Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Kitabu cha Yeremia

Sura

Habari Zenye Kuwa Ndani

  • 1

    • Jeremiah appointed as prophet (1-10)

    • Maono ya muti wa lozi (11, 12)

    • Maono ya chungu cha kupikia (13-16)

    • Yeremia anatiwa nguvu kwa ajili ya utume wake (17-19)

  • 2

    • Israeli wanamuacha Yehova na kufuata miungu mingine (1-37)

      • Israeli ni kama muzabibu wa kigeni (21)

      • Pindo za nguo zake ziko na alama za damu (34)

  • 3

    • Uasi-imani mukubwa wa Israeli (1-5)

    • Hatia ya uzinifu ya Israeli na Yuda (6-11)

    • Mwito wa kutubu (12-25)

  • 4

    • Kutubu kunaleta baraka (1-4)

    • Musiba utakuja kutoka kaskazini (5-18)

    • Uchungu wa Yeremia juu ya musiba wenye unakuja (19-31)

  • 5

    • Watu wanakataa nizamu ya Yehova (1-13)

    • Kuharibiwa lakini hapana kuangamizwa kabisa (14-19)

    • Yehova anaomba watu watoe hesabu (20-31)

  • 6

    • Kuzungukwa kwa Yerusalemu kwa ajili ya vita kunakaribia (1-9)

    • Kasirani kali ya Yehova juu ya Yerusalemu (10-21)

      • Wanasema “Amani!” wakati hakuna amani (14)

    • Watavamiwa bila huruma kutoka kaskazini (22-26)

    • Yeremia atatumika akiwa mupimaji wa metali (27-30)

  • 7

    • Tumaini la uongo katika hekalu la Yehova (1-11)

    • Hekalu litakuwa kama Shilo (12-15)

    • Ibada ya kidesturi inahukumiwa (16-34)

      • “Malkia wa Mbinguni” anaabudiwa (18)

      • Kutoa watoto kuwa zabihu katika Hinomu (31)

  • 8

    • Watu wanachagua njia yenye kupendwa na wengi (1-7)

    • Kuko hekima gani bila neno la Yehova? (8-17)

    • Yeremia anaomboleza juu ya kuvunjika kwa Yuda (18-22)

      • “Je, hakuna zeri katika Gileadi?” (22)

  • 9

    • Huzuni kubwa ya Yeremia (1-3a)

    • Yehova anaomba Yuda watoe hesabu (3b-16)

    • Kuombolezea Yuda (17-22)

    • Kujisifu kwa sababu ya kumujua Yehova (23-26)

  • 10

    • Tofauti kati ya miungu ya mataifa na Mungu mwenye kuishi (1-16)

    • Uharibifu na uhamisho wenye unakuja (17, 18)

    • Huzuni ya Yeremia (19-22)

    • Sala ya nabii (23-25)

      • Mwanadamu hawezi kuongoza hatua yake mwenyewe (23)

  • 11

    • Yuda wanavunja agano pamoja na Mungu (1-17)

      • Miungu mingi kama miji (13)

    • Yeremia anafananishwa na mwana-kondoo mwenye kupelekwa kwenye machinjo (18-20)

    • Watu wa muji wa Yeremia wanamupinga (21-23)

  • 12

    • Malalamiko ya Yeremia (1-4)

    • Jibu la Yehova (5-17)

  • 13

    • Mushipi wa kitani wenye uliharibika (1-11)

    • Mitungi ya divai itavunjwa-vunjwa (12-14)

    • Yuda mwenye hawezi kubadilika atapelekwa katika uhamisho (15-27)

      • “Je, Mukushi anaweza kubadilisha ngozi yake?” (23)

  • 14

    • Ukame, njaa, na upanga (1-12)

    • Manabii wa uongo wanalaumiwa (13-18)

    • Yeremia anakubali zambi za watu (19-22)

  • 15

    • Yehova hatabadilisha hukumu yake (1-9)

    • Malalamiko ya Yeremia (10)

    • Jibu la Yehova (11-14)

    • Sala ya Yeremia (15-18)

      • Anapata furaha kwa kula maneno ya Mungu (16)

    • Yehova anamutia Yeremia nguvu (19-21)

  • 16

    • Yeremia hapaswe kuoa, kuomboleza, wala kufanya karamu (1-9)

    • Azabu, kisha kurudishwa (10-21)

  • 17

    • Zambi ya Yuda imetia mizizi (1-4)

    • Baraka za kutegemea Yehova (5-8)

    • Moyo wenye udanganyifu (9-11)

    • Yehova, tumaini la Israeli (12, 13)

    • Sala ya Yeremia (14-18)

    • Kuona Sabato kuwa takatifu (19-27)

  • 18

    • Udongo katika mukono wa mufinyanzi (1-12)

    • Yehova anageuzia Israeli mugongo wake (13-17)

    • Mupango mubaya juu ya Yeremia; ombi lake (18-23)

  • 19

    • Yeremia anaambiwa avunje chupa ya udongo (1-15)

      • Kumutolea Baali zabihu za watoto (5)

  • 20

    • Pashuri anamupiga Yeremia (1-6)

    • Yeremia hawezi kuacha kuhubiri (7-13)

      • Ujumbe wa Mungu kama moto wenye kuwaka (9)

      • Yehova kama mupiganaji-vita mwenye kuogopesha (11)

    • Malalamiko ya Yeremia (14-18)

  • 21

    • Yehova anakataa ombi la Sedekia (1-7)

    • Watu kuchagua uzima ao kifo (8-14)

  • 22

    • Ujumbe wa hukumu juu ya wafalme wabaya (1-30)

  • 23

    • Wachungaji wazuri na wabaya (1-4)

    • Usalama chini ya “chipukizi la haki” (5-8)

    • Manabii wa uongo wanalaumiwa (9-32)

    • “Muzigo” wa Yehova (33-40)

  • 24

    • Tini za muzuri na tini za mubaya (1-10)

  • 25

    • Hukumu ya Yehova juu ya mataifa (1-38)

      • Mataifa yatatumikia Babiloni kwa miaka makumi saba (11)

      • Kikombe cha divai ya kasirani kali ya Mungu (15)

      • Musiba kutoka taifa moja mupaka taifa lingine (32)

      • Wale wenye waliuawa na Yehova (33)

  • 26

    • Yeremia anaogopeshwa kwamba atauawa (1-15)

    • Yeremia anaokolewa (16-19)

      • Unabii wa Mika unatajwa (18)

    • Nabii Uriya (20-24)

  • 27

    • Nira ya Babiloni (1-11)

    • Sedekia anaambiwa ajitiishe kwa Babiloni (12-22)

  • 28

    • Yeremia anapingana na nabii wa uongo Hanania (1-17)

  • 29

    • Barua ya Yeremia kwa wahamishwa wa Babiloni (1-23)

      • Israeli watarudia kisha miaka makumi saba (10)

    • Ujumbe kwa Shemaya (24-32)

  • 30

    • Ahadi za kurudishwa na kuponyeshwa (1-24)

  • 31

    • Wenye kubakia wa Israeli watakaa tena katika inchi (1-30)

      • Raheli anaombolezea watoto wake (15)

    • Agano jipya (31-40)

  • 32

    • Yeremia ananunua shamba (1-15)

    • Sala ya Yeremia (16-25)

    • Jibu la Yehova (26-44)

  • 33

    • Ahadi ya kurudishwa (1-13)

    • Usalama chini ya “chipukizi la haki” (14-16)

    • Agano pamoja na Daudi na makuhani (17-26)

      • Agano juu ya muchana na usiku (20)

  • 34

    • Ujumbe wa hukumu kwa Sedekia (1-7)

    • Agano la kuachilia huru watumwa linavunjwa (8-22)

  • 35

    • Warekabu wanaonyesha utii wa pekee (1-19)

  • 36

    • Yeremia anasema maneno kisha yanaandikwa katika kitabu cha kukunjwa (1-7)

    • Baruku anasoma kwa sauti katika kitabu cha kukunjwa (8-19)

    • Yehoyakimu anateketeza kitabu cha kukunjwa (20-26)

    • Ujumbe unaandikwa tena kwenye kitabu kipya cha kukunjwa (27-32)

  • 37

    • Wakaldayo wataondoka kwa wakati kidogo tu (1-10)

    • Yeremia anafungwa katika gereza (11-16)

    • Sedekia anakutana na Yeremia (17-21)

      • Yeremia anapewa mukate (21)

  • 38

    • Yeremia anatupwa ndani ya tangi la maji (1-6)

    • Ebed-meleki anamuokoa Yeremia (7-13)

    • Yeremia anamuomba Sedekia ajitie katika mikono ya maadui (14-28)

  • 39

    • Kuanguka kwa Yerusalemu (1-10)

      • Sedekia anakimbia kisha anakamatwa (4-7)

    • Yeremia atalindwa (11-14)

    • Uzima wa Ebed-meleki utaokolewa (15-18)

  • 40

    • Nebuzaradani anamuachilia huru Yeremia (1-6)

    • Gedalia anawekwa juu ya inchi (7-12)

    • Mupango mubaya juu ya Gedalia (13-16)

  • 41

    • Ishmaeli anamuua Gedalia (1-10)

    • Yohanani anamufanya Ishmaeli akimbie (11-18)

  • 42

    • Watu wanamuomba Yeremia asali ili wapate muongozo (1-6)

    • Yehova anajibu: “Musiende Misri” (7-22)

  • 43

    • Watu wanakataa kutii na wanaenda Misri (1-7)

    • Neno la Yehova kwa Yeremia katika Misri (8-13)

  • 44

    • Musiba juu ya Wayahudi wenye kuwa Misri unatabiriwa (1-14)

    • Watu wanakataa onyo la Mungu (15-30)

      • “Malkia wa Mbinguni” anaabudiwa (17-19)

  • 45

    • Ujumbe wa Yehova kwa Baruku (1-5)

  • 46

    • Unabii juu ya Misri (1-26)

      • Misri itashindwa na Nebukadneza (13, 26)

    • Ahadi kwa Israeli (27, 28)

  • 47

    • Unabii juu ya Wafilisti (1-7)

  • 48

    • Unabii juu ya Moabu (1-47)

  • 49

    • Unabii juu ya Amoni (1-6)

    • Unabii juu ya Edomu (7-22)

      • Edomu hatakuwa tena taifa (17, 18)

    • Unabii juu ya Damasko (23-27)

    • Unabii juu ya Kedari na Hasori (28-33)

    • Unabii juu ya Elamu (34-39)

  • 50

    • Unabii juu ya Babiloni (1-46)

      • Mukimbie kutoka katika Babiloni (8)

      • Israeli atarudishwa (17-19)

      • Maji ya Babiloni yatakaushwa (38)

      • Babiloni hataikaliwa tena (39, 40)

  • 51

    • Unabii juu ya Babiloni (1-64)

      • Babiloni itaanguka kwa kushitukia katika mikono ya Wamedi (8-12)

      • Kitabu kinatupwa katika Efrati (59-64)

  • 52

    • Sedekia anaasi Babiloni (1-3)

    • Nebukadneza anazunguka Yerusalemu kwa ajili ya vita (4-11)

    • Kuharibiwa kwa muji na hekalu (12-23)

    • Watu wanapelekwa katika uhamisho Babiloni (24-30)

    • Yehoyakini anaachiliwa huru kutoka katika gereza (31-34)