Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Kitabu cha Yoeli

Sura

1 2 3

Habari Zenye Kuwa Ndani

  • 1

    • Shambulio kali la vidudu (1-14)

    • “Siku ya Yehova iko karibu” (15-20)

      • Nabii anamulilia Yehova (19, 20)

  • 2

    • Siku ya Yehova na jeshi lake kubwa (1-11)

    • Waisraeli wanaombwa wamurudilie Yehova (12-17)

      • “Mupasue mioyo yenu” (13)

    • Yehova anajibu watu wake (18-32)

      • “Nitamwanga roho yangu” (28)

      • Mambo ya ajabu katika mbingu na katika dunia (30)

      • Wenye kuitia jina la Yehova wataokolewa (32)

  • 3

    • Yehova anahukumu mataifa yote (1-17)

      • Bonde la Yehoshafati (2, 12)

      • Bonde la uamuzi (14)

      • Yehova ni ngome kwa Israeli (16)

    • Yehova anabariki watu wake (18-21)