Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Kitabu cha Yoshua

Sura

Habari Zenye Kuwa Ndani

  • 1

    • Yehova anamutia Yoshua moyo (1-9)

      • Soma Sheria kwa sauti ya chini (8)

    • Matayarisho ya kuvuka Yordani (10-18)

  • 2

    • Yoshua anatuma wapelelezi wawili Yeriko (1-3)

    • Rahabu anaficha wapelelezi (4-7)

    • Rahabu anapewa ahadi (8-21a)

      • Alama ya kamba ya rangi nyekundu yenye kungaa (18)

    • Wapelelezi wanarudia kwa Yoshua (21b-24)

  • 3

    • Israeli wanavuka Yordani (1-17)

  • 4

    • Majiwe ya ukumbusho (1-24)

  • 5

    • Waisraeli wanatahiriwa kule Gilgali (1-9)

    • Sikukuu ya Pasaka; mana inaacha kuanguka (10-12)

    • Mukubwa wa jeshi la Yehova (13-15)

  • 6

    • Ukuta wa Yeriko unaanguka (1-21)

    • Rahabu na familia yake wanaokolewa (22-27)

  • 7

    • Israeli wanashindwa kule Ai (1-5)

    • Sala ya Yoshua (6-9)

    • Zambi inafanya Israeli washindwe (10-15)

    • Zambi ya Akani inafunuliwa na Akani anapigwa majiwe (16-26)

  • 8

    • Yoshua anaweka watu wa kuvizia Ai (1-13)

    • Muji wa Ai unakamatwa (14-29)

    • Sheria inasomwa kwenye Mulima Ebali (30-35)

  • 9

    • Wagibeoni wajanja wanatafuta amani (1-15)

    • Ujanja wa Wagibeoni unafunuliwa (16-21)

    • Wagibeoni wanakuwa watumwa wa kukusanya kuni na kushota maji (22-27)

  • 10

    • Israeli wanasaidia Wagibeoni (1-7)

    • Yehova anapigania Israeli (8-15)

      • Mvua ya majiwe inanyeshea maadui wenye kukimbia (11)

      • Jua linasimama bila kutikisika (12-14)

    • Wafalme tano wenye kushambulia wanauawa (16-28)

    • Miji ya eneo la kusini inakamatwa (29-43)

  • 11

    • Miji ya eneo la kaskazini inakamatwa (1-15)

    • Habari fupi juu ya ushindi wa Yoshua (16-23)

  • 12

    • Wafalme wa eneo la mashariki mwa Yordani wanashindwa (1-6)

    • Wafalme wa eneo la mangaribi mwa Yordani wanashindwa (7-24)

  • 13

    • Maeneo yenye hayajakamatwa (1-7)

    • Kugawanywa kwa maeneo ya mashariki mwa Yordani (8-14)

    • Uriti wa Warubeni (15-23)

    • Uriti wa Wagadi (24-28)

    • Uriti wa kabila la Manase upande wa mashariki (29-32)

    • Yehova ndiye uriti wa Walawi (33)

  • 14

    • Kugawanywa kwa maeneo ya mangaribi mwa Yordani (1-5)

    • Kalebu anariti Hebroni (6-15)

  • 15

    • Uriti wa kabila la Yuda (1-12)

    • Binti ya Kalebu anapewa eneo (13-19)

    • Miji ya Yuda (20-63)

  • 16

    • Uriti wa wazao wa Yosefu (1-4)

    • Uriti wa kabila la Efraimu (5-10)

  • 17

    • Uriti wa kabila la Manase upande wa mangaribi (1-13)

    • Maeneo zaidi kwa ajili ya wazao wa Yosefu (14-18)

  • 18

    • Maeneo yenye yalibakia yanagawanywa kule Shilo (1-10)

    • Uriti wa kabila la Benyamini (11-28)

  • 19

    • Uriti wa kabila la Simeoni (1-9)

    • Uriti wa kabila la Zabuloni (10-16)

    • Uriti wa kabila la Isakari (17-23)

    • Uriti wa kabila la Asheri (24-31)

    • Uriti wa kabila la Naftali (32-39)

    • Uriti wa kabila la Dani (40-48)

    • Uriti wa Yoshua (49-51)

  • 20

    • Miji ya makimbilio (1-9)

  • 21

    • Miji ya Walawi (1-42)

      • Ya wazao wa Haruni (9-19)

      • Ya Wakohati wenye walibakia (20-26)

      • Ya Wagershoni (27-33)

      • Ya Wamerari (34-40)

    • Ahadi za Yehova zinatimia (43-45)

  • 22

    • Makabila ya mashariki yanarudia kwao (1-8)

    • Mazabahu inajengwa karibu na Yordani (9-12)

    • Kusudi la mazabahu linaelezwa (13-29)

    • Hali ya kukosa kuelewana inaisha (30-34)

  • 23

    • Maneno ya Yoshua ya kuaga viongozi wa Israeli (1-16)

      • Hakuna neno la Yehova lenye halikutimia (14)

  • 24

    • Yoshua anakumbusha Israeli historia yao (1-13)

    • Anatia watu moyo wamutumikie Yehova (14-24)

      • “Mimi na nyumba yangu, tutamutumikia Yehova” (15)

    • Yoshua anafanya agano na Israeli (25-28)

    • Yoshua anakufa na anazikwa (29-31)

    • Mifupa ya Yosefu inazikwa Shekemu (32)

    • Eleazari anakufa na anazikwa (33)