Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Barua kwa Waefeso

Sura

1 2 3 4 5 6

Habari Zenye Kuwa Ndani

  • 1

    • Salamu (1, 2)

    • Baraka za kiroho (3-7)

    • Kukusanya vitu vyote katika Kristo (8-14)

      • “Usimamizi” katika nyakati zenye ziliwekwa (10)

      • Kutiwa muhuri kwa roho kama “alama yenye kuhakikisha mbele ya wakati” (13, 14)

    • Paulo anamushukuru Mungu kwa sababu ya imani ya Waefeso na anasali kwa ajili yao (15-23)

  • 2

    • Wanafanywa kuwa wazima pamoja na Kristo (1-10)

    • Ukuta wenye kutenganisha unaharibiwa (11-22)

  • 3

    • Siri takatifu ingetia ndani Watu wa Mataifa (1-13)

      • Watu wa Mataifa ni wariti pamoja na Kristo (6)

      • Kusudi la milele la Mungu (11)

    • Sala kwa ajili ya Waefeso ili wapate ufahamu (14-21)

  • 4

    • Umoja katika mwili wa Kristo (1-16)

      • Zawadi katika wanadamu (8)

    • Utu wa zamani na utu mupya (17-32)

  • 5

    • Usemi na mwenendo safi (1-5)

    • Mutembee kama watoto wa mwangaza (6-14)

    • Mujazwe roho (15-20)

      • Mutumie muzuri zaidi wakati wenu (16)

    • Mashauri kwa bwana na bibi (21-33)

  • 6

    • Mashauri kwa watoto na wazazi (1-4)

    • Mashauri kwa watumwa na mabwana (5-9)

    • Silaha zote kutoka kwa Mungu (10-20)

    • Salamu za mwisho (21-24)