Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Kitabu cha Malaki

Sura

1 2 3 4

Habari Zenye Kuwa Ndani

  • 1

    • Yehova anapenda watu wake (1-5)

    • Makuhani wanatoa zabihu zenye hazifae (6-14)

      • Jina la Mungu litatukuzwa kati ya mataifa (11)

  • 2

    • Makuhani wanashindwa kufundisha watu (1-9)

      • Midomo ya makuhani inapaswa kuchunga ujuzi (7)

    • Watu wanavunja ndoa bila sababu (10-17)

      • “‘Ninachukia kuvunja ndoa,’ ni vile Yehova anasema” (16)

  • 3

    • Bwana wa kweli anakuja kusafisha hekalu lake (1-5)

      • Mujumbe wa agano (1)

    • Waisraeli wanatiwa moyo wamurudilie Yehova (6-12)

      • Yehova habadilike (6)

      • “Munirudilie, na mimi nitawarudilia” (7)

      • ‘Mulete zaka yote, na Yehova atawamwangia baraka’ (10)

    • Mwenye haki na muovu (13-18)

      • Majina yanaandikwa katika kitabu cha kumbukumbu cha Mungu (16)

      • Tofauti kati ya mwenye haki na muovu (18)

  • 4

    • Kuja kwa Eliya mbele ya siku ya Yehova kufika (1-6)

      • “Jua la haki litaangaza” (2)