Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Kitabu cha Sefania

Sura

1 2 3

Habari Zenye Kuwa Ndani

  • 1

    • Siku ya hukumu ya Yehova iko karibu (1-18)

      • Siku ya Yehova inakuja haraka sana (14)

      • Feza na zahabu haviwezi kuokoa (18)

  • 2

    • Mumutafute Yehova mbele siku yake ya kasirani ifike (1-3)

      • Mutafute haki na upole (3)

      • “Pengine mutafichwa” (3)

    • Hukumu juu ya mataifa jirani (4-15)

  • 3

    • Yerusalemu, muji wenye uasi na upotovu (1-7)

    • Kuhukumiwa na kurudishwa katika hali ya muzuri (8-20)

      • Kubadilisha luga ya watu kuwa luga safi (9)

      • Watu wanyenyekevu na wapole wataokolewa (12)

      • Yehova atashangilia kwa sababu ya Sayuni (17)