Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Kitabu cha Nehemia

Sura

1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13

Habari Zenye Kuwa Ndani

  • 1

    • Habari kutoka Yerusalemu (1-3)

    • Sala ya Nehemia (4-11)

  • 2

    • Nehemia anatumwa Yerusalemu (1-10)

    • Nehemia anachunguza kuta za muji (11-20)

  • 3

    • Kuta zinajengwa upya (1-32)

  • 4

    • Kazi inaendelea ijapokuwa upinzani (1-14)

    • Kazi ya kujenga inaendelea kufanywa na wajenzi wenye kuwa na silaha (15-23)

  • 5

    • Nehemia anamaliza hali ya watu kukandamiza wengine (1-13)

    • Nehemia hatafute faida yake mwenyewe (14-19)

  • 6

    • Kazi ya kujenga upya inaendelea kupingwa (1-14)

    • Ukuta unamalizika kujengwa katika siku makumi tano na mbili (15-19)

  • 7

    • Milango mikubwa ya muji na walinzi wa milango mikubwa (1-4)

    • Majina ya watu wenye walirudia kutoka katika uhamisho (5-69)

      • Watumishi wa hekalu (46-56)

      • Wana wa watumishi wa Sulemani (57-60)

    • Michango kwa ajili ya kazi (70-73)

  • 8

    • Watu wanasomewa na kufasiriwa Sheria (1-12)

    • Sikukuu ya Vibanda inafanywa (13-18)

  • 9

    • Watu wanaungama zambi zao (1-38)

      • Yehova, ni Mungu mwenye kusamehe (17)

  • 10

    • Watu wanakubali kufuata Sheria (1-39)

      • “Hatutapuuza nyumba ya Mungu wetu” (39)

  • 11

    • Watu wanaanza kuishi tena Yerusalemu (1-36)

  • 12

    • Makuhani na Walawi (1-26)

    • Kuzindua kuta (27-43)

    • Kutegemeza utumishi wa hekalu (44-47)

  • 13

    • Mabadiliko mengine yenye Nehemia alileta (1-31)

      • Sehemu moja za kumi zinatolewa (10-13)

      • Sabato haipaswe kuchafuliwa (15-22)

      • Kufanya ndoa na wanamuke wa kigeni kunalaumiwa (23-28)