Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Kitabu cha Rutu

Sura

1 2 3 4

Habari Zenye Kuwa Ndani

  • 1

    • Elimeleki na familia yake wanahamia Moabu (1, 2)

    • Naomi, Orpa, na Rutu wanafiwa na bwana zao (3-6)

    • Rutu anaonyesha ushikamanifu kwa Naomi na kwa Mungu wa Naomi (7-17)

    • Naomi anarudia Betlehemu pamoja na Rutu (18-22)

  • 2

    • Rutu anaokota masalio katika shamba la Boazi (1-3)

    • Rutu na Boazi wanakutana (4-16)

    • Rutu anamuelezea Naomi juu ya fazili za Boazi (17-23)

  • 3

    • Naomi anamupatia Rutu maagizo (1-4)

    • Rutu na Boazi kwenye kiwanja cha kupigia-pigia nafaka (5-15)

    • Rutu anarudia kwa Naomi (16-18)

  • 4

    • Boazi anakuwa mukombozi (1-12)

    • Boazi na Rutu wanamuzaa Obedi (13-17)

    • Ukoo wa Daudi (18-22)