Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Kitabu cha Maombolezo

Sura

1 2 3 4 5

Habari Zenye Kuwa Ndani

  • 1

    • Yerusalemu anatajwa kuwa mujane

      • Anakaa peke yake na ameachwa (1)

      • Zambi kubwa za Sayuni (8, 9)

      • Mungu anakataa Sayuni (12-15)

      • Hakuna wa kufariji Sayuni (17)

  • 2

    • Kasirani ya Yehova juu ya Yerusalemu

      • Hakuna huruma yenye ilionyeshwa (2)

      • Yehova amekuwa kama adui kwa Yerusalemu (5)

      • Machozi juu ya Sayuni (11-13)

      • Wapita-njia wanachekelea muji wenye ulikuwa unapendeza zamani (15)

      • Maadui wanafurahi juu ya kuanguka kwa Sayuni (17)

  • 3

    • Yeremia anaonyesha hisia zake na tumaini lake

      • “Nitaonyesha mutazamo wa kungojea” (21)

      • Rehema za Mungu ni mupya kila asubui (22, 23)

      • Mungu ni mwema kwa wale wenye wanamutumainia (25)

      • Ni muzuri kwa vijana kubeba nira (27)

      • Mungu ameweka kizuizi cha wingu ili asifikiwe (43, 44)

  • 4

    • Matokeo ya mubaya ya kuzungukwa kwa Yerusalemu kwa ajili ya vita

      • Ukosefu wa chakula (4, 5, 9)

      • Wanamuke wanatokotesha watoto wao (10)

      • Yehova amemwanga kasirani yake (11)

  • 5

    • Sala ya watu ya kuomba kurudishwa

      • ‘Kumbuka mambo yenye yalitupata’ (1)

      • ‘Ole wetu; tumefanya zambi’ (16)

      • ‘Uturudishe, Ee Yehova’ (21)

      • “Fanya siku zetu zikuwe mupya” (21)