Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Kitabu cha Mwanzo

Sura

Habari Zenye Kuwa Ndani

  • 1

    • Uumbaji wa mbingu na dunia (1, 2)

    • Siku sita za kutayarisha dunia (3-31)

      • Siku ya 1: mwangaza; muchana na usiku (3-5)

      • Siku ya 2: anga (6-8)

      • Siku ya 3: inchi kavu na mimea (9-13)

      • Siku ya 4: vitu vya kutoa mwangaza katika mbingu (14-19)

      • Siku ya 5: samaki na ndege (20-23)

      • Siku ya 6: wanyama wa inchi kavu na wanadamu (24-31)

  • 2

    • Mungu anapumuzika siku ya saba (1-3)

    • Yehova Mungu, Mutengenezaji wa mbingu na dunia (4)

    • Mwanaume na mwanamuke katika bustani ya Edeni (5-25)

      • Mutu anaumbwa kwa mavumbi (7)

      • Muti wa ujuzi wenye ulikatazwa (15-17)

      • Kuumbwa kwa mwanamuke (18-25)

  • 3

    • Mwanzo wa zambi ya wanadamu (1-13)

      • Uongo wa kwanza (4, 5)

    • Yehova anahukumu waasi (14-24)

      • Uzao wa mwanamuke unatabiriwa (15)

      • Kufukuzwa katika Edeni (23, 24)

  • 4

    • Kaini na Abeli (1-16)

    • Wazao wa Kaini (17-24)

    • Seti na Enoshi mwana wake (25, 26)

  • 5

    • Kuanzia Adamu mupaka Noa (1-32)

      • Adamu anazaa watoto wanaume na watoto wanamuke (4)

      • Enoko alitembea pamoja na Mungu (21-24)

  • 6

    • Wana wa Mungu wanajichukulia wanamuke katika dunia (1-3)

    • Wanefili wanazaliwa (4)

    • Uovu wa wanadamu unamuhuzunisha Yehova (5-8)

    • Noa anapewa kazi ya kujenga safina (9-16)

    • Mungu anatangaza kuja kwa Garika (17-22)

  • 7

    • Kuingia ndani ya safina (1-10)

    • Garika katika dunia yote (11-24)

  • 8

    • Maji ya Garika yanapunguka (1-14)

      • Njiwa anatumwa (8-12)

    • Kutoka ndani ya safina (15-19)

    • Ahadi ya Mungu juu ya dunia (20-22)

  • 9

    • Maagizo kwa wanadamu wote (1-7)

      • Sheria juu ya damu (4-6)

    • Agano la upinde wa mvua (8-17)

    • Unabii juu ya wazao wa Noa (18-29)

  • 10

    • Oroza ya majina ya mataifa (1-32)

      • Wazao wa Yafeti (2-5)

      • Wazao wa Hamu (6-20)

        • Nimrodi anamupinga Yehova (8-12)

      • Wazao wa Shemu (21-31)

  • 11

    • Munara wa Babeli (1-4)

    • Yehova anavuruga luga (5-9)

    • Kuanzia Shemu mupaka Abramu (10-32)

      • Familia ya Tera (27)

      • Abramu anahama Uru (31)

  • 12

    • Abramu anahama Harani na kuenda Kanaani (1-9)

      • Ahadi ya Mungu kwa Abramu (7)

    • Abramu na Sarai katika inchi ya Misri (10-20)

  • 13

    • Abramu anarudia Kanaani (1-4)

    • Abramu na Loti wanatengana (5-13)

    • Mungu anarudilia ahadi yenye alimupatia Abramu (14-18)

  • 14

    • Abramu anamuokoa Loti (1-16)

    • Melkisedeki anamubariki Abramu (17-24)

  • 15

    • Agano kati ya Mungu na Abramu (1-21)

      • Miaka mia ine ya mateso inatabiriwa (13)

      • Mungu anarudilia ahadi yenye alimupatia Abramu (18-21)

  • 16

    • Hagari na Ishmaeli (1-16)

  • 17

    • Abrahamu atakuwa baba ya mataifa mengi (1-8)

      • Abramu anapewa jina Abrahamu (5)

    • Agano la kutahiriwa (9-14)

    • Sarai anapewa jina Sara (15-17)

    • Mutoto mwanaume Isaka anaahidiwa (18-27)

  • 18

    • Malaika watatu wanamutembelea Abrahamu (1-8)

    • Sara anaahidiwa kuzaa mutoto mwanaume; Sara anacheka (9-15)

    • Abrahamu anamulilia Mungu asiharibu Sodoma (16-33)

  • 19

    • Loti anatembelewa na malaika (1-11)

    • Loti na familia yake wanaambiwa waondoke (12-22)

    • Miji ya Sodoma na Gomora inaharibiwa (23-29)

      • Bibi ya Loti anageuka kuwa nguzo ya chumvi (26)

    • Loti na mabinti wake (30-38)

      • Mwanzo wa Wamoabu na Waamoni (37, 38)

  • 20

    • Sara anaokolewa katika mikono ya Abimeleki (1-18)

  • 21

    • Isaka anazaliwa (1-7)

    • Ishmaeli anamuchekelea Isaka (8, 9)

    • Hagari na Ishmaeli wanafukuzwa (10-21)

    • Agano kati ya Abrahamu na Abimeleki (22-34)

  • 22

    • Abrahamu anaambiwa amutoe Isaka (1-19)

      • Uzao wa Abrahamu utaleta baraka (15-18)

    • Familia ya Rebeka (20-24)

  • 23

    • Kifo cha Sara na mahali alizikwa (1-20)

  • 24

    • Kumutafutia Isaka bibi (1-58)

    • Rebeka anaenda kukutana na Isaka (59-67)

  • 25

    • Abrahamu anaoa tena (1-6)

    • Kifo cha Abrahamu (7-11)

    • Wana wa Ishmaeli (12-18)

    • Yakobo na Esau wanazaliwa (19-26)

    • Esau anauzisha haki yake ya muzaliwa wa kwanza (27-34)

  • 26

    • Isaka na Rebeka katika muji wa Gerari (1-11)

      • Mungu anamuhakikishia Isaka kwamba atatimiza ahadi yake (3-5)

    • Kugombania visima (12-25)

    • Agano kati ya Isaka na Abimeleki (26-33)

    • Bibi wawili Wahiti wa Esau (34, 35)

  • 27

    • Yakobo anabarikiwa na Isaka (1-29)

    • Esau anatafuta baraka lakini anakosa kutubu (30-40)

    • Esau anamuchukia Yakobo (41-46)

  • 28

    • Isaka anamutuma Yakobo Padan-aramu (1-9)

    • Ndoto ya Yakobo kule Beteli (10-22)

      • Mungu anamuhakikishia Yakobo kwamba atatimiza ahadi yake (13-15)

  • 29

    • Yakobo anakutana na Raheli (1-14)

    • Yakobo anamupenda sana Raheli (15-20)

    • Yakobo anaoa Lea na Raheli (21-29)

    • Wana ine wa Yakobo wenye walizaliwa na Lea: Rubeni, Simeoni, Lawi, na Yuda (30-35)

  • 30

    • Bilha anazaa Dani na Naftali (1-8)

    • Zilpa anazaa Gadi na Asheri (9-13)

    • Lea anazaa Isakari na Zabuloni (14-21)

    • Raheli anamuzaa Yosefu (22-24)

    • Makundi ya Yakobo yanaongezeka (25-43)

  • 31

    • Yakobo anaenda Kanaani kwa uficho (1-18)

    • Labani anamufuatilia na kumufikia Yakobo (19-35)

    • Agano kati ya Yakobo na Labani (36-55)

  • 32

    • Malaika wanakutana na Yakobo (1, 2)

    • Yakobo anajitayarisha kukutana na Esau (3-23)

    • Yakobo anapigana mieleka na malaika (24-32)

      • Yakobo anapewa jina Israeli (28)

  • 33

    • Yakobo anakutana na Esau (1-16)

    • Yakobo anasafiri kuenda Shekemu (17-20)

  • 34

    • Dina analalwa kinguvu (1-12)

    • Wana wa Yakobo wanatenda kwa udanganyifu (13-31)

  • 35

    • Yakobo anaondoa miungu ya kigeni (1-4)

    • Yakobo anarudia Beteli (5-15)

    • Benyamini anazaliwa; Raheli anakufa (16-20)

    • Wana kumi na mbili wa Israeli (21-26)

    • Kifo cha Isaka (27-29)

  • 36

    • Wazao wa Esau (1-30)

    • Wafalme na mashehe wa Edomu (31-43)

  • 37

    • Ndoto za Yosefu (1-11)

    • Yosefu na ndugu zake wenye wivu (12-24)

    • Yosefu anauzishwa katika utumwa (25-36)

  • 38

    • Yuda na Tamari (1-30)

  • 39

    • Yosefu katika nyumba ya Potifa (1-6)

    • Yosefu anakataa kulala na bibi ya Potifa (7-20)

    • Yosefu katika gereza (21-23)

  • 40

    • Yosefu anafasiria maana ya ndoto za wafungwa (1-19)

      • ‘Mafasirio yanatoka kwa Mungu’ (8)

    • Karamu ya siku ya kuzaliwa kwa Farao (20-23)

  • 41

    • Yosefu anafasiria maana ya ndoto za Farao (1-36)

    • Yosefu anainuliwa na Farao (37-46a)

    • Yosefu anasimamia chakula (46b-57)

  • 42

    • Ndugu za Yosefu wanaenda Misri (1-4)

    • Yosefu anakutana na ndugu zake na anawajaribu (5-25)

    • Ndugu zake wanarudia nyumbani kwa Yakobo (26-38)

  • 43

    • Ndugu za Yosefu wanarudia Misri mara ya pili; pamoja na Benyamini (1-14)

    • Yosefu anakutana tena na ndugu zake (15-23)

    • Yosefu anafanya karamu pamoja na ndugu zake (24-34)

  • 44

    • Kikombe cha feza cha Yosefu kinapatikana katika mufuko wa Benyamini (1-17))

    • Yuda anaomba kwa kulia ili Benyamini aachiliwe (18-34)

  • 45

    • Yosefu anajitambulisha (1-15)

    • Ndugu za Yosefu wanaenda kumuchukua Yakobo (16-28)

  • 46

    • Yakobo na watu wa nyumba yake wanahamia Misri (1-7)

    • Majina ya wenye walihamia Misri (8-27)

    • Yosefu na Yakobo wanakutana Gosheni (28-34)

  • 47

    • Yakobo anakutana na Farao (1-12)

    • Usimamizi wenye hekima wa Yosefu (13-26)

    • Israeli anafanya makao yake kule Gosheni (27-31)

  • 48

    • Yakobo anabariki wana wawili wa Yosefu (1-12)

    • Efraimu anapata baraka kubwa zaidi (13-22)

  • 49

    • Unabii wenye Yakobo alitoa akiwa kwenye kitanda wakati alikaribia kufa (1-28)

      • Shilo atatokea katika Yuda (10)

    • Maagizo ya kumuzika Yakobo (29-32)

    • Kifo cha Yakobo (33)

  • 50

    • Yosefu anamuzika Yakobo katika inchi ya Kanaani (1-14)

    • Yosefu anahakikishia ndugu zake kwamba amewasamehe (15-21)

    • Siku za mwisho za Yosefu na kifo chake (22-26)

      • Maagizo ya Yosefu kuhusu mifupa yake (25)