Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Wimbo wa Sulemani

Sura

1 2 3 4 5 6 7 8

Habari Zenye Kuwa Ndani

  • KIJANA MWANAMUKE MUSHULAMI KATIKA KAMBI YA SULEMANI (1:1–3:5)

    • 1

      • Wimbo wa nyimbo (1)

      • Kijana mwanamuke (2-7)

      • Mabinti wa Yerusalemu (8)

      • Mufalme (9-11)

        • “Tutakutengenezea mapambo ya zahabu” (11)

      • Kijana mwanamuke (12-14)

        • ‘Mupenzi wangu ni kama mufuko wa manemane wenye harufu ya muzuri’ (13)

      • Muchungaji (15)

        • “Uko mwenye sura na umbo ya muzuri, mupenzi wangu”

      • Kijana mwanamuke (16, 17)

        • “Uko mwenye sura na umbo ya muzuri, mupenzi wangu” (16)

    • 2

      • Kijana mwanamuke (1)

        • “Niko tu ua la zafarani”

      • Muchungaji (2)

        • ‘Mupenzi wangu ni kama ua la yungiyungi’

      • Kijana mwanamuke (3-14)

        • ‘Musiamushe upendo mupaka wakati huo wenyewe utataka’ (7)

        • Maneno ya muchungaji (10b-14)

          • “Muzuri wangu, kuja tuende zetu” (10b, 13)

      • Ndugu za kijana mwanamuke (15)

        • “Mutukamatie mbweha”

      • Kijana mwanamuke (16, 17)

        • “Mupenzi wangu ni wangu na mimi ni wake” (16)

    • 3

      • Kijana mwanamuke (1-5)

        • ‘Usiku, nilitafuta ule mwenye ninapenda’ (1)

  • MUSHULAMI AKIWA YERUSALEMU (3:6–8:4)

    • 3

      • Mabinti wa Sayuni (6-11)

        • Maelezo kuhusu musururu wa watu wenye kusafiri pamoja na Sulemani

    • 4

      • Muchungaji (1-5)

        • “Uko mwenye sura na umbo ya muzuri, mupenzi wangu” (1)

      • Kijana mwanamuke (6)

      • Muchungaji (7-16a)

        • ‘Umebeba moyo wangu, bibi-arusi wangu’ (9)

      • Kijana mwanamuke (16b)

    • 5

      • Muchungaji (1a)

      • Wanamuke wa Yerusalemu (1b)

        • ‘Mulewe upendo!’

      • Kijana mwanamuke (2-8)

        • Anaeleza ndoto yake

      • Mabinti wa Yerusalemu (9)

        • “Mupenzi wako anashindia wengine wote na nini?”

      • Kijana mwanamuke (10-16)

        • “Anavutia zaidi kati ya wanaume elfu kumi” (10)

    • 6

      • Mabinti wa Yerusalemu (1)

      • Kijana mwanamuke (2, 3)

        • “Mimi ni wa mupenzi wangu, na mupenzi wangu ni wangu” (3)

      • Mufalme (4-10)

        • “Uko mwenye sura na umbo ya muzuri kama Tirza” (4)

        • Maneno ya wanamuke (10)

      • Kijana mwanamuke (11, 12)

      • Mufalme (na wengine) (13a)

      • Kijana mwanamuke (13b)

      • Mufalme (na wengine) (13c)

    • 7

      • Mufalme (1-9a)

        • “Unapendeza sana, Ee kijana mwanamuke mupendwa” (6)

      • Kijana mwanamuke (9b-13)

        • “Mimi ni wa mupenzi wangu, naye ananitamani” (10)

    • 8

      • Kijana mwanamuke (1-4)

        • “Ikiwa tu ungekuwa kama ndugu yangu” (1)

  • MUSHULAMI ANARUDIA, ANAONYESHA USHIKAMANIFU WAKE (8:5-14)

    • 8

      • Ndugu za kijana mwanamuke (5a)

        • ‘Ni nani huyu, mwenye kuegemea mupenzi wake?’

      • Kijana mwanamuke (5b-7)

        • “Upendo uko na nguvu kama kifo” (6)

      • Ndugu za kijana mwanamuke (8, 9)

        • “Kama yeye ni ukuta, . . . lakini kama yeye ni mulango, . . .” (9)

      • Kijana mwanamuke (10-12)

        • “Mimi ni ukuta” (10)

      • Muchungaji (13)

        • ‘Acha nisikie sauti yako’

      • Kijana mwanamuke (14)

        • “Ukimbie mbio kama swala”