • Sanamu zenye kuchukiza zitapatishwa haya (4-6)

      • “Mutalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova” (7)

  • 7

    • Mwisho umekuja (1-27)

      • Musiba wa pekee (5)

      • Feza zitatupwa katika barabara (19)

      • Hekalu litachafuliwa (22)

  • 8

    • Ezekieli anapelekwa Yerusalemu katika maono (1-4)

    • Vitu vyenye kuchukiza vinaonekana katika hekalu (5-18)

      • Wanamuke wenye kumulilia Tamuzi (14)

      • Wanaume wenye kuabudu jua (16)

  • 9

    • Wanaume sita wenye kuleta azabu na mwanaume mwenye chombo cha kuwekea wino (1-11)

      • Hukumu itaanzia patakatifu (6)

  • 10

    • Moto unakamatwa kutoka katikati ya magurudumu (1-8)

    • Maelezo kuhusu makerubi na magurudumu (9-17)

    • Utukufu wa Mungu unaondoka katika hekalu (18-22)

  • 11

    • Wakubwa waovu wanalaumiwa (1-13)

      • Muji unalinganishwa na chungu cha kupikia (3-12)

    • Ahadi ya kurudishwa (14-21)

      • Wanapewa “roho mupya” (19)

    • Utukufu wa Yehova unaondoka Yerusalemu (22, 23)

    • Ezekieli anarudia Ukaldayo katika maono (24, 25)

  • 12

    • Uhamisho unatabiriwa kupitia mifano (1-20)

      • Mizigo kwa ajili ya uhamisho (1-7)

      • Mukubwa ataondoka katika giza (8-16)

      • Mukate wa mahangaiko, maji ya woga mukubwa (17-20)

    • Usemi wa udanganyifu unaonyeshwa kuwa wa uongo (21-28)

      • “Hakuna neno moja kati ya maneno yangu lenye litacheleweshwa” (28)

  • 13

    • Kuhusu manabii wa uongo (1-16)

      • Kuta zenye kupakwa chokaa zitaanguka (10-12)

    • Kuhusu manabii wanamuke wa uongo (17-23)

  • 14

    • Waabudu-sanamu wanalaumiwa (1-11)

    • Hukumu juu ya Yerusalemu haiwezi kuepukwa (12-23)

      • Noa, Danieli, na Yobu, watu wenye haki (14, 20)

  • 15

    • Yerusalemu, muzabibu wenye hauna mafaa (1-8)

  • 16

    • Upendo wa Mungu kwa Yerusalemu (1-63)

      • Anapatikana kama mutoto mwenye aliachwa (1-7)

      • Mungu anamupamba na kufanya agano la ndoa pamoja naye (8-14)

      • Anakosa kuwa muaminifu (15-34)

      • Anapewa azabu kama mwanamuke muzinifu (35-43)

      • Analinganishwa na Samaria na Sodoma (44-58)

      • Mungu anakumbuka agano lake (59-63)

  • 17

    • Kitendawili cha tai mbili na muzabibu (1-21)

    • Chipukizi la teketeke litakuwa mwerezi mukubwa (22-24)

  • 18

    • Kila mutu anapaswa kubeba hatia ya zambi zake mwenyewe (1-32)

      • Nafsi yenye inatenda zambi itakufa (4)

      • Mwana hatalipia zambi ya baba yake (19, 20)

      • Sifurahie kifo cha mutu muovu (23)

      • Kutubu kunalinda uzima (27, 28)

  • 19

    • Wimbo wa huzuni kwa ajili ya wakubwa wa Israeli (1-14)

  • 20

    • Historia ya uasi wa Israeli (1-32)

    • Ahadi ya kurudishwa kwa Israeli (33-44)

    • Unabii juu ya kusini (45-49)

  • 21

    • Upanga wa hukumu wa Mungu unachomolewa kutoka katika mufuko wake (1-17)

    • Mufalme wa Babiloni atashambulia Yerusalemu (18-24)

    • Mukubwa muovu wa Israeli ataondolewa (25-27)

      • “Utoshe taji” (26)

      • “Mupaka wakati ule mwenye kuwa na haki ya kisheria atakuja” (27)

    • Upanga juu ya Waamoni (28-32)

  • 22

    • Yerusalemu, muji wenye hatia ya damu (1-16)

    • Israeli kama takataka yenye haina mafaa yoyote (17-22)

    • Viongozi na watu wa Israeli wanalaumiwa (23-31)

  • 23

    • Dada wawili wenye hawako waaminifu (1-49)

      • Ohola pamoja na Ashuru (5-10)

      • Oholiba pamoja na Babiloni na Misri (11-35)

      • Azabu juu ya dada hao wawili (36-49)

  • 24

    • Yerusalemu kama chungu cha kupikia chenye kutu (1-14)

    • Kifo cha bibi ya Ezekieli ni alama (15-27)

  • 25

    • Unabii juu ya Amoni (1-7)

    • Unabii juu ya Moabu (8-11)

    • Unabii juu ya Edomu (12-14)

    • Unabii juu ya Ufilisti (15-17)

  • 26

    • Unabii juu ya Tiro (1-21)

      • “Kiwanja cha kukaushia nyavu za kukoko (5, 14)

      • Majiwe na udongo vinatupwa ndani ya maji (12)

  • 27

    • Wimbo wa huzuni kuhusu mashua yenye kuzama ya Tiro (1-36)

  • 28

    • Unabii juu ya mufalme wa Tiro (1-10)

      • “Mimi ni mungu” (2, 9)

    • Wimbo wa huzuni kuhusu mufalme wa Tiro (11-19)

      • “Ulikuwa katika Edeni” (13)

      • “Kerubi mwenye kutiwa mafuta mwenye anafunika” (14)

      • ‘Ukosefu wa haki ulipatikana ndani yako’ (15)

    • Unabii juu ya Sidoni (20-24)

    • Israeli watarudishwa (25, 26)

  • 29

    • Unabii juu ya Farao (1-16)

    • Babiloni atapewa Misri kama zawabu (17-21)

  • 30

    • Unabii juu ya Misri (1-19)

      • Shambulizi la Nebukadneza linatabiriwa (10)

    • Nguvu za Farao zinavunjwa (20-26)

  • 31

    • Kuanguka kwa Misri, mwerezi murefu sana (1-18)

  • 32

    • Wimbo wa huzuni kuhusu Farao na Misri (1-16)

    • Misri atazikwa pamoja na watu wenye hawatahiriwe (17-32)

  • 33

    • Madaraka ya mulinzi (1-20)

    • Habari kuhusu kuanguka kwa Yerusalemu (21, 22)

    • Ujumbe kwa wakaaji wa mabomoko ya Yerusalemu (23-29)

    • Watu hawatende kulingana na ujumbe huo (30-33)

      • Ezekieli “kama wimbo wa mapenzi” (32)

      • “Kulikuwa nabii kati yao” (33)

  • 34

    • Unabii juu ya wachungaji wa Israeli (1-10)

    • Yehova anahangaikia kondoo wake (11-31)

      • “Mutumishi wangu Daudi” atawachunga (23)

      • “Agano la amani” (25)

  • 35

    • Unabii kuhusu milima ya Seiri (1-15)

  • 36

    • Unabii kuhusu milima ya Israeli (1-15)

    • Kurudishwa kwa Israeli (16-38)

      • “Nitatakasa jina langu kubwa” (23)

      • “Kama bustani ya Edeni” (35)

  • 37

    • Maono ya bonde la mifupa yenye kukauka (1-14)

    • Vipande mbili vya muti vitaunganishwa pamoja (15-28)

      • Taifa moja chini ya mufalme mumoja (22)

      • Agano la milele la amani (26)

  • 38

    • Gogu anashambulia Israeli (1-16)

    • Kasirani ya Yehova juu ya Gogu (17-23)

      • ‘Mataifa yatalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova’ (23)

  • 39

    • Gogu na wanajeshi wake wanaharibiwa (1-10)

    • Maziko katika Bonde la Hamoni-Gogu (11-20)

    • Kurudishwa kwa Israeli (21-29)

      • Roho ya Mungu inamwangwa juu ya Israeli (29)

  • 40

    • Ezekieli analetwa Israeli katika maono (1, 2)

    • Ezekieli anaona hekalu la maono (3, 4)

    • Viwanja na milango mikubwa (5-47)

      • Mulango mukubwa wa inje wa mashariki (6-16)

      • Kiwanja cha inje; milango ingine mikubwa (17-26)

      • Kiwanja cha ndani na milango mikubwa (27-37)

      • Vyumba kwa ajili ya utumishi wa hekalu (38-46)

      • Mazabahu (47)

    • Baraza la hekalu (48, 49)

  • 41

    • Patakatifu pa hekalu (1-4)

    • Ukuta na vyumba vya pembeni (5-11)

    • Jengo la upande wa mangaribi (12)

    • Majengo yanapimwa (13-15a)

    • Sehemu ya ndani ya patakatifu (15b-26)

  • 42

    • Majengo ya vyumba vya kukulia chakula (1-14)

    • Pande ine za hekalu zinapimwa (15-20)

  • 43

    • Utukufu wa Yehova unajaza hekalu (1-12)

    • Mazabahu (13-27)

  • 44

    • Mulango mukubwa wa mashariki unapaswa kubakia wenye kufungwa (1-3)

    • Maagizo kuhusu wageni (4-9)

    • Maagizo kwa ajili ya Walawi na makuhani (10-31)

  • 45

    • Muchango mutakatifu na muji (1-6)

    • Sehemu ya mukubwa (7, 8)

    • Wakubwa wanapaswa kutenda kwa unyoofu (9-12)

    • Michango ya watu na ya mukubwa (13-25)

  • 46

    • Matoleo ya nyakati mbalimbali (1-15)

    • Kuriti sehemu ya udongo ya mukubwa (16-18)

    • Mahali pa kutokoteshea matoleo (19-24)

  • 47

    • Muto mudogo wenye unatiririka kutoka katika hekalu (1-12)

      • Urefu wa maji kuenda chini unaongezeka pole kwa pole (2-5)

      • Maji ya Bahari ya Chumvi yanaponyeshwa (8-10)

      • Sehemu zenye majimaji haziponyeshwe (11)

      • Miti kwa ajili ya chakula na kuponyesha (12)

    • Mipaka ya inchi (13-23)

  • 48

    • Kugawanya inchi (1-29)

    • Milango mikubwa kumi na mbili ya muji (30-35)

      • Muji wenye kuitwa “Yehova Iko Pale” (35)