Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Kitabu cha Yona

Sura

1 2 3 4

Habari Zenye Kuwa Ndani

  • 1

    • Yona anajaribu kumukimbia Yehova (1-3)

    • Yehova analeta zoruba kali (4-6)

    • Taabu inatokea kwa sababu ya Yona (7-13)

    • Yona anatupwa katika bahari yenye zoruba (14-16)

    • Samaki mukubwa anamumeza Yona (17)

  • 2

    • Yona anasali akiwa katika tumbo la samaki (1-9)

    • Yona anatapikwa kwenye inchi kavu (10)

  • 3

    • Yona anamutii Mungu na anaenda Ninawi (1-4)

    • Waninawi wanatubu kisha kusikia ujumbe wa Yona (5-9)

    • Mungu anaamua kwamba hataharibu Ninawi (10)

  • 4

    • Yona anakasirika na anatamani kufa (1-3)

    • Yehova anamufundisha Yona kuwa na rehema (4-11)

      • “Je, uko na sababu ya kukasirika vile?” (4)

      • Mumea wa mutango unatumiwa kufundisha somo (6-10)