Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Kitabu cha Waamuzi

Sura

1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16 17 18 19 20 21

Habari Zenye Kuwa Ndani

  • 1

    • Ushindi wa Yuda na Simeoni (1-20)

    • Wayebusi wanaendelea kukaa Yerusalemu (21)

    • Yosefu anakamata Beteli (22-26)

    • Wakanaani hawakufukuzwa wote (27-36)

  • 2

    • Onyo la malaika wa Yehova (1-5)

    • Kifo cha Yoshua (6-10)

    • Mungu anainua waamuzi ili kuokoa Israeli (11-23)

  • 3

    • Yehova anajaribu Israeli (1-6)

    • Otnieli, muamuzi wa kwanza (7-11)

    • Muamuzi Ehudi anamuua Mufalme Egloni mwenye alikuwa munene (12-30)

    • Muamuzi Shamgari (31)

  • 4

    • Mufalme Yabini wa Kanaani anakandamiza Israeli (1-3)

    • Nabii mwanamuke Debora na Muamuzi Baraka (4-16)

    • Yaeli anamuua Sisera mukubwa wa jeshi (17-24)

  • 5

    • Wimbo wa ushindi wa Debora na Baraka (1-31)

      • Nyota zinapigana na Sisera (20)

      • Maji mengi ya Kishoni (21)

      • Wenye kumupenda Yehova wako kama jua (31)

  • 6

    • Wamidiani wanakandamiza Israeli (1-10)

    • Malaika anamuhakikishia Muamuzi Gideoni kuwa atapata musaada (11-24)

    • Gideoni anabomoa mazabahu ya Baali (25-32)

    • Roho ya Mungu inatenda juu ya Gideoni (33-35)

    • Jaribio la manyoya (36-40)

  • 7

    • Gideoni na wanaume mia tatu (1-8)

    • Jeshi la Gideoni linapata ushindi juu ya Midiani (9-25)

      • “Upanga wa Yehova na wa Gideoni!” (20)

      • Muvurugo katika kambi ya Midiani (21, 22)

  • 8

    • Waefraimu wanamulaumu Gideoni (1-3)

    • Wafalme Wamidiani wanafuatiliwa na kuuawa (4-21)

    • Gideoni anakataa kuwa mufalme (22-27)

    • Historia fupi ya maisha ya Gideoni (28-35)

  • 9

    • Abimeleki anakuwa mufalme kule Shekemu (1-6)

    • Mufano wa Yotamu wa miti (7-21)

    • Abimeleki anatawala kwa jeuri (22-33)

    • Abimeleki anashambulia Shekemu (34-49)

    • Mwanamuke anamuumiza Abimeleki; Abimeleki anakufa (50-57)

  • 10

    • Waamuzi Tola na Yairi (1-5)

    • Israeli wanaasi na wanatubu (6-16)

    • Waamoni wanataka kushambulia Israeli (17, 18)

  • 11

    • Muamuzi Yefta anafukuzwa, kisha wakati fulani anafanywa kuwa kiongozi (1-11)

    • Yefta anazungumuza na mufalme wa Waamoni (12-28)

    • Naziri ya Yefta na binti yake (29-40)

      • Binti ya Yefta anaishi bila kuolewa (38-40)

  • 12

    • Ugomvi na Waefraimu (1-7)

      • Jaribio la kusema neno Shiboleti (6)

    • Waamuzi Ibzani, Eloni, na Abdoni (8-15)

  • 13

    • Malaika anamutembelea Manoa na bibi yake (1-23)

    • Samsoni anazaliwa (24, 25)

  • 14

    • Muamuzi Samsoni anatafuta bibi Mufilisti (1-4)

    • Roho ya Yehova inawezesha Samsoni kuua simba (5-9)

    • Kitendawili cha Samsoni kwenye karamu ya ndoa (10-19)

    • Mwanaume mwingine anapewa bibi ya Samsoni (20)

  • 15

    • Kisasi cha Samsoni juu ya Wafilisti (1-20)

  • 16

    • Samsoni katika Gaza (1-3)

    • Samsoni na Delila (4-22)

    • Kisasi cha Samsoni na kifo chake (23-31)

  • 17

    • Sanamu za Mika na kuhani wake (1-13)

  • 18

    • Wadani wanatafuta inchi (1-31)

      • Kukamatwa kwa sanamu za Mika na kuhani wake (14-20)

      • Muji wa Laishi unakamatwa na kupewa jina Dani (27-29)

      • Ibada ya sanamu katika Dani (30, 31)

  • 19

    • Wabenyamini wanafanya kosa kubwa la ngono katika Gibea (1-30)

  • 20

    • Wabenyamini wanashambuliwa (1-48)

  • 21

    • Kabila la Benyamini linaokolewa (1-25)