Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Kitabu cha Zekaria

Sura

1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14

Habari Zenye Kuwa Ndani

  • 1

    • Mwito wa kumurudilia kwa Yehova (1-6)

      • ‘Murudie kwangu na mimi nitarudia kwenu’ (3)

    • Maono ya 1: Wapanda-farasi kati ya miti ya mihadasi (7-17)

      • “Yehova atafariji tena Sayuni” (17)

    • Maono ya 2: Pembe ine na mafundi ine (18-21)

  • 2

    • Maono ya 3: Mutu mwenye kamba ya kupimia (1-13)

      • Yerusalemu itapimwa (2)

      • Yehova, ‘ukuta wa moto kuzunguka pande zote’ (5)

      • Kugusa mboni ya jicho la Mungu (8)

      • Mataifa mengi yatajiunga na Yehova (11)

  • 3

    • Maono ya 4: Nguo za kuhani mukubwa zinabadilishwa (1-10)

      • Shetani anamupinga Yoshua Kuhani Mukubwa (1)

      • ‘Nitamuleta ndani mutumishi wangu Chipukizi!’ (8)

  • 4

    • Maono ya 5: Kinara cha taa na mizeituni mbili (1-14)

      • ‘Hapana kwa nguvu, lakini kwa roho yangu’ (6)

      • Usizarau siku ya mianzo midogo (10)

  • 5

    • Maono ya 6: Kitabu cha kukunjwa chenye kuruka (1-4)

    • Maono ya 7: Chombo cha efa (5-11)

      • Mwanamuke mwenye kuwa ndani anaitwa Uovu (8)

      • Chombo kinapelekwa Shinari (9-11)

  • 6

    • Maono ya 8: Magari ine (1-8)

    • Chipukizi atakuwa mufalme na kuhani (9-15)

  • 7

    • Yehova analaumu wenye wanafunga kwa unafiki (1-14)

      • “Je, kweli mulifunga kwa ajili yangu?” (5)

      • ‘Mutendeane kwa haki, upendo mushikamanifu, na rehema’ (9)

  • 8

    • Yehova anapatia Sayuni amani na ukweli (1-23)

      • Yerusalemu, “muji wa ukweli” (3)

      • “Museme kweli mumoja na mwingine” (16)

      • Kufunga kunageuka kuwa sikukuu (18, 19)

      • ‘Tuende kwa bidii kumutafuta Yehova’ (21)

      • Watu kumi watashika kanzu ya Muyahudi (23)

  • 9

    • Hukumu ya Mungu juu ya mataifa jirani (1-8)

    • Kuja kwa mufalme wa Sayuni (9, 10)

      • Mufalme munyenyekevu anapanda juu ya punda (9)

    • Watu wa Yehova watawekwa huru (11-17)

  • 10

    • Mumuombe Yehova awapatie mvua, musiombe miungu ya uongo (1, 2)

    • Yehova anaunganisha watu wake (3-12)

      • Mutu wa maana kutoka katika nyumba ya Yuda (3, 4)

  • 11

    • Matokeo ya kukataa muchungaji wa kweli wa Mungu (1-17)

      • “Chunga kundi lenye limepangiwa kuchinjwa” (4)

      • Fimbo mbili: Uzuri na Umoja (7)

      • Malipo ya muchungaji: vipande makumi tatu vya feza (12)

      • Feza zinatupwa katika hazina (13)

  • 12

    • Yehova atalinda Yuda na Yerusalemu (1-9)

      • Yerusalemu, “jiwe nzito” (3)

    • Kuomboleza juu ya ule mwenye alitobolewa (10-14)

  • 13

    • Kuondolewa kwa sanamu na manabii wa uongo (1-6)

      • Manabii wa uongo watasikia haya (4-6)

    • Muchungaji atapigwa (7-9)

      • Sehemu moja ya tatu itasafishwa (9)

  • 14

    • Ibada ya kweli inapata ushindi kabisa (1-21)

      • Mulima wa Mizeituni utagawanyika mara mbili (4)

      • Yehova atakuwa mumoja, na jina lake litakuwa moja (9)

      • Pigo kwa wenye kupinga Yerusalemu (12-15)

      • Kufanya Sikukuu ya Vibanda (16-19)

      • Kila chungu kitakuwa kitakatifu kwa Yehova (20, 21)