Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Kitabu cha Mambo ya Walawi

Sura

Habari Zenye Kuwa Ndani

  • 1

    • Toleo la kuteketezwa (1-17)

  • 2

    • Toleo la nafaka (1-16)

  • 3

    • Toleo la ushirika (1-17)

      • Musikule mafuta wala damu (17)

  • 4

    • Toleo la zambi (1-35)

  • 5

    • Zambi fulani na matoleo yenye yaliombwa (1-6)

      • Kutoa habari kuhusu zambi za wengine (1)

    • Matoleo yenye maskini wangeweza kutoa (7-13)

    • Toleo la hatia kwa ajili ya zambi zenye zilifanywa bila kukusudia (14-19)

  • 6

    • Habari zaidi kuhusu toleo la hatia (1-7)

    • Maagizo kuhusu matoleo (8-30)

      • Toleo la kuteketezwa (8-13)

      • Toleo la nafaka (14-23)

      • Toleo la zambi (24-30)

  • 7

    • Maagizo kuhusu matoleo (1-21)

      • Toleo la hatia (1-10)

      • Toleo la ushirika (11-21)

    • Kula mafuta ao damu kunakatazwa (22-27)

    • Fungu la kuhani (28-36)

    • Maelezo ya mwisho kuhusu matoleo (37, 38)

  • 8

    • Haruni na wana wake wanawekwa katika madaraka ya ukuhani (1-36)

  • 9

    • Haruni anatoa matoleo ya kuweka makuhani katika madaraka ya ukuhani (1-24)

  • 10

    • Moto kutoka kwa Yehova unaua Nadabu na Abihu (1-7)

    • Sheria zenye makuhani walipewa kuhusu kula na kunywa (8-20)

  • 11

    • Wanyama safi na wanyama wenye hawako safi (1-47)

  • 12

    • takaso wa mwanamuke kisha kuzaa mutoto (1-8)

  • 13

    • Sheria kuhusu ukoma (1-46)

    • Ukoma wenye unatokea kwenye nguo (47-59)

  • 14

    • Kujitakasa ukoma (1-32)

    • Kutakasa nyumba zenye ziliambukizwa (33-57)

  • 15

    • Mutiririko wenye hauko safi wenye unatoka katika viungo vya uzazi (1-33)

  • 16

    • Siku ya Kufunika Zambi (1-34)

  • 17

    • Tabenakulo, mahali pa kutoa zabihu (1-9)

    • Kula damu kunakatazwa (10-14)

    • Sheria kuhusu wanyama wenye walipatikana wamekufa (15, 16)

  • 18

    • Ngono zenye haziruhusiwe (1-30)

      • Musiige Wakanaani (3)

      • Kufanya ngono na watu wa jamaa (6-18)

      • Katika siku za kuona mwezi (19)

      • Mwanaume kufanya ngono na mwanaume (22)

      • Kufanya ngono na wanyama (23)

      • ‘Musijichafue, kama munafanya vile, inchi itawatapika’ (24-30)

  • 19

    • Sheria mbalimbali kuhusu utakatifu (1-37)

      • Namna ya muzuri ya kuvuna (9, 10)

      • Kuheshimia viziwi na vipofu (14)

      • Maneno ya kuchongea (16)

      • Usiweke kinyongo (18)

      • Kufanya uchawi na kupashana habari na pepo wachafu kunakatazwa (26, 31)

      • Kujitia alama za machanjo kunakatazwa (28)

      • Kuheshimia watu wenye kuzeeka (32)

      • Namna wageni wanapaswa kutendewa (33, 34)

  • 20

    • Ibada ya Moleki; kupashana habari na pepo wachafu (1-6)

    • Mukuwe watakatifu na muheshimie wazazi (7-9)

    • Wenye kufanya ngono yenye hairuhusiwe wanapaswa kuuawa (10-21)

    • Mukuwe watakatifu ili muendelee kuishi katika inchi (22-26)

    • Wenye kupashana habari na pepo wachafu wanapaswa kuuawa (27)

  • 21

    • Makuhani wanapaswa kuwa watakatifu na hawapaswe kujichafua (1-9)

    • Kuhani mukubwa hapaswe kujichafua (10-15)

    • Makuhani hawapaswe kuwa na kasoro yoyote ya mwili (16-24)

  • 22

    • Utakatifu wa makuhani na maagizo kuhusu kula vitu vitakatifu (1-16)

    • Matoleo yenye hayana kasoro ndiyo yanakubaliwa (17-33)

  • 23

    • Siku takatifu na sikukuu (1-44)

      • Sabato (3)

      • Pasaka (4, 5)

      • Sikukuu ya Mikate Yenye Haina Chachu (6-8)

      • Kutoa matunda ya kwanza (9-14)

      • Sikukuu ya Majuma (15-21)

      • Namna ya muzuri ya kuvuna (22)

      • Sikukuu ya Kupiga Tarumbeta (23-25)

      • Siku ya Kufunika Zambi (26-32)

      • Sikukuu ya Vibanda (33-43)

  • 24

    • Mafuta kwa ajili ya taa za tabenakulo (1-4)

    • Mikate ya wonyesho (5-9)

    • Mwenye alitukana jina la Mungu anapigwa majiwe (10-23)

  • 25

    • Mwaka wa Sabato (1-7)

    • Mwaka wa Yubile (8-22)

    • Kurudishwa kwa mali (23-34)

    • Namna ya kuwatendea maskini (35-38)

    • Sheria kuhusu utumwa (39-55)

  • 26

    • Muepuke ibada ya sanamu (1, 2)

    • Baraka za kuwa mutiifu (3-13)

    • Azabu ya kukosa kutii (14-46)

  • 27

    • Kukomboa vitu vyenye vilifanyiwa naziri (1-27)

    • Vitu vyenye vilitolewa kwa Yehova bila kuweka masharti (28, 29)

    • Kukomboa sehemu za kumi (30-34)